NONDO ZA MBUNGE KISHIMBA, AIMAMBIA SERIKALI “TUSIPOKUBALI KUFIKIRI TUTAKUWA WATUMWA WA DUNIA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 55

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 6 měsíci +24

    👇kwa anaye mkubali Mh Kishimba agonge LIKE hapa twende sawa💪

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před 6 měsíci +16

    Big up mzee unajua sanaa

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 Před 6 měsíci +7

    Dah, Mzee wetu Kishimba unaongea maisha yanayotugusa Sana sisi wananchi.

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 Před 6 měsíci +10

    Ila kishimba

  • @zabronpaul7599
    @zabronpaul7599 Před 6 měsíci +4

    Mbunge kweli wew ni genius😂

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 6 měsíci +5

    Ni kweli baba migodi yote midogo wamewapa wachina inauma sana

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Před 6 měsíci +1

    Kishiiimbaaaa asante siku unatika duniani ndo wataanza kukusifia na kusema tuenzi mawazo yake huku hawsjafanya ulichowashauri Mungu wa Mbingunii akutunze

  • @johnassey2327
    @johnassey2327 Před 6 měsíci +1

    Tenaa hii ni nzuri na tutazalisha wananchi wenye fikra pevu na vipaji halisii

  • @Afya-Break
    @Afya-Break Před 6 měsíci +3

    Unatakiwa uwe na upeo wa hali ya juu kumuelewa Mhe Kishimba

  • @ayoubbalama1409
    @ayoubbalama1409 Před 6 měsíci +5

    Wachina kimekuwa kilio😢 hadi kwenye biashara ya mitumba wa mefanya watu wengi kuanguka mitaji

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před 6 měsíci

      Biashara ya mitumba siyo biashara make hakuna kiwanda cha mitumba bali ni mali chakavu inayokusanywa na kutumiwa mara ya pili

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před 6 měsíci +4

    Kweli boss naona wengi tunafikiri km 1+1=2 hakuna anayeweza kufikiri tofauti

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 Před 6 měsíci +5

    Anagusa kabisa interigence ya uchumi

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Před 6 měsíci +3

    Samia nakushauri sana mbunge huyu kwanza kama katba inaruhusu umfanye kuwa mbunge maalum.alipwe posho ya ziada.Kazi au ushauri anaoutoa unatija pande zote mbili,yaani kwa wapiga kura wake(jimboni) pi kwa serikali yetu.Mbunge huyu huwezi kumlingnisha na wabunge kama akina lusinde au shabiby .sisi tunawaita ASANTE magufuli.Kutwa nzima wanakusifu wewe utafikiri na wewe umekuwa jimbo.Hovyo mno.

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Před 6 měsíci +2

    Shikamoo baba yangu Kishimba.

  • @CyprianoKikoti
    @CyprianoKikoti Před 6 měsíci +2

    Big brain Mzee wangu Salute!

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward Před 6 měsíci +4

    Tujenge shule, nzuri kama shelton. Za gorofa.

  • @thesilencer5114
    @thesilencer5114 Před 6 měsíci +5

    .jamaa anapoint Kali sema sioni watekelezaji

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Před 6 měsíci +4

    Wasukuma wapo vizuri.Sema magufuli aliwaharibia sana!

    • @Youngchimodzi823
      @Youngchimodzi823 Před 6 měsíci +1

      This is bias! Magufuli was not representing a single ethnical community of the sukuma land.
      He was a president of Tanzania whether you adored him or not.

    • @makelemohuya2723
      @makelemohuya2723 Před 6 měsíci +1

      Wewe kishimba acha mambo yako mita tatu ndiyo barabara gani hiyo?

    • @makelemohuya2723
      @makelemohuya2723 Před 6 měsíci +1

      Magufuri ametuharibia au katuheshimisha sana tena sana unatokea wapi mpuuzi wewe usiyejielewa

  • @ThomasNghwani-nw6rx
    @ThomasNghwani-nw6rx Před 6 měsíci

    Akili kubwa sana

  • @jamesmushi199
    @jamesmushi199 Před 6 měsíci +1

    Namuelewa sana

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Před 6 měsíci +2

    Pure intelligence mzeeee

  • @venceslausmtanila93
    @venceslausmtanila93 Před 6 měsíci

    Kishimba mashine kubwa

  • @Chizoofficial
    @Chizoofficial Před 6 měsíci +1

    Ila kweli msukuma Leo umeongea vzr sana wanafunzi wasome kwa awamu✅

  • @ajtv9186
    @ajtv9186 Před 6 měsíci +1

    The guy is real

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 Před 6 měsíci +1

    Wabunge hawo.walimu.wapo wapi au mtatumia Robot

  • @madetetv6576
    @madetetv6576 Před 6 měsíci +3

    Form 1 to form 4 kwa miezi 6? Uongo NECTA kafanya kwa muda gani? Au alifanya necta ya form one na 4 kwa mwaka mmoja?😊😊

    • @stevenndossi
      @stevenndossi Před 6 měsíci

      N kwel mkuu alisom online ndo maan..ada yak sas ndo ujiulz but yul dem kwao n wa kishua ndo maan 😂

  • @mwalimumwalupindi4594
    @mwalimumwalupindi4594 Před 6 měsíci +1

    Sema huyu mzee kiboko

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 6 měsíci +1

    Mi kweli kabisa hii hatari bita wansnchi kabisa

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 Před 6 měsíci

    Kishimba anafukiri Sana tatizo sijui kwann wizara usika hawachukui hatua haraka

  • @ernestkidscentretv6384
    @ernestkidscentretv6384 Před 6 měsíci +1

    Rais wetu afanyie kazi maoni haya

  • @georgekiruwa
    @georgekiruwa Před 6 měsíci +1

    Au hata usiku…

  • @tushabefelician6875
    @tushabefelician6875 Před 6 měsíci +1

    Kufirisika mnafikirisaje si mshushe Mshahara YENU Ninyi ndo hamna fikira!!

  • @anicethpeter3100
    @anicethpeter3100 Před 6 měsíci

    Mzee shikamoo

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Před 6 měsíci +1

    Ila kishimba ila wewe!! Ila wewe!!

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Před 6 měsíci +1

    Kishimba 5 tena 😂😂😂😂

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Před 6 měsíci +1

    Shule lazima ziiendelee kujengwa,,watu wanaongezeka

  • @symkvtv6756
    @symkvtv6756 Před 5 měsíci

    KISHIMBA NI MBUNGE WA KUIGWA KABISA

  • @hakambashe8421
    @hakambashe8421 Před 6 měsíci +1

    😂😂😂😂

  • @reubenmdaheranwa
    @reubenmdaheranwa Před 3 měsíci

    😊
    p

  • @user-ku4xq4nd9v
    @user-ku4xq4nd9v Před 6 měsíci +1

    🫡

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 Před 6 měsíci

    Ila we mzee ni hatari

  • @bagoomary8358
    @bagoomary8358 Před 6 měsíci

    huyu mbunge ana akili sana tukipata watatu kama huyu tumetoboa

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před 6 měsíci

    Mchina awezi kua muekezaji wachina wahuni tu Nnchi yetu imekua shamba la Bibi wakati wa Magufuli wenyewe Walikimbia

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward Před 6 měsíci +1

    Wajinga ndiyo waliwao

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Před 6 měsíci +1

    Huyu mzee ukimsikiliza juujuu utadhani anaongea point ila ukimsikiliza kwa makini hamna kitu.

    • @rasammudmar5455
      @rasammudmar5455 Před 6 měsíci +1

      Sisi tunaoishi Pemba tunayaishi uhaba wa maeneo ya kujungea shule Hadi Sasa tunawaza kujenga magorofa. ambapo ni gharama na inabidi serikali iendelee kukopa.
      Kufikiri tofauti ni muhimu vyenginevyo baada ya miaka 20 watu tutakosa pakushika kwa makodi makunwa yanayotokana na madeni. Ambayo tungeweza kuyaepuka kama tungekubali kubadilisha kanuni za kufikiri.

    • @herybwanga507
      @herybwanga507 Před 6 měsíci +1

      Wewe ndo Huna akili kabisa yani ni kopo tu kichwan

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Před 6 měsíci +4

    Mh kishimba saf sana ,

  • @comics3437
    @comics3437 Před 6 měsíci

    Pia walazimishwe kuuza hiyo dhahabu kwenye masoko ya ndani