TOSSY MEDIA CHANNEL
TOSSY MEDIA CHANNEL
  • 831
  • 229 617

Video

BIBLIA inasema nini juu ya TRUMP kupigwa Risasi?
zhlédnutí 3,1KPřed 19 hodinami
BIBLIA inasema nini juu ya TRUMP kupigwa Risasi?
KESHA LA ASUBUHI | 7 Julai 2024 | NGUVU YA UZURI.. | Zaburi 96:6
zhlédnutí 71Před 14 dny
KESHA LA ASUBUHI | 7 Julai 2024 | NGUVU YA UZURI.. | Zaburi 96:6
SIFU NASI LEO || 5 July 2024 || WITH ELIBARIKI MAJALIWA
zhlédnutí 104Před 21 dnem
SIFU NASI LEO || 5 July 2024 || WITH ELIBARIKI MAJALIWA
KESHA LA ASUBUHI | 5 Julai 2024 | KUSUDI LA PATAKATIFU | Kutoka 25:8
zhlédnutí 52Před 21 dnem
KESHA LA ASUBUHI | 5 Julai 2024 | KUSUDI LA PATAKATIFU | Kutoka 25:8
KESHA LA ASUBUHI | 4 Julai 2024 | NDANI YA HEKALU LA NAFSI | 1 Korintho 3:16
zhlédnutí 85Před 21 dnem
KESHA LA ASUBUHI | 4 Julai 2024 | NDANI YA HEKALU LA NAFSI | 1 Korintho 3:16
MWONGOZO WA KUJIFUNZA BIBLIA || SOMO LA 1 || MWANZO WA INJILI || ROBO YA 3, 2024
zhlédnutí 478Před 21 dnem
MWONGOZO WA KUJIFUNZA BIBLIA || SOMO LA 1 || MWANZO WA INJILI || ROBO YA 3, 2024
KESHA LA ASUBUHI | 3 Julai 2024 | KUTAKASWA TOKA DHAMBINI | Isaya 6:5
zhlédnutí 129Před 21 dnem
KESHA LA ASUBUHI | 3 Julai 2024 | KUTAKASWA TOKA DHAMBINI | Isaya 6:5
NAWEZAJE KUKABILIANA NA MSONGO WA MAWAZO? Elibariki Masanja
zhlédnutí 85Před 21 dnem
NAWEZAJE KUKABILIANA NA MSONGO WA MAWAZO? Elibariki Masanja
KESHA LA ASUBUHI | 2 Julai 2024 | Kaa Kimya Mbele Zake | Habakuki 2:20
zhlédnutí 101Před 21 dnem
KESHA LA ASUBUHI | 2 Julai 2024 | Kaa Kimya Mbele Zake | Habakuki 2:20
KESHA LA ASUBUHI | 1Julai 2024 | BWANA YUPO MAHALI HAPA |Mwanzo 28:16-17
zhlédnutí 106Před 21 dnem
KESHA LA ASUBUHI | 1Julai 2024 | BWANA YUPO MAHALI HAPA |Mwanzo 28:16-17
Je Elon Musk ni ANTICHRIST(Mpinga Kristo)? Na Baraka Tossy
zhlédnutí 355Před 21 dnem
Je Elon Musk ni ANTICHRIST(Mpinga Kristo)? Na Baraka Tossy
HATARI KUBWA KWA WAKRISTO NA Baraka Tossy
zhlédnutí 34KPřed měsícem
HATARI KUBWA KWA WAKRISTO NA Baraka Tossy
EP 2; KUKABILIANA NA UPWEKE KATIKA ENZI YA KIDIJITALI || Tuzungumze Podcast With Hery Nyanchoga-USA
zhlédnutí 121Před měsícem
EP 2; KUKABILIANA NA UPWEKE KATIKA ENZI YA KIDIJITALI || Tuzungumze Podcast With Hery Nyanchoga-USA
🔴SIFU NASI LEO || 14 JUNI 2024 || With AGNESS MUGUSI
zhlédnutí 253Před měsícem
🔴SIFU NASI LEO || 14 JUNI 2024 || With AGNESS MUGUSI
EP 1; NITAJUAJE KWAMBA ANANIPENDA. Tuzungumze Podcast , With Pr Bihene, Baraka Tossy (HOST)
zhlédnutí 241Před měsícem
EP 1; NITAJUAJE KWAMBA ANANIPENDA. Tuzungumze Podcast , With Pr Bihene, Baraka Tossy (HOST)
🔴SIFU NASI LEO || 7 JUNI 2024 || With WILSON COSMAS & BARAKA TOSSY
zhlédnutí 142Před měsícem
🔴SIFU NASI LEO || 7 JUNI 2024 || With WILSON COSMAS & BARAKA TOSSY
MWONGOZO WA KUJIFUNZA BIBLIA || SOMO LA 10|| UMIZIMU UNAFICHULIWA
zhlédnutí 422Před měsícem
MWONGOZO WA KUJIFUNZA BIBLIA || SOMO LA 10|| UMIZIMU UNAFICHULIWA
NILIVYOGUSWA- HITIMISHO MAKAMBI CHUO CHA MIPANGO
zhlédnutí 157Před měsícem
NILIVYOGUSWA- HITIMISHO MAKAMBI CHUO CHA MIPANGO
UIMBAJI || VIPINDI VYA MCHANA-HITIMISHO MAKAMBI CHUO CHA MIPANGO
zhlédnutí 137Před měsícem
UIMBAJI || VIPINDI VYA MCHANA-HITIMISHO MAKAMBI CHUO CHA MIPANGO
HITIMISHO || MAKAMBI MTAA WA MIPANGO || 3 JUNI 2024
zhlédnutí 154Před měsícem
HITIMISHO || MAKAMBI MTAA WA MIPANGO || 3 JUNI 2024
DAY 6 MAKAMBI || MAKAMBI-MIPANGO SDA CHURCH 2024
zhlédnutí 105Před měsícem
DAY 6 MAKAMBI || MAKAMBI-MIPANGO SDA CHURCH 2024
DAY 5 || MAKAMBI-MIPANGO SDA CHURCH 2024
zhlédnutí 117Před měsícem
DAY 5 || MAKAMBI-MIPANGO SDA CHURCH 2024
DAY 4 || MAKAMBI - MIPANGO SDA CHURCH 2024
zhlédnutí 146Před měsícem
DAY 4 || MAKAMBI - MIPANGO SDA CHURCH 2024
SIKU YA WAVUMBUZI DUNIANI- KANDA YA DODOMA 18/05/2024
zhlédnutí 173Před 2 měsíci
SIKU YA WAVUMBUZI DUNIANI- KANDA YA DODOMA 18/05/2024
KUIMARISHWA NA ROHO MTAKATIFU || KESHA LA ASUBUHI || 15 MEI 2024
zhlédnutí 65Před 2 měsíci
KUIMARISHWA NA ROHO MTAKATIFU || KESHA LA ASUBUHI || 15 MEI 2024
UTAKATIFU WA MAISHA | KESHA LA ASUBUHI | 14 MEI 2024
zhlédnutí 97Před 2 měsíci
UTAKATIFU WA MAISHA | KESHA LA ASUBUHI | 14 MEI 2024
MAISHA MAPYA KWA UJUMLA | KESHA LA ASUBUHI | 13 MEI 2024
zhlédnutí 57Před 2 měsíci
MAISHA MAPYA KWA UJUMLA | KESHA LA ASUBUHI | 13 MEI 2024
MWONGOZO WA KUJIFUNZA BIBLIA || || SOMO LA 6 || ROBO YA 2, 2024 || MASHAHIDI WAWILI.
zhlédnutí 273Před 2 měsíci
MWONGOZO WA KUJIFUNZA BIBLIA || || SOMO LA 6 || ROBO YA 2, 2024 || MASHAHIDI WAWILI.
NILIKUPA WEWE || ROYAL BROTHERS || Live Performance at St John's University
zhlédnutí 229Před 2 měsíci
NILIKUPA WEWE || ROYAL BROTHERS || Live Performance at St John's University

Komentáře

  • @DoreenBwere
    @DoreenBwere Před 10 hodinami

    Amen family

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 21 hodinou

    Bora teump mara mia kuliko hao wanaosimmia na kueneza ushoga

  • @Alexanderthegreat-w3v

    Amina mungu atalichukua kanisa lake

  • @pollenjile1299
    @pollenjile1299 Před dnem

    Barikiwa

  • @julygabrieltv9093
    @julygabrieltv9093 Před dnem

    Nothing dangerous is fighting for the right things, This is not an incorporation between the church and the government.

  • @JOSEPHMAINGI-fk3ne
    @JOSEPHMAINGI-fk3ne Před 2 dny

    Trump anajisumbua sana na asijidanganye kitu ni anataka kuuwa watu wasi wote Waikiki dunia nzima use yao

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 Před 2 dny

    Asante kwa ufunuo wenyenguvu hata mimi ninasadiki unachokiongea. Tujiandae tufue mavazi yetu

  • @joachimndelembi2798

    Big up to Trump. What does it matter? The important thing is in every way, whether from false motive or true, Christ is preached. And because of this why can't we rejoice. Kikubwa kinacho onekana hapo ni tangazo la uhuru wa kuabudu. Wanaoona kuwa bado Mungu anatafutwa wakamtafute hadi wampate, wanaoona si wakati wa kutafuta Mungu bali Mungu amekwisha wapata yuko pamoja nao, nao waendelee kumsaidia Mungu kuwapata wengine. Kuwa m-Beroya pokea neno litafakari penye yes say yes penye no say no from yourselves. Yule mtumishi yale ni maoni yake yakatae au uyakubali. Thanks

  • @goodluckmolleltennis5980

    Umemuelewa vibaya..trum anamanisha America imeathiriwa na mambo ya kipagani kama ushoga kuhalalishwa,sasaiv mambo ya gender pronounce, Killings..biblia inataka tuishi katika asili..mwanamume awe na atende kama mwanamume na mwanamke awe na atende kama mwanamke..Rissia na china wanagundua tacnologia mpya wakat wamarekan wanabishana nani mwanamke nan mwanaume..waweze kuwa huru ila kuna mipaka..Dini inapo potea nchi inaanguka kwamfano miji ya sodoma na Gomors..America is falling under peganism ,Ona kinacho endelea UK especially London..Bible and Fear of God..angalia mataifa kwenye biblia yaliyo adhibiwa na mungu kwa makosa ya kiongoz ikiwemo Misri..Hapa sikubaliani na messege yako

  • @joseph232
    @joseph232 Před 3 dny

    Napingana nawe kabisa, na nina mashaka na lengo lako maana hapo unanukuu vifungu na kuvipotosha ktk kutafsiri. Kamala Harris ndio mwovu zaidi maana yumo ktk wanaoshabikia "haki za wanadamu" ikiwemo ushoga na kutoa mimba.

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel Před 3 dny

      kwahiyo wewe unapingana na nini.. kwasababu naona hata haujaielewa video inasema nini?

  • @emmanuelmboya671
    @emmanuelmboya671 Před 3 dny

    Kiongozi mwenye hofu ya Mungu huwa siku zote anafanikiwa.Trump ni mtu pekee anaweza kukomesha maovu yanayoendelea katika Taifa hilo.

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Před 3 dny

    Bibilia ni kitabu cha mung lkn kuna watu wametia mikono yao soma 8:8 yelemia ndio maana kila cku utaona makanisa ya ajab wanafundisha maneno ya uongo

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Před 3 dny

    Wazung sio watu wa kuwaamini sana huo mpango wa kuigiza tu marekani wapo vizur Kwenye ulinzi hasa wa viongoz wakubwa wana vyombo mbalimbali vya kutambua silaa kwa adui

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx Před 3 dny

    Mim naona upuuzi tu bora niwe muislam

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Před 4 dny

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @HoseaPeter-yu3qh
    @HoseaPeter-yu3qh Před 4 dny

    Nyie wasabato mnazingua

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange Před 4 dny

    Zwewe hufahamu,Amerika,UK,Sweden,Denmark yangu zamani hizi hujulikana Kama Nchi za Kikristo,na ndio maana Amerika hujinasibu kuwa In God we Trust.

  • @NeemaElisante-zd2dt

    WEWE Trump ni rais mzuri sana he puts Gods first ambacho naona hakieleweka hapo ni kua amesema anairudisha bibilia hivyo watu watakua wakimuabudu Mungu yaan kuweka Mungu kwanza na pia constitution ambayo itamtambua Mungu yaan ukristo utakua mbele he is good kwa kweli

  • @RSMEDIAONE
    @RSMEDIAONE Před 5 dny

    Haya Mambo Yanatabiri mwisho wa mambo yote

  • @zenoatanasi1702
    @zenoatanasi1702 Před 5 dny

    Hongera sana Trampo.

  • @PeterClaude-ym2nw
    @PeterClaude-ym2nw Před 5 dny

    ❤ 3:42

  • @PeterClaude-ym2nw
    @PeterClaude-ym2nw Před 5 dny

    Fact😮

  • @ANETHJOYCE
    @ANETHJOYCE Před 5 dny

    Amina,Bwana akubariki.

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho Před 5 dny

    Nafikiri twenderee kutafakari kwa kina ila naona kama pengine mungu anaweza kumtumia vzr akarudisha ukhristo katika taifa lake

  • @loicymwakyanjala2828

    Nina kuchagua leo yesu

  • @user-wp8sn2rv2c
    @user-wp8sn2rv2c Před 5 dny

    Nimekuchagua yesau kristu

  • @SimulizinaPerfect
    @SimulizinaPerfect Před 5 dny

    Huyu mwamba yupo kama Magu aisee anaweza

  • @FabienMuteba-fv6nu
    @FabienMuteba-fv6nu Před 5 dny

    Ubarikiwe nduguyangu

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Před 6 dny

    Ukisoma kitabu cha DANIELI na UFUNUO huo mpango wa Dini na Serekali unaundwa na kanisa Catholic kwa kupitia Papa lengo lao ni kwamba watu wote walazimishwe kufanya ibada siku ya kwanza ya juma ambayo ni Jumapili na hii ndio 666

  • @user-lp4fs9su4q
    @user-lp4fs9su4q Před 6 dny

    MTUMISHI Tafadhari SANA usimkosoe Trump yeye ameona mbali. Katika uongozi uliopo sasa wa Marekani mkazo wao MKUBWA ni kueneza mambo ya kuzimu, kama vile ushoga, utoaji mimba kubadilisha jinsia nk Sasa Trump kuweka mkazo Kwa watu kuizingatia Biblia Naona ni Nuru mpya katika giza

  • @MaryGeorge-z5g
    @MaryGeorge-z5g Před 6 dny

    Mteule wa Bwana ni heri tukusikie ukipinga mauaji ya albino,unyanyasaji wa ngono kwa watoto, uchunaji ngozi za watu na mengine wafananayo na hayo. Waache wamarekani wajinene kuhusu Rais wao huku ukijua kuwa hata hela yao wameiandika (IN GOD WE TRUST) na je utatuambia nini kuhusu SAUD ARABIA ambayo sheria zake zipo katika misingi ya dini ya Kiislam?

  • @MaryGeorge-z5g
    @MaryGeorge-z5g Před 6 dny

    I love Trump and I will always do. Hakika ntaendelea kumpenda Trump pamoja na mapungufu yake kwa sababu:- 1. Anachukia ushoga na ndoa za jinsia moja. 2. Haungi mkono kabisa kwa selikari yake kuruhusu utoaji wa mimba yaani abortion. 3. Aliahidi katika kampeni yake kuwa:- Akiingia madarakani atahakikisha kuwa anasitisha vita huko GAZA.( kumbuka vita hiyo inauwa watu wasio na hatia na wa dini zote) 4. Nampenda Trump kwa sababu ndiye kiongozi pekee ambae wakati wa utawala wake aliutangaza mji wa Jerusalem kuwa ni mji mkuu wa Israel. "Tuacheni porojo, tuheshimu neno la Mungu kwa kuwahubilia watu waache Dhabi wamfuate YESU huku tukijua kuwa tunaishi nyakati za mwisho hivyo tujiweke tayari kwa unyakuo na wala tusikifanye kitabu cha UFUNUO WA YOHANA kuwa ni cha propaganda za udini.

  • @dennismoses-ds4rx
    @dennismoses-ds4rx Před 6 dny

    Amen

  • @dennismoses-ds4rx
    @dennismoses-ds4rx Před 6 dny

    Ninakuchangua mungu reo

  • @KATANYAMA
    @KATANYAMA Před 6 dny

    Fanya kazi acha kuleta siasa ktk mambo ya dini .....wakileta ushoga Nongwa wakisema msome biblia NONGWA sasa mnataka wasemeje??ubinadamu kazi sana

  • @barakaschaula8323
    @barakaschaula8323 Před 6 dny

    Serikali ni watu ambao nao wanamuhitaji mungu . Acheni uoga

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n Před 7 dny

    Uko sawa lakinni hata weza

  • @sianagodson3690
    @sianagodson3690 Před 7 dny

    Upo sahihi,new world order,one currency,one religion,(unabii unatimia,sanamu ya mnyama ipo karibu kusimamishwa( Kama kipindi cha Daniel) ukristo unaenda kupita wakat Mgumu,maana kanisa la kristo litapitia mateso,Lakini atakayevumilia mpaka mwisho atapata taji ya uzima.(. Mungu tusaidie )hii agenda ni ya kishetan

  • @ebuelamichael9693
    @ebuelamichael9693 Před 7 dny

    Vizuri sana kaka

  • @BOAZ-MEDIA
    @BOAZ-MEDIA Před 7 dny

    Very correct 💯

  • @mbojebertha
    @mbojebertha Před 8 dny

    Upo sahihi kiongiz

  • @BOAZ-MEDIA
    @BOAZ-MEDIA Před 8 dny

    Mhh waiting it😮

  • @JonathanNtauta
    @JonathanNtauta Před 9 dny

    Barikiwe kwa ujumbe mzuri

  • @stephenmmbago4975
    @stephenmmbago4975 Před 9 dny

    Donald Trump is a man of God Hujasoma vocabulary vya Trump ,always huwa ana dedicate watu Kuykendall Mungu . Mafanikio ya Trump ni maganiko ta watu kumpemda Mungu,Kama kiongoz anampenda Mungu ,Taifa litapona KJV Bible

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo Před 9 dny

    Sasa kama anasema tusome Biblia kuna shida gani ,Trup ni mtu wa maana sana na anashinda urais wa marekani ,

  • @eliacmaginya3429
    @eliacmaginya3429 Před 9 dny

    Wachache tumekuelwa

  • @user-mc8ob4hc3l
    @user-mc8ob4hc3l Před 9 dny

    I knew this man is Godly.i felt so bad when he didn't go through as president.. but God knew and knows better.. I deeply felt bad in my heart. Let God's will be done. Amen

  • @salvatorymushi2038
    @salvatorymushi2038 Před 9 dny

    Trump ana akili sana ...anatafuta namna yakuingia madarakani tena,,,akijidai anaupigania ukristo kwa kuchukia ushoga na mambo mengine Ila watu wanasahau sana ,,,trump alishashika madaraka aliongoza vibaya sana leo anataka kutuaminisha kwamba amebadilika 😢 ukristo hautatewa hivyo kama anautetea ukristo awe muhubiri wa injili asituleteee siasa zake huyo ...tena huyo ndie atakuwa mpinga kristo... Ataleta vita vya kidini huyo ...tutaanza kuchukiana badala ya kuungana ...tumtazame huyu mtu kwa jicho la rohoni Tuingie magotini Sana,,,,,,shetani ana nguvu Maisha tyliyofikia MUNGU hataki tumtetee kwa marungu hapana .... KRISTO alishakufa na kazi aliimaliza ...maisha ni kuchagua Muhukumu atakuja mwenyewe....kazi tuliyopewa ni kupeleka injili kwa kila kiumbe ...

  • @alembeasukulu9849
    @alembeasukulu9849 Před 10 dny

    Unaongea usiyo ya juwa

  • @francisluanda8672
    @francisluanda8672 Před 10 dny

    Mamlaka inatoka kwa Mungu, na Mungu ni umoja si utenganio lakini true prophet anatabiri jambo na linatokea yeye akiwa hai kwa nadra sana anakuwa hayupo, yule mnyama ni uwakilishi wa shetani aliyejeruiwa kwa mara ya kwanz na Mwenyezi Mungu kwa kuwa alishuka na theluthi moja ya malaika wa mbinguni ndio hao wanaoendelea kumtesa mwanadamu wakijaribu kutaka kupata nguvu za awali ambazo hawana, SASA Tujifunze jambo moja muhimu nalo ni kumuheshimu Mungu na kutii amri zake kwa sababu kwa Mungu mbinguni haendi au hakuna msabato, hakuna mmarekani, hakuna mkatoliki, hakuna Donald Trump hakuna muisalam kwa Mungu kuna watakatifu walioweka uhusiano sahihi naye wakiwa hapa duniani we should not consider or treat GOD in our human sentiments