MSIGWA AKATA RUFAA KWA CHADEMA, AFICHUA MAZITO YALIYOTOKEA KWENYE UCHAGUZI KANDA YA NYASA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024

Komentáře • 72

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu8546 Před měsícem +4

    Mmeamza kugombania vyeo!!! Mmekwisha yani nyinyi ni waroho wamadaraka hatuwezi kuwapa nchi pumbavu sana nyinyi

  • @YasiniRashidi-vq6ny
    @YasiniRashidi-vq6ny Před měsícem +5

    C ulikubali na ukatoa pongenz au umelamba asar

  • @denismtoma1827
    @denismtoma1827 Před měsícem +4

    Hapa hatuna kiongozi hapa bora tutafute chama kingine

  • @mtimti3912
    @mtimti3912 Před měsícem +4

    Neno la Mungu halipiti kamawe: Ufunuo 16:10 Kisha, malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama. Giza likauvamia utawala wake, watu wakauma ndimi zao kwa sababu ya maumivu

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Před měsícem +1

    Wewe Msigwa Unazingua Sana.

  • @ivanymtaki3585
    @ivanymtaki3585 Před měsícem +3

    Juu ni wapi sasa chama nacho kina mamlaka ya juu hahhah

  • @ElvisTabula
    @ElvisTabula Před měsícem +2

    Ukiona mtu anakuja kwenye siasa kwa jina la Mchungaji ogopa sanaaaa

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před měsícem +3

    Msigwa mbona wewe na sugu marafiki mbona mnaanza kukiuwa Chama jamani au tayali mmeshahogwa tayali naumia Sana mmepitia magumu mangapi mmevuka shetani gani anataka kuwavuluga

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem +4

    Aaaa Mzee wamekuchoks Haooo Achana nao bwanaa maisha sio kwenye siasa Tuu

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před měsícem +3

    Nyie si ndio kila siku mnasema mnataka Democrats sasa kikwapi??

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před měsícem +2

    Msigwa kichwa kubwa akili sero au umeshalambishwa asali unatafuta kiki ya ukutoka🤔🤔🤔

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo Před měsícem +2

    Kulalamikia uchaguzi na kukata rufaa ni sahihi pia.na ndiyo demokrasia.Nisichojua no kwamba hiyo rufaa ikishindwa Msigwa atakubali matokeo? Mbona wanaolalamikiwa ndiyo haohao ambao rufaa inaelekezwa kwao? : Mbowe,katibu mkuu,mrema,ns Sugu?

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 Před měsícem +1

    Karibuni ACT wazalenfo chama cha weledi wa siasa, ukitaka kuishi kwa raha usimseme Mama kwa Ubaya, ukimsema kwa ubaya Muungwana Samia tegemea kugongwa na kitu kizito, tuyategemee kwa Lisu hata udiwani akigombea hawezi kupata wacha ubunge au Uraisi (keep my word)yajayo yanafurahisha hasa kwa wana siasa wenye midomo michafu

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem

      Mtu yoyote akikosea lazma asemwe tu

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před měsícem

    Dah chadema bdo sanaa kukamata dola

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Před měsícem +1

    Kwaiyo 7 midogo iyo Saba umekifanyia nn chama kweli ccm baba lao

  • @barakamwasi7442
    @barakamwasi7442 Před měsícem +1

    Wanaumana😂😂

  • @TUMSIFU-em5te
    @TUMSIFU-em5te Před měsícem +1

    Chadema Kuna akina nkurunzinza wengi, acheni umimi waachieni wengine watawale

  • @musso238
    @musso238 Před měsícem

    Kama mmeanza kukataana mapema hivi Mkishika nchi mtatukataa kinyama sana😂

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před měsícem +1

    Siasa tam ukishinda ukishindwa chungu balaa

  • @evalutanjuka7290
    @evalutanjuka7290 Před měsícem +1

    Ni haki yake jamani hata kama alipongeza hajamnyima haki ya kukata rufaa.ila akubali kuna shinda na kushindwa.

  • @TUMSIFU-em5te
    @TUMSIFU-em5te Před měsícem +1

    Kamjamaa kamesota sana so kanatafuta kiki ya kuingia ccm. Na huku hatukutaki kaeni uko mama anaendeleza kazi

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před měsícem

    Ha chadema pia mna watu kutoka juu😂😂😂😂

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +2

    Huyu msigwa kunakitu anakitafuta
    Yeye alikiri ameshindwa Sasa anataka Nini

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem

      Rudia kusikilza

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood Před měsícem

    Msigwa amekosa sifa ya kuwa kiongozi kumtuhumi kiongozi mkuu hadharani ni ukosefu wa maadili ya kiongozi , kwa sasa tunakuomba Kaa pembeni tupishe

  • @bucardjovinary7577
    @bucardjovinary7577 Před měsícem

    Msigwa hapo unatuxhafulia chama kwann.hutaki mengne waaminiwe uaminiwee ww tuuu syo poaa

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před měsícem +1

    Mmb ya demokrasia mzee kumbe hujaiva, ukishindwa lazma ukubal kwn mmb ya kura niyakimkakati kila mtu anahonga kama umehonga kidogo lazima upigwe

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 Před měsícem

    Kubali matokeo mzee maisha yaendelee

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před měsícem +1

    Mpuuzi huyu unakata rufaa barabarani??

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 Před měsícem +5

    Kuna kila dalili ya mtu kulamba asali hapa ili akichafue chama

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 Před měsícem

      Asali ni noma sana

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před měsícem

      Wanasiasa wote iwe ccm au chadema ni watu wakuogopa sana shida iliopo wananchi wengi Hua hatuoni hawa siasa kwao ni ajira ivyo kuuza wewe mpiga kelele kwa maslahi yake ni sekunde tu

  • @user-op1un3cx5v
    @user-op1un3cx5v Před měsícem +2

    Mpuuz wewe nani alilia sikuheshimu Tena mtu gani ukubali? Wewe mjumbe wakamati kuu namlikaa kwann ujamalizana huko? Iringa mmebumba Nako au nao tukuletee ushahidi?

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před měsícem

    SIASA HAINA RAFIKI WALA ADUI WAHUNI WANAJI EXPOSE 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @marymichael9964
    @marymichael9964 Před měsícem

    Sasa Kama ndo ivi tukiwapa urais itakuaje

  • @maulidjuma5814
    @maulidjuma5814 Před měsícem

    We toka unataka ufie kwenye uongozi ? Tatizo mnang'ang'ana mpaka basi

  • @meshackmwalongo9798
    @meshackmwalongo9798 Před měsícem

    Hicho unachoonge ukiwa kama kiongozi mwandamizi wamuda mrefu hakina afya nahukupaswa kuongea mbele ya midia niwazi unaonyesha hujakomaa kisiasa

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před měsícem

    Chama kina dalili za dictatorship mwenyekiti miaka 5000 😅😅😅😅😅😅

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Před měsícem

    Sasa s ustaafu

  • @konshazikonsha6180
    @konshazikonsha6180 Před měsícem

    Binadamu bwana, yani mtu akidai haki yake ndio amerambishwa asali?🤔🤔😇😇😇😇

  • @rashidally7621
    @rashidally7621 Před měsícem +2

    Hiking co chama cha maendeleo umeona hata serekali hawajaipata wanaaza kuhujumiana wao kwa wao

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před měsícem +3

    Umekaa kwa muda mrefu mbona DJ yupo muda mrefu hawamtoi???😂😂😂

  • @Digitalhhhhhgfgg
    @Digitalhhhhhgfgg Před měsícem +1

    alipambana kumuangusha magufuli wewe alipofariki ukasharekea sanaaa ngoja msumari ukiingie

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 Před měsícem

    Chadema inaeza kushinda uchaguzi mkuu ujao amini nawaambia niamini mimi

  • @user-jn9gc8ru6v
    @user-jn9gc8ru6v Před měsícem

    Au huyu ndoo kapewa hela na mama abduli

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 Před měsícem

    Kwan mshahara sh ngapi kuwa kiongozi wa nyasa..

  • @juliuslengai5089
    @juliuslengai5089 Před měsícem

    Pameanza kuchangamka.. siku zote chadema ni wehu

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola5950 Před měsícem

    Matunda ya mheshimiwa Lissu.
    Alidai kuwa kuna rushwaaaa ,mbona chama kilijua mapema tuuuuu kuwa msigwaaaaa umehongwaaaaa,huaminikiiiii tenaaaa,.
    Naomba CDM mlipueniiiiii huyuuuu chawaaaaa msimwacheeeeee aendeleeee kuvurugu mipangooo yenuuuu .

  • @AngerusLijuja-bg6sb
    @AngerusLijuja-bg6sb Před měsícem

    NAWEWE YAMEKUKUTA

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 Před měsícem +1

    Sema madaraka ni matamu 😂😂

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Před měsícem

    Kwahiyo KILA mkishindwa hamkubali

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Před měsícem

    Miaka 7 na BADO hutaki kuachia ngazi ukiona HIVYO NDIO HAWAKUTAKI tena

  • @kibonajuhudi4214
    @kibonajuhudi4214 Před měsícem +2

    Hakuna Demokrasia ndani ya Chama cha Demokrasia😅😅😅

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před měsícem

    Acha chokochoko

  • @charlesmazigo8106
    @charlesmazigo8106 Před měsícem

    Watu wanafeint kwa sababu wewe umeshindwa uchaguzi

  • @GeophreyMsomba
    @GeophreyMsomba Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před měsícem

    Njaa mbaya sana … stop embarrassing yourself … chama la ovyo sana then you want these people to lead the country … upuuzi mtupu

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un Před měsícem

    Tamaa ya madaraka ndo tataz kubwa Tanzania siukubali kushindwa tuuuuuuuu mapambano yaendeleeeee

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela1148 Před měsícem

    Bora tu CCM iendelee kushika Dola, hawa bado Sio chama ambacho kinastaili kupewa dola bado bado yani bado mnoo wao tu wenyewe bado hawajui hata wanakoelekea ni wapi, hawa ni wachumia tumbo tu wasituaminishe Ujinga hamna kitu hapo.

  • @onesmomashembo8495
    @onesmomashembo8495 Před měsícem +2

    Ccm sio watu wema wameiba kura tena

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před měsícem +3

    Millard Ayo na nyie ni wanafiki sana katika nchi hiii mbona hotuba anazozitoa Mweshimiwa Tundu lisu hazitolewi ktk Page yako unapost tu mafalakano nyie waseng hamfai ktk jamii yetu😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před měsícem +1

      Mabaya ndio yatolewe njee

    • @JoseWilson-vb2di
      @JoseWilson-vb2di Před měsícem +1

      Naanza kuwa na mashaka na ww

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 Před měsícem +1

      Tundu lisu hajawahi kutoa hotuba zaidi ya kutukana watu kwenye majukwaa, tangu amepigwa risasi akili imeyumba hana jipya