INAJUZU KUOA MKRISTO?
Vložit
- čas přidán 4. 04. 2024
- MASWALI NA MAJIBU KILA SIKU YA MWISHO WA MWEZI NA USTADH KHATIB OMARY, ULIZA SWALI LAKO KUPITIA 0765 586 868 SHEIKH ATAKUJIBU BIIDHILLAH INSHAALLAH
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2023
KARIBU DARASANI KILA SIKU YA IJUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA SWALA YA ADHUHURI MASJID AL JUMAA, KITUMBINI
Hujajibu suali
Umeongea porojo tuuuuu
Mmmmmmmmmh 😢
Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?
Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda
Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?
@@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha
Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.@@idrissamustafabukenya6110
Kwa evo hakuna sio
Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.
Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!