Bishop Gwajima Amejibu Tetesi za Utajiri wake/Anajenga Uwanja wa Watu 60,000 kwa Ajili ya Maombi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 04. 2020
  • Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mtumishi Josephat Gwajima amefunguka kwenye kipindi cha Power Breakfast kuhusu utajiri wake .....
  • Sport

Komentáře • 177

  • @mithletlwoyelo6044
    @mithletlwoyelo6044 Před 4 lety +7

    This is one of the servants of God I respect and listen to.More grace!

  • @felixmwacha6216
    @felixmwacha6216 Před 4 lety +7

    Yesu alikufa kwa ajil yetu inatupasa kumwamwin il tuingie mbingun nimeielewa hiyo bishop

  • @silajulius3467
    @silajulius3467 Před rokem +1

    kabisa. muujiza mkuu Ni Mtu kuokoka na kumpokea Yesu Kristo

  • @fidelialucassamkhumbi2476

    I love the bishop, umaskini haupo mbinguni, ndio negative yenyewe

  • @miltonmugisha1805
    @miltonmugisha1805 Před 4 lety +11

    Gwajima is very smart Hasa hapo kwenye muujiza mkubwa

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 Před 4 lety +5

    Uwatakase kwa ile kweli neno lako (Mungu) ndiyo kweli. Yohana 17:17

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm Před 9 měsíci

    I love my Dad gwajima may God bless him

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 Před 3 lety

    ndugu gwajima anajibu kwa hekima may GOD bless him

  • @margaretkarambu936
    @margaretkarambu936 Před rokem

    A brilliant Man of God.

  • @user-sk9jc7fy4f
    @user-sk9jc7fy4f Před 3 měsíci

    Unahekima ya kristo ndani yako mzee ❤❤❤

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 Před 4 lety +8

    clouds Tunaomba mtuleteee video za Sam_Sasali akiwa anaperusi na kudadisi na wakina kipanya

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga3531 Před 4 lety +1

    my role model

  • @mariarashid6140
    @mariarashid6140 Před rokem

    Bishop wangu gwajima tunakupenda

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Před 4 lety +1

    Kwanini mko studio but mchukua local video sauti haiko well

  • @abahimbangerina380
    @abahimbangerina380 Před 4 lety

    SIZYA hebu fanya upate mwenzio maana nimekuona leo kumbe umeisha kuwa mtu mzima. Napenda maongezi na maswali yenu...challenging questions.

  • @Patience.67
    @Patience.67 Před 2 lety

    Nampenda Baba gwajima enyewe ana mafunzo mema

  • @laurentmbakile9389
    @laurentmbakile9389 Před 4 lety +1

    Leo cameraman yuko vizur!

  • @user-uo5em7im6b
    @user-uo5em7im6b Před 2 měsíci

    Askofu Gwajima ichambue bible

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Před 4 lety +5

    Baba angu Askofu akiongea natamani Kila mtu anyamaze nimsikie kwa Makini

  • @sospeterkamala5481
    @sospeterkamala5481 Před 4 lety +7

    Hao watangazazaji wamekutana na kichwa kinachowazidi akili na Mungu

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 Před 4 lety +2

    Ila masoud naona umemuivisha ciza

  • @RaimundoZacariasJonas-jq1bg
    @RaimundoZacariasJonas-jq1bg Před 6 měsíci

    Nimependa apo kwenhe muhujiza

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola5950 Před 4 lety +1

    Huwa najiuliza sana WATU WA mungu kuwa matajiri NA kushindwa kusaidia maskini NI SAHIHI kweli? Ndiyo mungu anasema HIVYO.
    Huwa sijasikia hapa kwetu Tz wachungaji wakisaidia WATU wanapopata majanga.
    NI toe mfano kwa NABII TB JOSHUA JINSI MUNGU ANAVYO MBARIKI NA KUWAPONYA WATU WAKE KWA HATUA HIYO NAONA UWEPO WA MWENYEZI MUNGU.

    • @mathewssilungwe7692
      @mathewssilungwe7692 Před 2 lety +1

      Hakuna mtumishi nabi kama TB Joshua hapa TZ.... Yule TB Joshua alitoka kwa Yesu na pia tutamuona wote tukifa Mbinguni.

  • @user-cj4qz6dp9y
    @user-cj4qz6dp9y Před měsícem

    Mchungaji tu me kuelewa.

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 4 lety +1

    Amen.

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho2432 Před 4 lety +5

    Shikamooh gwajima

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 Před 4 lety

      🤣 🤣 🤣 🤣 Barack! 🤔

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 Před 4 lety

    Leteni zaka kamilighalani ili kiwemo chakula ktk nyumba yangumkanijaribu kwa njia hiyo asema Bwana wa majeshi. Malaki 3:10
    Nataka kusema nn zaka na sadaka ni mali ya Bwana. Kwa hiyo hata gwajima ni lzm atoe zaka na sadaka tena kwa uaminifu na km hatoi bibilia inamuhesabu kuwa ni mwizi.

  • @josej9888
    @josej9888 Před 4 lety +4

    Chuma hicho.

  • @denistimothy6650
    @denistimothy6650 Před 4 lety +1

    Yan uyo lady presenter ana put much concentration ya kuhangaika na kisim chake kuchukua video wakat kuna camera zimefungwa apo 😅😷

  • @abrahamyohana4953
    @abrahamyohana4953 Před 4 lety +2

    Oya muachenihuyo gwajima! Mutamuumbua

  • @jaafarjacka3320
    @jaafarjacka3320 Před 4 lety +4

    Masoud Kipanya........maswali magumu unauliza

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 Před 4 lety +2

    Maswali magumu sana aise

  • @ovn-sportswear4983
    @ovn-sportswear4983 Před 4 lety +3

    Kabla ya yote watangazaji na waumi nendeni mkaisikilize nyimbo ya afande sele ft bele9 dini zililetwa tu kutoka mashariki ya mbali sasa inashangaza amzungumzii kabla ya hao watu weupe kuja africa sisi watu weusi tulikuwa hatu mungu wa mtume mweusi tiii kamimi au wewe leo hii unajifanya unaimani ya kuletewa

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 Před 4 lety

      Ukitaka kusema hivo enzi hizo hata Hospital hazikuwepo viwanda mashule, umeme nk

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 Před 4 lety

      Na kingine hata ww said hukuwa na dini hiyo kabla ya mwarabu

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 Před 4 lety

      Said Athmani, inaonesha hujui Mungu ni nini! Unafikiria kuwa Mungu unaweza kumtengeneza hata wewe akawa Mungu wako.
      Mungu ni muumba wa wote, ni Baba wa wote wenye mwili. Wazungu kama waliteta dini ambayo hukuielewa inaweza kuwa sawa kwa sababu kuna dini nyingi; zinazoitwa za Kikristo na zinazoitwa za Kiislam. Dini siyo Mungu, lakini Mungu bado yuko. Mungu anawafanya watu kuacha dhambi wakishamtambua na kujua madhara ya dhambi, kwamba ni moto wa Jehanam. Nikizungumza hilo bado utasema ni mafundisho ya kizungu au ya kigeni; ni kwa sababu hujampokea huyo Mungu. Nikikuelezea kwa maandiko katika biblia utasema zimeletwa na wageni, bado moyo wako utakuwa mbali. Jambo moja fahamu tu kuwa, sisi ni viumbe, hatutaishi milele hapa duniani, na aliyetuumba ni Mungu mwenye haki yote, anataka tuishi maisha ya kutokuwa na dhambi au maisha ya utakatifu, Zaburi 16:3. Mwanadamu kwa jitihada hawezi kuishi maisha hayo, ni mpaka ajitambui na ahitaji msaada wa kushinda dhambi kutoka kwa Mungu mweyewe.
      Ni suala geni kwako, lakini tu ni kwamba wenye dhambi wote , wakifa wanaenda jehanamu ya moto, kama huamini utakapokuwa umekufa utaamini maneno haya.

  • @thomasbukuru
    @thomasbukuru Před rokem

    Bishop GWAJIMA Chuma kabixa

  • @mwaminiwivine2840
    @mwaminiwivine2840 Před 4 lety

    Diyounawapa ujumbe hawasikiye

  • @mr_kajombaremelo_og2134
    @mr_kajombaremelo_og2134 Před 4 lety +4

    Naipenda clouds

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 Před 4 lety

    Acha aendelee kukusanya sadakkma za watu mungu anamuona

    • @queenjaneth886
      @queenjaneth886 Před 4 lety

      Huna Akili kabisa na unachokiongea hujui unaongea tu Bible inasema watu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndo wewe sasa

    • @eliassospeter
      @eliassospeter Před 3 lety

      Sasa unataka uajiliwe wewe ukakusanye?? Mbona akili kidogo unauliza nini sasa hapa?! Kazi ya sadaka ni nini? Hebu soma na maandiko ili uelewe.

    • @margaretkarambu936
      @margaretkarambu936 Před rokem

      Ukienda kanisani ni lazima utoe sadaka.

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye5565 Před 4 lety +1

    Uwezi kujilinganisha na Papa,sababu papa hanamali zake binafsi,malianazo tumia zinabaki kanisani

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 Před 3 lety

      Ameongea mfano tu kwani papa ni Nani si binadam tu na yy kuanza Kanisa lake ipo kisheria na hata kutoa sadaka hakuna kudhikiwa bunduki hata ukitaka usiende hushtakiwi sadaka sadaka Tena wasemaji wa sadaka wao wanatoa mia mbili

  • @emmanuelbasu4672
    @emmanuelbasu4672 Před 3 lety

    nisaidie nmb yako askof Gwajima

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 Před 4 lety +6

    Gwajima swali kuhusu utajiri umezungusha nakupa F kwa ulivojibu yaonesha munawaibia ao wananchi

    • @brigithadidas5128
      @brigithadidas5128 Před 4 lety +1

      Amna mtu anaeibiwa maana sadaka sio lazima

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 Před 4 lety

      Kiukweli asemae wanaibiwa wananchi unakuta hasomi maandiko bibilia iko wazi hilo ni 1la pili kuhusu kutaja mali zake acheni kbs mm naona haina mantiki yoyote huwezi kuchukuwa mazingila ya ulaya ukaya leta Afrika hapo nikitu hakiwezekani hapo tu kuna watu walikuwa wanasubiri kwa hamu ataje halafu angeona ambacho kingefatia

    • @queenjaneth886
      @queenjaneth886 Před 4 lety

      Ongea machache Abu maana Mali zake wewe hazikuhusu hata kidogo

  • @elinihakieliakunda9967

    Majibu anayotoa kwangu bado sana

  • @raymondmelele1911
    @raymondmelele1911 Před 4 lety +2

    Uyo jamaa ana point sana

  • @wekaputv9406
    @wekaputv9406 Před 4 lety

    Kachemka

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 Před 4 lety +1

    Maswali haya mh!🙆

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 Před 2 lety

    Mali ya kanisa nani mwenye kanisa wakati wewe ndiyo mmiliki wa kanisa?

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Před 2 lety

    Mali zake na utajili vina mahusiano gani mwacheni awatumikie tz

  • @saidahamada7782
    @saidahamada7782 Před 4 lety +1

    Mali za sadaka hizo

  • @chitemakeha2067
    @chitemakeha2067 Před 4 lety +5

    Mlidhani gwajima kapataje utajiri? Nyie watu gwajima ni intelligent sana yan hamkujua?

    • @syriacussylivester4594
      @syriacussylivester4594 Před 3 lety

      Kweli jamani iweni makin huyoo ni mtumishi mkubwa anaetumika kimungu so badili mawazo yenu ety mtaumbukaaa

  • @iamthefarmerceo2316
    @iamthefarmerceo2316 Před 4 lety

    MasOUD Kipanya is the RADIO PRESENTER OF ANOTHER LEVELS!! Mwaswalii ya akili na yeye anazo akili pia.

  • @Goodmusic2017
    @Goodmusic2017 Před 4 lety

    Mwenye akili kashaelewa...!!
    No time to argue...!😃😃😃

  • @graceufufuo1502
    @graceufufuo1502 Před 4 lety +1

    👍👍💯

  • @faridumiraji9960
    @faridumiraji9960 Před 4 lety +1

    maswali lit pekee hiii ndo clouds

  • @aminamunezero
    @aminamunezero Před 4 lety +1

    Namkubalisana.sikuhizi simsikikuliamsha dude

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 Před 4 lety

    Mwongo marizote zamakanisa haya yakireo huwa nimarizo na wanaandikisha kbs serekarini kama mariyao

    • @jerryjuma1339
      @jerryjuma1339 Před 3 lety

      nawewe fungua kanisa Kama unaona anafaidi mwenzio

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 Před 4 lety +1

    Gwajima janja janja sana veve ,unajbu maswal kijanja janja sana

  • @sunrishmussan7929
    @sunrishmussan7929 Před 4 lety +1

    Maswali mengne mnayotakiwa kuwaulza hawa wachungaji nkwamba KWANINI WAMEKUWA HAWAWAXOMEI WAUMINI WAO BAADHI YA SURA KWENYE BIBLE bali wamekuwa wakifichafcha tu mambo na kuwaxomea xehmu wanazoona zitawanufaisha wao?

  • @kibonahenry1521
    @kibonahenry1521 Před 4 lety +5

    Huyu jamaaan anapoint xana

  • @azadida801
    @azadida801 Před 4 lety

    Mchungaji vipi kuhusu dawa ya corona, hapo ndio pa kusaidia, kama kweli unatembea na Yesu wapi dawa ya Corona

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 Před 3 lety

      Na baada ya kupona mbona sijaona ukirudisha shukrani kwa Mungu sio vizuri kudhihaki maana hata sisi tunapaswa kuomba sio baada ya tatizo ndio tuambie Watumishi km unahubiri nione na hili ukilifanya neno linasema ktk Ezra inuka maana shuhuli hii inakuhusu

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 Před 4 lety

    hawa ni wachungaji waongo tu wanaijua kweli hawataki kuifundisha.

  • @hamadshein8272
    @hamadshein8272 Před 4 lety +2

    Ckuwatuma muende kuponya watu kwa jina langu.mimi nyie cwajui. Yesu huyo ndo anacma sasa cjui hpo pamekaaje.

    • @robathzingu1650
      @robathzingu1650 Před 4 lety +1

      Una - refer toka wapi hiki unachokisema hapa? Biblia au Korani? Kama ni Biblia toka kitabu gani na aya ya ngapi ndugu?

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 Před 4 lety +1

      @@robathzingu1650 yesu kawakana hawa mitume feki hta kabla y cku y mwisho.sasa hta nikikwambia ukacme hta badilika.wewe komaa mpka cku ya mwisho.ukakataliwe live.

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 Před 4 lety +1

      @@leokadiakajuna8000 uctoe povu.dogo rudi ucme baibo wewe unaendaga kuimba tu.

    • @hamadshein8272
      @hamadshein8272 Před 4 lety +1

      @@leokadiakajuna8000 wanao jiita mitume walijua hlo.

    • @marygregory7566
      @marygregory7566 Před 4 lety

      Tutajie hilo andiko linatoka kitabu gani Cha biblia na sura ya ngapi

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 4 lety +4

    Wajinga ndio wanaoliwa ...

  • @uhurusamora860
    @uhurusamora860 Před 4 lety

    Nabii wa shetani huyo tapeli! Yesu hakuwa tajiri wala Papa wa Vatikan sio tajiri ana mamlaka tu!! Kumbuka "Tajiri kuingia ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupenya ktk tundu la sindano" mungu anakuona!!

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 Před 4 lety

      Mamlaka ya Papa ni ya mbinguni au duniani? Papa kwa taarifa yako ni Rais, akiingia nchi yoyote anapigiwa mizinga kama Rais.
      Rais halafu kiongozi wa dini! Cha msingi nadhani ni utakatifu na uaminifu kwa Mungu, na pia kuhubiria watu kweli ili waende mbinguni.

    • @eh2construction575
      @eh2construction575 Před 4 lety

      Ndo ulivyoelewa kumbe, endelea kuwa maskini. Ukiwmbiwa toa mchango wa kujenga kanisa unahama kanisa, toka kwenye umaskini. Yesu alikuwa maskini ili tuwe matajiri

    • @akagast5225
      @akagast5225 Před 3 lety

      Kwan ww unapenda umasikini?

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 Před 4 lety +1

    Wewe mchungaji unasema ni mfuasi wa Yesu na Yesu anasema msimwite mtu baba kiimani hapa duniani... Mbona hueleweki... Mathayo 23:9
    Mathayo 23:9 BHND
    Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni.
    BHND: Biblia Habari Njema

    • @linnamlay3643
      @linnamlay3643 Před 4 lety +5

      Hiyo tafsiri huwezi kuijua kama huijui biblia,hilo neno baba litakusumbua,usisome biblia kutafuta cha ku comment neno la Mungu kwa mkristo linaeleweka katika kufunuliwa kwa neema tuu,halina degree ya kwanza katika kusoma biblia,unaweza ukaisoma biblia hadi uzeeke usijue alichomaanisha Mungu,lakini anaweza akamfunulia mtoto mchanga,au hata asiyejua kusoma akaijua biblia, so unapotoa maoni jitafakari kwanza nia yako ni ya kimungu au ushabiki usokuw na tija kibiblia???Mungu akufunulie neno lake katika kweli ndugu yangu.

    • @leokadiakajuna8000
      @leokadiakajuna8000 Před 4 lety

      Ttzo hujui inamaana gn km haujui biblia hutoelewa kitu umo

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 Před 4 lety

      @@linnamlay3643 wewe unae elewa toa ufafanuzi Yesu kakusudia nini?

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 Před 4 lety

      @@leokadiakajuna8000 Nilifikiri ungetoa Andiko kua unaweza mwita Askofu baba hata kama hana mke au umemzidi umri umwite baba

    • @princepeter2110
      @princepeter2110 Před 4 lety

      Ndo ipo hivo ila mkiifata,biblia kichwa,kichwa,utakuwa unasoma riwaya,za bunuas

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Před 4 lety

    Nanyie watangazaji muulizeni maswali ya msingi alisema corona HAITAINGIA sasa imeingia ajibu huyo Mungu kigeugeu akoje?

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 Před 4 lety

    Daa hii interview ingekuwa kule WASAFI TV comments zingekuwa zaidi M1 ila hapa zipo 81 tu yaani chini ya 100 daa hii ni hatari ndugu zangu watanzania mgonjwa yupo ICU

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Před 4 lety

    Come on.... wewe jamaa Baba mtakatifu sio tajiri kama usemavyoooo wala hana utajiri binafsi kama usemavyo.... usiwalaghai watu. Utajiri wa Papa ni wa kanisa na wewe ni wako binafsi.

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 Před 4 lety +1

      we tako kweli inamaana hujui kwamba papa ni rais wa roma ?? unajua miongoni mwa watu matajiri duniani yupo papa emb kasome uskae kujibu jibu tu vitu hujui

    • @bernardmwenda5186
      @bernardmwenda5186 Před 4 lety

      Katoliki ni taasisi Papa ni kiongozi Mkuu wa taasisi hiyo. Ufufuo na Uzima ni taasisi na Gwajima ni kiongozi Mkuu wa taasisi hiyo, tatizo liko wapi? Kama ni mali, taasisi ya Katoliki inayo, na pia Ufufuo na Uzima nao wanayo kidogo kutokana na ukubwa wa taasisi yao. Tatizo liko wapi? Nadhani tatizo ni ile hali ya kuzaliwa katika mazingira hayo, sasa unapoona mazingira mengine unaona kama si halali isipokuwa yale uliyoyazoea unaona ndiyo sawa. Ndiyo maana kutokana na watu kuwa na mazoea hayo, wanafikia hali ya kusema, mtu asipokuwa dini fulani basi hatamwona Mungu; wanadhani kwamba ile dini aliyozaliwa na kurithishwa na wazazi wake ndiyo dini ya kweli; hata mimi ndivyo nilivyokuwa.

  • @hamadhamza8764
    @hamadhamza8764 Před 4 lety +1

    Hamna kitu hapo sadaka tu za waumini hizo asiwalishe watu matango poli

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 4 lety

    Mnajaribu kumtakasa muulizeni kondoo wa bwana kaacha kuwatafuna? Matapeli wajanjawajanja

  • @treyguydangote4034
    @treyguydangote4034 Před 4 lety

    Uyo mzee mla sadaka tuu hana lolote dini biashara tuuu

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 Před 4 lety +1

    Hawa jamaa wana take advantage kutoka watu masikini.. Kwa uongo wao.. Wanafufua au wanaponya kwa jina la Yesu... Mchungaji sasa kuna wagonjwa wa Corona kwanini msiwaponye kwa jina la Yesu?

    • @jamesmlengela156
      @jamesmlengela156 Před 4 lety +3

      Juma usiseme waongo swali ni je hao wagonjwa wanaamini Yesu anaponya?au Maana imani ndio uponya mtu

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 Před 4 lety

      @@jamesmlengela156 wacha uongo wewe toa Andiko jina la Yesu linaponya, mwenyewe Yesu anasema mimi siwezi kufanya jambo lo lote kwa mamlaka yangu mwenyewe... Soma Yohana 5.30

    • @eliarichard9218
      @eliarichard9218 Před 4 lety +1

      Juma Jaffary yesu anaponya watu kwakuwa Baba yake Mungu wa mbinguni amemluhusu kuponya ndiyo maana hata mtumishi yoyote wa Mungu hawezi kuponya kila mtu Bali mbaka ambiwe na Mungu wake kuwa mtu furani au Fanya jambo furani kwaajili ya nchii na Mungu atakuwa nae cku zote

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 Před 4 lety

      @@eliarichard9218 Toa Andiko Mungu kasema Yesu ni mwanangu... Yesu amesema yeye ni mwanadamu

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 Před 4 lety

      @@eliarichard9218 matayo 26 62 Kisha kuhani mkuu akasimama, akamwambia Yesu, “Huna jibu? Husikii huo ushahidi waliotoa watu hao?” 63 Lakini Yesu hakusema neno. Basi kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa jina la Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu.”
      Mungu.”
      64 Yesu akajibu, “Umetamka mwenyewe. Lakini nina waambieni nyote kwamba baada ya hapa, mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kulia wa Mungu mwenye uweza na akija juu ya mawingu ya mbin guni

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 4 lety

    Usiongelee uislam haukuhusu wala haujui.

    • @chripinecharl3s302
      @chripinecharl3s302 Před 4 lety

      MUNGU TUSAIDIE NA HAWA WATUMISHI WA SIKU HIZI!

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 Před 4 lety

      kaongelea kibaya nin hapo we fala?

    • @frankanold9803
      @frankanold9803 Před 3 lety

      sikujui wewe ni nani lakini I guess anaujua uislamu kuliko wewe

    • @amosidjuma3146
      @amosidjuma3146 Před 2 lety

      @@frankanold9803 Nataka kuwahona anaye tikisa tazaniya mimi ni ir amosi Niko diyarasi