Hi Lovies kama hauna hand mixer unaweza kutumia mchapo tu wakawaida muhimu ufate kila nilichosema kama una new technique share na sisi tujifunze shukran na nawapenda sana 🥰 Video zangu za biashara hizi hapa⬇️ czcams.com/play/PL0lMsQJd3yDB5YqRtSZUla-Wb9N9XMqd5.html Please Subscribe and share #roadto50k
Masha Allah ,pish n zur na nimelipenda pia ,,ila mm nilikuwa naomba unielekez jinc ya kutengenez iyo ising sugar n vitu gan labda vinahitajika ili kuitengeneza .
Ukieka sukari zikiwa moto nibora ila hakikisha zinaliwa zote zinaisha ama sugar itayeyuka si unajua mambo ya sukari na pia zikipoa simbaya ukieka sukari
I love your recipes bt hii umenikoroga dear vikombe viwili unga alafu ukasema 500g nkapima tu unga 500g skutumia vikombe bt hapo kwa sukari unsema kikombe kimona sasa nashindwa ni vipi 🤦
Hi Lovies
kama hauna hand mixer unaweza kutumia mchapo tu wakawaida muhimu ufate kila nilichosema kama una new technique share na sisi tujifunze shukran na nawapenda sana 🥰
Video zangu za biashara hizi hapa⬇️ czcams.com/play/PL0lMsQJd3yDB5YqRtSZUla-Wb9N9XMqd5.html
Please Subscribe and share #roadto50k
Unaweza dear uchanganye vizuri
Naomba vipimo vya baking powder dadangu na unga
@@hadijarama2774 kipenzi ukiwatch video kila kitu nimetaja
Tizama Video hii Love Story 👇 XXXX
czcams.com/video/oUMutSyv3Cc/video.html
@@hadijarama2774 Tizama Video hii Love Story 👇 XXXX
czcams.com/video/oUMutSyv3Cc/video.html
Wimbo harram habibty tia quran upate barka dunia tunaishi kwa mda mfupi mamy
She won’t be able kutuelezea recipe if Qur’an is on, when its on we have to listen no talking,
Mashaa Allah. Nimefanya kwa Eid. Wow zilikuwa nzuri sana.
Shukran mpenzi hayo ndio mambo yakutry yaani unapata kitu murua kabisaaa
MashaAllah easy recipe aki
Thanks and all the best🥰🥰
This is a must try recipe
Thanks
Shukran🙏
Afwan😍😍
Maa sha ALLAH
Tabarakallah
Nakupenda bure Dada Hadija Shebani kwa mapishi tu uko vizuri
MashaAllah...
Tabarakallah 😍
Asalam alaykum lovie this recipe ndio natoka kumaliza kuifanya wallah thank you so much habibty ❤❤😊 Allah barik
Mashaallah shukran sana habbty nimejifunza vizuri afya na umri akujaalie Allah Barka Allah fi ❤
Allahuma ameen shukran babees
Mum yammy
Thankss🥰
@@HadijaSheban recipe ya biriani vipi unatuletea lini
Mashallah, I love donuts
Tabarakallah mm pia sanaa
Mashaallah
Tabarakallah
Mashallah
Tabarakallah
MashaAllah zaonekana nzuri
InshaAllah nitajaribu hii recipe
utapenda sana love
Asante
Karibu sana dear
WOW ❤it's was an easy recipe which was soft and delicious 😋.thank you for the recipe
most welcome dear
mashaAllah mashaAllah.nafanya vya idd shukraan habibty.
Tabarakallah mrejesho muhimu
Mashallah tuko pamoja lazima najaribu
Shukran ❤️
Perfect MashaAllah
Tabarakallah
Mashallah ajab mashallah
Nitam sana mm juz nimeinjoi
MashaaAllah Shukran mpenzi
MA'SHA'ALLAH today I wil make donutes thou I know bt I like to watch Ur recepies
We call this a real support darling I love you❤️
Nice
MashaaAllah yummy💕
Shukran ❤️
ada ya idi. mashallah sante kwa recipe
Tabarakallah my daughter thanks for coming
Great recipe
Recipe simple na mzuri Sanaa. Delicious 😋😋
Thanks
mashaallah
Mapishi
Measuring cup nne ndio nusu kilo(500g) na si mbili kama ulivyosema katika recipe hii ya donasi
Ok
Hiv haiwekwi amira?
Woow
Thanks
Excellent sister
Thank you soo much
Wanikumbusha donasi za pate na shela.👌❤️ MashaAllah
Tabarakallah mpenzi
Thank you for the recipe I will try it.
Most Welcome
Mashallah I know how to make doughnuts but I'll try your recipe
All the best love
Mashallha.asha.nijaribu
Ok love
Woww hio nimependa
Asante sana
Ungekua mwalimu, wanafunzi wangepita sana somo la upishi. Unaeleza kwa kina.
Shukran sana bro nimefurahiiii sanaaaa
Thanks you for sharing. So nice 💖
Welcome
Has good taste
Beautiful very beautiful 🌹👍🌹
Thanks
Hunger mmashallah
Tabarakallah
Habibty Allah akulipe kheir....nimefanya ilikuw nzur saaan 😋😋
Allahuma ameen nimefurahi sana
I like pendasana
Sante sanaa
Aslm alykum nimependa sn lkn kama hutumii blue band unaeza kueka nn
Wow i love this. Thnx
Most Welcome dear
Msallah
Nimependa donasi zako ❤
asante sana kipenzi
Manshallah
Tabarakallah
Mash allah kama unaejua mimi ni mmoja wapo lazima ziwepo hizo donat za ki kwetu Shukran sana
Nakupenda sana ❤❤❤
Hizi ndio za kiasili mpenzi pia upande wangu na nakupenda pia..ramadhan inawapelekaje na family?
@@HadijaSheban alhamdulilah ramadhani yatukimbia dear
Sisi tupo vizur alhmdulilah
kweli ramadhan huwa inakimbia sana ila Alhamdullillah
Looks so tasty! Yum yum! I love fresh donuts!
Thanks sis
Mafunzo bora dadangu
Shukran mpenzi
MashaaAllah dadaa hizi nkifanya za bz ntatoa
Zalipa vizuri sana nitafanya soon za biashara
Asante tamu
karibu
Wow great recipe dear...... loved it ❤️❤️
Me listening the melody❤ by the way...uko vzr dada dija....penda ww from Tanzania
penda ww pia love
Easy to make and nice
Thanks dear
Vp khaliak
Asalam alaikum waramat lay wabarakat vp khaliak dada yangu kwa jina naitwa khadidja nimeped upishi wako
Soo cute 🥰
Thanks soo much
Hoyaaa MashaAllah. Mambo mazuri huku. Niko kwenye Saum mate yanitoka 😋. Shukran kwa kushare. Lv u babe❤️
Love you too my babeee and afwan🥰🥰Upikie jamaa eid InshaaAllah
asante Sana dadangu barakallah
Afwan🤲🤲
Nziri
Nazipenda Dana donat
mimi pia
Hi kun video ingne ulitumia amira, naomb niandikie ingredients kwa kiasi
Mambo ya uswaazy sio,😋
Eeeeeh ndio haya mambo yenyewe
@@HadijaSheban
Nakubali siz
Masha Allah ,pish n zur na nimelipenda pia ,,ila mm nilikuwa naomba unielekez jinc ya kutengenez iyo ising sugar n vitu gan labda vinahitajika ili kuitengeneza .
Chukua sikari weka kwa blender ya vitu vikavu blend mm siweki vitu
𝑴𝒎𝒎𝒉 𝒕𝒂𝒎𝒖𝒖𝒖.
Looks yummy 😋 😍 😊 😀 😜 thanks for sharing your good recipe 😀 👍 😋 😊
Most Welcome
Samahani donat huweki Amira
Ndio dear hizi sio za hamira
@@HadijaShebankwani huwezi oka au hazitakuwa nzuri
Nipikie keki kutumia jiko la makaa nione kama itatoka poa coz sina machine
InshaaAllah soon nawaletea 😍😍
Hi from a new subscriber.. love the recipe
Hi thanks soo much
Yani mate yanishuka uku🤤 me mbili zinanitosha 😂
Takupa tatu kaka
Hio kitu ya white umeziwekea ni nini? They look so soft and yummy. Wacha sasa tutengeneze zetu🤗👌
Sugar nimesaga sis
😋😋😋😋😋😋😋😋
Huweki hamira
Huweki love
Vp mayai hayana kiwango maalim??
nikama hivyo nlivyosema
🤗🤗🤗😘😋😘
❤❤❤
Mm nauliza vp unaweza kutumia saml badala ya siag
Prestige/butter/blueband sijawai tumia samli kwahizi
Hvi huwez kukandia na mafuta au siag mdda
hizi sio hizo love
Asalam aleykum naomba vipimo vya biashara kuanzia kilo moja ya unga.
Waalykhm mussalam ongeza hivi mara mbili au tatu yake
eti hapo kutia sukar mpk zipoe au hvohvo zimoto?
Ukieka sukari zikiwa moto nibora ila hakikisha zinaliwa zote zinaisha ama sugar itayeyuka si unajua mambo ya sukari na pia zikipoa simbaya ukieka sukari
Assalam aleykum dadaa?Je unaweza kutumia BICARBONATE of SODA?
Waaleykhm mussalam no
Kipimo ya butte
Nimetaja deae
Nimetaja deae
Hey Haloo dida mm nimependa hii.
Hey shukran sana usisahau kushare
Hi dear hata mm pia nimependa
@@fatumagilo9712 shukran sana dear
Nauliza huwezi tumia maziwa ya kawaida.badala ya maziwa ya unga
Maziwa ya unga yana faida yake kipenzi try yakawaida pia simabaya
Au weki amira?
Siweki
Pishi limenivutia sana
Asante sana kipenzi
Kama huna mixer huwezi tumia brender?
Mpenzi tumia mchapo tu kama hauna tumia blender
@@HadijaSheban asante
Kama sina butter nitatia nini blue band ama🙄🤣
Eeeh mpenzi weka ile yakwetu yakupima
@@HadijaSheban Naeza tumia exe mandazi
@@MaggieG276 hio hapana mimi nilitumia zilikua ngumu sana sijui shida ilikua ipi but taifa selfrising best supermarket zipoo
@@HadijaSheban Okay.Thank you
@@HadijaSheban maziwa kama sina
I love your recipes bt hii umenikoroga dear vikombe viwili unga alafu ukasema 500g nkapima tu unga 500g skutumia vikombe bt hapo kwa sukari unsema kikombe kimona sasa nashindwa ni vipi 🤦
Sababu kikombe changu 500g ni zaidi ya vikombe 3
kikombe changu kimoja ni 250g
Maa sha ALLAH
Tabarakallah ❤️
mashaallah
Mashallah
Tabarakallah
MashaAllah
Tabarakallah
MashaAllah
Tabarakallah
MashaAllah
Tabarakallah