RAIS SAMIA AMPA MAKONDA DAWA za MILIONI 100, ARUSHA WATU WOTE WANATIBIWA BURE, BILA KULIPA HATA MIA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2024

Komentáře • 22

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 Před 7 dny +7

    Makonda ni kiongozi anaetakiwa kuigwa na viongozi wenzake, BIG UP MAKONDA.

  • @KaujuMwakajumba
    @KaujuMwakajumba Před 7 dny +2

    Huyu makonda ni Nabii ...kikubwa zaidi mungu akutangulie mheshimiwa makonda ♥️♥️♥️♥️🙏

  • @jackmabirangacharles9398

    Mungu Akubariki Mheshimiwa Makonda
    Najiuliza Wakuu wa Mikoa Wengine wanashindwa vipi? Kujipanga au Hawana Marafiki kama Makonda

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v Před 7 dny +5

    Cjui niseme nini jamani ubarikiwe sanaa mkuu🙏🙏🙏🙏

  • @user-qy4bg4qj9z
    @user-qy4bg4qj9z Před 7 dny +4

    Mungu akuzidishie zaidi UTEKELEZAJI wa kazi zako mdogo wangu

  • @DanielChalya-zo6mp
    @DanielChalya-zo6mp Před 7 dny +4

    Big up makonda

  • @kingaziomari4211
    @kingaziomari4211 Před 5 dny

    Ndugu zangu kijana huyo sauti inakauka kwakutetea wanyonge mungu amlinde

  • @EliaMarco
    @EliaMarco Před 7 dny +3

    Safi sana kamanda

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 Před 7 dny +4

    Hi huduma ingetolewa nchi nzima ingetusaidia sana duh!!

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 Před 3 dny

    Ni mpango na ni
    ubunifu mzuri sana.
    Swali:
    NI ENDELEVU ??

  • @nicodemashaggite8429
    @nicodemashaggite8429 Před 6 dny +1

    MAKONDA, Makonda, sijui niseme nn Kwa ajili Yako lakini Mungu anakuona🙏🙏🙏

  • @ADIMUSALUMU-ko6zp
    @ADIMUSALUMU-ko6zp Před 6 dny +2

    Makonda chukua nch unafaa mheshimiwa

  • @daudimusoma3337
    @daudimusoma3337 Před 7 dny +3

    Kweli unasitahili kuchukiwa na wenye wivu na

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Před 5 dny

    Hii Ni Aibu Kwa Taifa Letu.Serikali Yetu Ikubali Tu Kwamba Haipo Kwa Masilahi Ya Wananchi Bali Kwa Ajili Ya Matumbo Yao.Ukweli Makonda Tunamshukuru Kwa Kuiumbua Serikali Ya CCM.

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Před 6 dny +2

    mama samia ukiondoka mwachie nchi huyu makonda nchi itakuwa salama mrudishie uenezi 2025 uzoe kula

  • @kingaziomari4211
    @kingaziomari4211 Před 5 dny

    Hangera mama kwakumuunga mkono makonda nakurazangu zote kwako

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 Před 7 dny +3

    Una sitahili kuwa RAISI

  • @uziasinkamba7380
    @uziasinkamba7380 Před 7 dny +2

    Tunaomba na kwetu songwe tusaidiane

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338 Před 7 dny +3

    mussa tufikishe kanani

  • @barakajonas3209
    @barakajonas3209 Před 7 dny +2

    ❤❤

  • @IsmailMatola
    @IsmailMatola Před 7 dny +2

    Mhe makonda usitegemee kama utapenda na wanaojifanya nnchi ii yao kuanzia mawazili manaibu wao makatibu wakuu wakuu wa idala awowote ni wezi tupu na awafai kuwa viongozi wetu ila wewe wewe makonda nibonge la kiongozi nasio wakuigwa tu bali ni wamfano na ukiona unamchukia makonda wewe ni mwizi aijalishi wewe ni mstaafu au nani nyinyi wezi atuwataki muwepo apa duniani

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 6 dny

    NCHI HII WAGONJWA WAPO ALIPO MAKONDA TU MIKOA MINGINE HAWAPO NDIYO MAANA FEDHA ZIMEPELEKWA HUKO TU