MKIRISTO KUOLEWA NA MUISLAM RUKSA, MUISLAMU KUOLEWA NA MKIRISTO NI KHARAM //SHEIKH OTHMAN MAALIM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2023
  • Hairuhusiwi kwa mwanamke wa Kiislamu kuolewa na mkiristo
  • Zábava

Komentáře • 25

  • @AliyMfaume-vk1xy
    @AliyMfaume-vk1xy Před 2 měsíci

    Maashaallah Allah akujaalie umri mlefu Allah hannishwi na chochote

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 Před 10 měsíci +1

    swadakta Shekh wetu ALLAH azidi kumpa afya NJEMA shukran

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci +1

    Sheikh hapo kijanaaa maa shaa Allah

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Před 10 měsíci +1

    Masha Allah

  • @emmadora7848
    @emmadora7848 Před 3 měsíci

    Kila siku wanaoa na kuolewa huku na huku na maisha yanendelea ,Mungu pekee atajua namna ya kuwahukumu, kwa kweli tunavyotaka iwe haiwi ila ipo tusiyotaka

  • @chemchemmusic9060
    @chemchemmusic9060 Před 10 měsíci

    Masha Allah ❤

  • @taqiyyuddincadis6281
    @taqiyyuddincadis6281 Před 7 měsíci

    MaashaaAllah

  • @fatuma3969
    @fatuma3969 Před 10 měsíci

    Shukurani shekh waelimishe wengine maana hawajui Allah akuzidishie kher

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 Před 5 měsíci

    Mashaalah

  • @FahadNassor
    @FahadNassor Před 10 měsíci

    Maashaallah

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci +1

    Eeeh hii ya zamani? Naona Maalim shekh picha tofauti na sasa .

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci +1

    Kwa ndoa ipi hiyo?

  • @vaahii5858
    @vaahii5858 Před 10 měsíci +2

    Mimi pia ni mkristo na ninakufuatilia sana

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Před 10 měsíci

    Sasa kama mungu hafananishwi na chochote! We unamfuata wa nini?

  • @mohamohaze6993
    @mohamohaze6993 Před 5 měsíci

    Sheihk mm kuna msichana mkristu anataka nimwoe na yeye amekubali kukuwa muislamu je hiyo inakubalika

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Před 10 měsíci

    Uongo

  • @saiyachuwa3512
    @saiyachuwa3512 Před 10 měsíci +1

    Hapo shekhe kama umeniacha kila mchunga ataulizwa alichokichunga Moja ya vitu anavyotakiwa kuvichunga mume ni familia take
    Halo shekhe kama kaniacha HV kila mtu ni mchunga na ataulizwa ktk vile alivyovichunga mume ataulizwa kuhusu familia yake mke na watoto aliwaongoza VP sasa kama mkeo umeoa mkristo na anruhusiwa kwenda kwenye ibada zake na Kyle unajua anaenda kumuabudia asiye mungu inakuwaje

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 Před 10 měsíci

      Unajua maana ya Ruhusa? Utaulizwa vp na umeruhusiwa?

  • @msafirikisak4940
    @msafirikisak4940 Před 6 měsíci

    Kwanini mtume alioa mtoto wa miaka Tisa ww unaweza kumuozesha mwanao wa miaka Tisa Kwa mtu

  • @MussaZombwe-du4pj
    @MussaZombwe-du4pj Před 10 měsíci

    Acha uongo Q. 2:221

    • @ramlaleila374
      @ramlaleila374 Před 10 měsíci

      Tafadhali tumia lugha ya busara usimtusi mtu mwenye hajakukosea ni dhulma