Naomba season 2 ya kikongwe mjamaliza vizuri natamani kumwona kikongwe na mfinanga wakielewana kidogo ❤ iyo mapenzi yote haiwezi isha ivyo kama unaitisha season 2 gonga like
MAMBO VIPI SONIA APA NISEME ASANTENI SANA KWA KUWA NASI TOKA KIKONGWE SEHEMU YA KWANZA MBAKA SASA KIKONGWE SEHEMU YA MWISHO TUNAWAPENDA SANA PIA NAWAPENDA MASHABIKI WANGU MIMI SONIA
Sonia❤❤❤❤ Umetisha sana lakini una macho mazuri kama NYANYA chungu Ukimwangalia mfinanga kama anataka kukimbia Basi sawa hongera sana Sonia ❤❤ jina zuri halafu mwenyewe mzuri Lakini???? Haijaisha Mwisho wa Sonia haujaonekana Mwisho wa kikongwe haujaonekana It means that haijaisha twambieni Tusubir season 2 au ndo m atuacha hivi hivi Movie tamu sana Majibu tafadhal
Thank you Doku for this nice movie we have being together from beginning up to the end we enjoyed this,on behalf of my fellow malawian l'm wishing you all the best ntill next series again
Sad story 😢😢😢😢😢 pole finanga Na Sonia Kwa kweli hii movie mumeteseka Sana...Doko ongera Sana nikija Tanzania nitakutafuta Winnie form kenya.... kikogwe congratulations umekua fuzo Kwa wakogwe wegine
I salute you DOKO👩🎤,,,Kweli wewe no muigizaji,,,, If the best actor is to be selected in the whole world, you will be the best of all. You are such a talent actor,,,Uigizaji wako ni halisi,,,Keep the good work,,, Eagerly waiting for season 2.
Basi kama mumemaliza tupie hiyo goma ya kikongwe jamani ni kali sana. ila wahusika wote humu ndani mmeitendea haki hii tamthilia yaani sijapenda iishe big up kwa woteeee nikisema nitaje jina moja moja sitamaliza aisee mimi ni muigizaji lakin humu ndani mmefanya zaidi ya maigizo🔥🔥🔥
Mfinanga alipokua akipigwa uyu dem mwenye ameshikwa ame smile na alifaa kukasirika ju ameandamwa mikono iko nyuma story nitamu sana naitazama nkiwa kenya mombasa
Kama hii ni finally Sasa tutakua tunanjoy Nini Lafikizanguni ambao hamjafulahia kikojgwe Bibi kufikia mwisho tujuane kupitia like
Good in acting but poor in finishing aistaili iishe vle imeisha
Was amazing
Naomba season 2 ya kikongwe mjamaliza vizuri natamani kumwona kikongwe na mfinanga wakielewana kidogo ❤ iyo mapenzi yote haiwezi isha ivyo kama unaitisha season 2 gonga like
Natamani kikongwe afungwe akafie jera kweli
season two ikunje
Sawa bibi chaka umetisha mama wetu
Kwwli imeisha vibaya sn
Kama na wewe ni mfuatiliaji wa kikongwe kuanzia EP 1 mpka finally gonga like za kutosha apa♥️♥️♥️
❤
Kwanini hautaki like
Daaah saf doko Ii nyimbo inaitwaje
iendelee bwana, tumeachwa kwa taharuki
Deo kutoka makonglos chuny naikubali mdo utam umekolea❤❤
Jamani ss tunataka hii nyimbo ambayo imetumika tunatamani tumspoti huyo kaimba nyimbo🎉🎉🎉🎉 tunatalajiwa kuona kanzi nzuri kuzidi hii❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
GONGENI LIKE MNAO TAKA [ DOKO ] ATUPE [[ KIKONGWE SEASON 2 ] ]
Big up bro doko wapi like za mfinanga
Nimekuwa wa kwanza naomba like zang please please please
Ata kama mimi niwa mwisho nipeni basi ata like 👍 zenu za upendo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Dah kazi nzuri sana mfinanga
Mimi ni wakwaza por favor minhas likes🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
MAMBO VIPI SONIA APA NISEME ASANTENI SANA KWA KUWA NASI TOKA KIKONGWE SEHEMU YA KWANZA MBAKA SASA KIKONGWE SEHEMU YA MWISHO TUNAWAPENDA SANA PIA NAWAPENDA MASHABIKI WANGU MIMI SONIA
Sonia❤❤❤❤
Umetisha sana lakini una macho mazuri kama NYANYA chungu
Ukimwangalia mfinanga kama anataka kukimbia
Basi sawa hongera sana Sonia ❤❤ jina zuri halafu mwenyewe mzuri
Lakini????
Haijaisha
Mwisho wa Sonia haujaonekana
Mwisho wa kikongwe haujaonekana
It means that haijaisha twambieni
Tusubir season 2 au ndo m atuacha hivi hivi
Movie tamu sana
Majibu tafadhal
❤
haujafariki lakini?❤
❤❤❤❤❤❤na sisi pia twakupenda unafanya vizuri sehemu yako manshallaah tabarakallaah
Love u soso
Mimi ndio wakwanza naombeni like zangu
Wakwaza Leo jmn ahsante Sana timu zimaa ya kikongwe❤❤
Wakwanza mimi leo kutoka Msumbiji nipeni like zangu team DOKO
Jamn w pili Leo naomb like zen
Nipeni like zangu jamani mimi wakwanza
Namba 2 like zang jamn kutoka mwarusembe
Namba Moja naomba likes zangu🎉🎉
bado ijaisha iyoo kwasababu atujui Sonia kafa au ajafa na kikongwe vip kakamatwa na police au ameolewa na mfinanga daaa mnafer kumaliza
Ukweli haijaisha
Wallah wa Billah Nimifanyikia Kua WA Kwanza ... NAOMBENI like zenu jamani please
Like zangu zikam mm dio wakwanza Leo 🇰🇪
Thank you Doku for this nice movie we have being together from beginning up to the end we enjoyed this,on behalf of my fellow malawian l'm wishing you all the best ntill next series again
Sad story 😢😢😢😢😢 pole finanga Na Sonia Kwa kweli hii movie mumeteseka Sana...Doko ongera Sana nikija Tanzania nitakutafuta Winnie form kenya.... kikogwe congratulations umekua fuzo Kwa wakogwe wegine
Nakuja wakwanza nipeni like zangu
We kiparaikwe umetisha pia baba big hong
Nimewayi nipeni like zangu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩😅😢
Pamoja sana❤❤❤❤👊
Much love from kenya
Kenya 🇰🇪 Kenya 🇰🇪 Kenya 🇰🇪 Kenya 🇰🇪,,kazi nzuri mfinanga, tunakupenda sana,God bless you ❤🎉.
asanten kwa kazi nzur mwisho wakikongwe ndo mwanza wakaz zingine nzur
Good work guys, waiting for new things
Bro umechelewecha from somalia 🇸🇴
Tulio ifatilia hii tamthilia tokea mwanzo mpaka leo hii imeisha like zenu kwa wingi hapa💪
Hii si tamthilia
❤❤❤❤❤wakwanza naomba like kama unamupenda finanga❤❤❤
Hongera Sana doko kwa movie nzr Kama hii imetufunza mengi
nimewahi lakin sihitaji like
Sii unataka kijanja au
Unafanya vizuri sana family yangu doko
Gooooooooooooood job we are 4evver
Oya mnachelewa kutoa kazi mnazingiwa
mfinanga da lachel da gres kaka doko kamote mjomba na wengine woote nawapenda mnooo
This is one of the best bongo series in 2024. Love from Mozambique ❤❤❤❤❤❤
Vile nlkua naidubria much love mfinanga❤
Mimi Léo wakwa nza naomba muni ❤❤
Asanteeeeee sana Kwa kazi nzur 🌹🌹tunategemea sana kutuletea kazi zaidi 🎉🎉🎉🎉
Asanty tulikua twaingojea sana....
Mimi kibinafsi napenda mfinanga sana ,he is so cute ,I like his character ❤❤❤
Doko na kukubali Sana broo hogera karibu Kenya
imeweza bloody Doko
oyaa doko nicheki nikupe story kalii sanaa
Let's gooooooo
Kazi nzuriiiii mnooo
Doko nakuja wallpaper 🎉🎉🎉
Jaman mbona imeisha mapema iv
Doko tunakupenda unajua sana kutoka 🇧🇮🇧🇮
Hadisi nzuri Sana.... Hongera❤
Hogelen kwakaz nzuuuur .
Mnajua kaz maan kumufurahish mtu nikaz ngumu. Nawap❤
Mmemaliza vzuri San meeleweka pongezi kwenu Doko Bibi usimuache Fanya nae kazi anakipaji Sana pia Mfinanga nakukubali San
I salute you DOKO👩🎤,,,Kweli wewe no muigizaji,,,, If the best actor is to be selected in the whole world, you will be the best of all. You are such a talent actor,,,Uigizaji wako ni halisi,,,Keep the good work,,,
Eagerly waiting for season 2.
Good job mko sawa kabisa
Maskini mfinanga pole.sana kumpoteza kipenzi cako.sonia imeniuma sana maskini😢
Shukran sana doko nimekuw nawe mwanzo mpk mwisho kaz nzur ❤❤❤
Mwisho wa kazi mzuri ndio mwanzo wa kazi nyengine mzuri tunawakubali sana
Kazi nzuri sana
Sijawahi tuma meseji ila leo daa huyu doko mbaya kuliko wote walio cheza hili dude ukatae ukubali huo ndio ukweli jamaa anajua hadi anakera
woow nimefrai kumuona dadaangu gres
Fist coment
Kazi nzur jamani ongereni
Doko hii movie ilikuwa tamu sana rafiki yangu toa kama ulivyo toa hii kichaa wangu
Kila moja n wakwwnza 😂😂😂😂❤
Jinga hii badala isapoti Kaz wanadai like zenye hawaja zifanyia Kaz
😅😅
😂😂😂
Hii ni filamu bora na wala sio bora filam❤❤
Wakumi na moja jamani nimetoka.mbali🇧🇮🇧🇮🇿🇲🇿🇲
Wakwanza naoba like 200
Wa kwanza leo Safi saanaaaa doko....
Wenye vipara hatuchekeshi😂😂😂 naomba likeee zanguuu doko🎉🎉🎉🎉
Asante kwa kazi nzuri sana nyinyi wote wahusika mumedufulahisha sana 🙏 ❤❤
Io Wimbo ya kikongwe post kando tudownload 🎉#doko
Atimae tumemaliza kikongwe 🎉🎉🎉🎉 hatari sana Doko
Wakwanza kama umependa liki elfu mja 1 ikae hap
Basi kama mumemaliza tupie hiyo goma ya kikongwe jamani ni kali sana. ila wahusika wote humu ndani mmeitendea haki hii tamthilia yaani sijapenda iishe big up kwa woteeee nikisema nitaje jina moja moja sitamaliza aisee mimi ni muigizaji lakin humu ndani mmefanya zaidi ya maigizo🔥🔥🔥
Shida wanachekewesha Sana Yani mpaka unasau jamani
Kazi nzuri sana sanaa, yenye mvuto na yenye kuvuta hisia za wafuatiliaji, hongereni sana
Kazi nzuri sana doko hongera sana team mfinanga ❤❤❤
Nko hapa final shikamoo
Nalia na movie
Wow nzuri sana ❤🇹🇿
Kisu kimoja kinatumika kote, mmezingua
Mmemuonea mfinanga tokaa anaanza nikulia tu mpak mwisho jamn
❤❤❤❤❤❤duh nilitamani iendelee tu maana haishi radha
Mwambie doko hiyo move hajaisha
Asante kikongwe
Toa ya uchawi🎉
Msimu wa 2 plse!??
Jmn Mfinanga 😢😢😭😭😭
Hongereni sana vijana
Mmeuwa sana
Aaaaah ebu leteni season. 2, hii haijaisha poa, jameni
Mbona haina sauti
Hongera sana Doko kazi yako safi sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimekuwa 1200 naombeni like hata 10000000
Mfinanga wewe ni noma
Freshi iyo
Niko wakwanza
Mfinanga alipokua akipigwa uyu dem mwenye ameshikwa ame smile na alifaa kukasirika ju ameandamwa mikono iko nyuma story nitamu sana naitazama nkiwa kenya mombasa