MIRAJI |NDANI YA MISIMU MITANO HII IMENIFURAHISHA | YANGA HAWATAKI YALE YA MAYELE NA SAIDO NI AZIZ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2024

Komentáře • 63

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před 28 dny +8

    Ukosawa miraji

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 28 dny +27

    😂😅🤣🤣🤣gamba tunaomba umletee mzee said jmn atupe story ya arajiga kuangalia mguu wa aziz ki please

    • @zuhuranasoro8923
      @zuhuranasoro8923 Před 28 dny +4

      Namsubiri sana mzee wetu

    • @malietamalieta9658
      @malietamalieta9658 Před 28 dny

      @@zuhuranasoro8923 ata mm piah sijui atakuja saa ngap

    • @analisacecy
      @analisacecy Před 28 dny +4

      😂😂😂😂 arajiga anatembea kama dume la nyani

    • @WengaMishkaki
      @WengaMishkaki Před 28 dny +1

      Yaaani daahh mzee anaburidani😂😂😂 mzee said

    • @jairatu688
      @jairatu688 Před 28 dny +2

      Mm mwenyewe namsubiri sana mzee said😂😂😂😂😂

  • @user-sg1hw4ex9s
    @user-sg1hw4ex9s Před 27 dny +2

    Tumefurahi fainal kuchezwa Zanzibar miraji na chagamba muje zanzibar

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l Před 28 dny +9

    Chagamba,leta mzee saidi,nataka kuona mzee zaidi kama atakubali mabao ya saido😅😅

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074 Před 28 dny +6

    Miraji Rudi yanga weyanga Simba bahati mbaya

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Před 28 dny +2

    Miraji upo vzr sana

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Před 28 dny +2

    Dodoma waliponzwa na kikosi cha yanga kilichoanza baada ya kuona yanga walio anzishw weng wanaanziaga benchi bas ndipo wakacheza kwa kupishana na yanga kilichowakuta sasa ni siri yao

  • @cosmaslyimo975
    @cosmaslyimo975 Před 28 dny +2

    Miraji na kukubali sana mwanangu unajuwa xana tuma namba tukuchangie mafuta mwanangu

  • @Japhetjames-vm7pz
    @Japhetjames-vm7pz Před 28 dny +5

    Changamba ukimaliza tuletee saidi nayeye tumusikie madini yake ukimalizana na milaji

  • @RomaMwampela-yv3gn
    @RomaMwampela-yv3gn Před 28 dny +2

    Mmetisha sana miraji

  • @MossiSaadat
    @MossiSaadat Před 28 dny +1

    Tumefurah kweli ishaallah kher tutashinda wananchiiiiiiii

  • @juma6253
    @juma6253 Před 26 dny

    Dah goli nane mfungaji bora ila miraji mnafik na kicheko chake

  • @ZawadiSumail
    @ZawadiSumail Před 28 dny +3

    Hata na sisi wenye Australia tuna fatilia michezo hio sana kuliko ni nyinyi, mimi Zawadi shabiki wa Dar yanga Africans.

  • @lionsimbaa5961
    @lionsimbaa5961 Před 28 dny +2

    Leta ya mzee said jamani 😂

  • @Katamba255
    @Katamba255 Před 28 dny +1

    Finest Familia🇨🇳

  • @HarriethLouis
    @HarriethLouis Před 28 dny +2

    Chagamba tuletee Mzee said alisema arajiga anaangaliaga mguu wa ki kipenga kikiwa mdomoni yaani nimekumbuka maneno yake nimecheka sana

  • @allyshabani3404
    @allyshabani3404 Před 28 dny +1

    Mpaka sasa wakina Mzeh Saïd ni wengi wanaumizwa na mabao ya Saido cuki cuki oooh simba ilete wacezaji Saido atolewe hizo husda zelipo anzia ni upande wa Yanga wakambukiwa na mashabiki wenye husda kama Mzeh saidi

  • @fadhilimrisho7804
    @fadhilimrisho7804 Před 26 dny

    Nashauri mahojiano yawe mafupi au chini ya dakika kumi kwani itamvutia mtazamaji

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b Před 28 dny +1

    Chagamba ulituahid Jana mzee said ata kua hewan asa mbn hatumuoni umemweka wapiii mbn hatumuoni 😅😅😅😅

  • @HassanMkina
    @HassanMkina Před 28 dny

    Asant miraji asant changamba mmetisha Sanaa mnatufanya siku inakuwa safi pakeji ya yenu imejaaa😅😅😅😅😅

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s Před 27 dny +1

    Ratiba ya Mzee saidi ni lini

    • @user-ce2xg9wt4s
      @user-ce2xg9wt4s Před 23 dny

      Mzee said tumeshamsikia tunamsubiri kesho hahaaaaaaa

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce Před 28 dny

    Msimu sijafurahi tu coz of winning a cup but to beat our twin 7-2(5-0) aggregate 💛💚

  • @hashimmaina1428
    @hashimmaina1428 Před 28 dny +1

    Mzee said vp

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s Před 27 dny

    Namtumia salio Mzee Saidi aje kwenye sherehe

  • @jonathanmpangala7057
    @jonathanmpangala7057 Před 28 dny +1

    Mahojiano makini kwako miraji nachagamba

  • @paulmwandambo7799
    @paulmwandambo7799 Před 27 dny

    Chagamba namuomba huyo fundi wa Laptop hapo Kariakoo huyo Joseph

  • @georgettesaidi6809
    @georgettesaidi6809 Před 28 dny +1

    Tuletehe mzee saidi nae chagamba 😂😂😂

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 28 dny

    Chagamba tunamwomba mzee said atupe stori za Arajiga na mguu wa aziz akiwa na filimbi mdomoni.

  • @AmeirAlly-tn8hw
    @AmeirAlly-tn8hw Před 28 dny

    Tuletee Mzee saidi halafu aweke namba yake tumpe hongera yake japo wengi wana yanga ila tunamkubali sana

  • @Mgema001
    @Mgema001 Před 28 dny

    Chagamba tunasubiri mzee said ataongea nn kuhusu saidoo😅😅😅

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 28 dny

    Miraji taratibu basi na bega la chagamba 😂 halafu chagamba mlete mzee saidi jamaniii 😂😂😂😂

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Před 28 dny

    Gamba please mzee Saidy 😂😂😂😂 tunamutakaaa kwanzaa Simba ilishinda 4 ujuweeee 😂😂😂😂

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 Před 28 dny

    Wananchiiiiiii tunawatakia kila lakheri tutawasapot kwakila hali inshaallah

  • @ZawadiSumail
    @ZawadiSumail Před 28 dny

    Chagamba fanya nguvu umurudishe Mzee Said kwenye kipindi haraka sana tuna musubiri.

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Před 28 dny

    Nitakuwa uwanjani apa Arusha sijawahi ona chama Lang kwa macho live ahsant mungu

  • @MabulaBunzaly
    @MabulaBunzaly Před 28 dny

    Gamba wapi mzee side

  • @mzazi15
    @mzazi15 Před 28 dny

    Naomba muangalie alichokisema Ricardo Momo alafu mkipigie story kama kina mantiki yyte Chagamba

  • @Obestenter
    @Obestenter Před 28 dny +1

    Namtaka mzee SAIDI tafadhali.

  • @CostaAntino
    @CostaAntino Před 28 dny +1

    Asante
    Saana chagamba kwa kumuleta milaji huyu mamba noma

  • @isayachingwile6694
    @isayachingwile6694 Před 28 dny

    wametisha bodi ya ligi

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 28 dny

    Chagamba mzee masatu umpumzishe kidogo kwa maana siku hizi anachanganya habari.

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 Před 28 dny

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mfinangazidikheri
    @mfinangazidikheri Před 28 dny

    Chagamba tuletee mzee Said tafadhali

  • @paulmwandambo7799
    @paulmwandambo7799 Před 27 dny

    Chagamba nisikie namuomba huyo fundi wako wa Laptop

  • @AmeirAlly-tn8hw
    @AmeirAlly-tn8hw Před 28 dny

    Miraji wewe ni mwanamichezo unahaki ya kugomnania usemaji wa chama la msimbazi,unaongea ukweli kabisa mm ni mshabiki wa yanga ila Lia,

  • @Leshaomayasek
    @Leshaomayasek Před 27 dny

    Miraji nakubali sana madini yako

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 28 dny

    Tunamtaka mzee side na mguu wa azizi ki na arajiga 😂😂😂

  • @InnocentGrazingCows-gs1rg

    Shabiki wa simba mwenye akili

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 28 dny

    Zanbar kutanoga sana tar kushanza kupambazuka

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert Před 28 dny

    Mzeee saidi tuletee aanze kumsema alajiga😂😂

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 Před 28 dny

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Obestenter
    @Obestenter Před 28 dny

    Chagamba mbona unamchelewesha mzee Said,, mpaka naanza kukata tamaa 😂😂😂😂😂