Nyie wajamaa wote ni wamoto.....ila sonia kametia huruma kamevaa vzur sana uhusika wake kiufupi ni mtu alepewa jukum kubwa na amelivaa vzur hongera zake ❤❤❤❤❤
Doko kwenye film ihi nakupa 100% ila tatinzo unagawiza kutowa film ndo tatinzo bro yangu kama nikuhigiza we noma Kwa halihii akika utakuja kupita wenye filams wengi na kwangambo yangu Tanzania nahamini sana nakupenda sana wachenza filams 5 tu basi nahaho 5 nawewe umo ndani bro bongezi sana 😂😂
Duuuh kweli hiii movie tumeisubiri Sana mpaka nikasema ndo kwakheri haitaendelea Tena sema ipo vizury sana na hawatubanii kwenye dk hongereni sana wote😂😂😂
Doko kazi zako nazielewa sana sana. Na kingine kinachonifurahisha ni dakika unazoziweka zinaridhisha hata mtazamaji anapata radha halisi ya movi si kama za wengine wanakuwa kama wanacheza tu eti epsodi inakuwa na dakika 10 haileti hata hamasa .Mungu azidi kukuongoza wewe na kundi lako.
WOTE WANAOKUBALI HII MOVIE KAMA MIMI BASI BONYEZA like twende sawa
🔥🔥🔥🔥
Umemtoa wapi chendu kwa chumvi nyengi
@@user-xv9me9lm6g KWA CHUMVI NYINGI
moto moto 😅😅😅
@@user-xv9me9lm6gnae yupo kwenye list😂
Sijawahi pata like hata sikumoj jaman nipen hata 5 tu
Tunaishi kiuchoyo uchoyo tu hata like mnaninyima kweli
Nani mwingine anavutiwa na Sonia, huyu dada ni mrembo wiiiih❤❤❤
Mie jicho lake tu
Ila mfinanga anajua kuigiza sanah nampenda wallah
Wallah🎉🎉🎉He is our star🎉🎉🎉
Sanaaa
Mmmmh yuko vizuri sana mpaka naraha yani
Sana hata Mimi nampendaga sana
Doctor amejua Sana kucheza iko kipande
IPI NI BEST SCENE KAT YA HIZI.
1.KANISANI .
2.DOKO,BIBI NA MACHAWA,
3.WANARUDI KUZIKA.DOKO,BIB,MJOMB
2
2
2
Hii.
2
NIPO HAPA KUJIBU MASWALI YENU NDUGU ZETU ❤
Mbona mnachelewesha sana
Unaongeaga ivo lakini badae ukiuluzwa hujibu maswali sasa inafaidagani kuuliza usijibiwe
Mfinanga
Mimi sikuulizi ila nakusifia Tu Mfinanga unajua Sana bro nakupenda bure
Unajua sana broo
Kama unamkubali doko weka like hapa...oyah weh oyah weh
Vipara hatuchekeshi😂😂
Niliona hii TikTok ikabidi nianze na episode 1. ❤❤❤
Same here
Same here
Kama mimi hapa tuko pamoja❤❤❤
Pongezi San kwenu na pia nmpongeze aliyeimba hiyo nyimbo ya kikongwe yupo vzur san
Kwel kabisa anajua sana
Bonge moja la nyimbo
@@gagalinodenatrick1652 San my dear
Movie nzur ila mnachelewa sana mpka tunasahau muwe mnawahisha kidgo
Ila bora hata wemetuwekea dakika nyingi
Yes dakika za uhakika
Tawahisha mkuu usijali kwa Hilo👍👍
I'm from south Africa give me like
For what and for which😢
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉kikonguwe kinazinguwa ahhh ila tuliya kitatuliya tu 😂😂😂🎉
Wa mwisho bc mm nipeni zang kumi like😂😂😂😂
Kwangu mm huyo bb NI nyota wa mchezo
Sonia hongera SANA una kipaji Cha hali ya juu kaza buti utafika mbali
Doctor wa kupima Ukimwi kaupiga mwingi sana...Saaana.... Maua yake ....He is speaking wisely 🎉🎉
Dokta apewe maua yake❤❤❤❤❤
🎉❤
This is love from Mozambique 🇲🇿❤😊🎉
Nani ameona vaz la kola la mchungaji 😂😂😂 sijui kajifunga lastik😂😂
Nyie wajamaa wote ni wamoto.....ila sonia kametia huruma kamevaa vzur sana uhusika wake kiufupi ni mtu alepewa jukum kubwa na amelivaa vzur hongera zake ❤❤❤❤❤
Sonia mzuri maashallah mie mwanamke mwenzie lakini penye sifa mtu apewe❤❤❤
Hawa ma bordgud wa doko ni familia ya kicheche nn mbn wanaongea kama kichechee😂😂😂
Kbsa saut zao
Mbn move haieleweki mala kipand kinaanzia mbela mala iv havielewek mnazipangaje😊😅
Jamani msikae muda mrafu sana
Mashallah chendu tena mashallah mpe kisa kidogo hawo mfinaga na soon kikomoo 😂😂😂heri yenu ishallah
Safi Sana doko upo juu bro
Kama wewe ni mshabiki wa kikongwe nipe like
Doko kwenye film ihi nakupa 100% ila tatinzo unagawiza kutowa film ndo tatinzo bro yangu kama nikuhigiza we noma Kwa halihii akika utakuja kupita wenye filams wengi na kwangambo yangu Tanzania nahamini sana nakupenda sana wachenza filams 5 tu basi nahaho 5 nawewe umo ndani bro bongezi sana 😂😂
Kazi ni nzuri kabisa
😂😂😂😂taniaaa uuuuuu mbona mna chelewesha
Masha Allah mfinanga amempata sonia amefezeheka ntafurai ukimuowa sonia maana ulimpenda kwazati 🎉🎉❤❤
Mfinanga kama mfinaga unajua san wallah mfinga ndyo mume wako soon kikomo acha kutoa macho ayo bas watu wana kusifia bore 😂😂😂😂
Hatuna maswali bro job iko good
Ngoma ipo sawa ih ila munachelewa sana jalib kuwah japo wik au wiki mbili
Munacherewesha sana muv zenu Yan mpaka kero
Ilanashkulu kwadakika zakutosha from 🇧🇮💐🌹 tunakupenda san
It's amazing
MFINANGA HUJA KOSEA KWA ULEMBO UKO NA SONIA ATA INGEKUA NI MIMI NINGE MUOA NA MAUGOJWA ZAKE
Kaka koka umeupiga mwingi sana kazi bola sana 👏👏👏
Wa kwanza kutoka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipeni likes zangu ❤
Sonia ukitoaga macho Aki hupendezagi ukipanuaga sasa pua chida😂😂😂 so nc
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Duuuh kweli hiii movie tumeisubiri Sana mpaka nikasema ndo kwakheri haitaendelea Tena sema ipo vizury sana na hawatubanii kwenye dk hongereni sana wote😂😂😂
Niambie Kaka angu
Naomba musicheleweche🇲🇿
Sijui kwanini hii movie haijaisha,nimekuwa nikitafuta kuona sehemu iliyopita,lol
Good job,,from kenya watching alive. ❤❤❤
Courage sana Wazee wakazi sisi tuko Congo Bukavu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nzr japo inachewa mpka radh inakosa
Ni kwel inachelew xan pak had unaisahau
Nipeni likes from kenya
Mfina ukipnda wapnda kwel❤❤❤ nmeipenda iyo n imeenda🇰🇪🇸🇦
😂😂😂 umeenda wp tulia kW waigur 😂😂
Kali like mtanipa ila ujuwe kwamba cha muhimu nikusapoti kazi ya hii myamba wanaupiga mwingi
Nimbugila sio jasiri...huyo ndiye alimwita mwizi je ungeuwawa
Doko kazi zako nazielewa sana sana. Na kingine kinachonifurahisha ni dakika unazoziweka zinaridhisha hata mtazamaji anapata radha halisi ya movi si kama za wengine wanakuwa kama wanacheza tu eti epsodi inakuwa na dakika 10 haileti hata hamasa .Mungu azidi kukuongoza wewe na kundi lako.
Leo mmenikosha kwenye dakika 👏👏👏👏🥀🥀🥀💥💥
Mnachelewa sana doko😢ebu mrusheni haraka episode 9
Nakubari san
Jameni tumpeni likes doko wetu 😊😊😊....muvi nimeikubali kikweli ....santi tokea Kenya nimeiwahi hii😊😊😊
Good 👍 job
Hii kali sana pia imechezwa kwa ujuzi sana. Hongera DOKO Bg up 💪
😂😂😂chendu na uku yupo
Chendu mchawi tun
Chendu nae ndani 😂😂😂😂😂😂 kutoka kwa chumvi nyingi mpaka kwa doko
Nimeliona kanisa katoliki dodoma 😂
Mjomba na pua yake sasa😂
PROFESSOR mbona ukusema neno kuhusu Ukimwii😅 wa sonia
Ila huyu kikongwe bana😂😂😂😂ati anajihisi UTI asipomwona mfinanga😅😅😅 🙌 🙌 🙌...khaaaa!
Sheikh wa muchogo acha uongo allah awa ogoze dini siyo yaku chezeya
Ndoman umeambiwa ni muigizaji
@@magrethtuma5843 sas kwenye dini hakuna ku igiza
Team furus team WiFi team kupambana team Doko tuliochelewa tusalimiane jamani nawapenda mno
Hakika movie 🎥🎥 inatufurahisha sana
Mbona mnatucheleweshea hii mov 😅😅😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉safiiiiii
Aweee mufinanga we kiboko 😂😂😂 naiona nikiwa kenya kazi nzuri sana❤❤
Mnachelewesha sana episode zinazofata
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kipalaigwe
Nimengoja kuona sonia mikononi mwa mfinanga hongera mazee
🤣🤸❤😊
Bomba ya movie
Chendu kama chendu kweli upo misikitn au unalako jambo mara ww mzee mfungo wa pipi
😂😂😂😂😂😂amemwambia chumvi nyengi kwamba amealikwa kutoka kwengine hhhh kisa kidogo
Kazi nzuri
Sonia muzur xana
🔥🔥KUWA UNAPOST REFU IVO KIPARA INGWE 🎉🎉
Binafsi nawakubali from kwa madiba hapa
Funga bakuri lako🤣😁😁🤣🤣🤣
Hii movie mwanzoni mlikuwa mnaleta mapema sikuisi mnazingua ila huyo ghoko jamani😂😂😂
Mbona doko movi unachelewa sana kutoaa
Doko hiyoo kikongwe ni Kali ila mnacheleweshaa kutoaaa
Huyo Sonia ni mbaya analifinya how mdomo wake umekaa kma Kuma ya ngombe
San kk akitoa macho n hilo komo sasa hatariii
Jmn mnamajibu😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 niachieni mbavu zangu mimi
Good job next episode plz
Mfinanga unatucheleweshea mpaka Radha ya movee inapoa acha izoo bhn
Mawenge ni jina la nyimbo na msanii yuwaitwaje
Mawenge ni MIMI apa😂
Mama doko kama mama doko hatariii hyoo m doko balaa anachitingi hyoo mama balaa wallah doko doko mama una hap baba pole yako
Top more 🎉imenigusa hii part 8 bigup doko na mfinanga❤❤
Lkn jamani si pale kwa mlango kuna kitu huyo mchana akiingia si yuwaeza kufa 😢
Kenya hapa...show iko fiti...congrats
Tunaomba mwendelezo jamani
vizuri kaz nzuri
Hii nikali hatare zaid ya zote boss amrish pur..paraingwe❤❤😮
Wanaume wote wangekua kama mfinyanga mbingu ungekua yakwao hahahah
Daah iiiih move imenigusa kwenye moyo wangu,, nipo Moçambique Embu nipeni like zangu please 🎉🎉🎉
hahahahahaha kazi nzuri
Doko usikawiye kutowa part 9
Kwahiyo ungemzika pekeako yaani ukakimbizane huko watu wakungoje,umekosa kumzika kwa bange zako😊
😂😂😂 nimecheka mwenyew kwa hii comment
Kwamb naskia vibaya au makumazanii
😂😂😂makumazani
@@Liliqn 😂😂😂
😂😂😂
Big up huyo Bibi yupo vzr kwenye kuigiza
Mfinanga nimmoja tu Tanzania dogo anajua hadi anakeraa....