Kwani kosa lake liko wapi kujitambulisha kama yuko USA mbona wajitambulisha wapo kigoma au Kenya hamsemi sio kosa lako shida nimasikini nawivu ndugu yangu mcongo America tuko pamoja 😍
tunajuwa kuwa ni kazi ngumu sana munaifanya hadi sisi kutufikia sisi watazamaji ila niwaombe mjitahid kutoa mapema maana tutapata kufarajika sana tearm dokko kazi mzur sna
😂😂😂😂Hiii move Naipenda Kinoma❤❤❤
Aki mfinanga ameteseka kwa hii movie😢😢😢cjapendraa
Wallah
SS Mzee ww wataka kufa
Nipe mbili basi❤❤
Daah hilo komwe sasa Sonia 😂😂😂😂😂😂😂
Sonia hoyeeee 🎉❤😂😂😂
Mfinanga. Mfinanga. Mfinanga. Unajuwa. aisee. Hongera sana. Maua yako. Chukua. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌🙌
professer umepigaje apo be coz mind see all 🤣🤣🤣
Nawapendraa ❤❤❤
Respect broo
Nikiwa Drc kalemie naikubali sanaa iyiii movie
Kazi moto kazi tamuuuuh big up Dogo nakukubali sanaaaaah❤❤❤❤❤🎉
Wapi chikongweeeeee😂🎉
Mfinanga unajua adi unakela
Kikongwe nomaa anataka mfinagaa 😂😂😂😂😂 ak mapenzi ww like zangu ata mbili tu ❤❤❤🎉🎉🎉
Adi Sonia akaongea engilizi😂😂
Mfinanga ni bonge la muigizaji
Wakwanza mm naomba like zangu team do ko pamoja sana
Wow!wa kwanza leo,much love 4rom kenya
Much love from saudi
Wakwanza toka USA naomba like zangu ata kumi please team doko
Omba like tu acha kujishauwa eti USA ndio tushituke😂😂😂😂
Kwani kosa lake liko wapi kujitambulisha kama yuko USA mbona wajitambulisha wapo kigoma au Kenya hamsemi sio kosa lako shida nimasikini nawivu ndugu yangu mcongo America tuko pamoja 😍
@@christaoman88900:26 👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎😏😏😏😏😏😏😏😏😏
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇺🇲🇺🇲🇺🇲
@@user-nb6yh2bn9ywatu wa USA hawaombi likes kifala mjomba
jamani mi huwa namuelewa sana mfinanga chukua maua yko mfinanga haujawahi niangusha unaigiza kwa hisia sana big up sana
Wakwanza toka DRC nipe like zangu jamani musiwe wachoyo 😊😊😊😊
Sasa
❤❤
Salut comment vas-tu. J’aimerais parler avec toi privé.
Congrats 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Oya wanangu eee hii movie kalili xana binafsi nakubali kupita maelezo ❤❤❤❤❤
Hichi kirembo nakikubali Sanaa.. Mashaallah 🙌🏿🔥Sonia
Jamani sonia ni mzuri hatari
Man from no where am never late much respect 🫡🫡
Wow this is so amazing next episode plz
Wa mwisho😂😂 naonbeni like zangu
Good job 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ for 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow!wa kwanza leo much love 4rom kenya
Mnazingua kichizii yaani kuchelewesha
Duu😂😂 mm naona wamwisho
Kazi nzuri sana bibi apewe mauwa yake 🎉🎉
Hili song la mawenge ni 🔥 muimbaji nani anaejua asemee
❤❤😂😂Tuleteeni io episode 6❤ tuone kikongwe alivyo damshi❤❤🎉🎉
Leo namba moja doko kama doko
Mfinanga achana na Sonia mimi Niko single 😂😂
Nishamuwah😂
Mfinanga chukuwa uwamuzi broo😂😂😂😂
Mfinanga yuwapewa ushaur na saa 😂😂😂ila nyau nyie
🌹🌹🌹💯💯💯💯we kikongwe bibi ndio mpango mzima 🔥🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Sonia forever mama nakupenda
Jaman mimi wa kwanza mnipe link from Burundi
Doko hii filamu umeweza sana❤❤❤🎉🎉🎉
Ahahaaa kikongwe karamba asali anataka kuchonga mzingaaaa da shiii from oman
Waa bb kikongwe kapenda mashallah 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤mfinaga furahisha kikongwe bana
❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂 mfinaga ale nyapu mbunya ya kikongweeee tamu sana 😅😅😅😅😅
😂😂😂😂
Kazi nzuri ubunifu mkubwa nakubali team Doko🎉🎉
Wakwanza kukomet naomba like zangu
Number one like zenu wadau from Ikwiriri Rufiji
Mfinanga the best kwenye part yako umeupiga mwingi bro
Safi sanaa❤
😂😂wafungie tuu
Heti waondomole bibi yangu
Unajua sana kuAct movie
Wew mimi naisi ni bibi wakutoka
Kusin ya Lindi au mtwara maana
Unajua kinomaaaaaaa
Kali sana "OYA WEEEH WENYE VIPARA HUA HATUCHEKESHI" Doko aisee ww hodari kaka from Zanzibar.
Napenda San love story kama izi na izi nyimbo za umu naombeni uzitoe bax
😂😂😂😂😂😂😂Hurumaa si maleziiii
Bigg up❤❤❤doko
Camera man😂😂😂
Doko huyu mwamba n hatariiiii kaka unajuaaaaaaaa
Doko kubali matokeyo maamuzi ya mama huna budi kuyakubali big love from 🇸🇦 to 🇰🇪
Hili dogo la Sonia linalompenda
Sonia lipo vzl sanaaaaaa da! Kwenye kuuva husika
jaman doko mm nampenda sana mfinanga nimuigizaj mzur sana anaweza sana yan i wish angekuwa mume wangu jaman
Najikuta nacheka ty😂😂😂
Kheee mbna mume 😂😂🙌
Chikongwe anzingua san😂😂
Wa kwanza kutoka kenya wapi like
Mama doko kama mama doko anaugwiru mowing San duuh sio poa mfinanga unafeli wap na ww jamna nenda hata siku Moja jamn mama watu 😂😂😂😂
Nyauuuu chizi nyie🎉😂😂😂
Nipeni likes za kenya 🇰🇪🇰🇪
Sonia Yuko vizuri Maashaalla anajicho nataman awe mke wangu😊❤🎉🎉🎉🎉
Kaz Mzur Hla Mnaniuz Mnachelewesha Move
Noma sana 🔥🔥
Aisee Mfinaga upewe tu maua yako🎉🎉
Mfinanga kapatikana 😂😂😂
Wew mfinanga achana na Sonia kikongwe ndo wako mzee😂😂😂😂😂
aaah zii, kikongwe awachane na mfinanga bna,
Naupenda wimbo wa kikongwe bibi najisikia raha nikiusikilizs mwaaaa
Naombeni like zenu from south africa❤❤❤
Doko mnyama 😂😂😂😂😂
Nzuli sana🎉🎉
Unyamaah
Jina la nyimbo kaimba nani mzee baba doko??? Hiyo sijiw ndo mawenge zinga moja la pini
Much love from Kenya
Mwana unatisha
Kikongwe sasa na hilo wigi 😅😅😅jmn makubwa 😅😅❤❤❤
Hii mnaitendea haki sana
Mimi natoka Nairobi Kenya k ukwel mfinanga yuko sawa😅😅
Mnachelwa sana
Bikikongwe ninoma Yan kinganganizi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tuk nanyi moja kwa moja
From Kakuma Turkana county Kenya ,,naombeni likes zenu❤
tunajuwa kuwa ni kazi ngumu sana munaifanya hadi sisi kutufikia sisi watazamaji ila niwaombe mjitahid kutoa mapema maana tutapata kufarajika sana tearm dokko
kazi mzur sna
Ndouzuli from bungoma 🎉🎉🎉
Nimefulai sana
Jamani mfinanga we nihatari kweli❤❤❤🎉🎉🎉
Kikongwe na wig kichwani, weeweeeee😂😂😂😂😂🎉❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kazi nzuri sana guys
Doko fanya mpango jamaa asimulilie sana huyo mwanamke
Na mm kutoka 🇮🇶 nimepend sanaaa dock ❤❤❤😂
Kazi nzuri ❤❤❤🎉🎉
Da! Jamaa mfinanga
Mpaka umeniliza kwa
Adi jogoo kashirikishwa
Much love from china
Unachelew kulet kaz doko