This song this song this song😭😭😭I even don't know if i should explain or.....the day yenye song ilitoka is the same day that my mum just grand mum bt she was like my mum died😭😭,,,,,hapo kwa wanadamu usimpe asilimia mia it true😭😭i was depending on my uncle in everything to pay my campus school fees,rent en just everything bt hisia zake ziligeuka akanyamaza hivyo,,,,,for real this song was perfectly meant for me 😢😢
Barikiwa saana komando, binadamu ni vinyonga, wakati WA furaha watafurahi saana lakini wanakusema mabayaa, sio wote Wanao kuambia pole wanakufariji, ilihalii ni furaha Yao, Bali muumba ndiye komando mkuu🙏🙏
Ukweli kabisaaa, msahada wetu ni kwa Mungu, mwanadamu anaweza anguka. He has done me well, I really trust in Him for any support. I don't trust human beings but God. ❤❤❤. Blessings, in Jesus Name. 🇺🇸 🇺🇸 🇰🇪🇰🇪.
Karibuni sana ubarikiwe na huu wimbo 🙏🙏🙏
Nakukubali sana bro thanks maze nice song
Ase hii ni balaa moja ya ngoma . Zidi kuinuliwa kaka. Shabiki wako kutoka kaunti ya kilifi Kenya
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Hakika pokea baraka nyingi
I have 100 reasons why i replay this song time in time out. Its really a true song. Very true.
Jamani amkeni amkeni Komandoo la Yesu limetinga tena mjini mikono salama ni ya Yesu tu. Mungu azidi kuipa kibali Huduma yako
This song this song this song😭😭😭I even don't know if i should explain or.....the day yenye song ilitoka is the same day that my mum just grand mum bt she was like my mum died😭😭,,,,,hapo kwa wanadamu usimpe asilimia mia it true😭😭i was depending on my uncle in everything to pay my campus school fees,rent en just everything bt hisia zake ziligeuka akanyamaza hivyo,,,,,for real this song was perfectly meant for me 😢😢
😢
Huu wimbo mtumishi unaitia nguvu Mungu akutoe nguvu
Mtumishi komamdo asante,ongeza juhudi lik zetu wakongomani tunakupa pokeya
Barikiwa sana 🙏
NI MUNGU TU❤ AKUNA MWENGINE ❤ NI MUNGU 2❤
I’m just obsessed with Tanzania people . Intelligent & kind people❤❤❤
Here courtesy of Presenter Kai
This song slaps differently,, keep it up mtumishi wa mungu🙏🙏🙏🙏
Binadamu ni binadamu tu lakini mungu ndo wa kuokoa kila wakati asante sana wimbo tamu sana
Yaan huu wimbo hua unanibariki sana mungu akuinue ktk viwango vingine❤
Barikiwa saana komando, binadamu ni vinyonga, wakati WA furaha watafurahi saana lakini wanakusema mabayaa, sio wote Wanao kuambia pole wanakufariji, ilihalii ni furaha Yao, Bali muumba ndiye komando mkuu🙏🙏
Mungu akutie nguvu kwani uko vzr xaan
Ukweli kabisaaa, msahada wetu ni kwa Mungu, mwanadamu anaweza anguka. He has done me well, I really trust in Him for any support. I don't trust human beings but God. ❤❤❤. Blessings, in Jesus Name. 🇺🇸 🇺🇸 🇰🇪🇰🇪.
Mwanadamu ni mwanadamu tu.....wakumwamini ni Mungu tu🙏🙏
❤❤❤❤ God bless you 🙏🙏🙏🙏
Acha mungu apewe sifa Kaka yangu unanifarji sana ❤❤❤
❤❤❤I love these unayemwegemea anaweza anguka puuuuh
Kwa kweli wakumwamini ni MUNGU TU
That's for sure,,, only God can be trusted ❤❤❤
such a blessing. Tanzania God favored you with music. just on repeat mode.
Amein kaka na barikiwa naamini na mimi imani yangu itakuwa kupitia wewe
woooow my Jesus bless you and your work mmmwaaàa
Mungu akubariki Ndugu.
Huo wimbo machozi ya mwisho unanibariki shukrani Ndugu
😢😢message home... powerful song
Nice song,,keep it up broo
Ubarikiwe sana nyimbo zako huwa zinanifariji wakati wa shida
For really its touching be blessed komando much love from poland🤗
Kaka kaka kaka nimekuita mara 3 naongeza kaka
Nibariki ilo vazi la suti 🙏🙏🙏
Hakika unayemwegemea anaweza anguka,Ni vyema kumwamini MUNGU tu
Kazi nzuri sana balikiwa sana mtumishi
Mtumishi umesema ukweli umenipa nguvu mapya tena yakuendelea
Yani wimbo umenigusa sana Mungu akubariki sana mtumishi
my beloved artist, Amen. God bless you abundantly
Wimbo una ujumbe mzuri
Sauti nzuri pia🙌
❤lovely this song ❤ touch my heart ,God bless you bro 🎉
Ubarikiwe sana kaka unanibariki kila siku Niki sikiliza nyimbo zako napata faraja sana
Amina,kweli kabisa mtumishi🎉🎉
Napenda nyimbo zako Komando wa Yesu hope one day tutafanya collabo
Mungu asaidie huu wimbo ufike 2m... it's a song encouragement
Mungu akubariki wimbo mzuri
Woow Amen kazi nzuri Sana baraka
Amen 🙏🙏🙏
Wimbo mzuri mnoooo🙏🙏🙏🙏🙏
Amina Amina Mtumishi nyimbo ya viwango video ya viwango 🔥🔥🔥🔥🔥
Ahsante 🙏
This song is really touching
Amen mtumishi, endelea hivyo hivyo usikate tamaa your song uplifting my soul broh congrats, yesterday was boom wrm nice perfomance👏👏
Ukweli kabisa bro God bless you
Kaka unajua sana nyimbo zako zinanifundisha sana
TUMELIZWA NA HAWA TULIOWAEGEMEA
ASANTE SANA KUNIAMINI NA KUNIPA NAFASI KAKA
Namtegemea Mungu tuuu❤❤❤
Kaka ukopow kinoma mungu akubariki
Ahsante 🙏
Keep up the good don’t giveup
Nice one brother 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Msaada wetu unatoka juu❤❤❤❤
Sauti aki umenyima huu wimbo baze aki 😢😢sauti aki woooi
Right song right time... #feeling stressed now. Ubarikiwe for the message... Let me believe in God i know he has good plans for me
Kwakweli mwanadamu ni mwanadamu tuu Msaada wangu watoka juu wakumuamini ni Mungu tuu☝️☝️🙌🙏🙏🙏🙏 barikiwa sana ndungu
Nakubali sana komando wa wa yesu kristo.hakika tusimwegemee mwanadamu ni mwanadamu tu.
Wow! Very amazing my brother, thanks 😊🙏
Presenter Kai videos brought me here. Have been wondering which song it is bt finally have found it❤
Mungu asifiwe 🇨🇩
Much appreciated brother, I'm from Uganda but wherever l listen your songs, Will never loose hope ❤❤❤❤
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪 kazi nzuri mutumishi keep up
Nimeipenda sana ❤❤
Mikono ya yesu n salama akikumbatia jua uko salamaa❤❤❤❤
Amen
Mbarikiwa bro,hiyo imehenda, good song ♥️👏
Amen❤❤❤ mtoto wetu
The simplicity in such a powerful song, loving the words. Beats are on point too! Barikiwa sana brother ❤
Amen Amen mikononi mwa Yesu ni salama. Glory to God
Wakumwegemea ni yeye tu
I love youre songs Kommando
Ubarikiwe mtumishi
Mtumishi you're the best
Acha Mungu akuzidishie .....
Amen
Ahhh niliemtegemea aliangushaa buuu but my God keep me up
Congratulations mtumishi wa mungu🎉🎉
Man of god. Sichoki kusiliza wimbo huu. Natamani unge feel The way I feel and tufanye collab
Good song
Kazi nzuri mtumishi ubarikiwe zaidi
Ubarikiwe sana mtumishi nyimbo zako zimeniinua kiimani ubarikiwe sanaa🙌🙏
Amen
Ubarikiwe sana kwahiyi mwimbo 🎉🎉🙏🙏
Amen
Amina mtumishi 🙏 endelea hivyo hivyo usikate tamaa kilicho unacho fanya 😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
A lovely these song🙏🙏🙏
Kwa mungu tu ndo kuna faraja ya kweli❤❤❤❤
Mikononi mwangu ni salama. Hayo mavazi yako yako sawa kabisa yana pendeza
Be blessed man of God🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu komando wa Yesu uinuliwe juuu
Wimbo tamu Sana inabariki Sana 👏🎉
My colleague at primary school mbeya tanzania 🇹🇿
Barikiwa san
Kazi safi Sana tusaidiane kushare Tu kila sehemu
Ameen mtumishi wa mungu
Anatamani kufanya kazi na wewe uko vizuri
Unatisasha kijana mungu akuinue zaid nazaid🙏🙏🙏
Usichoke bro❤
Congratulations bro
God bless u
I've replayed This song so many times be blessed @komandowayesu kazi nzuri 🔥💯💯💯🔥🔥🔥 cc presenter Kai
Nakubali Sana neema iliyo ndani ya moyo wako kipaji ni kalama
Ukiegemea mwanadamu waeza anguka .
Mwanadamu ni msaliti
This song is a ❤❤❤🎉