Glory to God kwaajili ya mama Samia,,,pia kwa mheshimiwa makonda kwa maono mema anayoongozwa na Mungu ...wabarikiwe sana wanaoombea nchi yetu hakika tunaona viongozi bora
Mh, Makonda tunatamani ungekuwa Mkuu wa mkoa wetu. Hongera sana na Mungu akupe maisha marefu. Pia tunamshukuru Mh, Raisi ya Jamuhuri wa muungano wa Tanzaniakwa kukuona Mh Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mama yetu kipenzi Mh, Dkt Samia Hassan Suluhu Mungu akupe maisha afya njema na maisha matefu
Mimi ni mtanzania ninaishi Mkoa wa Mtwara lakini ninafuurahishwa sana na kazi unazozifanya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh Makonda kwa wananchi wako. Nimefurahishwa sana ninapoona unajali utu na thamani ya watu na kutoa huduma haki sawa kwa wote; masikini na tajiri, Walemavu na wasio walemavu. Mungu akubariki sana
Asante Raisi, asante RC, asante wadau tunaomba zoezi hii liwe endelevu. Say wananchi wote kwa kutumia nida wachangie 60000 kwa mwaka na tutibiwe bure hospitali zote za serikali. Uundwe mfuko maalum matibabu kwa watanzania.iwe na tume ya kusimamia na kuendesha shughuli hizi. Mtashangaa fedha nyingi tu zitakusanywa kwa kila mwenye nida. Na hata baadae kusaidia wazee kwa huduma zaidi kama chakula nguo na makazi kwa wale waliotelekezwa. Watanzania.wengi ni vijana na wanaWake na tupo fit na hatuna mazoea ya kwenda hospitali hadi tuumwe au tuzidiwe.
Kusema ukweli,Arusha kumpata Makonda wmeula sn/Mam Samia kaptia sn,Wamtumie Makonda vzri ana kitu huyu mtu,Kwa makusudi ya MUNGU na si Mwanadmu Makonda atfka mbali kikubwa watanzania tuzdi kumwombea huenda ni turufu pkee ilybki😅
Asant Mh Rais Samia kwa kutuletea Mh Makonda Mungu awabariki sana ❤❤❤
Hongera sana Mh Makonda wananchi wamejitokeza kwa wingi Mungu akulinde Mh Makonda
Hongera sana Makonda kwa ubunifu wako.👏👏👏
Kamaa ni mbunifu kinoma
Glory to God kwaajili ya mama Samia,,,pia kwa mheshimiwa makonda kwa maono mema anayoongozwa na Mungu ...wabarikiwe sana wanaoombea nchi yetu hakika tunaona viongozi bora
Mungu akutunze Raisi wetu Kipenzi. We love you dearly 😘❤
Mungu akutangulie kwa kila.hatua ya kusaidia na kusikiliza wanyonge na wenye hali ya chini.baraka nyingi zikumiminikie❤
Natoka bagamoyo nakujja kutibiwa Bure,,,asante makonda
Makonda, we love you
Awakuwezi 😂😂😂😂😂❤❤❤❤ Makonda Makonda Bwana kumekucha😂😂
Mh, Makonda tunatamani ungekuwa Mkuu wa mkoa wetu. Hongera sana na Mungu akupe maisha marefu. Pia tunamshukuru Mh, Raisi ya Jamuhuri wa muungano wa Tanzaniakwa kukuona Mh Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mama yetu kipenzi Mh, Dkt Samia Hassan Suluhu Mungu akupe maisha afya njema na maisha matefu
Nakukubali sana makonda! Wewe ni mtu wa nguvu sana! Mungu akubariki sana. Wewe rais wa 2035 nakuhakikishia kabisa kamanda
Huku wanakamata machangudoa wanaacha kero za msingi mpaka maduka yanafungwa big up makonda
We unaonaje,mamalaya yakikamatwa?ni vizuri iwe endelevu,wanatia laana gharika tuu Mungu anatusamehe
Ahsante kea msaada wamatibabu,tumuombe mungu uponyaji.
Mungu akutendee makuu Makonda na Rais Samia mje na huku Moshi vijijini
Hongera mh! Mkuu wa mkoa arusha
Mungu akutunze sana Kwa ajili ya Taifa hili🙏
Mungu akuongezee rais kuwapata viongozi kama hawaa
Chapa kaz brother bila kuogopa msema kweli Ni mpenzi wa mungu na ulinzi wamungu utakua naww siku zote zamaisha yako natunakuombea kazi njema
Ila ukweli makonda unajua sanaaaaaaa. Rais angekuwa na wakuu wa mkoa kama wew tu kumi. Hata huo mgomo wa dar tusinge usikiaaa
Hongera rais ujaye
Hiyo huduma iwe nchi nzima maana huduma ni haki ya watanzania wote
Hongera Sana mkuu wetu
Mimi ni mtanzania ninaishi Mkoa wa Mtwara lakini ninafuurahishwa sana na kazi unazozifanya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh Makonda kwa wananchi wako. Nimefurahishwa sana ninapoona unajali utu na thamani ya watu na kutoa huduma haki sawa kwa wote; masikini na tajiri, Walemavu na wasio walemavu. Mungu akubariki sana
Hongera mkuu wa mkoa sina mengi makufuli amerudi wallah naama chadema ccm mbele Kwa mbele....
Tukimsifu Makonda wengine mnachukia basi Makonda hafai furahini sasa
Ifanye ivyo adi kwa wagonjwa wa kensa na maradhi mengine inchi nzima❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wakuu wengine mbona kimyaaa wananchi tunawahitaji Kwa mengi msimae maofisini
Changamoto za ardhi
Afya na mengine mengi jamanii
Mungu akutangùlie
Yani Mungu wako akulinda sana watapigana nawe hawataweza.
Asante Raisi, asante RC, asante wadau tunaomba zoezi hii liwe endelevu. Say wananchi wote kwa kutumia nida wachangie 60000 kwa mwaka na tutibiwe bure hospitali zote za serikali. Uundwe mfuko maalum matibabu kwa watanzania.iwe na tume ya kusimamia na kuendesha shughuli hizi. Mtashangaa fedha nyingi tu zitakusanywa kwa kila mwenye nida. Na hata baadae kusaidia wazee kwa huduma zaidi kama chakula nguo na makazi kwa wale waliotelekezwa. Watanzania.wengi ni vijana na wanaWake na tupo fit na hatuna mazoea ya kwenda hospitali hadi tuumwe au tuzidiwe.
Hongera Kaka chapa kazi usiangalie bati iliyong’ooka msumari upepo ukija kazi yake ni kelele mwenye nyumba kalala kwa raha zake
Mama samia mtazame huyu kijana achana na wahuni wenye nia mbaya na wewe ,huyu chalii katumwa na Mungu
Arusha Oyeeee, Mama Mh.Samia.S.Hassan saaaafiiiiiiii, Makonda saaaafiiiii🔥🔥🔥
Makonda kashindikana, ana kitu tumuombee
Makonda saaafiii 🎉🎉
MWAMBA AMEIVA KWENYE PROPAGANDA 😂😂😂 HONGERA SANA.
Makonda unastahili pokezi sana sanaaaaa
Tanzania is still blessed!
Yaan Makonda angekua uncle wangu ningefurah maana anahaki kama Magufuli yaan duh
Mm na kuombea mwisho mwema
Makonda makonda makonda
Makonda unatuliza kwa kuongea na mama yetu wazi wazi Mungu awalinde
Hivi makonda kwani uraisi unashindwa nini kugombea
Makonda jembe la kazi
Nan mwingine ana pafu la kumpigia simu Raisi?
Jamani makonda huyu kwa haeletwi hata wanapoteseka watu hakuna was kuwasemea
Kura hazitapigwa Arusha peke yake.
Mama anatakiwa akupishe makonda ndio uwe raisi mama nchii hii haiwezi
Mungu mkubwa
❤❤❤❤
Unamtegenezea jia kweli ila yeye hafaikabisa
Makonda ni kiongozi Bora,watanzania tumuombee sana,huyu anafaa kuwa kiongozi mkuu wa nchi miaka ijayo,
Huyu ndio Mkuu wa Mkoa ambaye ana kaa na wananchi karibu wengine wana pita kwenye ma V8 Tena yale tented
Uchanguzi hoyeeeeee tutaona mengi
Mbn mawazo yako finyu hata matibabu unayajadili ww mwafrika basi bwana ndio mwisho wamawazo yako
Mathayo 7:7
Mama mrudishe makonda dar
Kwanin ni arusha tu akati tanzania yote kuna wananchi wanapata huduma za afya kwa shida?
Mama samia amchague tu kuwa waziri mkuu uchaguzi ijayo
Sisa tu hizo wekeni mazingra vzr watu wanateseka na magojwa sio munatuletee ipepo wa kimbunga
Kwa hyo unataka ufuatwe kwako
Kuandika kwenyewe shida,,
Makonda 😂😂😂
Kaka makonda NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MKUBWA.
Chadema watatobowa kweli ???
Hhhhhhhha 😂😂😂😂 kufanya hivo amani huwa mnaenda wapi uchaguzi ndo kuona saman yetu hhhhhhhha mtapatq tabusana
Wakuu wengine mnafeli wp jamani.
Kusema ukweli,Arusha kumpata Makonda wmeula sn/Mam Samia kaptia sn,Wamtumie Makonda vzri ana kitu huyu mtu,Kwa makusudi ya MUNGU na si Mwanadmu Makonda atfka mbali kikubwa watanzania tuzdi kumwombea huenda ni turufu pkee ilybki😅
Niko mwanza nakuja kutibiwa
Kuna kiki ya mbali hiv CUBER
Yani ccm kwa maigizo 😂😂
Mambo yamenoga
Wewe ni mbunifu
Makonda alitakiwa kua mkuu wa wakuu wamikoa
Mwenye namba ya mkuu wa Mbeya naomba😢
Hahahaha ushapata wakili
siku saba utatbu nini
iyo ndio siasa akuna matibabu apo.utu atapesa panado tu imetoka
Made mbele tuache wenyewe
Piga kazi makonda ,ww ni mwamba,wenzako huku Dar wanahangaika na mchangu dowa.
Maigizo hayo yanawahusu wajinga
Bernad Bwakatare wewe mjanja anadaa magizo yako tuyaone wajinga tutakuunga mkono
Tunaomba makonda arudi dar, barabara za mitaani ni kero, tarura wanahitaji kupigwa spana
Uko yupo chalamila anaweweza anawapeleka na komedi