Wimbo huu ufanye mimi nifutwe machozi niliolia kwa muda mrefu na maombi yangu yafike enzini pake Maulana.. komando na Solomon mkubwa napenda mlivyonyenyekea kwa Mungu.. Nehema iwe juu yenu milele
Wimbo huu umrejeshe Christina Shusho kwenye ndoa yake, na wale waimbaji wote walioacha ndoa zao wasikiapo wimbo huu warejeshwe haraka kwa ndoa zao in Jesus Christ name I pray amen.
Hizi nyimbo nikama faranja yetu tuliyo kutana vipingamizi safarini, basi zitu songeze karibu na Yesu . Ubarikiwe wewe kwanza wewe mtungaji Mwenyezi Mungu akupe Ufunuo zaidi
So touching in spirit, may this song bring, restoration blessings, healing, santify my sins, may this song reach in heaven and keep it close to you oh God, my prayers also oh God😢
Amina Mungu awabariki Sana watumishi Kwa Hakika huu wimbo umekuwa Baraka Kwa Maisha Yangu Utukufu kwake Yesu🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Jamani mpaka nimetamani kufanya Cover ya Kimaasai Mungu awabariki
MUNGU akubariki sana mtumishi wake wimbo huu umenitoa machozi kwa kweli, naomba wimbi huu ufungue milango ya mafanikio kwangu mwaka huu asante sana mteule nimebarikiwa ki ukweli
Congratulations komando and Solomon ,da wmbo umenisisimua Sana ,Mungu awbrk mmeimba vzr Sana una upako ndani yake ,YESU WIMBO HUU UNIWEKE KARIBU NAWEWE WAKATI HUU DUNIA INAPOELEKEA UKINGONII,ASANTE YESU
I love music ,i love such inspirational songs. Whenever i can't pray,i sing and listen to heavenly songs. Good work wakubwa!!!Mungu awabariki sana. Wimbo ilete mpotevu nyumbani. Wimbo huu uniweke karibu na wewe.Amen
Any Kenyan here! I need your likes. Mbarikiwe sana na huu wimbo❤
Amen 🙏🙏
Good job❤❤❤
We are here...
Ubarikiwe kwa wimbo yako mungu akuongezeye kwa kipaji ulicho nacho
Amen
Wimbo huu ufungue milango ya mafanikio kwa maisha ya kila mmoja atakaye usikiza kwa jina la YESU
Amen 🙏
AMEEEN 😢😢😢😢
Amina
Amen 🙏
Amen
Wimbo huu hahaha naombeni like 100 wa Tanzania 🇹🇿
Barikiwa sana 🙏
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
youtube.com/@Onestoh1864?si=9WYaiu6HscURjTPJ
Kaka ameeen
Kwamara nyingine tena nimekuja na wimbo unaitwa WIMBO HUU. naamini mtabarikiwa sana sana sana.
tukutane hapa CZcams kesho saa 9 jioni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
Nimebarikiwa mtumishi wa Mungu 😇😇♥️🥰🇰🇪🥰🇹🇿💃💃💃
Kaka naomba niimbe na wewe remix ya wimbo wangu zing'ang'anie baraka nahtaj nisaidie kaka mwanzo mgumu
Amen a Very blessing hymn much love from kenya
Amen
team strong gulf 💪 mko wapi , wimbo huu ni wetu 💃💃💃💯💯 baraka 🎉🎉 mwaaaaaa ♥️♥️ like please kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 sis ndio tupo 🌍 😂🙇🙇🌟👌🙌🙏🙏🙏🙏
Amen
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪
Amen 🙏🙏
Tuko hapa
KAKA unajua sana MUNGU AKUBARIKI SANA @@komandowayesu3642
Nice vibes from Solomon mkubwa gonga like 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Hii wimbo lazima itreand🎉
Nipee like ukiamini
🙏🙏🙏🙏
Kenyans let’s gather here our brothers did it again🔥🔥🔥much love ❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen 🙏🙏
Kwa wimbo huu Mngu uniondolee maumivu yote 🙇🏾♀️🙇🏾♀️🙇🏾♀️🙇🏾♀️🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen 🙏
Wow wangapi tuko apa toka Kenya wimbo uuu
Barikiwa 🙏
💪💪
Wimbooo huuuu
@@faithnyaboke620 haha acha izo hahaha 🤣🤣🤣🤣
Mimi ni muslim na nimefunga ramadan ila najikuta nausikiliza huu wimbo mara mia mia Alhamdulillah
😃😃🙏🙏🙏🙏🙏
Wimbo huu ufanye mimi nifutwe machozi niliolia kwa muda mrefu na maombi yangu yafike enzini pake Maulana.. komando na Solomon mkubwa napenda mlivyonyenyekea kwa Mungu.. Nehema iwe juu yenu milele
Amen 🙏🙏🙏
Kwa wimbo huu mungu akanitendee kulingana na hitaji la moyo wangu 🙏🙏🙏
Amen
Yimbo za injiri zinahita likes kuliko nyimbo za ki Dunia 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen 🙏
❤❤❤❤❤ Amen waimbaji wezangu wimbo huu hikuwe wabaraka kwa maisha yetu 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen 🙏
Kwa wale wenzangu wa 🇹🇿nataka like zenu
mwa nangu
@@PatrickWolfo-iy2rr wa ukweli umeona ngoma iyo kaka
Atukupingi mwanetu
Sema brother anaupiga mwingi👏👏👏
@@PharinxMbutu iyo ni kweli ndung yangu
Ubarikiwe KOMANDO WA YESU...japo tunatamani kulijua jina lako halisi mbali na la huduma
Wimbo Huu ufungue milango ya mafanikio,Kwa wimbo Huu Mungu kumbuka wasio Na kazi uwape kazi,Kwa wimbo Huu Mungu wagonjwa wapokee uponyaji
Amen
Kwa wimbo huu uduma yangu iinuliwe zaidi
Amen
Kwa Wimbo huu timiza ahadi zako maishani mwangu,katika Jina la Yesu🙏
Amen 🙏
From luyha land Kenya am ohangla gospel rhumba kazi safi nipewe likes tukifuatana
Barikiwa
😢alleluia nawapenda Sana 😘😘😘😍watumishi wa mungu
Amen 🙏🙏🙏
Wakenya wenzangu mlioko Mombasa, likes zenyu plz... Wimbo huu ni kama maombi na sala kutumana kwa Maulana
🙏🙏🙏🙏
Can't have enough of this song. It's my prayer this season...
Hallelujah 🙌🙌🙌😇🙏😇💃wimbo huu ukawape imani na ukawalete mahali pako pa enzi eeh Mungu wangu 🤲🤲🤲🥰🇰🇪♥️🇹🇿💃💃💃🙏🙏
Amen
youtube.com/@Onestoh1864?si=9WYaiu6HscURjTPJ
Kenyans let's gather here 🔥🔥💕💕,may God open doors for everyone...Amen
Amen 🙌
Wimbo huu uniweke karibu na Mungu, mbarikiwe watumishi wa Mungu nawapenda kutoka Dom Tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Barikiwa sana 🙏
Wimbo huu ukarejeshe vilivyopoteaaa😮
Amen 🙏
Amen
Huu wimbo sio wakupingwa jamani 🇹🇿🇹🇿
Kila nisikilazapo Wimbo huu unanibariki bwana ahimidiwe🙏
Barikiwa sana
Wimbo huu ukawe WA baraka ❤
Amen 🙏
Wimbo huu umrejeshe Christina Shusho kwenye ndoa yake, na wale waimbaji wote walioacha ndoa zao wasikiapo wimbo huu warejeshwe haraka kwa ndoa zao in Jesus Christ name I pray amen.
🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏🙏. Amen
Komandoo Mungu awabariki mim ni kipaji cha kuimba nkaacha but kupitia wimbo huu nimwekwa karb na Mungu tena
There's something special with Solomon's voice. Its reminds me when i was starting this journey of salvation...
🙏🙏🙏
Kweli kabisa...siku za 'Mungu wetu mwenye nguvu'
wimbo huu.........................let it be a light for my sucees big up Minister Komando and Solomon Mkubwa
Be blessed komando 🙏🙏🙏 any Kenyan here 🙏🙏
🙏🙏🙏
Nice one
Hizi nyimbo nikama faranja yetu tuliyo kutana vipingamizi safarini, basi zitu songeze karibu na Yesu .
Ubarikiwe wewe kwanza wewe mtungaji Mwenyezi Mungu akupe Ufunuo zaidi
Woyooooooooooo.....wimbo mzuri sanaaaaaaaaa
Ahsante 🙏
youtube.com/@Onestoh1864?si=9WYaiu6HscURjTPJ
May God bless my marriage with children through this song,❤
🙏🙏🙏
In the name of Jesus Christ 🙏
Wimbo huu umenivusha❤❤,, excellent collabo and moves🎉🎉👏👏👏
Ameni. Wimbo huu uniweke karibu na wee
Amen 🙏
Baraka tamu sana ,kutumikia Mungu nitamu nime barikiwa sana
Kwa wimbo huu nimebarikiwa
Amen i listen to this song at this point when my life is at losing end😢 please God hear my prayers remove me from shame🙏🇰🇪🇰🇪22/6/2024
So touching in spirit, may this song bring, restoration blessings, healing, santify my sins, may this song reach in heaven and keep it close to you oh God, my prayers also oh God😢
Kwa wimbo huu nilipokea haja ya moyo wangu🤗 barikiwa, you're a blessing komando
Amen
Yaani kwa huu wimbo mi hitaji langu ni kuwa MCA wa Rigoma ward,Nyamira County Kenya❤ Piga Like nicount votes 🗳
🙏🙏🙏🙏
Amen my favourite, barikiweni sana
Amen 🙏🙏
...Wimbo wa baraka, Kazi mzuri Mwenyezi MUNGU azidi kuwajalieni my brothers.
Amen 🙏
Huu wimbo ni baraka💯
Amen 🙏🙏🙏
Amina Mungu awabariki Sana watumishi Kwa Hakika huu wimbo umekuwa Baraka Kwa Maisha Yangu Utukufu kwake Yesu🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Jamani mpaka nimetamani kufanya Cover ya Kimaasai Mungu awabariki
@@evanskaiseyie9768 Amen
@@komandowayesu3642 God bless you Man of God Komando wa Yeau
Wimbo ule mambo yamebadilika❤
Kaka naomba niimbe na wewe. Remix ya wimbo wangu zing'ang'anie baraka
youtube.com/@Onestoh1864?si=ZRXu6_-qw8ZQPcNT
MUNGU akubariki sana mtumishi wake wimbo huu umenitoa machozi kwa kweli, naomba wimbi huu ufungue milango ya mafanikio kwangu mwaka huu asante sana mteule nimebarikiwa ki ukweli
Amen 🙏
Nimengoja adi niskie sauti sa mukubwa! Nmeipenda
😆😆😆🙏🙏🙏
Kenya tumewakilishwa kweli kweli🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kabisa 🙏
Wimbo mzuri sana nimeipenda mno. Natamani sana niusikilize muda wote.
Barikiwa sana 🙏
Wimbo mzuri San, am blessed❤
Nimebarikiwa sana leo kwa wimbo huu
Amen mtumishi 🙏
Wimbo mzuri sana una bariki na kufungua moyo 🙏
Amen
Aksante sana kwa nyimbo hii.
Utukufu irudie kwa Baba MUNGU.
Amen 🙏
Wapendwa wa bwana n'a juu wimbo liké zenu
Barikiwa sana
Mubarikiwe Sana kabisa 🙏🙏
Amen 🙏
Hakika wimbo ni mzuri na unaamasisha kwenda mbele za Bwana🙏🙏🙏🙏🙏
Amen mwimbo wa baraka ❤🎉🎉🎉🎉
Amen
Wimbo huu uendelee kufungua milango zaidi ya mafanikio, I'm blessed congrats Komando nakukubali sana.
🙏🙏🙏🙏
Wimbo huu ufungue milango yangu eeh Bwana Amen
Amen 🙏
Solomon unaimba vizuri sana huwa napenda sana ubarikiwe
This song is so good, l keep listening to it every single minute. Wimbo huu uniweke karibu na wewe baba.
Amen
This is a banger❤....Glory be to God🙏
This song needs 100 million views so encouraging one be blessed man of God
🙏🙏🙏🙏
Wimbo huu unipee amani,furaha na financial breakthrough.
Amen wimbo huu ufungue maisha yangu Amen😭🙏❤
Amen
Amina barikiwa nawe pia
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉fireeeee!!! Ahsantee Yesu Kwa wimbo huu!!
Amen
❤❤❤ Namtuza Mungu wangu kupitia wimbo huu
Amen
Congratulations komando and Solomon ,da wmbo umenisisimua Sana ,Mungu awbrk mmeimba vzr Sana una upako ndani yake ,YESU WIMBO HUU UNIWEKE KARIBU NAWEWE WAKATI HUU DUNIA INAPOELEKEA UKINGONII,ASANTE YESU
Hallelujah 🎉🎉🎉🙏 more grace favor and new annoiting plus revalation in your lives 🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Kazi nzuri watumishi wa Mungu
Amen 🙏🙏🙏
Hongera sana mtumishi wimbo ni mzuri sanaaa
Amen 🙏
Amen hongera Sana wimbo Mzuri Sana na Sauti yako inanibariki sana
Ahsante sana 🙏🙏🙏
Wimbo wa kutia moyo zaidi
Amen 🙏
Hii nyimbo naipenda
Wow wow God bless best song ...
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wooow!!!! Na legendal katia nakshi kidogo❤🎉🎉🎉
Kabisa 😃
Powerful 🙏🙏🙏🤍🤍🇰🇪🇰🇪🙌
Amen amen, Bienfait toka DRC Nord Kivu Goma❤❤❤
Barikiwa sana 🙏
Amen watumishi Mungu azidi kuwainua
Amen
I love music ,i love such inspirational songs.
Whenever i can't pray,i sing and listen to heavenly songs.
Good work wakubwa!!!Mungu awabariki sana.
Wimbo ilete mpotevu nyumbani.
Wimbo huu uniweke karibu na wewe.Amen
Amen 🙏
A very powerful song for sure great is the message in it
Barikiwa sana mtumishi wa Yesu Kristo Mungu Mkuu
Amen
Wimbo huu unabariki kweli kweli
Amen 🙏🙏🙏
Ameeeeeen, hakika ufungue milango ydngu ya mafanikio
Amen
AMEEN. Wimbo huu unieke karibu nawe🙏 Glory to God🙏 wimbo unanibariki🙏
Amen 🙏
Ubarikiwe sana kaka amen 🙏
Wimbo huu ni mtamu sana❤❤❤
Hallelujah Jesus. Keep going and shining guys for God, s glory ❤
Amen
Hongera sana mtumishi wa Mungu wimbo🎉🎉
Amen
From kenya tumekubali huh wimbo kweli
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏🙏
Wauw what a great hit....special dedication to everyone who is going through hell.
Wimbo huu unabariki kweli kweli 🇰🇪🇰🇪