MAKONDA AONGEA na RAIS SAMIA LIVE, SHANGWE LAIBUKA, ATANGAZA MATIBABU ya BURE kwa WANANCHI wa ARUSHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024

Komentáře • 86

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 6 dny +13

    Asant Mh Rais Samia kwa kutuletea Mh Makonda Mungu awabariki sana ❤❤❤

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 6 dny +10

    Hongera sana Mh Makonda wananchi wamejitokeza kwa wingi Mungu akulinde Mh Makonda

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Před 6 dny +15

    Hongera sana Makonda kwa ubunifu wako.👏👏👏

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 6 dny +4

    Glory to God kwaajili ya mama Samia,,,pia kwa mheshimiwa makonda kwa maono mema anayoongozwa na Mungu ...wabarikiwe sana wanaoombea nchi yetu hakika tunaona viongozi bora

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 Před 6 dny +3

    Mungu akutunze Raisi wetu Kipenzi. We love you dearly 😘❤

  • @rizikimwambusi4041
    @rizikimwambusi4041 Před 6 dny +2

    Mungu akutangulie kwa kila.hatua ya kusaidia na kusikiliza wanyonge na wenye hali ya chini.baraka nyingi zikumiminikie❤

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Před 6 dny +4

    Natoka bagamoyo nakujja kutibiwa Bure,,,asante makonda

  • @ruthdavie1175
    @ruthdavie1175 Před 6 dny +6

    Makonda, we love you

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před 6 dny +4

    Awakuwezi 😂😂😂😂😂❤❤❤❤ Makonda Makonda Bwana kumekucha😂😂

  • @user-kg3wo9tl9k
    @user-kg3wo9tl9k Před 4 dny

    Mh, Makonda tunatamani ungekuwa Mkuu wa mkoa wetu. Hongera sana na Mungu akupe maisha marefu. Pia tunamshukuru Mh, Raisi ya Jamuhuri wa muungano wa Tanzaniakwa kukuona Mh Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mama yetu kipenzi Mh, Dkt Samia Hassan Suluhu Mungu akupe maisha afya njema na maisha matefu

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Před 6 dny +2

    Nakukubali sana makonda! Wewe ni mtu wa nguvu sana! Mungu akubariki sana. Wewe rais wa 2035 nakuhakikishia kabisa kamanda

  • @saidimketo6708
    @saidimketo6708 Před 6 dny +5

    Huku wanakamata machangudoa wanaacha kero za msingi mpaka maduka yanafungwa big up makonda

    • @TatuRajabu-cz6jz
      @TatuRajabu-cz6jz Před 6 dny

      We unaonaje,mamalaya yakikamatwa?ni vizuri iwe endelevu,wanatia laana gharika tuu Mungu anatusamehe

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 6 dny +3

    Ahsante kea msaada wamatibabu,tumuombe mungu uponyaji.

  • @annatemu6735
    @annatemu6735 Před 6 dny +2

    Mungu akutendee makuu Makonda na Rais Samia mje na huku Moshi vijijini

  • @EliasNgarukay-um1qk
    @EliasNgarukay-um1qk Před 6 dny +4

    Hongera mh! Mkuu wa mkoa arusha

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 Před 6 dny +2

    Mungu akutunze sana Kwa ajili ya Taifa hili🙏

  • @CharlesDaniel-mn8jl
    @CharlesDaniel-mn8jl Před 6 dny +4

    Mungu akuongezee rais kuwapata viongozi kama hawaa

  • @DavidMlaga
    @DavidMlaga Před dnem

    Chapa kaz brother bila kuogopa msema kweli Ni mpenzi wa mungu na ulinzi wamungu utakua naww siku zote zamaisha yako natunakuombea kazi njema

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 Před 6 dny +6

    Ila ukweli makonda unajua sanaaaaaaa. Rais angekuwa na wakuu wa mkoa kama wew tu kumi. Hata huo mgomo wa dar tusinge usikiaaa

  • @chackszephaniah592
    @chackszephaniah592 Před 6 dny +4

    Hongera rais ujaye

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 6 dny +3

    Hiyo huduma iwe nchi nzima maana huduma ni haki ya watanzania wote

  • @NeemaNey-mp2fi
    @NeemaNey-mp2fi Před 2 dny

    Hongera Sana mkuu wetu

  • @user-kg3wo9tl9k
    @user-kg3wo9tl9k Před 4 dny

    Mimi ni mtanzania ninaishi Mkoa wa Mtwara lakini ninafuurahishwa sana na kazi unazozifanya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh Makonda kwa wananchi wako. Nimefurahishwa sana ninapoona unajali utu na thamani ya watu na kutoa huduma haki sawa kwa wote; masikini na tajiri, Walemavu na wasio walemavu. Mungu akubariki sana

  • @user-qr7jp9jw4c
    @user-qr7jp9jw4c Před 4 dny

    Hongera mkuu wa mkoa sina mengi makufuli amerudi wallah naama chadema ccm mbele Kwa mbele....

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 Před 6 dny +3

    Tukimsifu Makonda wengine mnachukia basi Makonda hafai furahini sasa

  • @user-kd7ey2mu7p
    @user-kd7ey2mu7p Před 6 dny

    Ifanye ivyo adi kwa wagonjwa wa kensa na maradhi mengine inchi nzima❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @JanethKavishe
    @JanethKavishe Před 6 dny +4

    Wakuu wengine mbona kimyaaa wananchi tunawahitaji Kwa mengi msimae maofisini
    Changamoto za ardhi
    Afya na mengine mengi jamanii

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 Před 6 dny +3

    Mungu akutangùlie

  • @deborahmsuyah5345
    @deborahmsuyah5345 Před 6 dny +4

    Yani Mungu wako akulinda sana watapigana nawe hawataweza.

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s Před 6 dny +1

    Asante Raisi, asante RC, asante wadau tunaomba zoezi hii liwe endelevu. Say wananchi wote kwa kutumia nida wachangie 60000 kwa mwaka na tutibiwe bure hospitali zote za serikali. Uundwe mfuko maalum matibabu kwa watanzania.iwe na tume ya kusimamia na kuendesha shughuli hizi. Mtashangaa fedha nyingi tu zitakusanywa kwa kila mwenye nida. Na hata baadae kusaidia wazee kwa huduma zaidi kama chakula nguo na makazi kwa wale waliotelekezwa. Watanzania.wengi ni vijana na wanaWake na tupo fit na hatuna mazoea ya kwenda hospitali hadi tuumwe au tuzidiwe.

  • @allyndasiwa318
    @allyndasiwa318 Před 6 dny

    Hongera Kaka chapa kazi usiangalie bati iliyong’ooka msumari upepo ukija kazi yake ni kelele mwenye nyumba kalala kwa raha zake

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 6 dny +10

    Mama samia mtazame huyu kijana achana na wahuni wenye nia mbaya na wewe ,huyu chalii katumwa na Mungu

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 Před 6 dny +1

    Arusha Oyeeee, Mama Mh.Samia.S.Hassan saaaafiiiiiiii, Makonda saaaafiiiii🔥🔥🔥

  • @sirmwita3351
    @sirmwita3351 Před 6 dny +3

    Makonda kashindikana, ana kitu tumuombee

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před 6 dny +3

    Makonda saaafiii 🎉🎉

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Před 6 dny +5

    MWAMBA AMEIVA KWENYE PROPAGANDA 😂😂😂 HONGERA SANA.

  • @user-wc8eb6nk6l
    @user-wc8eb6nk6l Před dnem

    Makonda unastahili pokezi sana sanaaaaa

  • @ashiraphmisigaro7432
    @ashiraphmisigaro7432 Před 6 dny +1

    Tanzania is still blessed!

  • @MariamKileo-mu8rv
    @MariamKileo-mu8rv Před 6 dny +1

    Yaan Makonda angekua uncle wangu ningefurah maana anahaki kama Magufuli yaan duh

  • @shadrackhelemani346
    @shadrackhelemani346 Před 6 dny +3

    Mm na kuombea mwisho mwema

  • @user-tu9ps9kr2o
    @user-tu9ps9kr2o Před 6 dny +3

    Makonda makonda makonda

  • @user-le1mo8ru7u
    @user-le1mo8ru7u Před 6 dny +1

    Makonda unatuliza kwa kuongea na mama yetu wazi wazi Mungu awalinde

  • @MwanahamisiHashim
    @MwanahamisiHashim Před 6 dny +1

    Hivi makonda kwani uraisi unashindwa nini kugombea

  • @elifasiscawa5698
    @elifasiscawa5698 Před 6 dny +1

    Makonda jembe la kazi

  • @yohanesfelix7534
    @yohanesfelix7534 Před 6 dny +3

    Nan mwingine ana pafu la kumpigia simu Raisi?

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 Před 6 dny +1

    Jamani makonda huyu kwa haeletwi hata wanapoteseka watu hakuna was kuwasemea

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před 6 dny +1

    Kura hazitapigwa Arusha peke yake.

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před 5 dny

    Mama anatakiwa akupishe makonda ndio uwe raisi mama nchii hii haiwezi

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 Před 6 dny +3

    Mungu mkubwa

  • @patrickkwibe4431
    @patrickkwibe4431 Před 6 dny +2

    ❤❤❤❤

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 Před 6 dny +1

    Unamtegenezea jia kweli ila yeye hafaikabisa

  • @katunzikihembe4455
    @katunzikihembe4455 Před 6 dny

    Makonda ni kiongozi Bora,watanzania tumuombee sana,huyu anafaa kuwa kiongozi mkuu wa nchi miaka ijayo,

  • @user-fu2gz2lq1j
    @user-fu2gz2lq1j Před 5 dny

    Huyu ndio Mkuu wa Mkoa ambaye ana kaa na wananchi karibu wengine wana pita kwenye ma V8 Tena yale tented

  • @jimpazclimpaz1794
    @jimpazclimpaz1794 Před 6 dny +2

    Uchanguzi hoyeeeeee tutaona mengi

    • @user-xs8to8fu6d
      @user-xs8to8fu6d Před 6 dny

      Mbn mawazo yako finyu hata matibabu unayajadili ww mwafrika basi bwana ndio mwisho wamawazo yako

  • @JustusJulius-id6yq
    @JustusJulius-id6yq Před 6 dny +1

    Mathayo 7:7

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 6 dny +1

    Mama mrudishe makonda dar

  • @doctorparasinokashuma6449

    Kwanin ni arusha tu akati tanzania yote kuna wananchi wanapata huduma za afya kwa shida?

  • @ericraphael9653
    @ericraphael9653 Před 5 dny

    Mama samia amchague tu kuwa waziri mkuu uchaguzi ijayo

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 Před 6 dny +2

    Sisa tu hizo wekeni mazingra vzr watu wanateseka na magojwa sio munatuletee ipepo wa kimbunga

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před 6 dny +1

    Makonda 😂😂😂

  • @babarungurallyteam2754

    Kaka makonda NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MKUBWA.

  • @froma3732
    @froma3732 Před 4 dny

    Chadema watatobowa kweli ???

  • @THOMASMAYOGU-vu5ny
    @THOMASMAYOGU-vu5ny Před 4 dny

    Hhhhhhhha 😂😂😂😂 kufanya hivo amani huwa mnaenda wapi uchaguzi ndo kuona saman yetu hhhhhhhha mtapatq tabusana

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola Před 6 dny

    Wakuu wengine mnafeli wp jamani.

  • @japhetlemilya2419
    @japhetlemilya2419 Před 3 dny

    Kusema ukweli,Arusha kumpata Makonda wmeula sn/Mam Samia kaptia sn,Wamtumie Makonda vzri ana kitu huyu mtu,Kwa makusudi ya MUNGU na si Mwanadmu Makonda atfka mbali kikubwa watanzania tuzdi kumwombea huenda ni turufu pkee ilybki😅

  • @happinessmwisse1152
    @happinessmwisse1152 Před 6 dny

    Niko mwanza nakuja kutibiwa

  • @ShabaniOmary-nf6qu
    @ShabaniOmary-nf6qu Před 6 dny

    Kuna kiki ya mbali hiv CUBER

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga Před 6 dny

    Yani ccm kwa maigizo 😂😂

  • @ndorobocarworks-dx4pf

    Mambo yamenoga

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před 5 dny

    Wewe ni mbunifu

  • @user-pb4rn2tj4q
    @user-pb4rn2tj4q Před 5 dny

    Makonda alitakiwa kua mkuu wa wakuu wamikoa

  • @mc_Mangula
    @mc_Mangula Před 6 dny

    Mwenye namba ya mkuu wa Mbeya naomba😢

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před 6 dny

    siku saba utatbu nini

  • @mpindafamily1496
    @mpindafamily1496 Před 6 dny

    iyo ndio siasa akuna matibabu apo.utu atapesa panado tu imetoka

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Před 6 dny

    Piga kazi makonda ,ww ni mwamba,wenzako huku Dar wanahangaika na mchangu dowa.

  • @BenardBwakitare
    @BenardBwakitare Před 6 dny

    Maigizo hayo yanawahusu wajinga

  • @user-ml3zf7mw1y
    @user-ml3zf7mw1y Před 5 dny

    Bernad Bwakatare wewe mjanja anadaa magizo yako tuyaone wajinga tutakuunga mkono

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před 6 dny

    Tunaomba makonda arudi dar, barabara za mitaani ni kero, tarura wanahitaji kupigwa spana

    • @BeniJohn-xd3cn
      @BeniJohn-xd3cn Před 6 dny

      Uko yupo chalamila anaweweza anawapeleka na komedi