Shukran Sheikh Hajj. Mawahabi wana maradhi ndani ya nyoyo zao. Na Hassad. Ata ukawafahamisha vipi maadamu wana Hasad na maradhi ndani ya nyoyo zao hawatofahamu. Huyu Bachu mwisho ataokota makaratasi ndiani kwa kibri chake.
Sheikh Hajji Upepo shukran san kwa ufafanuzi huu tumepat faida Allah akulipe kheri kwa hilo, Ila nikija upande wa sheikh Muhammad ametoa makosa mingi san yalokuemo kweny barzanjy je yale mengine ukiachan na hili ulolitolea ufafanuzi yakiwemo maneno ya uongo na shirki. Twaomb ututhibitishie na kwa yale mengine pia aloyaorodhosh Shukran
Alhamdu lillaah. Sheikh Allah Akujaalie kheri. Huyu mtoto wa Bachu sio mzima kichwani. Elimu yake ndogo anavamia watu hana adabu. Matokeo anajiaibisha yeye mwenyewe kwenye mitandao. Bora asingejirekodi.
Ustadhi haji wewe ndomwenda wazimu kwann usitumie lugha yakueleweka watu wakakuelewa unakashifu naww nijaahili dini nikunasihiana nasio kukashifiana allah akuongoze katika Haq,
@all HUYU NI KICHAA TENA KICHAA MKUBWA SANA. HUWEZI KUFANYA HIVYO HATA UWE NA CHUKI GANI. NA KWA ALIVYOREMBEA NA MLE MUNA AYA NA SWALA ZA MTUME SAW... NI MTIHANI MKUBWA SANA KWA MOHAMMAD BACHU KASHAJILAANI MILELE.
@all MIMI NAKUUNGA MKONO KUWA HUYU ANAWEZA KUKINYEA NA KUKIKOJOLEA KITABU CHA MAULID AMBACHO KINA AYA ZA QORANI NA SWALA ZA MTUME [SAW]. KAMA ALIVYOKIREMBEA LICHA KUWA MULE MUNA AYA ZA QORANI NA PIA MUNA SWALA ZA MTUME (SAW):
Mimi ni twariqa damu Alhamdulillah Ila sijapenda tunavyorekebishana وادعو الى سبيل ربك بالحكمه والموعظه الحسنه tutumieni uslubu mzuri katika kurekebishana bila kutukanana wala kuitana majina maovu
Ustadh hajji naomba muandalie munaaqasha na wewe huyo kijana maana kwa ilmu hii Huenda akaelewa zaidi na hata kuja kufanya maulidi nyumbani kwake siku moja
نحكم بالظاهر كما وردة في الحديث هذا الحديث بين حاله أهل الحديث فمن كلامهم فيه ما قاله الحافظ ابن حجر: [قوله روي أنه صلى الله عليه وسلم قال: «إنما نحكم بالظاهر والله يتولى السرائر» هذا الحديث استنكره المزني فيما حكاه ابن كثير عنه في أدلة التنبيه. وقال النسائي في سننه باب الحكم بالظاهر ثم أورد حديث أم سلمة الذي قبله وقد ثبت في تخريج أحاديث المنهاج للبيضاوي سبب وقوع الوهم من الفقهاء في جعلهم هذا حديثا مرفوعا وأن الشافعي قال في كلام له وقد أمر الله نبيه أن يحكم بالظاهر والله متولي السرائر وكذا قال ابن عبد البر في التمهيد: أجمعوا أن أحكام الدنيا على الظاهر وأن أمر السرائر إلى الله وأغرب إسماعيل بن علي بن إبراهيم بن أبي القاسم الجنزوي في كتابه إدارة الأحكام فقال إن هذا الحديث ورد في قصة الكندي والحضرمي اللذين اختصما في الأرض فقال المقضي عليه قضيت علي والحق لي فقال صلى الله عليه وسلم: «إنما أقضي بالظاهر والله يتولى السرائر». وفي الباب حديث عمر «إنما كانوا يؤخذون بالوحي على عهد النبي صلى الله عليه وسلم وإن الوحي قد انقطع وإنما نأخذكم الآن بما ظهر لنا من أعمالكم» (أخرجه البخاري) وحديث أبي سعيد رفعه «إني لم أؤمر أن أنقب عن قلوب الناس» وهو في الصحيح في قصة الذهب الذي بعث به علي وحديث أم سلمة الذي قبله وحديث ابن عباس الذي بعده] التلخيص الحبير 4/192. وقال ابن كثير [قوله وأيضاً نحن نحكم بالظاهر هذا الحديث كثيراً ما يلهج به أهل الأصول ولم أقف له على سند وسألت عنه الحافظ أبا الحجاج المزي فلم يعرفه لكن له معنى في الصحيح وهو قوله صلى الله عليه وسلم: «إنما أقضي بنحو مما أسمع»] تحفة الطالب 1/ 174. وقال الشوكاني: [وكذلك حديث «إنما نحكم بالظاهر» وهو وإن لم يثبت من وجه معتبر فله شواهد متفق على صحتها ومن أعظم اعتبارات الظاهر ما كان منه صلى الله عليه وسلم مع المنافقين من التعاطي والمعاملة بما يقتضيه ظاهر الحال]. نيل الأوطار 1/369. رابط المادة: iswy.co/e11uqn
Ni kitabu hicho au ni sawa natunguli tena tunguli ni aula maulidi niuzushi upotofu na upotofu ni moyoni acheni matusi kumtukana sheikhunalfaathil hakika yeye yupo kwenye haki namtaka msitake pilau zamashia hivi karibuni mtazikosa mbona haki imekuja nabaatwili twaiyona ina choropoka ndogondogo na kutaka kukimbia tena kwa hayaaa
Wewe ndoo mwehu tafsiri hiyo hadithi vizuri Na tafusiri ya barazanje ni sawa Acha kuwachanganya waislam Allah katufahamishi Acha kulazimisha hadithi hajasema hivyo
Swali shekhe. Huyu Jafar Barazanji alimuita akiwa yupo hai au amekufa na je Ukimuita Mtume S.A.W kwa kumuomba msaada wakati hayupo na ukaacha kumuomba Allah aliepo sio kosa? Zambi na ukafir ni tofauti usijichanganye hata Waislam wanapata dhambi wala sio makafir.
Kwaiyo kujua kusoma nihuko kutukana ww ndie ulie soma ila mm nakuona kua ni upepo tuu kama jina lako rudi tena kasome na hy hadithi iyangalie tena usije ukarudiwa ukajajuta man nyinyi masufu macho yen yana mihuri hamuoni duuu alla akuongoz
hamuwezi kujitetea kwa elimu ila mtabaki kuwaita mawahabi huku zaidi ya masufi 1000 toka mjadala uishe wakuwa mawahabi.wamefata ukweli na nuru.maulidi ni bidaaa na ushirikina
Mohammed bachu hauna ufahamu wala hekma rudi tena ukasome na umuombe Allah akupe hekma na ufahamu.
Shukran Sheikh Hajj. Mawahabi wana maradhi ndani ya nyoyo zao. Na Hassad. Ata ukawafahamisha vipi maadamu wana Hasad na maradhi ndani ya nyoyo zao hawatofahamu. Huyu Bachu mwisho ataokota makaratasi ndiani kwa kibri chake.
Khaswa huyu mwa wa bachu amezidi amekosa adabu saana
hata babake Nasor bachu Allah amrahamu akifanya hakuwa hivi
Hajj shukran
Shukran hajj upepo kwakumfahamisha huyo mwendazimu Allah amzindue hio akili yake na wengineo
Maa shaa ALLWAH,
Jazakallah khaira
شكرا لك وجزاك الله خيرا
Maa shaa Allah Shukran sanaaa sheikh hajji Allah akubaarik na atuongoze zaidi na zaidi ktk kheri Aaamiin 🤲🌹
MaashaaAllah
wallahi haji upepo mm nakujua pale nyumba 2 huna lolote ulonalo kwenye elimu maana mm hukufuatilia pale msikitini kaa kimya
Duuh embu kasome kisa cha nabii mussa a.s alivyoona kua anayo elimu Allah akamfunza jambo
Mashaallah
Hafai kusimama mbele ya watu kuzungumzia maswala ya dini
واللہ بلغت اخی جزاک اللہ خیرا
Munaqash lini Acha stry za kike
Kimewakuta nin ktk munaqasha we mbabaishaji?😅😅😅
Msaniii😂
Sheikh Hajji Upepo shukran san kwa ufafanuzi huu tumepat faida Allah akulipe kheri kwa hilo,
Ila nikija upande wa sheikh Muhammad ametoa makosa mingi san yalokuemo kweny barzanjy je yale mengine ukiachan na hili ulolitolea ufafanuzi yakiwemo maneno ya uongo na shirki. Twaomb ututhibitishie na kwa yale mengine pia aloyaorodhosh
Shukran
Twayyib 🌹
- عَنْ جُبَيْرِ بْنِ مُطْعِمٍ - رضي الله عنه - قَالَ: قَالَ رسول الله - صلى الله عليه وسلم -: «لِي خَمْسَةُ أَسْمَاءٍ: أَنَا مُحَمَّدٌ،
⦗٤٢٠⦘ وَأَحْمَدُ، وَأَنَا الْمَاحِي الَّذِي يَمْحُو اللَّهُ بِي الْكُفْرَ، وَأَنَا الْحَاشِرُ الَّذِي يُحْشَرُ النَّاسُ عَلَى قَدَمِي، وَأَنَا الْعَاقِبُ». (بخاري: ٣٥٣٢)
419
Kabisa mtoto wajuzi mushimshiriki musipoteze wakati wenu
Mashaallah sheikh mfundishee hilo zuzu
Khamis Habibu
acheni jamaani mashekheee muogopeni Allah mkumbukeni kuna pepo na moto
Majina mengine husibu watu uyu jamaa ni upepo kweli duuu
Alhamdu lillaah. Sheikh Allah Akujaalie kheri. Huyu mtoto wa Bachu sio mzima kichwani. Elimu yake ndogo anavamia watu hana adabu. Matokeo anajiaibisha yeye mwenyewe kwenye mitandao. Bora asingejirekodi.
Shukran laka
Tuweni na hekima tuacheni kuitana majina mabaya japo kuna tofauti ya maoni au kuelewa.
4/393- وعن أُسامةَ بنِ زَيْدٍ رضي اللَّه عنهما قَالَ: بعثَنَا رسولُ اللَّه ﷺ إِلَى الحُرَقَةِ مِنْ جُهَيْنَةَ، فَصَبَّحْنا الْقَوْمَ عَلى مِياهِهمْ، وَلَحِقْتُ أَنَا وَرَجُلٌ مِنَ الأَنْصَارِ رَجُلًا مِنهُمْ، فَلَمَّا غَشيناهُ قَالَ: لا إِلهَ إلَّا اللَّه، فَكَفَّ عَنْهُ الأَنْصارِيُّ، وَطَعَنْتُهُ بِرُمْحِي حَتَّى قَتَلْتُهُ، فَلَمَّا قَدِمْنَا المَدينَةَ بلَغَ ذلِكَ النَّبِيَّ ﷺ فَقَالَ لِي: يَا أُسامةُ! أَقَتَلْتَهُ بَعْدَمَا قَالَ: لا إِلهَ إِلَّا اللَّهُ؟! قلتُ: يَا رسولَ اللَّه إِنَّمَا كَانَ مُتَعَوِّذًا، فَقَالَ: أَقَتَلْتَهُ بَعْدَمَا قَالَ: لا إِلهَ إِلَّا اللَّهُ؟! فَما زَالَ يُكَرِّرُهَا عَلَيَّ حَتَّى تَمَنَّيْتُ أَنِّي لَمْ أَكُنْ أَسْلَمْتُ قَبْلَ ذلِكَ الْيَوْمِ. متفقٌ عَلَيهِ.
Ustadhi haji wewe ndomwenda wazimu kwann usitumie lugha yakueleweka watu wakakuelewa unakashifu naww nijaahili dini nikunasihiana nasio kukashifiana allah akuongoze katika Haq,
Sheikh hawa ni wajibgaaa
Allah akusameh kutukana wana zuuwon mtihan kwakweli ww hujui kit
Mwanachuoni ni nani wajua wanazuoni ww
Muuulize huyo kaka bendela fata upepo hata wanazuoni hawajui
Ww ndie chizi bro ,
Hata mamaako na babaako hawana heshima
Mawahabi mwisho hawa watasema hadithi hazifai itumike qurani tu
Huyo Bachu ni mpumbavu. Jaahil lisilojielewa
Ww ndio mbumbu Mzee baba cc tupo na Muhammad Bachu hatuendi Tena Maulidini
Bachu hamna kituuuu
Ww ndio chizi na wasanii wenzako kina diwani waganga nyinyi walemavu wa akili
Wew unamtukanaje mtu punguan wew
@@AbdulkareemMbelwa wasemaje ww
Wewe uwahabi umekujaa ndio unaakili nzima hizo ulizonazo wewe sio akili ni uwahabi
Asalaam alaykum ndugu zangu katika iiman mnao comment matusi sio katika dini yetu
Acha ujingaaa
Na watafsiri aayatu mutashabihatu hvoo.. Wamaa yaalam taawilahu illallah warrasihuna fil ilmi
Wewe naye ni chizi muengine maana matusi ume yaweka mbele
@all
HUYU NI KICHAA TENA KICHAA MKUBWA SANA.
HUWEZI KUFANYA HIVYO HATA UWE NA CHUKI GANI. NA KWA ALIVYOREMBEA NA MLE MUNA AYA NA SWALA ZA MTUME SAW... NI MTIHANI MKUBWA SANA KWA MOHAMMAD BACHU KASHAJILAANI MILELE.
Masufi, achei usanii, muogopeni Allaah
@all
MIMI NAKUUNGA MKONO KUWA HUYU ANAWEZA KUKINYEA NA KUKIKOJOLEA KITABU CHA MAULID AMBACHO KINA AYA ZA QORANI NA SWALA ZA MTUME [SAW]. KAMA ALIVYOKIREMBEA LICHA KUWA MULE MUNA AYA ZA QORANI NA PIA MUNA SWALA ZA MTUME (SAW):
Ww Huna Lolote Unalojua Kumbe...
Mimi ni twariqa damu Alhamdulillah
Ila sijapenda tunavyorekebishana
وادعو الى سبيل ربك بالحكمه والموعظه الحسنه
tutumieni uslubu mzuri katika kurekebishana bila kutukanana wala kuitana majina maovu
😂😂😂😂😂😂 poleni sana
ww hujasomaa kabsaaa
Kasomeee
Hapooo Barzanj ameeita Yaaa ...,. hili huitwa kwa Allah tu na cıo mtu kwa kuomba kıtu
Humu c sehemu ya kutukanana tunataka fatua z kielimu cio fyatua ww upepo hadakallah unafyatua kw maana hii
Huyu simjui Bantu ama Bachuu hana akili mzuri kisha ataka kujulikanwa خالف تعرف. Pinga ajulikanwe. Watukana wanazuoni
point alizotowa sheikh bachu ni 19.mbona kila mmoja ameng'ang'ania hii point moja tu?sheikh walidi ashaifafanuwa hii.umedandia tu hapa kaka.
Kutukana ni dalili ya wazi ya kutojua unachotetea
Nawewe nimpuuzi
Lugha inayoendana na yeye ni hiohio. Bachu ni mbumbumbu hakika
Chizi ni wewe, nyinyi mna heshima, mnaofundisha watu ushirikina kwa mlango wa nyuma.
Shekhe toka chumbani usijirekod nenda kwenye mnakasha uwanjani ukaongee maneno hayo
Ustadh hajji naomba muandalie munaaqasha na wewe huyo kijana maana kwa ilmu hii Huenda akaelewa zaidi na hata kuja kufanya maulidi nyumbani kwake siku moja
Sabass kakiona na yeye atafumbwa mdomo Kama all haatimiyy ngoja bachu amalizane na sabbass
Wewe ndie msenge mzee bidhru alikufa kaliwati wanafunzi mikunduni huyo ushirikina yote hayo sisi tulikua tunamjua mbona hamumsemi
Ww haji acha ujinga kuwaita watuu washezi hawanaakili
Hyo bachu n msenge hmumjui? Shekhe unapoteza muda kwa fedhuri kama hyo
MAWAHABI NI WAKALA WA MAYAHUD
Kadhabu (muongo) ww
Kivip
Mohammed bachu hana elimu ni fala tu qnatefuta kukuwa celeb na kuonyesha watu ndevu zake tu ila kichwani ana upungufu wa elimu
Haji upepo mshirikina mkubwaa wewew
Mataira makhurafi wamechanganyikiwa maskini
Kwanza tupate ushahidi wa taarabu na urojo
نحكم بالظاهر كما وردة في الحديث
هذا الحديث بين حاله أهل الحديث فمن كلامهم فيه ما قاله الحافظ ابن حجر: [قوله روي أنه صلى الله عليه وسلم قال: «إنما نحكم بالظاهر والله يتولى السرائر» هذا الحديث استنكره المزني فيما حكاه ابن كثير عنه في أدلة التنبيه. وقال النسائي في سننه باب الحكم بالظاهر ثم أورد حديث أم سلمة الذي قبله وقد ثبت في تخريج أحاديث المنهاج للبيضاوي سبب وقوع الوهم من الفقهاء في جعلهم هذا حديثا مرفوعا وأن الشافعي قال في كلام له وقد أمر الله نبيه أن يحكم بالظاهر والله متولي السرائر وكذا قال ابن عبد البر في التمهيد: أجمعوا أن أحكام الدنيا على الظاهر وأن أمر السرائر إلى الله وأغرب إسماعيل بن علي بن إبراهيم بن أبي القاسم الجنزوي في كتابه إدارة الأحكام فقال إن هذا الحديث ورد في قصة الكندي والحضرمي اللذين اختصما في الأرض فقال المقضي عليه قضيت علي والحق لي فقال صلى الله عليه وسلم: «إنما أقضي بالظاهر والله يتولى السرائر». وفي الباب حديث عمر «إنما كانوا يؤخذون بالوحي على عهد النبي صلى الله عليه وسلم وإن الوحي قد انقطع وإنما نأخذكم الآن بما ظهر لنا من أعمالكم» (أخرجه البخاري) وحديث أبي سعيد رفعه «إني لم أؤمر أن أنقب عن قلوب الناس» وهو في الصحيح في قصة الذهب الذي بعث به علي وحديث أم سلمة الذي قبله وحديث ابن عباس الذي بعده] التلخيص الحبير 4/192. وقال ابن كثير [قوله وأيضاً نحن نحكم بالظاهر هذا الحديث كثيراً ما يلهج به أهل الأصول ولم أقف له على سند وسألت عنه الحافظ أبا الحجاج المزي فلم يعرفه لكن له معنى في الصحيح وهو قوله صلى الله عليه وسلم: «إنما أقضي بنحو مما أسمع»] تحفة الطالب 1/ 174. وقال الشوكاني: [وكذلك حديث «إنما نحكم بالظاهر» وهو وإن لم يثبت من وجه معتبر فله شواهد متفق على صحتها ومن أعظم اعتبارات الظاهر ما كان منه صلى الله عليه وسلم مع المنافقين من التعاطي والمعاملة بما يقتضيه ظاهر الحال]. نيل الأوطار 1/369.
رابط المادة: iswy.co/e11uqn
Wewe ndio jahil unaefagilia ushiŕkina..
Na mshitikina pahala pake motoni.
Haki haifichwi.
Kaza sauti kwanza
Awa mawahab wanasomea ubish
Sheikh wang waijuwa hukmu ya kumshungizia mtu , bc staghafiru kwa mola wako
Hamna mtu alosingiziwa mwache anyoshwe wahabi huyu mbumbumbu
Kitabuu kina ushirikiana hichoo haji upepo mshirikina wewew
Wapi Mtume SAW maswahaba tabiişn wa tabiin wa tabiin
walisıma Barzanji au walifundiaha wapi Barzanj
Acha maneno fundsga kama ibnu Bacho n Qudura za Allah
cc wenyewe tulijuwa tunaoiga vigodoro ( vidufu)
Tukiwauliza walim husema mtume alfanya
Kiufup matusi hayatakıwi ,,
Mmekosa hojaa nyınyı nowdays watu wanaelewa mtabaki pekeeeeni hukooo!
Walikua wakimtolea mashairi na sis twamsifu mtume s a w si kama ww lazima tumpende na sifa zake zitajwe watu wamuulewe mtume wetu kipenzi chetu
Ni kitabu hicho au ni sawa natunguli tena tunguli ni aula maulidi niuzushi upotofu na upotofu ni moyoni acheni matusi kumtukana sheikhunalfaathil hakika yeye yupo kwenye haki namtaka msitake pilau zamashia hivi karibuni mtazikosa mbona haki imekuja nabaatwili twaiyona ina choropoka ndogondogo na kutaka kukimbia tena kwa hayaaa
Hauna cha kusema jaahil murakab
Wwe mwenyewe hueleweki
Wewe unayejua maana ya kitabu tuambie
Sasa ww mbona waita watu washenzi
Sheikh kh tafauti IPO kubwa ilaww ujui uoni Allah kwasababuya yabidaazenu hadithi inasema أنا ماحي يمحوا بالله به ikiwa ibarainasemaivo kwamba Allah ufatakufru kupitiamm alafu barzanje akatumia ياء ندا kwamtume mojakwamo kumuhusishe kuwayy mtume nimfuta mazambi nisawa naibara yahadithi ilivo kusudia? Kwani raba kama raba inakuwa inajifuta wenyewe au mpaka apatikane mfutaji ? Ikiwa mtume nikifutio mfutaji ninani? Bilashaka ni Allah nahapa barzanje kamwitanani mtume nikosa hadithi umeitumia vibaya uelewa mbovu wahadithi kueeni makinisana barzanje kakoseamno kupanga ibara ichikitabu
Hajajua huyu shekh wangu
Tofautı ıpo sanaa
Acha kijana anyoshwe ana kiburi
Ww ndie hujielewi.....mbona ujifiche!...Na si mjitoe mtetee hiyo barzanji....watu wanasoma siku hizi.....
Njoo kwa mjadala
Wewe tuliya wewe ndo hunalolote
Alikua anawasugua mikunduni kwa hiyo ni dini yenu nyinyi waganga wapiga falaqi nyinyi mikundu kwenu nyinyi imekua ni chakula
Mueleze ukweli maana bachu anajifanya kujuwa Kila kitu wahabi mkubwa ni kweli anataka umasrufu
Wewe ndoo mwehu tafsiri hiyo hadithi vizuri
Na tafusiri ya barazanje ni sawa
Acha kuwachanganya waislam Allah katufahamishi
Acha kulazimisha hadithi hajasema hivyo
Hi hadithi ni hoja kuwa masufi msahaba amemua mtu Alio tamka shajadateni
وفي روايةٍ: فَقالَ رسولُ اللَّه ﷺ: أَقَالَ: لا إِلهَ إِلَّا اللَّهُ وَقَتَلْتَهُ؟! قلتُ: يَا رسولَ اللَّهِ! إِنَّمَا قَالَهَا خَوْفًا مِنَ السِّلاحِ، قَالَ: أَفَلا شَقَقْتَ عَنْ قَلْبِهِ حَتَّى تَعْلَمَ أَقَالَهَا أَمْ لا؟! فَمَا زَالَ يُكَرِّرُهَا حَتَّى تَمَنَّيْتُ أَنِّي أَسْلَمْتُ يَومَئذٍ.
Wasenge kumbe nyinyi
Maulidi ni uzushi wa hovyo, hayana maana hata yatetewe vipi!
We pia ni mfuatata upepo hujui Wala huelewi Kama hao mfano wakina Muhammad Bachu
@@Zuwenamachela upepo wa kutoka wapi kuelekea wapi?
Kunamjinga mwenzio huku kashachinjwa kashakatwa ngebe ww mganga vp bado
We ndo jqhil
Swali shekhe.
Huyu Jafar Barazanji alimuita akiwa yupo hai au amekufa na je Ukimuita Mtume S.A.W kwa kumuomba msaada wakati hayupo na ukaacha kumuomba Allah aliepo sio kosa?
Zambi na ukafir ni tofauti usijichanganye hata Waislam wanapata dhambi wala sio makafir.
Kwaiyo kujua kusoma nihuko kutukana ww ndie ulie soma ila mm nakuona kua ni upepo tuu kama jina lako rudi tena kasome na hy hadithi iyangalie tena usije ukarudiwa ukajajuta man nyinyi masufu macho yen yana mihuri hamuoni duuu alla akuongoz
Kosa tunalofany kwenye din hatuangalii ukwel tunaangalia ukubwa na ukubwa wa elim je uyo mwnye elim hakosei
Hata wewe ni muhuni na pia na wewe ni ghurafi mwenda wazimu.
Maulidi haimo katika Sunna ya Rasul swalallahu Aleikum wasallam ni uzushi ya watu tu.Hata ukikasirika vumilia tu ndio haki ilivyo.Inachomachoma.
Swali ikiwa biblia inayomzushia allah kazaa inakatazwa kuidhihaki na kuizarau nani kampa malaka ya kudharau na kutupa
@@osos9073 Hiyo sio bibilia
Alhamdulillah nimetoka ktk maushirikina ya watu wa maulidi, Alhamdulillah
Nikweli.yule hana akii asaa
Baba ako anaz😅
Ww ndio chizi unawatukana mahawabi wanaokuzidi elimu
Elimuu gani alionayoo ya kusema atatingishaa watu
Ulisikia mnaqasha Tanga bachuu alivo kuwa Ana changanya ibaraa Ana balagha ndo kinacho msumbua
Wacha matusi
Sheikh huna point,tunataka dalili kwa unachokitetea…
Mshenzi mmoja mkubwa ni makafiri wa maulidi shirki kubwa mliyonayo kama nimimi nakitupa zaidi ya pale mbwa weee
wewe hujui maana nimjinga
Masheikh wa maulidi hata muyatetee maulidi mugeuze hadith za mtume bado maulidi itabaki kuwa Haram.
Naona kijana umepegawa baada ya kupikwa nondo
hamuwezi kujitetea kwa elimu ila mtabaki kuwaita mawahabi huku zaidi ya masufi 1000 toka mjadala uishe wakuwa mawahabi.wamefata ukweli na nuru.maulidi ni bidaaa na ushirikina
Ukitukana inaonesha huna elimu inatakiwa utoe hoja wasomi wakusikilize na siyo kutukana watu.
Kurusha kitabu cha barzanji sisawa ila pia tueni na adabulikhtilaaf
Kusudi ya jafari umewahyiwa au umekutana naye