KIKONGWE ((EPISODE 08))

Sdílet
Vložit

Komentáře • 647

  • @Mr.kapuyenge
    @Mr.kapuyenge Před 4 měsíci +164

    WOTE WANAOKUBALI HII MOVIE KAMA MIMI BASI BONYEZA like twende sawa

  • @user-ux2jm5zr5n
    @user-ux2jm5zr5n Před 4 měsíci +93

    Sijawahi pata like hata sikumoj jaman nipen hata 5 tu

  • @SleepyArcade-yq5wi
    @SleepyArcade-yq5wi Před 4 měsíci +39

    Tunaishi kiuchoyo uchoyo tu hata like mnaninyima kweli

  • @kiongozifelix
    @kiongozifelix Před 4 měsíci +34

    Nani mwingine anavutiwa na Sonia, huyu dada ni mrembo wiiiih❤❤❤

  • @MissShuuh
    @MissShuuh Před 4 měsíci +47

    Ila mfinanga anajua kuigiza sanah nampenda wallah

  • @Theswaatv
    @Theswaatv Před 4 měsíci +47

    IPI NI BEST SCENE KAT YA HIZI.
    1.KANISANI .
    2.DOKO,BIBI NA MACHAWA,
    3.WANARUDI KUZIKA.DOKO,BIB,MJOMB

  • @MFINANGA735
    @MFINANGA735 Před 4 měsíci +92

    NIPO HAPA KUJIBU MASWALI YENU NDUGU ZETU ❤

  • @DragonKing-bb4zr
    @DragonKing-bb4zr Před 4 měsíci +33

    Kama unamkubali doko weka like hapa...oyah weh oyah weh

  • @kiongozifelix
    @kiongozifelix Před 4 měsíci +32

    Niliona hii TikTok ikabidi nianze na episode 1. ❤❤❤

  • @user-gt6qt6yu8b
    @user-gt6qt6yu8b Před 4 měsíci +32

    Pongezi San kwenu na pia nmpongeze aliyeimba hiyo nyimbo ya kikongwe yupo vzur san

  • @ELIUDPHILIMON200
    @ELIUDPHILIMON200 Před 4 měsíci +30

    Movie nzur ila mnachelewa sana mpka tunasahau muwe mnawahisha kidgo

  • @Sifabi8924
    @Sifabi8924 Před 4 měsíci +31

    I'm from south Africa give me like

    • @Mr_Edalu
      @Mr_Edalu Před 4 měsíci

      For what and for which😢

  • @AffectionateArcticFox-xe9iy
    @AffectionateArcticFox-xe9iy Před 4 měsíci +11

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉kikonguwe kinazinguwa ahhh ila tuliya kitatuliya tu 😂😂😂🎉

  • @user-sk4yh5kw9j
    @user-sk4yh5kw9j Před 4 měsíci +11

    Wa mwisho bc mm nipeni zang kumi like😂😂😂😂

  • @binbadru8408
    @binbadru8408 Před 4 měsíci +3

    Kwangu mm huyo bb NI nyota wa mchezo

  • @kinyasigeneral7069
    @kinyasigeneral7069 Před 4 měsíci +4

    Sonia hongera SANA una kipaji Cha hali ya juu kaza buti utafika mbali

  • @givenrichard8094
    @givenrichard8094 Před 4 měsíci +8

    Doctor wa kupima Ukimwi kaupiga mwingi sana...Saaana.... Maua yake ....He is speaking wisely 🎉🎉

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 Před 4 měsíci +3

    This is love from Mozambique 🇲🇿❤😊🎉

  • @marialuvinga867
    @marialuvinga867 Před 4 měsíci +7

    Nani ameona vaz la kola la mchungaji 😂😂😂 sijui kajifunga lastik😂😂

  • @thebeatshouse
    @thebeatshouse Před 4 měsíci +6

    Nyie wajamaa wote ni wamoto.....ila sonia kametia huruma kamevaa vzur sana uhusika wake kiufupi ni mtu alepewa jukum kubwa na amelivaa vzur hongera zake ❤❤❤❤❤

    • @ajmilatymwana1403
      @ajmilatymwana1403 Před 3 měsíci +1

      Sonia mzuri maashallah mie mwanamke mwenzie lakini penye sifa mtu apewe❤❤❤

  • @Lovenesszani
    @Lovenesszani Před 4 měsíci +3

    Hawa ma bordgud wa doko ni familia ya kicheche nn mbn wanaongea kama kichechee😂😂😂

  • @BennykennyNyabutongo
    @BennykennyNyabutongo Před 4 měsíci +3

    Mbn move haieleweki mala kipand kinaanzia mbela mala iv havielewek mnazipangaje😊😅

  • @asminkigaile9129
    @asminkigaile9129 Před 4 měsíci +3

    Jamani msikae muda mrafu sana

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Před 4 měsíci +6

    Mashallah chendu tena mashallah mpe kisa kidogo hawo mfinaga na soon kikomoo 😂😂😂heri yenu ishallah

  • @amanchuphichuphi4725
    @amanchuphichuphi4725 Před 4 měsíci +6

    Safi Sana doko upo juu bro

  • @MasokaJiko
    @MasokaJiko Před 4 měsíci +7

    Kama wewe ni mshabiki wa kikongwe nipe like

  • @user-jg1no4uw1t
    @user-jg1no4uw1t Před 4 měsíci +4

    Doko kwenye film ihi nakupa 100% ila tatinzo unagawiza kutowa film ndo tatinzo bro yangu kama nikuhigiza we noma Kwa halihii akika utakuja kupita wenye filams wengi na kwangambo yangu Tanzania nahamini sana nakupenda sana wachenza filams 5 tu basi nahaho 5 nawewe umo ndani bro bongezi sana 😂😂

  • @stynoebondomwepu3582
    @stynoebondomwepu3582 Před 4 měsíci +3

    Kazi ni nzuri kabisa

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 Před 4 měsíci +3

    😂😂😂😂taniaaa uuuuuu mbona mna chelewesha

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Před 4 měsíci +2

    Masha Allah mfinanga amempata sonia amefezeheka ntafurai ukimuowa sonia maana ulimpenda kwazati 🎉🎉❤❤

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Před 4 měsíci +3

    Mfinanga kama mfinaga unajua san wallah mfinga ndyo mume wako soon kikomo acha kutoa macho ayo bas watu wana kusifia bore 😂😂😂😂

  • @EmilyMangu
    @EmilyMangu Před 4 měsíci +2

    Hatuna maswali bro job iko good

  • @MtalemwaElenest
    @MtalemwaElenest Před 4 měsíci +2

    Ngoma ipo sawa ih ila munachelewa sana jalib kuwah japo wik au wiki mbili

  • @KisamakaFrancine-mt8vp
    @KisamakaFrancine-mt8vp Před 4 měsíci +2

    Munacherewesha sana muv zenu Yan mpaka kero

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td Před 4 měsíci +2

    Ilanashkulu kwadakika zakutosha from 🇧🇮💐🌹 tunakupenda san

  • @andrewmwegoha5526
    @andrewmwegoha5526 Před 4 měsíci +3

    It's amazing

  • @juliusmwangi3568
    @juliusmwangi3568 Před 4 měsíci +5

    MFINANGA HUJA KOSEA KWA ULEMBO UKO NA SONIA ATA INGEKUA NI MIMI NINGE MUOA NA MAUGOJWA ZAKE

  • @kingofilms955
    @kingofilms955 Před 4 měsíci +4

    Kaka koka umeupiga mwingi sana kazi bola sana 👏👏👏

  • @zhaomanajer1644
    @zhaomanajer1644 Před 4 měsíci +3

    Wa kwanza kutoka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipeni likes zangu ❤

  • @user-ts8gp4nk4x
    @user-ts8gp4nk4x Před 4 měsíci +9

    Sonia ukitoaga macho Aki hupendezagi ukipanuaga sasa pua chida😂😂😂 so nc

  • @StanleyStanleySamsoni
    @StanleyStanleySamsoni Před 4 měsíci +6

    Duuuh kweli hiii movie tumeisubiri Sana mpaka nikasema ndo kwakheri haitaendelea Tena sema ipo vizury sana na hawatubanii kwenye dk hongereni sana wote😂😂😂

  • @user-eh6fs8zq1d
    @user-eh6fs8zq1d Před 4 měsíci +4

    Naomba musicheleweche🇲🇿

  • @seankano
    @seankano Před 4 měsíci +4

    Sijui kwanini hii movie haijaisha,nimekuwa nikitafuta kuona sehemu iliyopita,lol

  • @bramwelsituma6375
    @bramwelsituma6375 Před 4 měsíci +2

    Good job,,from kenya watching alive. ❤❤❤

  • @user-lf3mj1sy2o
    @user-lf3mj1sy2o Před 3 měsíci +2

    Courage sana Wazee wakazi sisi tuko Congo Bukavu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @WivinaFrance-xn3mk
    @WivinaFrance-xn3mk Před 4 měsíci +11

    Nzr japo inachewa mpka radh inakosa

    • @WitnessProsper
      @WitnessProsper Před 4 měsíci +1

      Ni kwel inachelew xan pak had unaisahau

  • @joynicecarol1480
    @joynicecarol1480 Před 4 měsíci +5

    Nipeni likes from kenya

  • @Amina-Rshd
    @Amina-Rshd Před 4 měsíci +6

    Mfina ukipnda wapnda kwel❤❤❤ nmeipenda iyo n imeenda🇰🇪🇸🇦

    • @user-ot3te6mj7b
      @user-ot3te6mj7b Před 4 měsíci

      😂😂😂 umeenda wp tulia kW waigur 😂😂

  • @JanvierParametre
    @JanvierParametre Před 4 měsíci +3

    Kali like mtanipa ila ujuwe kwamba cha muhimu nikusapoti kazi ya hii myamba wanaupiga mwingi

  • @user-yo6dy7kp2m
    @user-yo6dy7kp2m Před 4 měsíci +2

    Nimbugila sio jasiri...huyo ndiye alimwita mwizi je ungeuwawa

  • @KraudiusOswadi
    @KraudiusOswadi Před 4 měsíci +2

    Doko kazi zako nazielewa sana sana. Na kingine kinachonifurahisha ni dakika unazoziweka zinaridhisha hata mtazamaji anapata radha halisi ya movi si kama za wengine wanakuwa kama wanacheza tu eti epsodi inakuwa na dakika 10 haileti hata hamasa .Mungu azidi kukuongoza wewe na kundi lako.

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 Před 4 měsíci +3

    Leo mmenikosha kwenye dakika 👏👏👏👏🥀🥀🥀💥💥

  • @mohamedwako2425
    @mohamedwako2425 Před 4 měsíci +4

    Mnachelewa sana doko😢ebu mrusheni haraka episode 9

  • @jeanbosconibigira4637
    @jeanbosconibigira4637 Před 4 měsíci +1

    Nakubari san

  • @user-yz2vy7nu3o
    @user-yz2vy7nu3o Před 4 měsíci +2

    Jameni tumpeni likes doko wetu 😊😊😊....muvi nimeikubali kikweli ....santi tokea Kenya nimeiwahi hii😊😊😊

  • @jeanclaudemanirakiza8781
    @jeanclaudemanirakiza8781 Před 4 měsíci +2

    Good 👍 job

  • @protasdmassawe
    @protasdmassawe Před 4 měsíci +2

    Hii kali sana pia imechezwa kwa ujuzi sana. Hongera DOKO Bg up 💪

  • @zainaburamadhani9650
    @zainaburamadhani9650 Před 4 měsíci +4

    😂😂😂chendu na uku yupo

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz Před 4 měsíci +2

    Chendu nae ndani 😂😂😂😂😂😂 kutoka kwa chumvi nyingi mpaka kwa doko

  • @nassororashidi33
    @nassororashidi33 Před 4 měsíci +4

    Nimeliona kanisa katoliki dodoma 😂

  • @johnmasha119
    @johnmasha119 Před 4 měsíci +2

    Mjomba na pua yake sasa😂

  • @MiWeyWaUswahilini354
    @MiWeyWaUswahilini354 Před 4 měsíci +3

    PROFESSOR mbona ukusema neno kuhusu Ukimwii😅 wa sonia

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Před 4 měsíci +2

    Ila huyu kikongwe bana😂😂😂😂ati anajihisi UTI asipomwona mfinanga😅😅😅 🙌 🙌 🙌...khaaaa!

  • @user-uu9rz3zm3c
    @user-uu9rz3zm3c Před 4 měsíci +3

    Sheikh wa muchogo acha uongo allah awa ogoze dini siyo yaku chezeya

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 Před 4 měsíci +2

    Team furus team WiFi team kupambana team Doko tuliochelewa tusalimiane jamani nawapenda mno

  • @rafiasamata-id1vx
    @rafiasamata-id1vx Před 4 měsíci +4

    Hakika movie 🎥🎥 inatufurahisha sana

  • @saidmussa6052
    @saidmussa6052 Před 4 měsíci +3

    Mbona mnatucheleweshea hii mov 😅😅😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NeyJulliet
    @NeyJulliet Před 4 měsíci +3

    🎉🎉🎉🎉🎉safiiiiii

  • @NaimaJuma-kb8pb
    @NaimaJuma-kb8pb Před 4 měsíci +2

    Aweee mufinanga we kiboko 😂😂😂 naiona nikiwa kenya kazi nzuri sana❤❤

  • @Wastara-ot1lp
    @Wastara-ot1lp Před 4 měsíci +3

    Mnachelewesha sana episode zinazofata

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 Před 4 měsíci +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kipalaigwe

  • @gibsonombati9546
    @gibsonombati9546 Před 4 měsíci +2

    Nimengoja kuona sonia mikononi mwa mfinanga hongera mazee

  • @FrpMobile-tc9er
    @FrpMobile-tc9er Před 4 měsíci +2

    Bomba ya movie

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Před 4 měsíci +4

    Chendu kama chendu kweli upo misikitn au unalako jambo mara ww mzee mfungo wa pipi

    • @user-xv9me9lm6g
      @user-xv9me9lm6g Před 4 měsíci +1

      😂😂😂😂😂😂amemwambia chumvi nyengi kwamba amealikwa kutoka kwengine hhhh kisa kidogo

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Před 4 měsíci +3

    Kazi nzuri

  • @NtibabaraSimon
    @NtibabaraSimon Před 4 měsíci +3

    Sonia muzur xana

  • @Nairoboss
    @Nairoboss Před 4 měsíci +2

    🔥🔥KUWA UNAPOST REFU IVO KIPARA INGWE 🎉🎉

  • @user-sp6gb6mf5y
    @user-sp6gb6mf5y Před 4 měsíci +2

    Binafsi nawakubali from kwa madiba hapa

  • @andrewmwegoha5526
    @andrewmwegoha5526 Před 4 měsíci +2

    Funga bakuri lako🤣😁😁🤣🤣🤣

  • @Winleizerabdy
    @Winleizerabdy Před 4 měsíci +2

    Hii movie mwanzoni mlikuwa mnaleta mapema sikuisi mnazingua ila huyo ghoko jamani😂😂😂

  • @user-px1uw9cf6m
    @user-px1uw9cf6m Před 4 měsíci +2

    Mbona doko movi unachelewa sana kutoaa

    • @user-px1uw9cf6m
      @user-px1uw9cf6m Před 4 měsíci

      Doko hiyoo kikongwe ni Kali ila mnacheleweshaa kutoaaa

  • @RajabKhamis-il5to
    @RajabKhamis-il5to Před 4 měsíci +5

    Huyo Sonia ni mbaya analifinya how mdomo wake umekaa kma Kuma ya ngombe

    • @Mwana85Mwana85-wz1ol
      @Mwana85Mwana85-wz1ol Před 4 měsíci

      San kk akitoa macho n hilo komo sasa hatariii

    • @Agyy628
      @Agyy628 Před 4 měsíci

      Jmn mnamajibu😂😂😂😂😂😂

    • @christinembaya6208
      @christinembaya6208 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂 niachieni mbavu zangu mimi

  • @caroleangambe1239
    @caroleangambe1239 Před 4 měsíci +2

    Good job next episode plz

  • @khamismohammed1590
    @khamismohammed1590 Před 4 měsíci +5

    Mfinanga unatucheleweshea mpaka Radha ya movee inapoa acha izoo bhn

  • @bellrajkachafuo7813
    @bellrajkachafuo7813 Před 4 měsíci +3

    Mawenge ni jina la nyimbo na msanii yuwaitwaje

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Před 4 měsíci +2

    Mama doko kama mama doko hatariii hyoo m doko balaa anachitingi hyoo mama balaa wallah doko doko mama una hap baba pole yako

  • @alilumia9525
    @alilumia9525 Před 4 měsíci +1

    Top more 🎉imenigusa hii part 8 bigup doko na mfinanga❤❤

  • @user-we7dz8tz9y
    @user-we7dz8tz9y Před 4 měsíci +2

    Lkn jamani si pale kwa mlango kuna kitu huyo mchana akiingia si yuwaeza kufa 😢

  • @user-mv7lp8mz8g
    @user-mv7lp8mz8g Před 4 měsíci +1

    Kenya hapa...show iko fiti...congrats

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t Před 4 měsíci +3

    Tunaomba mwendelezo jamani

  • @SaidMwarandu-fd8gh
    @SaidMwarandu-fd8gh Před 4 měsíci +3

    vizuri kaz nzuri

  • @alilumia9525
    @alilumia9525 Před 4 měsíci +1

    Hii nikali hatare zaid ya zote boss amrish pur..paraingwe❤❤😮

  • @user-hm8lp1ze1u
    @user-hm8lp1ze1u Před 4 měsíci +3

    Wanaume wote wangekua kama mfinyanga mbingu ungekua yakwao hahahah

  • @mateusluis7219
    @mateusluis7219 Před 4 měsíci +1

    Daah iiiih move imenigusa kwenye moyo wangu,, nipo Moçambique Embu nipeni like zangu please 🎉🎉🎉

  • @user-mx5rf1db1j
    @user-mx5rf1db1j Před 4 měsíci +1

    hahahahahaha kazi nzuri

  • @AmurimatabikaClaude-yy9pm
    @AmurimatabikaClaude-yy9pm Před 4 měsíci +3

    Doko usikawiye kutowa part 9

  • @user-el6ev9dt5k
    @user-el6ev9dt5k Před 4 měsíci +4

    Kwahiyo ungemzika pekeako yaani ukakimbizane huko watu wakungoje,umekosa kumzika kwa bange zako😊

  • @user-yb9kb2lz7k
    @user-yb9kb2lz7k Před 4 měsíci +5

    Kwamb naskia vibaya au makumazanii

  • @binbadru8408
    @binbadru8408 Před 4 měsíci +1

    Big up huyo Bibi yupo vzr kwenye kuigiza

  • @adeelgeniuz9492
    @adeelgeniuz9492 Před 4 měsíci +3

    Mfinanga nimmoja tu Tanzania dogo anajua hadi anakeraa....