Neno la Mungu halipiti kamawe: Ufunuo 16:10 Kisha, malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama. Giza likauvamia utawala wake, watu wakauma ndimi zao kwa sababu ya maumivu
Msigwa mbona wewe na sugu marafiki mbona mnaanza kukiuwa Chama jamani au tayali mmeshahogwa tayali naumia Sana mmepitia magumu mangapi mmevuka shetani gani anataka kuwavuluga
Kulalamikia uchaguzi na kukata rufaa ni sahihi pia.na ndiyo demokrasia.Nisichojua no kwamba hiyo rufaa ikishindwa Msigwa atakubali matokeo? Mbona wanaolalamikiwa ndiyo haohao ambao rufaa inaelekezwa kwao? : Mbowe,katibu mkuu,mrema,ns Sugu?
Karibuni ACT wazalenfo chama cha weledi wa siasa, ukitaka kuishi kwa raha usimseme Mama kwa Ubaya, ukimsema kwa ubaya Muungwana Samia tegemea kugongwa na kitu kizito, tuyategemee kwa Lisu hata udiwani akigombea hawezi kupata wacha ubunge au Uraisi (keep my word)yajayo yanafurahisha hasa kwa wana siasa wenye midomo michafu
Wanasiasa wote iwe ccm au chadema ni watu wakuogopa sana shida iliopo wananchi wengi Hua hatuoni hawa siasa kwao ni ajira ivyo kuuza wewe mpiga kelele kwa maslahi yake ni sekunde tu
Bora tu CCM iendelee kushika Dola, hawa bado Sio chama ambacho kinastaili kupewa dola bado bado yani bado mnoo wao tu wenyewe bado hawajui hata wanakoelekea ni wapi, hawa ni wachumia tumbo tu wasituaminishe Ujinga hamna kitu hapo.
Millard Ayo na nyie ni wanafiki sana katika nchi hiii mbona hotuba anazozitoa Mweshimiwa Tundu lisu hazitolewi ktk Page yako unapost tu mafalakano nyie waseng hamfai ktk jamii yetu😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Mmeamza kugombania vyeo!!! Mmekwisha yani nyinyi ni waroho wamadaraka hatuwezi kuwapa nchi pumbavu sana nyinyi
Sasa tutampa nani yaani chamagani?
@@frankhoffa8356 Hashim Rungwe (Chauma)
C ulikubali na ukatoa pongenz au umelamba asar
Hapa hatuna kiongozi hapa bora tutafute chama kingine
Neno la Mungu halipiti kamawe: Ufunuo 16:10 Kisha, malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama. Giza likauvamia utawala wake, watu wakauma ndimi zao kwa sababu ya maumivu
Wewe Msigwa Unazingua Sana.
Juu ni wapi sasa chama nacho kina mamlaka ya juu hahhah
Ukiona mtu anakuja kwenye siasa kwa jina la Mchungaji ogopa sanaaaa
Msigwa mbona wewe na sugu marafiki mbona mnaanza kukiuwa Chama jamani au tayali mmeshahogwa tayali naumia Sana mmepitia magumu mangapi mmevuka shetani gani anataka kuwavuluga
Aaaa Mzee wamekuchoks Haooo Achana nao bwanaa maisha sio kwenye siasa Tuu
Kweli kamjamaa hakataki kwenda kulima
Rudhuku hiyo inaasali ndani yake
Nyie si ndio kila siku mnasema mnataka Democrats sasa kikwapi??
Msigwa kichwa kubwa akili sero au umeshalambishwa asali unatafuta kiki ya ukutoka🤔🤔🤔
Kulalamikia uchaguzi na kukata rufaa ni sahihi pia.na ndiyo demokrasia.Nisichojua no kwamba hiyo rufaa ikishindwa Msigwa atakubali matokeo? Mbona wanaolalamikiwa ndiyo haohao ambao rufaa inaelekezwa kwao? : Mbowe,katibu mkuu,mrema,ns Sugu?
Karibuni ACT wazalenfo chama cha weledi wa siasa, ukitaka kuishi kwa raha usimseme Mama kwa Ubaya, ukimsema kwa ubaya Muungwana Samia tegemea kugongwa na kitu kizito, tuyategemee kwa Lisu hata udiwani akigombea hawezi kupata wacha ubunge au Uraisi (keep my word)yajayo yanafurahisha hasa kwa wana siasa wenye midomo michafu
Mtu yoyote akikosea lazma asemwe tu
Dah chadema bdo sanaa kukamata dola
Kwaiyo 7 midogo iyo Saba umekifanyia nn chama kweli ccm baba lao
Wanaumana😂😂
Chadema Kuna akina nkurunzinza wengi, acheni umimi waachieni wengine watawale
Kama mmeanza kukataana mapema hivi Mkishika nchi mtatukataa kinyama sana😂
Siasa tam ukishinda ukishindwa chungu balaa
Ni haki yake jamani hata kama alipongeza hajamnyima haki ya kukata rufaa.ila akubali kuna shinda na kushindwa.
Kamjamaa kamesota sana so kanatafuta kiki ya kuingia ccm. Na huku hatukutaki kaeni uko mama anaendeleza kazi
Ha chadema pia mna watu kutoka juu😂😂😂😂
Huyu msigwa kunakitu anakitafuta
Yeye alikiri ameshindwa Sasa anataka Nini
Rudia kusikilza
Msigwa amekosa sifa ya kuwa kiongozi kumtuhumi kiongozi mkuu hadharani ni ukosefu wa maadili ya kiongozi , kwa sasa tunakuomba Kaa pembeni tupishe
Msigwa hapo unatuxhafulia chama kwann.hutaki mengne waaminiwe uaminiwee ww tuuu syo poaa
Mmb ya demokrasia mzee kumbe hujaiva, ukishindwa lazma ukubal kwn mmb ya kura niyakimkakati kila mtu anahonga kama umehonga kidogo lazima upigwe
Msigwa ccm 2 huyo
Kubali matokeo mzee maisha yaendelee
Mpuuzi huyu unakata rufaa barabarani??
Kuna kila dalili ya mtu kulamba asali hapa ili akichafue chama
Asali ni noma sana
Wanasiasa wote iwe ccm au chadema ni watu wakuogopa sana shida iliopo wananchi wengi Hua hatuoni hawa siasa kwao ni ajira ivyo kuuza wewe mpiga kelele kwa maslahi yake ni sekunde tu
Mpuuz wewe nani alilia sikuheshimu Tena mtu gani ukubali? Wewe mjumbe wakamati kuu namlikaa kwann ujamalizana huko? Iringa mmebumba Nako au nao tukuletee ushahidi?
SIASA HAINA RAFIKI WALA ADUI WAHUNI WANAJI EXPOSE 😢😢😢😢😢😢😢😢
Sasa Kama ndo ivi tukiwapa urais itakuaje
We toka unataka ufie kwenye uongozi ? Tatizo mnang'ang'ana mpaka basi
Hicho unachoonge ukiwa kama kiongozi mwandamizi wamuda mrefu hakina afya nahukupaswa kuongea mbele ya midia niwazi unaonyesha hujakomaa kisiasa
Chama kina dalili za dictatorship mwenyekiti miaka 5000 😅😅😅😅😅😅
Sasa s ustaafu
Binadamu bwana, yani mtu akidai haki yake ndio amerambishwa asali?🤔🤔😇😇😇😇
Hiking co chama cha maendeleo umeona hata serekali hawajaipata wanaaza kuhujumiana wao kwa wao
Umekaa kwa muda mrefu mbona DJ yupo muda mrefu hawamtoi???😂😂😂
Correct
alipambana kumuangusha magufuli wewe alipofariki ukasharekea sanaaa ngoja msumari ukiingie
Chadema inaeza kushinda uchaguzi mkuu ujao amini nawaambia niamini mimi
Au huyu ndoo kapewa hela na mama abduli
Kwan mshahara sh ngapi kuwa kiongozi wa nyasa..
Pameanza kuchangamka.. siku zote chadema ni wehu
Matunda ya mheshimiwa Lissu.
Alidai kuwa kuna rushwaaaa ,mbona chama kilijua mapema tuuuuu kuwa msigwaaaaa umehongwaaaaa,huaminikiiiii tenaaaa,.
Naomba CDM mlipueniiiiii huyuuuu chawaaaaa msimwacheeeeee aendeleeee kuvurugu mipangooo yenuuuu .
NAWEWE YAMEKUKUTA
Sema madaraka ni matamu 😂😂
Kwahiyo KILA mkishindwa hamkubali
Miaka 7 na BADO hutaki kuachia ngazi ukiona HIVYO NDIO HAWAKUTAKI tena
Hakuna Demokrasia ndani ya Chama cha Demokrasia😅😅😅
Acha chokochoko
Watu wanafeint kwa sababu wewe umeshindwa uchaguzi
😂😂😂😂
Njaa mbaya sana … stop embarrassing yourself … chama la ovyo sana then you want these people to lead the country … upuuzi mtupu
Tamaa ya madaraka ndo tataz kubwa Tanzania siukubali kushindwa tuuuuuuuu mapambano yaendeleeeee
Bora tu CCM iendelee kushika Dola, hawa bado Sio chama ambacho kinastaili kupewa dola bado bado yani bado mnoo wao tu wenyewe bado hawajui hata wanakoelekea ni wapi, hawa ni wachumia tumbo tu wasituaminishe Ujinga hamna kitu hapo.
Ccm sio watu wema wameiba kura tena
Millard Ayo na nyie ni wanafiki sana katika nchi hiii mbona hotuba anazozitoa Mweshimiwa Tundu lisu hazitolewi ktk Page yako unapost tu mafalakano nyie waseng hamfai ktk jamii yetu😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Mabaya ndio yatolewe njee
Naanza kuwa na mashaka na ww
Tundu lisu hajawahi kutoa hotuba zaidi ya kutukana watu kwenye majukwaa, tangu amepigwa risasi akili imeyumba hana jipya