ILA TX DULLAH 😂 / ANADAI CHENCHI KIBABE NA HAJATOA HELA | HIVI NI KWELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 06. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 109

  • @bhuzahope2746
    @bhuzahope2746 Před 8 dny +21

    Kuna mtu atakuja kupigwa wazeee 😂😂😂 maisha magumu kitaa..michezo hiyo

  • @GosproAlex
    @GosproAlex Před 8 dny +11

    Wanaho mkubali #Tx_Dullah_subaru ngonga like 💪

  • @NgarasaaJunior
    @NgarasaaJunior Před 8 dny +10

    Sema hiii ya kucheza na watu wakiwa kwenye kazi zaooo siyo mzuriii dar jua kaliii afuu anatembeaaa mtu mzma anafamiliaaaa afu mnamchoreshaaaaa siyo pw

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory5274 Před 8 dny +25

    AFU MKIWA MNAONGIZA HELA KUPITIA WATU AMBAO HAMJAWAPANGA NATOA TAMKO KUANZIA LEO MUWE MNAWALIPA FIDIA KWA KUWAPOTEZEA MUDA WAO. KUWAPA SHORT DEPRESSION YA NUSU SAA KWA KUWATENGENEZEA PESA ZENU😢😮

    • @aghamedia
      @aghamedia Před 7 dny +1

      Lzm wanapewa kitu mwishoni bhana

    • @Hellyphones
      @Hellyphones Před 7 dny +3

      Huwa wanapewa mwishoni wanaelekezwa kuwa yalikua masiala ila kwenye content hizi clip Huwa wanakata

    • @pascosalvatory5274
      @pascosalvatory5274 Před 6 dny

      @@aghamedia ELFU2 NDO KITU KAKA KWEL UMEPOTEZEWA MUDA NUSU SAA AU LISAA KABISA MR.

    • @pascosalvatory5274
      @pascosalvatory5274 Před 6 dny

      KUUSU KUPEWA PESA UONGO ZONGINE HAWAKATU TUNAONA WANAPEWA ELF 2 WANAJICHENGA

    • @mbokaicon5507
      @mbokaicon5507 Před 6 dny

      Punguzeni makasiriko,ujuaji na Roho mbaya wakifanya wazungu sawa tukifanya sisi Kelele

  • @bladechiko3512
    @bladechiko3512 Před 7 dny +2

    We back like we never left........hivi ni kweli...watching from Dubai💯💯💯

  • @TANAD365
    @TANAD365 Před 8 dny +7

    sema dulla anapenda sana hivyo viatu

  • @andreatutu6179
    @andreatutu6179 Před 8 dny +8

    Nimejaribu kuchukua nafasi ya yule machinga plus mawazo ya jua la dar la mchana sijajua hata hali ambayo ningekua nayo wakati wa mabishano duuh😄😀😃

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 Před 7 dny +4

    Anayeonekana mjanja kumbe hamna kitu😅😅😅😅

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 Před 8 dny +5

    Yaani kumbe mnamsumbua mtu alafu ampi chochote sio sawa iyo mtu kachoka najua lote. Sio sawa sijapenda

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w Před 8 dny +3

    Hiviiii hawa wanaoimb wanawachumba 😅😅😅

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory5274 Před 8 dny +2

    WE SANYA WEWE UNALIPA HAO UNAOWASUMBUA AU UNAWALIPA PRESHA2

  • @user-iw7gy9dt1c
    @user-iw7gy9dt1c Před 8 dny +1

    Jamaa anaongea mwenyewe 😂😂😂😂😂

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz Před 5 dny

    Km ni mm huyu mwenye biashara na jua km hili baadae mtu atoke zake aje anichoroshe kwa naslahi yake haki ya mungu nakufa nae

  • @user-ub5ce1ym8m
    @user-ub5ce1ym8m Před 5 dny

    Jamaa wa vitabu mic ime zimwa yeye anaendelea kuongea🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Před 6 dny

    😂😂😂😂😂Mmh at Alikipa aendelee na melody hiyohiyo😂😂😂😂

  • @allymahmudu464
    @allymahmudu464 Před 4 dny

    muwe mnawapa pesa sio vzr kabisa ayamambo yakizamani sana uko watu wamesha vuka

  • @muddytv1513
    @muddytv1513 Před 7 dny

    Nakupendanaaaaaa uku kuimba 😂😂😂😂😂 uyu nae anabana pua minaweeeeeeee minaaaaaaa

  • @directorshasibu
    @directorshasibu Před 8 dny +1

    Ifike mahali sasa txdullah uamue kubadili ivo viatu kak 😅😅😅

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Před 5 dny

    Hivi ni kweli

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 8 dny

    Hiki kipindi nilikua nimekimiss kweli jamani ❤❤❤❤😂😂😂

  • @AzizSultan-fc7rn
    @AzizSultan-fc7rn Před 7 dny +1

    Mnacheza na kaz za watu..

  • @munixpicentertainment

    idea kali

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w Před 8 dny

    😂😂😂😂😂 haea wanaoimba nipo hoiii

  • @justinsamwel4946
    @justinsamwel4946 Před 8 dny +2

    Ila juster master

  • @OsbonMusa
    @OsbonMusa Před 8 dny

    😂😂😂 tx ametisha sana

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory5274 Před 8 dny

    JICHANGANYENI KWANGU MAPEMA SANA VICHWA 2 😂😂😂😂😂

  • @sostenkyando2969
    @sostenkyando2969 Před 8 dny +1

    Basi muwe mnawapoza kidogo maana nyie kwenu ni content na mnaingiza pesa

  • @mchangeboy5928
    @mchangeboy5928 Před 8 dny

    Eti.. si unajua mambo ya tasnia😅😅😅😅😅😅

  • @user-pi8mx6lu5b
    @user-pi8mx6lu5b Před 8 dny +1

    Masha biki wakiba msiguse hii komenti😂😂

  • @DeussR6
    @DeussR6 Před 7 dny

    Ila platnumz🎉

  • @saidseleman2829
    @saidseleman2829 Před 8 dny

    Hivi ni kweli is back 🔥🔥🔥

  • @frankstephan9309
    @frankstephan9309 Před 8 dny

    Wanatuzingulia baba mpaza wetu ak ndimbo😂

  • @Naahlyan
    @Naahlyan Před 7 dny

    Iki kipindi kilafanya nimpende motown sany .nikitaman iki kipind lazima nicheke

  • @nibretstudio
    @nibretstudio Před 7 dny +1

    nana ameona mbuzi za dar inakula machungwaaa hahahaha

    • @jacktonjoseph3479
      @jacktonjoseph3479 Před 5 dny

      SIO MACHUNGWA TU, MBUZI WA DAR WANAKULA MPAKA CHIPSI YAI......MBUZI ZA DAR ZINAKUVUSHA BARABARA KWENYE ZEBRA😊😊😊😊😊

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule Před 6 dny

    Mwamba Kaachiwa Mic 🎤 Unangulumisha Tu Hana Habari

  • @babasandra638
    @babasandra638 Před 8 dny +1

    Mwaacha mzee wawatu anajiongelesha

  • @AffectionateBakedBuns-op2jb

    hhhhh dulaaaa mbwaaa kwel 😂

  • @user-vv5pf4rj9w
    @user-vv5pf4rj9w Před 8 dny

    Mbona mnaaibisha watu jmniii

  • @dengeman4814
    @dengeman4814 Před 2 dny

    Ipo siku atapigwa mtu

  • @elishamwaipasi2039
    @elishamwaipasi2039 Před 7 dny

    Ila sanya mmeuwa sana tx Subaru 😂😂😂

  • @Enocky-pv5ui
    @Enocky-pv5ui Před 8 dny +1

    Ila subaru 😅😅😅😅😅😂😂

  • @user-it2tr7ny8d
    @user-it2tr7ny8d Před 8 dny +4

    Mo town vs subaru😂😂😂😂

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Před 7 dny

    MZEE WA SUBARU UMEIPAKI WAPI NKAIAMISHE😁😁😁

  • @ernestchaulema226
    @ernestchaulema226 Před 8 dny

    🔥🔥🔥

  • @TerrorTrove-bx4pg
    @TerrorTrove-bx4pg Před 5 dny

    𝐀𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐩𝐚𝐫𝐭 😂😂

  • @AssaniMboko
    @AssaniMboko Před 8 dny +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @CHEKAPLUSSTV
    @CHEKAPLUSSTV Před 8 dny

    Atal❤❤

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj Před 8 dny

    Umeweza dulla

  • @ivandeus4281
    @ivandeus4281 Před 8 dny

    ,,eti maliza sasa niondoke 🤣🤣😅😅

  • @theprincejr1417
    @theprincejr1417 Před 8 dny

    Nimecheka et hamo bebe na saut kama beberu 😂

  • @numbachogo
    @numbachogo Před 8 dny

    😂😂😂😂😂 Txdulla nimnomasana 😂😂😂😂

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_ Před 7 dny

    Kub......akeeeeeh 🤣

  • @Hellyphones
    @Hellyphones Před 7 dny

    Hii michezo mtakutana na mwenye hasira mtakuja kupasuka

  • @StoneEmanuele-yy3pv
    @StoneEmanuele-yy3pv Před 8 dny

    Ila tx😅😅😅

  • @NicholausFredy
    @NicholausFredy Před 8 dny

    Ila tx

  • @diasporastylish
    @diasporastylish Před 8 dny

    Subaru 😂😂

  • @muddytv1513
    @muddytv1513 Před 7 dny +2

    Uyu aliepewa maiki kavaa na kibegi alkua anaongea nn pekeyake au aljkuta mtangazaji 😂😂😂😂😂

  • @sane_kidd
    @sane_kidd Před 8 dny +12

    Me naomben like zenu tu jamn 😢😢😢

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb Před 7 dny

    Kuimba Unajuwa

  • @NicholausFredy
    @NicholausFredy Před 8 dny

    😂😂🙌🙌🙌

  • @user-pf2tz2fn4x
    @user-pf2tz2fn4x Před 8 dny

    Watakuja wabonde mtu asee sio powa

  • @FaridiMussa-qc2bk
    @FaridiMussa-qc2bk Před 7 dny

    😂😂😂😂😂tx

  • @pastoryyenzera2736
    @pastoryyenzera2736 Před 7 dny

    😅😅😅😅

  • @ELIASBLUETICK711
    @ELIASBLUETICK711 Před 8 dny

    I have something to say but I don't trust my English

  • @user-dy9tg3bp4w
    @user-dy9tg3bp4w Před 7 dny

    😭😭😭

  • @CharesWilliam
    @CharesWilliam Před 8 dny

    😂😂😂😂

  • @ramadhanihot1945
    @ramadhanihot1945 Před 7 dny

    wasafi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wasafi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤wasafi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MrMatikiti_kudondoka
    @MrMatikiti_kudondoka Před 8 dny

    moyo tulia mjini Kuna vya watu

  • @Andrew_paul966
    @Andrew_paul966 Před 7 dny

    😂😂

  • @user-fi8jo2zu1g
    @user-fi8jo2zu1g Před 8 dny +1

    Nitauwa mtu

  • @user-fi8jo2zu1g
    @user-fi8jo2zu1g Před 8 dny

    Duu

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia Před 8 dny

    Sijaangalia ila nakomnt

  • @reilaally5481
    @reilaally5481 Před 8 dny

    Mnachezea biashara za watu alafu hamnunui sio sawa

    • @mwljohnray1725
      @mwljohnray1725 Před 8 dny +1

      Sanya huwa anatoaga ya Maji Baada ya kumsanua mwana ni kipindi wanashoot

  • @DurahRich
    @DurahRich Před 8 dny

    Mnazingua mazee hii content mbovu, mnaharibu wazee utu wa watu.

  • @SONGEAGIRL
    @SONGEAGIRL Před 7 dny +2

    Hivi mkimaliza kuwazingua hivi mnawalipa au mkiwaambia mna record ndo basi🥺🥺 maana nimejikuta roho inaniuma sana na watu wapo kazi afu kazi ya kuzunguka mtaani 😢😢

  • @floodboytz7038
    @floodboytz7038 Před 8 dny

    Magol Sana 🙏

  • @halimaamini8015
    @halimaamini8015 Před 8 dny +1

    Mwisho muwe mnawaingisha iyo biashara unampotezea mtu muda kachoka

    • @bongorecaps3558
      @bongorecaps3558 Před 2 dny

      Halima unaonanekana unaroho nzur sana hadi nimetamani kukuwowa😂❤

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq Před 8 dny +1

    Dulaypvizuriiii😂😂

  • @ramamabrok2523
    @ramamabrok2523 Před 8 dny

    Tx subaru 👑🏆

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu Před 8 dny

    Ila mlichofanya sio fea kuchezea biashara za watu so watu wanafamilia

  • @juliusgeorge1381
    @juliusgeorge1381 Před 7 dny

    Duu acha uongo😂😂

  • @DAZSTUDIO677
    @DAZSTUDIO677 Před 8 dny

    Mmetuigizia apo

  • @andreatutu6179
    @andreatutu6179 Před 8 dny

    Nimejaribu kuchukua nafasi ya yule machinga plus mawazo ya jua la dar la mchana sijajua hata hali ambayo ningekua nayo wakati wa mabishano duuh😄😀😃

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare Před 8 dny

    😂😂😂😂😂