KUFURU YA UTAJIRI WA MZEE WA UPAKO, NISSAN YA TSH MIL 400, CADILLAC KAMA DIAMOND, NYUMBA USIPIME!
Vložit
- čas přidán 1. 04. 2023
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Zábava
Po
Daaaah noma!
Utapeli kwa kutumia Biblia .. huyu anakufuru na hao wanaompa hela zao ni wajunga.
Nakushukuru sana Mungu kwa Kunipa neema ya Dini ya uislamu.
Ubinafsi hapo kuna washirika hawana mtaji wa laki moja. Magari ya milion 400 yanaota jua
Wanyakyusa mi siwezi kuwashangaa ndivyo walivyo, anawanyonya hao hao sadaka afu anakuja anawaletea majigambo na apo apo anataka Tena watoe sadaka
kweli nimeamini dunia iko kikomoo najua wengi mtataka kuuuliza kwanini nimesema ivi ila werevu washatambua
😂😂😂 imagine ao watoa sadaka wanajiskiaje wakitoka apo wanatembea na miguu hadi wanalia 😂😂😂😂 ujinga ni mwingi sana 😂
😁😁😁😁😁😊
😁😁😁😁😁😁
😂😂😂😂ndio mjue mnaibiwa
@ zaidi kweli kabisa wewe unatoa sadaka mchungaji wako ananeemeka wajinga ndo waliwao
Na bado yanapeleka sadaka kwa tajiri 😢
M 400 namba c
Safi
Sadaka za watu izo zinatumika visivyo
Haya makanisa ya watu binafsi wanatajirika wenye makanisa waumini wazidi kuwa masikini mana.wanakwanguliqa.mpqkq.hela.yq kiberiti.qkirudi nyumbani anaqnza kuwa ombaomba.hela.yote kaiacha kwa mchungqi baada ya hapo mchungaji anawalingishiq gari ya kifahali kqei wajinga.ndio waliwao