HATARI KUBWA KWA WAKRISTO NA Baraka Tossy

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024

Komentáře • 221

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zj Před 20 dny +12

    Mi nimemuelewa sana Trump l, watu wanachati sana, imani inapotea yeye kaliona hilo kama mnabisha kwa kauli yake, shetani atapambana nae lkn hata shina.
    Pamoja na mabaya yake Trump lkn anapinga ushoga na usagaji na kutoa mimba, Mungu amsaidie

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 Před 2 dny +1

    Asante kwa ufunuo wenyenguvu hata mimi ninasadiki unachokiongea. Tujiandae tufue mavazi yetu

  • @user-mc8ob4hc3l
    @user-mc8ob4hc3l Před 9 dny +1

    I knew this man is Godly.i felt so bad when he didn't go through as president.. but God knew and knows better.. I deeply felt bad in my heart. Let God's will be done. Amen

  • @francisluanda8672
    @francisluanda8672 Před 10 dny +2

    Mamlaka inatoka kwa Mungu, na Mungu ni umoja si utenganio lakini true prophet anatabiri jambo na linatokea yeye akiwa hai kwa nadra sana anakuwa hayupo, yule mnyama ni uwakilishi wa shetani aliyejeruiwa kwa mara ya kwanz na Mwenyezi Mungu kwa kuwa alishuka na theluthi moja ya malaika wa mbinguni ndio hao wanaoendelea kumtesa mwanadamu wakijaribu kutaka kupata nguvu za awali ambazo hawana,
    SASA
    Tujifunze jambo moja muhimu nalo ni kumuheshimu Mungu na kutii amri zake kwa sababu kwa Mungu mbinguni haendi au hakuna msabato, hakuna mmarekani, hakuna mkatoliki, hakuna Donald Trump hakuna muisalam kwa Mungu kuna watakatifu walioweka uhusiano sahihi naye wakiwa hapa duniani we should not consider or treat GOD in our human sentiments

  • @johnmuturigithinji3581
    @johnmuturigithinji3581 Před 27 dny +3

    Ukweli bro barikiwa warning of last day revelation 14:6-12 Amen

  • @Tumai_moja
    @Tumai_moja Před měsícem +2

    Ubarikiwe kwa ujumbe mzuri wa kutukumbusha ujio wa Yesu.

  • @OmariShuli
    @OmariShuli Před 12 dny +1

    Dhana nzima ya kuchanganya dini na siasa inakuja pale ambapo viongozi wa serikali si wanadini, si watekelezaji wa maamrisho na makatazo ya Mwenye ezi Mungu. Hawa dini kwao wao ni kikwazo cha kuyatekeleza matamanio ya nafsi zao. Dini ni Sheria; maamrisho na makatazo kutoka kwa muumba kwa ajili ya kusimamia MASLAHI YA MAISHA YA WATU. kama mtu anaweka utaratibu ktk vitu vyake, ikiwa ni nyumbani kwake kazini kwake shambani au popote pale, vipi Mwenye ezi Mungu auumbe ulimwengu, watu waishi ndani yake kisha auache pasi ya kuweka utaratibu wa Kuishi? HAIWEZEKANI. Qur 75:36. "...Hivi Mwanaadamu anadhani ataachwa bure?(yaani bila kuwekewa sharia?) Serekali ilitakiwa kusimamia utekelezwaji wa Sharia za Mwenye ezi Mungu.

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 27 dny +8

    Trampu ndio mpinga ushoga kama na usagaji japo ana mabaya yake lakini ana hofu ya Mungu pia laki mwandishi dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu lakini Ufalme wa mbinguni ni mpango wa Mungu kumtamfuta mwanadamu

  • @Alexanderthegreat-w3v

    Amina mungu atalichukua kanisa lake

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i Před 15 dny +4

    LAZIMA UNA BII WA SIKU ZA MWISHO UTIMIE WATEULE WA BWANA TUJITAKASE YESU ANARUDI

  • @NeemaElisante-zd2dt
    @NeemaElisante-zd2dt Před 4 dny

    WEWE Trump ni rais mzuri sana he puts Gods first ambacho naona hakieleweka hapo ni kua amesema anairudisha bibilia hivyo watu watakua wakimuabudu Mungu yaan kuweka Mungu kwanza na pia constitution ambayo itamtambua Mungu yaan ukristo utakua mbele he is good kwa kweli

  • @JonathanNtauta
    @JonathanNtauta Před 9 dny +1

    Barikiwe kwa ujumbe mzuri

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange Před 4 dny

    Zwewe hufahamu,Amerika,UK,Sweden,Denmark yangu zamani hizi hujulikana Kama Nchi za Kikristo,na ndio maana Amerika hujinasibu kuwa In God we Trust.

  • @R.mkushi-vo2hn
    @R.mkushi-vo2hn Před 11 dny +2

    WAZUNGU wanataka kutupeleka kwenye mpango wao wa DINI Moja DUNIANI
    Ambayo.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 29 dny +4

    Mpendwa unachokisema niukweli Adui wa imani anakuja kama malaika wa nuru ,Kwa waminio ninamana waliozaliwa mara ya pili sasa huu ndiyo wakati wakutengwa na Dunia nzima
    Ukiwa rohoni utajua nini kinafanyika napata afaraja ,ukombozi umekalibia wa kanisa kuondoka na Mzee wa siku,

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Před 26 dny +7

    Bora ya Trump kuliko mashoga hayo. Namuombea Kwa mwenyezi aweze kupita na aje awanyooshe hawa waliopinda na ushoga

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 24 dny

      hatusemi Trump au Biden ni bora kuliko mwingine lakini hawa wote wanatuongoza kuelekea Muungano wa Dini na Serikari

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 11 dny

      ​@@tossymediachannelsi kweli

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 11 dny

      ​@@tossymediachannelTrump hashabikii huo muungano kamwe usimquote tofauti

    • @kananisarafe8582
      @kananisarafe8582 Před 10 dny

      Ukweli unasema

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l Před 9 dny

      Trump lazima awe raisi marekani ili atimize mpango kazi wa madhehebu ya kikristo kuwa na nguvu ya serikali,na Hilo litaanza kwa kuipitisha hyo biblia mpya ya marekani,na baadae marekani yenyewe itajitangazia kuuheshimu umoja wa kidini na serikali walioutengeneza,na ktk kilienzi Hilo, marekani itajitangazia siku ya ibada kwa USA yote ambayo itakuwa ni jumapili,na hvyo ktk siku hyo watu wote watapaswa kupumzika na shughuli zote za uchumi zitafungwa siku hyo ya ibada (jumapili), baadae huo mfumo utachukuliwa na mataifa mengne na mwishowe utakua ndo mfumo wa dunia nzima,na hapo ndipo zitakapotungwa sheria za kuwashughulikia wasio tii mamlaka ya mfumo huo.kwahyo Sasa kumeanza kuchangamka dunian, maana Yesu kamwe hawezi kuja mpaka wazimu huo utokee,na ndio tukio mahususi tunalolisubiria litukie na YESU KRISTO aje.

  • @user-no8mp7yg1m
    @user-no8mp7yg1m Před 20 dny +4

    Unabii unatimia Ole wake anaetumika kutimiza unabii

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho Před 5 dny

    Nafikiri twenderee kutafakari kwa kina ila naona kama pengine mungu anaweza kumtumia vzr akarudisha ukhristo katika taifa lake

  • @OswardalexandarbapafukeB-ty9oe

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 Před 27 dny +2

    Ni ujumbe mzuri sana! Barikiwa

  • @EdwardDikson
    @EdwardDikson Před 10 dny

    Mungu akubaliki

  • @bravebrain642
    @bravebrain642 Před 23 dny +2

    Serikali zote ni za Mungu, ni vizuri tuwe dhahiri kuwa taifa ni la Kristo Mungu.
    Wakati

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 9 dny

      serikari kuwa ya Mungu sio kwamba kila kinachofanyika ni cha Mungu

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Před 29 dny +4

    Barikiwa kaka nimeelewa sana

  • @ndemasimnene4359
    @ndemasimnene4359 Před 11 dny +1

    Mbona kuna serikali za kidini hapa duniani je mpango wa Mungu ni kutawaliwa na wafalme.

  • @ZabulonKitamuliko
    @ZabulonKitamuliko Před 11 dny +1

    Heri inji ile viongozi vyake wamujuwa mungu

  • @EGSiyaga1
    @EGSiyaga1 Před 25 dny +5

    Yaani hapo HATARI Iko wapi ni kwamba serikali ya US imeungana na dini kweli mtu wa Mungu?? Mbona kama unatoa taarifa isiyo sahihi. Kingine wengi humchukia Trump sababu ya ujasiri wa kusema mambo mengi hadhatani. But all In ubarikiwe kwa insights nzuri

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 24 dny +1

      sijasema kwamba Vimesha ungana tayari, bali ni njia kuelekea kuungana kwa sababu unabii wa Biblia unaeleza wazi, na yeye kusema kwamba ni lazima tuuurudishe Ukristo Marekani ni ishara zaidi ya hatari "Dini hailazimishwi".

    • @user-nx5og4cz7b
      @user-nx5og4cz7b Před 12 dny

      ​@@tossymediachannelMBONa nchi za kiislam zanaongozwa na Sheria ya dini Sheria NYINGI za nchi zimekopiwa katk vitabu vya dini kwani Sheria za nchi SI zimewekwa na watu na zinaweza kubadilshwa na watu kitabu Cha dini hakiwezi kibadilka kama Sheria za nchi kinafaa Sana kuongoza serikali na hapa ALICHO zungumza ni watu kumrudia MUNGU NA SII KUKAA NJE NA MUNGU HUKU UPANDE WA PILI UKICHUKUA HATAMU.

    • @LedianaMaganda
      @LedianaMaganda Před 2 dny

      J​@@tossymediachannel

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 20 hodinami

      Asante umeona hilo
      Yaani Wanachambua uongo mtupu

  • @R.mkushi-vo2hn
    @R.mkushi-vo2hn Před 11 dny +1

    Yupo sahihi 👀💯

  • @joachimndelembi2798
    @joachimndelembi2798 Před 2 dny

    Big up to Trump. What does it matter? The important thing is in every way, whether from false motive or true, Christ is preached. And because of this why can't we rejoice.
    Kikubwa kinacho onekana hapo ni tangazo la uhuru wa kuabudu. Wanaoona kuwa bado Mungu anatafutwa wakamtafute hadi wampate, wanaoona si wakati wa kutafuta Mungu bali Mungu amekwisha wapata yuko pamoja nao, nao waendelee kumsaidia Mungu kuwapata wengine. Kuwa m-Beroya pokea neno litafakari penye yes say yes penye no say no from yourselves. Yule mtumishi yale ni maoni yake yakatae au uyakubali. Thanks

  • @josephmanase3176
    @josephmanase3176 Před 21 dnem

    Huyo jamaaa akiingia madarakan anapenda kufunga historia ya ulimwengu huuu😢😢😢

  • @alembeasukulu9849
    @alembeasukulu9849 Před 10 dny +2

    Unaongea usiyo ya juwa

  • @gospelman3720
    @gospelman3720 Před 19 dny +1

    Mpinga Kristo akija dunia haitakuwa na resource yoyote kusapoti maisha na yeye ndo atatoa solution. Vijiji havitakuwa solution, vyakula vya asili havitalimika 😂😂😂😂

  • @emmanuelmboya671
    @emmanuelmboya671 Před 3 dny +1

    Kiongozi mwenye hofu ya Mungu huwa siku zote anafanikiwa.Trump ni mtu pekee anaweza kukomesha maovu yanayoendelea katika Taifa hilo.

  • @stephenmmbago4975
    @stephenmmbago4975 Před 9 dny

    Donald Trump is a man of God
    Hujasoma vocabulary vya Trump ,always huwa ana dedicate watu Kuykendall Mungu .
    Mafanikio ya Trump ni maganiko ta watu kumpemda Mungu,Kama kiongoz anampenda Mungu ,Taifa litapona
    KJV Bible

  • @SimulizinaPerfect
    @SimulizinaPerfect Před 5 dny

    Huyu mwamba yupo kama Magu aisee anaweza

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před 29 dny +2

    Ulianza vizuri ukamaliza vibaya, pale uliposema tutayarishe mahali pakujificha na tutayarushe vyakula vyetu vya asili. Zakuambiliwa changanya nazakwako. Asante kwa ujumbe.

  • @laurensithomasi3152
    @laurensithomasi3152 Před 19 dny +1

    🙏🙏🙏

  • @RSMEDIAONE
    @RSMEDIAONE Před 5 dny +2

    Haya Mambo Yanatabiri mwisho wa mambo yote

  • @MarrycianaFaustine
    @MarrycianaFaustine Před 19 dny +2

    Ubarikiwe

  • @ImaniMatumaini
    @ImaniMatumaini Před měsícem +5

    Je umepata hiyo bible ukasoma ??? Aisee ACHA kutoa vitu kichwani

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 29 dny

      unawezaje kuweka katiba kwenye Biblia?🚫🚫

    • @evodiusbahegwa6557
      @evodiusbahegwa6557 Před 29 dny

      Anakurupuka kuongea

    • @nelssua8486
      @nelssua8486 Před 15 dny

      ​@@evodiusbahegwa6557ameuliza hivi, hiyo biblia umeisoma? ungemjibu swali lake kisha ukatoa maoni yako ingependeza ndugu

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n Před 7 dny

    Uko sawa lakinni hata weza

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 Před 12 dny +1

    Mtu ambao haijasoma -Ufunuo --13:11---18 hawezi kujua ubaya wa Serikali ya America kuiruhusu Dini iongoze. Mungu tuepushie mbali- USA itakiuka msingi wa katiba yake

  • @ZabulonKitamuliko
    @ZabulonKitamuliko Před 11 dny +1

    Huyu ndiyo kiongozi bwana, achana na maelezo Yako hayana msingi

  • @sianagodson3690
    @sianagodson3690 Před 7 dny

    Upo sahihi,new world order,one currency,one religion,(unabii unatimia,sanamu ya mnyama ipo karibu kusimamishwa( Kama kipindi cha Daniel) ukristo unaenda kupita wakat Mgumu,maana kanisa la kristo litapitia mateso,Lakini atakayevumilia mpaka mwisho atapata taji ya uzima.(. Mungu tusaidie )hii agenda ni ya kishetan

  • @ROMMEDIACRAFT
    @ROMMEDIACRAFT Před 22 dny +1

    Mbona hukumalizia stori ya meshark, Shadrack na Abednego nini kilitokea baada ya kutupwa kwenye tanuru je walikufa kwa moto au ilikuwaje na je mfalme alifanya nini na je nani alishinda mfalme au wao?

  • @eliacmaginya3429
    @eliacmaginya3429 Před 9 dny +2

    Wachache tumekuelwa

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 20 hodinami

    Bora teump mara mia kuliko hao wanaosimmia na kueneza ushoga

  • @fridachuwa8622
    @fridachuwa8622 Před 24 dny +2

    Dini na serekali havina tofauti Cha msingi ni KUACHANA na hizi dini zilizoletwa Afrika, AMKA EWE MTU MWEUSI

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 24 dny

      umanaanisha tusiwe na dini?

    • @JukumuKimbendela
      @JukumuKimbendela Před 23 dny +1

      You're very clever .Alafu kuna wengine wanataka kubadilisha/kuubatiza ukristo kuwa asili yake iwe Afrika.Western always western can't be eastern.

    • @PaulMsuya
      @PaulMsuya Před 16 hodinami

      Hakuna uhusiano wowote kati ya mapokeo ya dini na matokeo yoyote kulihusu Bara Afrika.. Ukosefu wa maadili ndio kitu pekee kinachotugharimu. Mungu yupo na uwepo wa dini ni jambo la lazima

  • @tyivbra
    @tyivbra Před 27 dny +1

    Nlichokuelewa Baraka ni kuwa tupo kweny nykt za mwisho ambapo shetn yupo mbioni kuiweka Sunday law into act lkn wakt wa Mungu ni wakt sahihi ila kikubwa tukaetukijiandaa

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 27 dny

      ndio ni kweli... cha msingi ni kukumbushana tuzidi kujiandaa kwa hali tulio nayo na tusijisahau

    • @jofreykilangila4118
      @jofreykilangila4118 Před 24 dny

      MUNGU alituumba ili tumwabudu na tusione mabaya. Ukitaka uwe unachambua mabaya ya Dunia hii hutamwabudu aliyekuumba. Mabaya yanafutwa kwa Toba tu na hayatatokea

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx Před 3 dny

    Mim naona upuuzi tu bora niwe muislam

  • @user-no8mp7yg1m
    @user-no8mp7yg1m Před 20 dny +3

    Niwachache watakao kuelewa

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 9 dny

      hakika

    • @injilinimoto8595
      @injilinimoto8595 Před 7 dny

      Ndugu naona kuwa huja melewa anaelezea taifa lake lilikuwa na misingi ya biblia ila chama kilichopo madarakani wanachoma biblia na kukuza ushoga na ushetani mimi nafikiri kuwa bila trapo kuliko alioko madalakani

  • @munainjiru7983
    @munainjiru7983 Před 16 dny +1

    Freemasonry mentioned can talk about bible now and then

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 Před 28 dny +1

    Kanuni ya Mungu ilikua viongozi wa serekali wawe watakatifu ,swala la nebkadneza alikua mpagani ,Yusuphu aliongoza Misri kwa fahari kubwa na nchi ikaneemeka sana ,Daudi pia ,gidioni,sulemani nk.,Tatizo ninyi wasabato hamumuhitaji Roho mtakatifu na ndio maana mnatafsiri unabii kwa akili tupu ,mwacheni Tramp aongoze heri huyo kuliko anae ruhusu ushoga na vituko,

  • @MaryGeorge-z5g
    @MaryGeorge-z5g Před 6 dny

    Mteule wa Bwana ni heri tukusikie ukipinga mauaji ya albino,unyanyasaji wa ngono kwa watoto, uchunaji ngozi za watu na mengine wafananayo na hayo. Waache wamarekani wajinene kuhusu Rais wao huku ukijua kuwa hata hela yao wameiandika (IN GOD WE TRUST) na je utatuambia nini kuhusu SAUD ARABIA ambayo sheria zake zipo katika misingi ya dini ya Kiislam?

  • @user-ro2mb5uc1y
    @user-ro2mb5uc1y Před 10 dny +1

    MUNGU naomba utupe nguvu za kumshinda shetani

  • @SileIsmail
    @SileIsmail Před 17 dny +1

    Mara zote ukiwa masikini halafu huna akili utadanganywa kiurahisi sana 😂😂😂 inatisha maana wajinga bado ni wengi yani mpaka leo wanamuamini mwanasiasa ambae ni mwanachama wa illuminati haha hapa lengo ni New world order

  • @barakaschaula8323
    @barakaschaula8323 Před 6 dny

    Serikali ni watu ambao nao wanamuhitaji mungu . Acheni uoga

  • @alphphobill549
    @alphphobill549 Před 14 dny +2

    Yor vague and wrong judging him straight. Ask of the Holy Spirit na hapo utapata ufunuo thabiti. Mungu hujitukuza hata kati ya maadui na waovu.

  • @HoseaPeter-yu3qh
    @HoseaPeter-yu3qh Před 4 dny +1

    Nyie wasabato mnazingua

  • @EGSiyaga1
    @EGSiyaga1 Před 25 dny +1

    Bora Trump kuliko Biden anayekaribisha LGBTQ Ikumbukwe Biden Mwaka huu siku ya Pasaka ndiyo aliitangaza kuwa siku ya Transgender.

  • @MaryGeorge-z5g
    @MaryGeorge-z5g Před 6 dny

    I love Trump and I will always do. Hakika ntaendelea kumpenda Trump pamoja na mapungufu yake kwa sababu:- 1. Anachukia ushoga na ndoa za jinsia moja. 2. Haungi mkono kabisa kwa selikari yake kuruhusu utoaji wa mimba yaani abortion. 3. Aliahidi katika kampeni yake kuwa:- Akiingia madarakani atahakikisha kuwa anasitisha vita huko GAZA.( kumbuka vita hiyo inauwa watu wasio na hatia na wa dini zote) 4. Nampenda Trump kwa sababu ndiye kiongozi pekee ambae wakati wa utawala wake aliutangaza mji wa Jerusalem kuwa ni mji mkuu wa Israel. "Tuacheni porojo, tuheshimu neno la Mungu kwa kuwahubilia watu waache Dhabi wamfuate YESU huku tukijua kuwa tunaishi nyakati za mwisho hivyo tujiweke tayari kwa unyakuo na wala tusikifanye kitabu cha UFUNUO WA YOHANA kuwa ni cha propaganda za udini.

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo Před 9 dny

    Sasa kama anasema tusome Biblia kuna shida gani ,Trup ni mtu wa maana sana na anashinda urais wa marekani ,

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 26 dny +1

    Torati inaludi Hapa wanatafutwa watoto wa Mungu nikipindi cha wana wa Mungu kuishi kwa imani

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 Před 23 dny +1

    Muungano wa dini na serikali hautaanzia kwa marekani na tramp mfano ni nchi zenye misimamo ya kiisilamu na zinasimamia hasa sheria za kiisilamu huko huoni ni hatari? Mtu wa MUNGU mpk ikawa trump na marekani?

  • @tyivbra
    @tyivbra Před 27 dny +1

    Km ipo ipo ty bwana haya maswala waty waliyakazania sana kpnd cha Obama mara trump mara korona cjui mara nn
    Lkn nadhani muda ukiwadia utakuwa umewadia that's all

  • @PaulSanga-m3p
    @PaulSanga-m3p Před 18 dny +2

    Wapendwa,turudi katika historian,marekani ni taifa lililoanzishwa na mamisionari toka ulaya huwezi kutenganisha ukristo na serikali ya marekani ,mtoa hoja naona no siasa Wala siyo theolojia marekani ndiyo inchi inayotimiza agizo kuu kuliko inchi yoyote duniani

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 9 dny

      ilikuwa kipindi hicho cha zamani... na serikari na dini havikuwa vimeungana... lakini sasa kuuunganisha dini na serikari ni kinyume cha katiba yao

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 Před 11 dny

    Usabato tu hujui kitu

  • @KATANYAMA
    @KATANYAMA Před 6 dny

    Fanya kazi acha kuleta siasa ktk mambo ya dini .....wakileta ushoga Nongwa wakisema msome biblia NONGWA sasa mnataka wasemeje??ubinadamu kazi sana

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 Před 22 dny +1

    Mbona sijaona kosa la tramp kwan bila serikali za wakolon ungeujua ukristo wewe

  • @aronmapunda2023
    @aronmapunda2023 Před 24 dny +1

    Pole ndugu japo unahimiza ndugu zako wajiandae ni vyema ila umesahau kuhimiza kuachana na dini kwa kuwa hizi dini wameziunda wao na wanamamuzi ya kufanya wapendavyo. Yesu hajawahi kuwepo bali wameunda uongo tu dhidi ya mtu mweusi.

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 24 dny

      Sio kweli usemacho, nitaleta somo linalohusu "Kuaminika kwa Biblia" naamini tutajifunza pamoja

    • @aronmapunda2023
      @aronmapunda2023 Před 23 dny

      @@tossymediachannel ikiwa ni biblia hii ya kisasa ndani yake kuna Yeremia:8-8;-"... lakini tazama kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa ya uongo

    • @Martine-bd3sy
      @Martine-bd3sy Před 21 dnem

      Biblia ni kweli halisi.ni ukweli usiyo pingika

    • @aronmapunda2023
      @aronmapunda2023 Před 21 dnem

      @@Martine-bd3sy Ndugu na ieleweke ikiwa biblia ni kweli halisi uongo unatoka wapi?
      "Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo.....Warumi1-25

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Před 24 dny +1

    Obama alibariki Ushoga Baden, Trump anapiga Ushoga,Na kusimama Israeli

  • @febby8308
    @febby8308 Před 28 dny +1

    Marekakan siku zote inasimamia upagani ndio mahana inasapoti ushoga sasa wewe mchambuzi unashangaa nini

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 27 dny

      Hatushangai tunakumbushana juu ya nyakati tulizonazo na wapi tunaelekea

  • @MartiniEnock-e2e
    @MartiniEnock-e2e Před 12 dny

    Utakuwa msabato unahofia eti utalazimishwa kuabudu siku ya jpili
    Kitu ambacho sio kweli

    • @desireofages6446
      @desireofages6446 Před 9 dny

      Yaangalie mapendekezo ya Republican iwapo watashinda uraisi " 0:04 project 2025".

  • @user-kv4zd2mz7y
    @user-kv4zd2mz7y Před 29 dny

    hajasema atalazimisha mtu kuwa mkristo,wala hiyo katiba ya marekani hailazimishi kuwa mkristo,acha hofu ya dhehebu lako

  • @user-lp4fs9su4q
    @user-lp4fs9su4q Před 6 dny

    MTUMISHI Tafadhari SANA usimkosoe Trump yeye ameona mbali. Katika uongozi uliopo sasa wa Marekani mkazo wao MKUBWA ni kueneza mambo ya kuzimu, kama vile ushoga, utoaji mimba kubadilisha jinsia nk
    Sasa Trump kuweka mkazo Kwa watu kuizingatia Biblia Naona ni Nuru mpya katika giza

  • @CadiaOnesmo
    @CadiaOnesmo Před 11 dny +1

    We naye huna maana kasema tusome Biblia unampinga ulitaka aseme nini? mwambie wewe cha kuzingumza

  • @ImaniMatumaini
    @ImaniMatumaini Před měsícem +1

    Je umejuje ndani ya hiyo biblia Kuna katiba au unabuni tu

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 Před 24 dny +1

    Baomba kujua hii biblia tunayosoma sasa hv n ileile ya kwanza au umeshabadilishwa mara kibao

  • @JJTSUPERCLEANER
    @JJTSUPERCLEANER Před 29 dny +1

    Vp kama angepromote dhambi ndo ingekuwa good??????
    Serikali zote duniani zingepaswa kuwa na katiba moja tu wala si vinginevyo ambayo bi biblia! Kwa maana hiyo ndiyo katiba itakayotumika kuwahukumu watu wa chi zote ulimwengun siku ya meisho!

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 27 dny

      swala sio kupromoti dhambi, swala ni maneno yanayosemwa katika kauli zake, mfano " Ni lazima tuurudishe ukristo", Dini ya Mungu sio ya kulazimisha watu

    • @JJTSUPERCLEANER
      @JJTSUPERCLEANER Před 26 dny

      @@tossymediachannel ok

  • @deusNjimba
    @deusNjimba Před 28 dny +1

    Mbona daudi ali ongoza selikali na hata musa dini. Selikali

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 27 dny

      sawa, wewe unautasfirije unabii juu ya kuunganishwa dini na serikari? kwamba haina shida yoyote?

    • @davidsuleman233
      @davidsuleman233 Před 23 dny

      ​@@tossymediachannelmbona nchi za kiisilamu zimeunganisha dini na serikali na wanafuata sheria za dini ilihali wanaserikali? Hebu tufafanulie na hapo

  • @evodiusbahegwa6557
    @evodiusbahegwa6557 Před 29 dny +1

    Ww ripota ni mjinga,siyo mpumbavu,na hujui chochote na utakuwa bila shaka ni msabato,ila Trump and Republicans are best for Christianity

  • @shilimaabdallah-mw2bj
    @shilimaabdallah-mw2bj Před 23 dny +1

    Hakuna sauti

  • @195941233
    @195941233 Před 11 dny +2

    Usichanganye mada. Hujamwelewa Rais Donald Trump. Anasisitiza watu kumpenda Mungu na kusoma Neno la Mungu kwa kumaanisha.

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 9 dny

      Ameeleweka tu kabisa.. huwezi sema "Lazima" tatizo linaanza hapo

  • @ZabulonKitamuliko
    @ZabulonKitamuliko Před 11 dny

    Ni muda sasa wa matengeneso wa amerika

  • @bravebrain642
    @bravebrain642 Před 24 dny

    Kabla ya uchafu Marekani ilikuwa hivyo, kila mwanafunzi anaenda darasani na bible.
    Waulize Waarabu wanafanya nini na uislamu. Je waizraeli waliagizwa nini Mungu?
    Wewe tulia kabisa vingivyo siyo mkristo.

  • @joseph232
    @joseph232 Před 3 dny +1

    Napingana nawe kabisa, na nina mashaka na lengo lako maana hapo unanukuu vifungu na kuvipotosha ktk kutafsiri. Kamala Harris ndio mwovu zaidi maana yumo ktk wanaoshabikia "haki za wanadamu" ikiwemo ushoga na kutoa mimba.

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 3 dny

      kwahiyo wewe unapingana na nini.. kwasababu naona hata haujaielewa video inasema nini?

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Před 23 dny

    Trump 2024

  • @bonifacemwansasu6638
    @bonifacemwansasu6638 Před 29 dny +1

    Lakini unajua kuwa Trump ndiye atakayechelewesha New World Order?Omba maongozi ya Roho Mtakatifu kabla hujapost

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 29 dny

      umesoma wapi iyo inayokuambia hivyo?

    • @levisdiamond4797
      @levisdiamond4797 Před 29 dny

      Wooote hamjui chochote hao sio wajinga ,,,, trump anatuletea sunday law. Eti ndie atachelewesha new world order huyo anahusika nini na hivo 😂😂😂😂 huyo ni mtoto hawanao panga mambo ya new world order nivikongwe

    • @tyivbra
      @tyivbra Před 27 dny

      Who says so bhn😂

    • @bonifacemwansasu6638
      @bonifacemwansasu6638 Před 26 dny

      Waliopangwa ni vikongwe,wanaotumika ni viongozi wa nchi bhanq

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa31 Před měsícem +6

    Mwaka 2016 akigombea kwa mara ya kwanza, niliwatahadharisha washirikiki wenzangu hapa Njombe kuhusu TRUMP. Nilidhani anaonyesha sifa za roho ya unabii, biblia raisi wa marekani atakayeleta taabu ya Danieli 12, fungu la 45 la sura11 nilifananisha na awamu 45 za taifa muhimu wakati wa mwisho..!

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 29 dny +1

      Ubarikiwe mtumishi, tuzidi kusoma na kujifunza zaidi

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 Před 27 dny +3

      Huo usabato ,ninyi Kila kitu papa ,marekani hamna pengine mnasemaga ,kwani mataifa mengine mbona hamyataji ?? M natafsiri Unabii kwa akili na hisia au dhana,ukijiona unajua Sana basi kwake mtu huyo hajui kitu ,mambo ya Rohoni yana fasiriwa kwa jinsi ya Roho na sii vinginevyo ishini ndani ya Neema na muachane na Sheria ,Sheria Haina kazi wakati wa Neema .

    • @danielthomasmsigwa31
      @danielthomasmsigwa31 Před 26 dny +2

      @@nicksonlyimo1562 ufunuo 13 mnyama wa kwanza na mnyama mwingine f.11 wanashirikiana kuleta sheria za JUMAPILI; wameanza na ushoga 2015 miaka10 baadaye 2025 Sabato ya uongo

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 Před 26 dny

      @@danielthomasmsigwa31 Dunia lazima itawaliwe na Sheria ,ndio maana hata YESU alisema yalio ya Mungu mpenj Mungu na ya kaisari mpenj kaisari,wewe unadhani issue ya wanyama walio Nenwa ni nchi ? Hapana ni Roho za mashetani ,hata wewe unae shika sabato Bado uko kwa mnyama ,kwani unaabudu siku badala ya YESU KRISTO,na YESU aliivunja sabato na YEYE Ndie Bwana wa sabato ,ukimwamini basi upo kwenye sabato ya Neema na sii ya Sheria ,Hekima tuu ya shetani imeanzisha mifumo ya Dini mbalimbali na kuinua manabii na watu wakiwaamini wakidhani wapo sahihi ,KRISTO ndio mwisho wa Sheria na ametufundisha kumwabudu Mungu siku zote pasipo kukata tamaa ,hayo ya siku yatakugharimu Sana siku ya hukumu ,Andiko huua Roho huu Isha ,nakushauri tuu umpokee YESU na Umpokee Roho wake MTAKATIFU hapo utakua Mwana wa MUNGU na sii mwanafunzi wa Musa. Kwanini msiombe Mungu awafunulie alipo nabii wenu wa kike ,??? Hakuna Dini ya kweli duniani YESU tuu ndio njia ,kweli na uzima kinyume na hapo imekula kwako ,

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 Před 23 dny

      @@nicksonlyimo1562usijidanganye, kwan ufunuo iko agano ka kale au agano jipya, kumbuka icho ni kitabu cha mwisho chenye unabii wa siku izi sa mwisho. Hivyo hakuna kinachobadilika km ni upapa itabaki kuwa upapa, marekani itabaki palepale kwasababu neno la Mungu alibadiliki… toka uko gizaji utaangamia

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 29 dny

    Sasa wewe umesimamia upagani hapo sijakusoma lipi ni lipi ni Bora sasa wakati ushoga na gay vimepamba moto

  • @apostlemussaonlinetv
    @apostlemussaonlinetv Před 20 dny

    Wasabato uwa wajinga hawanaga Roho

  • @tyivbra
    @tyivbra Před 27 dny +1

    Km ipo ipo ty bwana haya maswala waty waliyakazania sana kpnd cha Obama mara trump mara korona cjui mara nn
    Lkn nadhani muda ukiwadia utakuwa umewadia that's all

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Před 24 dny

      Hatuna haja ya kuacha kukumbushana juu ya haya.. siku kwa siku tukumbushane ili Tujiandae

  • @katwigayona8041
    @katwigayona8041 Před 13 dny

    Hapo ndipo Mungu huwa anawashangaa sana pale wanadamu mnapokuwa wajuaji kupita kawaida,, eti dini na serikali haziwezi kwenda sambamba. Shida dini umeiona kuwa ndo Mungu mwenyewe, afrika tutaendelea kutawaliwa kwa sababu ya ujuwani wa kijinga. Kwa hiyo daudi mfalme yeye tusemeje sasa, alijitenga na Mungu kwa sababubya urais wake? Acha kupotosha watu Trump yuko sahihi