Mashujaa wa Bwana...Wengi wamelala... Sisi bado tu hai ... Vita bado mbichi... Bwana Yuko upande wetu..ninani wa kutushinda....Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Hongera Samsung yangu MUNGU Baba akuzidishie maisha marefu nilikuona mwaka , 1980 nyamagana mwanza nikiwa nimemleta mtoto mwenzangu akiitwa Maganga mlemavu na aliponywa miguu ikanyooka hakika ilinipa nguvu kiimani hadi Leo mamangu
AMINA MUNGU akubariki mama na akupe nguvu ya kuendelea kusogea mbele zaidi na YESU jina lipitalo majina yote akufunike Kwa damu yake iliyo mwagika msalaban
MUNGU awatunze sana watumishi wa Mungu Tunajifunza mengi kutoka kwenu na tunatamani MUNGU atufikishe viwango vya juu zaidi na Zaidi Ujumbe kutoka Kwa Mungu Ninaomba ufike kwa mama yetu Moses na Kwa kanisa la TANZANIA Mungu anasema turejeshe sura ya Mungu ondoeni uchafu miilini mwenu rejesha asili ya MUNGU Anaesuka aachane na KUSUKA,anaejipamba na kuvaa mahereni aache kabisa Lakini pia bibi yetU MOSES KOLOLA MUNGU ameniambia ukitoa NYWELE HIZO za katani KICHWANI .Hautasumbuliwa na kichwa .Hautasumbuliwa na miguu Tena .Hautasumbuliwa na pressure Tena .NNE MUNGU atajibu Yale yote aliyomuaidia BABA Kwa kanisa (rate moses) Ni MAAMUZI magumu lakini yataokoa maelfu Na Mungu ameniambia baada ya ayo u ta pu m zi k a Kwa AMANI BWANA ASEMA.
Hawa ndio waasisi wa iman tz kipindi hicho hakuna mic Wala magari walikuwa wanatembea kwa miguu km kibao lakin hawakuchoka mpaka leo bado kamshikilia yesu daah inatutia moyo sana na ss vjana bibi mungu akutie nguvu
Asikofu,huyo mama kamlea baba yetu moses na kumtia nguvu hadi saa yake ya mwisho hakuteteleka,wewe wajua,nakuomba uzidi kuwa imara na ukajazwe ujasiri wa kumpigania Mungu,ni heri kubwa kuwa na mama kama huyu ampendae Yesu upande wako,hakika nakuombea mda huu ni andikapo sms hii,usitetereke kwa lolote,na Mungu atakuwa upande wako,
haujaongozwa na hekima ..ulipaswa kunitoa ujinga kwa kuniambia maono uliyosema juu ya ujio wa wazee ktk mimbali takatifu otherwise asante kwa majibu yako
GWAJIMA NIKIPENZ CHAWATU SELIKAL INATAFUTA MOTO UWAKE WASIKUGUSE KIGOMA TUNAKUPENDA SANA 💪💪💪🌍
ngwajima ni taa kutoka mbinguni nduniani 🇰🇪
Asante bishop gwajima kwa moyo wa upendo hasa kwa kuwaona hawa wazee walioanza injili mama kulola
Mashujaa wa Bwana...Wengi wamelala... Sisi bado tu hai ... Vita bado mbichi... Bwana Yuko upande wetu..ninani wa kutushinda....Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Hongera Samsung yangu MUNGU Baba akuzidishie maisha marefu nilikuona mwaka , 1980 nyamagana mwanza nikiwa nimemleta mtoto mwenzangu akiitwa Maganga mlemavu na aliponywa miguu ikanyooka hakika ilinipa nguvu kiimani hadi Leo mamangu
Tushushe 😀
AMINA MUNGU akubariki mama na akupe nguvu ya kuendelea kusogea mbele zaidi na YESU jina lipitalo majina yote akufunike Kwa damu yake iliyo mwagika msalaban
Mungu Akubariki sn mama yetu. Nafurahi sn kukuona.❤❤❤
Mungu wa Baba zetu hakika upo nasi, tunapoona hawa wazee wakitutia moyo kwenye hii kazi ya Mungu tunapa nguvu ya kusonga mbele kwa Imani kubwa.
Gwajima Ana akri nyingi ...Mungu akbliki sana...mtetezi wetu
Ngwajima umefanya jambo la maana sana mungu akubariki mch
Wow mama yetu wa amani,
tunakupenda saaaana,
Nimefurahi kukuona ukiwa kijana mzuri, mrembo
mwenye nguvu za Mungu
Wow mama happy to see u mom, nikikuangalia namuona baba moses kulola hakika mlipendana hadi kufanana sura jaman. Be blessed sana
Bibi yupo vzr sana
Kweli Ni kijana kiroho
Ety nitafikia hata natambaa💪hakika huu Ni Upendo wa Agape,, YESU akutunze bibi 🙏
Amina Mama napokea maombi yako Mama Moses kulola oohhhh my God 🙏
My son is called kulola .. from Kitui Kenya
Be blessed!
Shalom, ushuhuda wa baraka kutoka kwa mama yetu,from Kenya we thank God so much for the works of the lord from mzee kulola family.
Amen mamangu kweli kabisa !! Kwa Mungu hakuna uzee !! Mbarikiwa
MUNGU awatunze sana watumishi wa Mungu
Tunajifunza mengi kutoka kwenu na tunatamani MUNGU atufikishe viwango vya juu zaidi na Zaidi
Ujumbe kutoka Kwa Mungu Ninaomba ufike kwa mama yetu Moses na Kwa kanisa la TANZANIA
Mungu anasema turejeshe sura ya Mungu ondoeni uchafu miilini mwenu rejesha asili ya MUNGU
Anaesuka aachane na KUSUKA,anaejipamba na kuvaa mahereni aache kabisa
Lakini pia bibi yetU MOSES KOLOLA MUNGU ameniambia ukitoa NYWELE HIZO za katani KICHWANI
.Hautasumbuliwa na kichwa
.Hautasumbuliwa na miguu Tena
.Hautasumbuliwa na pressure Tena
.NNE MUNGU atajibu Yale yote aliyomuaidia BABA Kwa kanisa (rate moses)
Ni MAAMUZI magumu lakini yataokoa maelfu
Na Mungu ameniambia baada ya ayo u ta pu m zi k a Kwa AMANI
BWANA ASEMA.
Wanawake kama hawa yani babu yetu moses kulola alipata mkewapo wachache sana,barikiwa bibi yetu mtumishi wa JEHOVAH MUNGU mke wa Moses kulola
Samahani Sana nina onmbi moja kama utabadilisha Title ya Mke wa Marehemu kwa namna ingine itakuwa vizuri waliokoka Hakuna Marehemu Asante
Baraka na ziwe nawe askof gwajima kwa kufanya haya
Ameeen mama yetu MUNGU akutiye nguvu
Amen mama yetu mpendwa, nimeipenda ushuhuda wako mama👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Amen mama Ila hayo marasta na hereni acha Baki na nywele zako za asili ili uende Mbinguni mama yangu nakupenda Sana
Glory to God bless more when I hear voice mom
Tunakupenda Bibi mama Kulola.
Waaambieni watu wote wajipe Moyo Bwana amekusudia kutenda Mema milele Amina.
Amina mama klola lmungu akubariki
Hawa ndio waasisi wa iman tz kipindi hicho hakuna mic Wala magari walikuwa wanatembea kwa miguu km kibao lakin hawakuchoka mpaka leo bado kamshikilia yesu daah inatutia moyo sana na ss vjana bibi mungu akutie nguvu
Amen Amen
Waooh mama tunapokea mausia yako thank you!!!!!!!!
Waoo mama
Amen BIBI yetu
Asante Bibi yetu na nimeipenda sana hii.
Aminaaaaaaaaaaaaaa
Glory to God 🙏💪
Barikiwa Mama na bishop.
Amen mama, Mungu azidi kkupigania ktk imani
Amina mama ubarikiwe
Amina sana Mama
Ubarikiwe saana
Ameni, Mungu amfikishe mama Mbinguni baba alipo.
"zaidi ni upuendo, tupendane kama Yesu alivyotupanda" Kusema kweli upendo unatushinda, hata kwa wapendwa nao upendo wao bado bado. Tujipe moyo
Mungu atusaidie tutumike kwa uaminifu
Ameeen Bibi
Ameen
Keep well
Amina Mama
Ameen mun
Amina Bibi Amina
Amina Bibi yangu waimani
Ubarikiwe bibi
Umeongea Maneno mazito Sana mama
Barikiwa sana bibi yetu
Barikiwa sn mama yetu umetutia moyo
Mungu akubariki sana bibi.🙏🙏
Mama amina
woow bibi yetu nimefurah kukuona tena.
Amina
Asikofu,huyo mama kamlea baba yetu moses na kumtia nguvu hadi saa yake ya mwisho hakuteteleka,wewe wajua,nakuomba uzidi kuwa imara na ukajazwe ujasiri wa kumpigania Mungu,ni heri kubwa kuwa na mama kama huyu ampendae Yesu upande wako,hakika nakuombea mda huu ni andikapo sms hii,usitetereke kwa lolote,na Mungu atakuwa upande wako,
Barikiwaa sana sana mtumishi, corona imeshindwa kwa maombi
Ameen mama
Amen ubarikuwe Sana Bibi yetu
Mama wa Iman.
Mungu akubariki sana
Amen sana mama etu Mungu azidi kukulea mama yetu
Amen mum,Mungu wa mbinguni akupe nguvu mpya.. Hallelujah
Amen mama
Safi sana
Nimebarikiwaa kwa ujumbe huu
Nimewapenda sana
Ameee mama kulola
Hallelujah
WEWE NI JABAL TUNAAMIN WAKRISTO WOTE MTETEZ WETU NIWEW NAYESU MIM NIMUANGRIKANA IRA KWASASA SISAL KAMPEN YAKUPIGA CHANJO IMEKUWA KUBWA TUVUSHE JOSHUA WETU HARELUYAAA
MUNGU AKUTUNZE . SANA
UTUKUFU kwa +MUNGU+ MILELE🙌🙌🙌
Amen Mungu unaweza
Aminaaa
Ameen bibi nakupenda bibiyangu
Groly be God
Amen.
Ameniii bibiangu
AmenAmen
Hehehe Mama huyo bhana! Mungu mkubwa
Safi sana Bibi
Blessed mum
Mama nakupenda sana
Ntemi tuko pamoja sana nangi
Ukiona watumishi hawa wamekanyaga mahali kuna jambo mbele
Mbona una tutisha sasa...kwan kuna nn?
@@richardgama9583 acha ujinga kuwa mwelewa
haujaongozwa na hekima ..ulipaswa kunitoa ujinga kwa kuniambia maono uliyosema juu ya ujio wa wazee ktk mimbali takatifu otherwise asante kwa majibu yako
@@richardgama9583umenena kweli mtumish
Haleluyaaa
Mama shikamo
Ameeen ameeen
UMENENA VEMA MAMA.
LAKINI ELENI NA NYWELE ZA BANDIA HAVIFAI.
MBINGUNI HAWAINGII WANAOMKOSOA MUNGU KWENYE HATA NYWERE. ACHA MAMA.
Tumuombee mama Mungu amfunulie atakua hajui
Amina 🙏🙏
Sijaamini leo nimebarikiwa kumwona Mama Moses Kulola. Ee Mungu endelea kumpa uzima mwema katika maisha yake, huyu Mama ni Tunu.
Yoo!
Mama yetu umetubarki Sana👏👏👏
،kumpenda mungu.kumpenda yesu kumpenda roho mtakatifu.kumpenda mchungaji
Hapo kuna wapendwa wangapi?
Naomba jibu
Hao hao wangapi Ndio wapo hapo...
Yesu ndio njia ya kweli na Uzima, mtu hawezi kufika kwa Mungu bila kupitia kwa Yesu. Umpende, umchukie haibadilishi chochote.
Mhhhh hujui?
Umekosea hata kuandika jina lako ( Ahmed Omary)" Sio ahmadi omari
Lengo kuu ni upendo
amen
Ujumbe umefika naelewa wala sio maneno ya mama bali ni Ujumbe kutoka mbinguni
Askofu tumekupata tuko nyuma yako,usichoke kutufungua ufahamu nk momba songwe tumekukubari barikiwa hasa LA corona tumekupta vizuri