Mheshimiwa Mbunge wa Ngorongoro wewe ni mfano wa kuigwa ulistahili nafasi hiyo nikuombee kwa Mungu aendelee kukuongoza na kukujalia hekima, kwa wasiokujua wanatakiwa wajue wewe ni moja ya wabungu makini zaidi kuwahi tokea Tanzania.
Efike mwisho haya malumbano ya maneno basi nchi hii ni kubwa sana mapori yako mengi sana sana wamasai wahamishwe kwa maslai mapana ya taifa letu serikali inahitaji wanyama pori wawepo kwa vizazi vijavyo utali unaingiza mapato mengi mno hiyo hela inafanya maendeleo kwa taifa letu embu nchi ifanye maamuzi magumu kwa haraka
Ninachokiona apo ni elimu ya ikolojia haipo sawa,carrying capacity yaani uwezo wa eneo kubeba idadi hiyo ya watu haiwezekani eneo lipo Kama mwanzo haliongezeki ila idadi ya watu inaongezeka maana yake ni kwamba tukifanya population projection(makadirio ya idadi ya watu) miaka thelathin ijayo bonde lote litajaa watu wanyama either watakufa wote au kuhama kabisa kutokana na kukosa maliso(density dependent factor) kama idadi ingekua haiathiri wanyama(density independent factor) tungesema hakuna tatizo, tusipime uwepo wa hifadhi ya ngorongoro kwa mila za kutokula na kuwinda wanyama pori tuangalie ikolojiko succession(uendelevu wa jamii ya viumbe) dhidi ya idadi na shughuli za kibinadamu katika bonde hilo kimsingi idadi hiyo inatakiwa iwe ya wanyama na siyo watu kwa hiyo hao wabunge wasitoe povu kwakuwa wanatoka jamii hiyo washauri kitaalam na siyo tuu kusema kwa mdomo ngorongoro haifi binafsi naona ngorongoro ilishakufa tangu miaka kumi iliyopita!
Ngorongoro ni yetu na tuko vizuri kwa kuwalea wanyama hivyo basi ngorongoro ni yetu na pia hatuishi kama wamaasai tu tupo na makabila mengi sana ila tumewazidi kutokana na kuzaliwa ngorongoro
Mbunge embu tumia akili kidogo kwa sasa nyinyi mabwanyenye mmepeleka mangombe yenu huko ndio tatizo na kuwafanya wale waliopo kule ndio wachungaji wenu
Tatizo sio kuwepo kisheria ila ni kwamba kipindi kila na saiv ni tofauti walikuwa wachache ila kwa sasa wapo wengi mno na mifugo ni mingi mno ipunguzwe
Hao wanyama wanaoishi humo ngorogoro serikali itoe vibali vya uwindaji wawindwe wote na baada ya hapa wafute Sheria ya hifadhi ya ngorogoro ibakie mahala salama kwa hao wananchi kuishi bila usumbufu wowote
Waliruhusiwa kukaa huko ni elfu tisa tuu,hao laki wametoka wapi?wamasai mmejitaid sana kutunza wanyama nawapenda Sana tatizo ni idadi yenu inatishia uhai wa hifadhi hiyoo!idadi yenu ibaki ile ya makubaliano Apo tutaenda sawa pia nawasiwasi na hao wabunge waasili ya jamii husika wachunguzwe Kama hawamiliki maelfu ya ng'ombe hifadhin!
Hayo mambo ya kukaa Kwa Mazungumzo tumeshakaa Sana NYIE hamtaki kuwa waelewa IWE MKO KISHERIA HIYO SIYO ISSUE.KWA SASA CLIMATE CHANGE NA GLOBAL WARMING KWA UHARIBIFU ULIOJITOKEZA NDANI YA NCAA MASAIS ONDOKENI HUMO.
Mh. Mbunge mbona uelewa wako mdogo....hatupingi wananchi kuishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro....idadi ya watu na wanyama imekuwa kubwa kuliko uwezo wa hifadhi au ardhi....la sivyo tutajuta na baibai Ngorongoro kama tunu ya taifa na dunia!
Barikiwa sana mheshimia watetee wananchi wako brothers 🙏🙏
Mheshimiwa Mbunge wa Ngorongoro wewe ni mfano wa kuigwa ulistahili nafasi hiyo nikuombee kwa Mungu aendelee kukuongoza na kukujalia hekima, kwa wasiokujua wanatakiwa wajue wewe ni moja ya wabungu makini zaidi kuwahi tokea Tanzania.
💪💪💪hongera Sana wabunge wa kutoka jamii ya maasai. Mmeongea kisomi na mmetetea wamasai
Huyu ndo mbunge msomi kabisa amezungumza vzr sana tena sana
Shangay mungu akupe riziki maisha yako yote
Wamasai tupo vizuri we went to school more than they know us
Olexhangai waambie hao wabunge mwanza hao wanaweke wanaongea matope can at hajawakufika ngorongoro wanaongea 2
Uk vizuri sana Emmanuel shangai
Emanueli safi
Tunakuombeya mungu munbuge wetu unazera ya kuigwa na Wana ngorongoro
Munger msomi kabisa amezungumza czr sana tena San Francisco and the family and friends
Mungu akupeuzima mbungewetu
Mnawapa wanawake wawaongoze mara spika mara raisi wapumbavu sana
Mabunge wa Tanzania wengi hawajasoma yani hii Tanzania ukiwa na pesa unakua buge washenzi sana
Efike mwisho haya malumbano ya maneno basi nchi hii ni kubwa sana mapori yako mengi sana sana wamasai wahamishwe kwa maslai mapana ya taifa letu serikali inahitaji wanyama pori wawepo kwa vizazi vijavyo utali unaingiza mapato mengi mno hiyo hela inafanya maendeleo kwa taifa letu embu nchi ifanye maamuzi magumu kwa haraka
Hongera Dana mbunge. WAnàchi hawaelewi Kuna ngorongoro crater, na Kuna conservation area.
Kipaumbele cha ngorongoro ni eneo la hifadhi
Ninachokiona apo ni elimu ya ikolojia haipo sawa,carrying capacity yaani uwezo wa eneo kubeba idadi hiyo ya watu haiwezekani eneo lipo Kama mwanzo haliongezeki ila idadi ya watu inaongezeka maana yake ni kwamba tukifanya population projection(makadirio ya idadi ya watu) miaka thelathin ijayo bonde lote litajaa watu wanyama either watakufa wote au kuhama kabisa kutokana na kukosa maliso(density dependent factor) kama idadi ingekua haiathiri wanyama(density independent factor) tungesema hakuna tatizo, tusipime uwepo wa hifadhi ya ngorongoro kwa mila za kutokula na kuwinda wanyama pori tuangalie ikolojiko succession(uendelevu wa jamii ya viumbe) dhidi ya idadi na shughuli za kibinadamu katika bonde hilo kimsingi idadi hiyo inatakiwa iwe ya wanyama na siyo watu kwa hiyo hao wabunge wasitoe povu kwakuwa wanatoka jamii hiyo washauri kitaalam na siyo tuu kusema kwa mdomo ngorongoro haifi binafsi naona ngorongoro ilishakufa tangu miaka kumi iliyopita!
Mr mp my brother
Jamani huyu mzee anatetea haki za wananji
Mifugo inayofugwa sio ya wananchi wanaoishi hifadhini, ni ya mabwanyenye... wale wananchi wanafugia watu wengine.
Naomba nikuite mpumbavu. Unazungumzia maswala usiyoyajua
Ondokeni TU hayomnayosema no hasara kwa tàifa
Ngorongoro ni yetu na tuko vizuri kwa kuwalea wanyama hivyo basi ngorongoro ni yetu na pia hatuishi kama wamaasai tu tupo na makabila mengi sana ila tumewazidi kutokana na kuzaliwa ngorongoro
A
Mbunge embu tumia akili kidogo kwa sasa nyinyi mabwanyenye mmepeleka mangombe yenu huko ndio tatizo na kuwafanya wale waliopo kule ndio wachungaji wenu
Unatetea2 ujinga wew.. mpo kisheria sawa ila serikali inabadilisha sheria na mnahamishwa. Hamewezi ishi na wanyama wetu . Mnajidai na nyie ni simba
Wanyama wenu wako kijijini kwenu au mtaani kwenu
Tatizo sio kuwepo kisheria ila ni kwamba kipindi kila na saiv ni tofauti walikuwa wachache ila kwa sasa wapo wengi mno na mifugo ni mingi mno ipunguzwe
Tatizo mmezaliana mno. Carrying capacity ileile imekuwa ndogo mbona hamuelewi
Good
Hao wanyama wanaoishi humo ngorogoro serikali itoe vibali vya uwindaji wawindwe wote na baada ya hapa wafute Sheria ya hifadhi ya ngorogoro ibakie mahala salama kwa hao wananchi kuishi bila usumbufu wowote
Waliruhusiwa kukaa huko ni elfu tisa tuu,hao laki wametoka wapi?wamasai mmejitaid sana kutunza wanyama nawapenda Sana tatizo ni idadi yenu inatishia uhai wa hifadhi hiyoo!idadi yenu ibaki ile ya makubaliano Apo tutaenda sawa pia nawasiwasi na hao wabunge waasili ya jamii husika wachunguzwe Kama hawamiliki maelfu ya ng'ombe hifadhin!
Sijui kama unahakiri timamu wewe mbumge unachokiongea hakiendani na umri wako haooo wamasai wahimishweeeeee kwenye hifadhiii hiyoool
Watanzania tumieni akili maana wamasai wa ngorongoro siyo kama wabunge wasio na wanavyo sema,sisi hatuchungi mifugo yamtu, no zetu
Hayo mambo ya kukaa Kwa Mazungumzo tumeshakaa Sana NYIE hamtaki kuwa waelewa IWE MKO KISHERIA HIYO SIYO ISSUE.KWA SASA CLIMATE CHANGE NA GLOBAL WARMING KWA UHARIBIFU ULIOJITOKEZA NDANI YA NCAA MASAIS ONDOKENI HUMO.
Wana omba omba Sana bwana we VP tunafika mara nyingi pale HQ utakuta wanaomba unga
Muache waishi
Mh. Mbunge mbona uelewa wako mdogo....hatupingi wananchi kuishi ndani ya hifadhi ya Ngorongoro....idadi ya watu na wanyama imekuwa kubwa kuliko uwezo wa hifadhi au ardhi....la sivyo tutajuta na baibai Ngorongoro kama tunu ya taifa na dunia!
Wew ndio hujaelewa wanasema wamasai waondoke