Dodoma waliponzwa na kikosi cha yanga kilichoanza baada ya kuona yanga walio anzishw weng wanaanziaga benchi bas ndipo wakacheza kwa kupishana na yanga kilichowakuta sasa ni siri yao
Mpaka sasa wakina Mzeh Saïd ni wengi wanaumizwa na mabao ya Saido cuki cuki oooh simba ilete wacezaji Saido atolewe hizo husda zelipo anzia ni upande wa Yanga wakambukiwa na mashabiki wenye husda kama Mzeh saidi
Ukosawa miraji
😂😅🤣🤣🤣gamba tunaomba umletee mzee said jmn atupe story ya arajiga kuangalia mguu wa aziz ki please
Namsubiri sana mzee wetu
@@zuhuranasoro8923 ata mm piah sijui atakuja saa ngap
😂😂😂😂 arajiga anatembea kama dume la nyani
Yaaani daahh mzee anaburidani😂😂😂 mzee said
Mm mwenyewe namsubiri sana mzee said😂😂😂😂😂
Tumefurahi fainal kuchezwa Zanzibar miraji na chagamba muje zanzibar
Chagamba,leta mzee saidi,nataka kuona mzee zaidi kama atakubali mabao ya saido😅😅
Miraji Rudi yanga weyanga Simba bahati mbaya
Miraji upo vzr sana
Dodoma waliponzwa na kikosi cha yanga kilichoanza baada ya kuona yanga walio anzishw weng wanaanziaga benchi bas ndipo wakacheza kwa kupishana na yanga kilichowakuta sasa ni siri yao
Miraji na kukubali sana mwanangu unajuwa xana tuma namba tukuchangie mafuta mwanangu
Changamba ukimaliza tuletee saidi nayeye tumusikie madini yake ukimalizana na milaji
Mmetisha sana miraji
Tumefurah kweli ishaallah kher tutashinda wananchiiiiiiii
Dah goli nane mfungaji bora ila miraji mnafik na kicheko chake
Hata na sisi wenye Australia tuna fatilia michezo hio sana kuliko ni nyinyi, mimi Zawadi shabiki wa Dar yanga Africans.
Leta ya mzee said jamani 😂
Finest Familia🇨🇳
Chagamba tuletee Mzee said alisema arajiga anaangaliaga mguu wa ki kipenga kikiwa mdomoni yaani nimekumbuka maneno yake nimecheka sana
Kwel kabisa
Mpaka sasa wakina Mzeh Saïd ni wengi wanaumizwa na mabao ya Saido cuki cuki oooh simba ilete wacezaji Saido atolewe hizo husda zelipo anzia ni upande wa Yanga wakambukiwa na mashabiki wenye husda kama Mzeh saidi
Nashauri mahojiano yawe mafupi au chini ya dakika kumi kwani itamvutia mtazamaji
Chagamba ulituahid Jana mzee said ata kua hewan asa mbn hatumuoni umemweka wapiii mbn hatumuoni 😅😅😅😅
Asant miraji asant changamba mmetisha Sanaa mnatufanya siku inakuwa safi pakeji ya yenu imejaaa😅😅😅😅😅
Ratiba ya Mzee saidi ni lini
Mzee said tumeshamsikia tunamsubiri kesho hahaaaaaaa
Msimu sijafurahi tu coz of winning a cup but to beat our twin 7-2(5-0) aggregate 💛💚
Mzee said vp
Namtumia salio Mzee Saidi aje kwenye sherehe
Mahojiano makini kwako miraji nachagamba
Chagamba namuomba huyo fundi wa Laptop hapo Kariakoo huyo Joseph
Tuletehe mzee saidi nae chagamba 😂😂😂
Chagamba tunamwomba mzee said atupe stori za Arajiga na mguu wa aziz akiwa na filimbi mdomoni.
Tuletee Mzee saidi halafu aweke namba yake tumpe hongera yake japo wengi wana yanga ila tunamkubali sana
Chagamba tunasubiri mzee said ataongea nn kuhusu saidoo😅😅😅
Miraji taratibu basi na bega la chagamba 😂 halafu chagamba mlete mzee saidi jamaniii 😂😂😂😂
Gamba please mzee Saidy 😂😂😂😂 tunamutakaaa kwanzaa Simba ilishinda 4 ujuweeee 😂😂😂😂
Wananchiiiiiii tunawatakia kila lakheri tutawasapot kwakila hali inshaallah
Chagamba fanya nguvu umurudishe Mzee Said kwenye kipindi haraka sana tuna musubiri.
Nitakuwa uwanjani apa Arusha sijawahi ona chama Lang kwa macho live ahsant mungu
Gamba wapi mzee side
Naomba muangalie alichokisema Ricardo Momo alafu mkipigie story kama kina mantiki yyte Chagamba
Namtaka mzee SAIDI tafadhali.
Asante
Saana chagamba kwa kumuleta milaji huyu mamba noma
I’m r
wametisha bodi ya ligi
Chagamba mzee masatu umpumzishe kidogo kwa maana siku hizi anachanganya habari.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chagamba tuletee mzee Said tafadhali
Chagamba nisikie namuomba huyo fundi wako wa Laptop
Miraji wewe ni mwanamichezo unahaki ya kugomnania usemaji wa chama la msimbazi,unaongea ukweli kabisa mm ni mshabiki wa yanga ila Lia,
Miraji nakubali sana madini yako
Tunamtaka mzee side na mguu wa azizi ki na arajiga 😂😂😂
Shabiki wa simba mwenye akili
Zanbar kutanoga sana tar kushanza kupambazuka
Mzeee saidi tuletee aanze kumsema alajiga😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chagamba mbona unamchelewesha mzee Said,, mpaka naanza kukata tamaa 😂😂😂😂😂