INAJUZU KUOA MKRISTO?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 04. 2024
  • MASWALI NA MAJIBU KILA SIKU YA MWISHO WA MWEZI NA USTADH KHATIB OMARY, ULIZA SWALI LAKO KUPITIA 0765 586 868 SHEIKH ATAKUJIBU BIIDHILLAH INSHAALLAH
    #mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2023
    KARIBU DARASANI KILA SIKU YA IJUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA SWALA YA ADHUHURI MASJID AL JUMAA, KITUMBINI

Komentáře • 11

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib Před 15 dny

    Hujajibu suali
    Umeongea porojo tuuuuu

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 Před 2 měsíci

    Mmmmmmmmmh 😢

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 Před 2 měsíci +1

    Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?

    • @salimmapande4668
      @salimmapande4668 Před měsícem

      Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda

    • @isaachassan43
      @isaachassan43 Před měsícem

      Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?

    • @idrissamustafabukenya6110
      @idrissamustafabukenya6110 Před měsícem

      @@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha

    • @m.othman866
      @m.othman866 Před 26 dny

      Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.​@@idrissamustafabukenya6110

    • @KomoraMohamed
      @KomoraMohamed Před 22 dny

      Kwa evo hakuna sio

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy Před 6 dny

    Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 54 minutami

      Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!