Nyie wabunge wote mnaochangia maneno yasiyokuwa na msingi mnatetea wizi na ubadilifu wataratibu za kweli tubuni Mungu anawaona ipo siku yaja Mungu hatanyamaza mwogopeni sana aliyewaumba pamoja na sheria zenu
Pole sana mpina,nchi hii ukitaka upendwe na chama cha ccm furahia mambo ya ufisadi pia uwe mnafki,hapo udumu miaka mingi.mana kuna watu wali kuwa waza lendo na watetezi lakini wame potea
Mpina nimmoja wa wabunge imara na mwenye maono kwani ata alipokuwa waziri alikuwa smart sana nadhani hapo bungini waliopo ni makasha ya wabunge baadhi yao hawapo kwa ajili ya wana nchi tz bado sana tupo usingizini na hakuna mbu anaerusumbua ndio mana tulala fafefifooofooooo
Mpina Oyeee. Watanzania wote tunakuunga mkono. Hao mafisadi wabunge wenzio na Spika wa bunge wasikuumize kichwa. Umejijengea sifa ya pekee. Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia 💯
Hawa wanaochangia naona kama wameandaliwa na pia kama wana chuki binafsi ndani yao,lkn God is Great always..I stand with Mpina forever with no disrespect for the parliament..
Wako bungeni kwa ajili ya masilahi yao bahati mbya hatukuwachagua ndiyo maana wako kwa upigaji makofi isiyo na mshiko kabisa mnapoteza tu muda na kupokea kitita
Wabunge wa ccm kwa hoja hiyo ya mpina wanavyo changia kwa machachali rakni maswala yanayo wagusa wananchi na kuhusu upatianaji wa katiba mpya wako kimya nyie wabunge maccm Mungu anawaona mnamuhukumu mtu anae sema ukweli wengne wengi 2025 amtorudi tena shenz zenu
Haya mabunge ya ccm bwana yaani utasema kama vile hawakwenda shule yaani wana muuona mpina kama nijambazi na mchonganishi, ukionana kuna kunakelele nyingi kutoka ccm ujue kunajambo lina nuka hapo
Mavi au wabunge, these are narcissists, who don’t know their jobs, ni kutombana tu, kuhongwa na kula hela zetu. Mutaadhibiwa mkifa washenzi nyinyi wenye akili za nzi!
Hutuwezi kukataa uzuri wa Bashe. Lakini wengi mnatumia hisia zaidi kuliko kutafuta facts. Wabunge wetu jukumu lenu liwe kumtetea mwananchi zaidi kuliko serikali. Kuweni na uhakika kama kweli Mpina alifanya hilo jambo kwa mslahi binafsi na sio maslahi ya umma.
Msitaje haraka laana kwa sababu nchi hii imejaaa laana kila kona dhuluma kudhalauliana kama mungu angelaani basi hakuna mtu angepona tushinyosheane sana vidole ambaye hajatenda dhambi awe wa kwanza kumpiga mwenzake
Kigezo cha kuchaguliwa mbuge kirekebishwe kujua kusoma na kuandika pekee hakutoshi kuwa mwakilishi unaona kabisa tofauti ya mbunge msomi na darasa la saba .
Tuna wabunge wa hovyo sana, hoja ya MSINGI ya mpina inahitaji majibu Siyo huu mjadala mnaotuletea. Mnaacha MAJUKUMU yenu ya MSINGI kuisimamia Serikali na kuwawakilisha wananchi mnabaki kukiwakilisha chama na familia zenu. Upumbavu kabisaaaaa.
Anacho kifannya Bashe kuhusiana na maendeleo ya kilimo, wakulima, na wananchi ni tija na msaada mkubwa kwa maendeleo ya wananchi na Taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Azabu kubwa anastahiki (Mpina) ili iwe fundisho kwa utomvu mkubwa wa adabu kwa spika na Bunge la Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Mnalalamika spika katukanwa mtu anatetea wanyonge kwaio wananchi tuteseke sukari tuliuziwa erfu kumi nyie wabunge mkaona sawa tu ila spika mnamtetea nyie watu wa hovyo kbs
Mpina uliwahi kuwa waziria awamu ya tano ukaboronga Leo acha wakuvuruge we siyo mtu kama uliwahi kupeleka rula kantini ya bunge wakakuacha ukalindwa,naunga mkono usulubiwe ww hufai
MUNGU ana kawaida ya kusubiri watu wanaoumia kumlilia ili afanye jambo. Na inachukua muda mrefu wanyonge kupata fahamu sahihi kuwa MUNGU anasubiri tu sauti ya vilio vyao kwa pamoja ndipo mtu mmoja utumwa kuja akiwa na fimbo mkononi. Hapo ndipo bahari hugawanyika pakavu pakaonekana na wanyonge huvuka.
Ise kweli bunge letu inaheshima, inaongea lugha yenye kutoa heshima. Tukiangalia bunge la jirani ni hovyo. Lugha mchanganyiko. Maneno yanarushwa hovyo. Hi ni bunge mfano katika bara nzima la Africa na pengine duniani kote.
Nimesikiliza hoja za wabunge wote lakn nimegundua baadhi ya wabunge wanachangia kwa mihemuko na chuki lakn kuna baadhi ya wabunge wamechangia kwa hekima na busara
Mpina wala usijali, sisi wananchi tunakuelewa, na pia elewa kuwa hapo unapikwa, dhahabu haiwezi kuwa dhahabu bila kuingia kwenye tanuru ya moto Hivyo jitahidi kuwa chura.
Wabunge mungu anawaona mnasema mnalidhalilisha bunge mbn huko Dubai walipokea mlungula
Mpina oyee.Tukopamoja na wananchi !!!
Mpina uko vizuri mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
Nyie wabunge wote mnaochangia maneno yasiyokuwa na msingi mnatetea wizi na ubadilifu wataratibu za kweli tubuni Mungu anawaona ipo siku yaja Mungu hatanyamaza mwogopeni sana aliyewaumba pamoja na sheria zenu
Pole sana mpina,nchi hii ukitaka upendwe na chama cha ccm furahia mambo ya ufisadi pia uwe mnafki,hapo udumu miaka mingi.mana kuna watu wali kuwa waza lendo na watetezi lakini wame potea
Hili bunge linaubaguzi sana mtu anatetea wanyonge halafu wabunge wanamdhihaki mtetea wanyonge bunge hili la hovyo sana
Mimi naona alichosema mpina nikingine kinacho zengumziwa nikingine mbina hawasemi kampuni zilizopeŵa vibari
Nilikuwa nakupenda Bunge ila kwasasa hapana,
Hili Bunge halijielewi. Kila Mbunge anajipendekeza. Ni kw maslahi ya matumbo yao, siyo kw ajili ya wananchi.
Mpina nimmoja wa wabunge imara na mwenye maono kwani ata alipokuwa waziri alikuwa smart sana nadhani hapo bungini waliopo ni makasha ya wabunge baadhi yao hawapo kwa ajili ya wana nchi tz bado sana tupo usingizini na hakuna mbu anaerusumbua ndio mana tulala fafefifooofooooo
Kwenye jimbo lake hawampendi
Hongera sana Mh. Mpina, sisi wananchi tumekuelewa vizuri sana. Hata wakikutoa sisi wananchi tuko nawe.
Acheni uongo mtafanya nn
Mpina kazingua
Yaan Bunge Zima linashindwa kujadili wizi na ubadilifu uliozungumzwa then wanajadili namna taarifa ilivyowasilisha, Bunge linashangaza sana hili
Mpina usife moyo endelea kupambania wanjonge mungu yupo pamoja nawe awo wanafiki tuu kama tabasamu
Mnyonge mama yako
Mpina Mungu yuko nawe mtetea wanyonge mnatete a matumbo yenu
Siku zote msemaukweli hapendagwi hata yesu alinyongwa msalabani kwa ukweli wake.
Nyie wabunge munaomtukana mpina mungu awape adhabu
Mpina Oyeee. Watanzania wote tunakuunga mkono. Hao mafisadi wabunge wenzio na Spika wa bunge wasikuumize kichwa. Umejijengea sifa ya pekee. Watanzania tunakuunga mkono kwa asilimia 💯
Mpina oyee watanganyika wako na wewe.
Ukijielewa watakusumbua sanah
Hawa wanaochangia naona kama wameandaliwa na pia kama wana chuki binafsi ndani yao,lkn God is Great always..I stand with Mpina forever with no disrespect for the parliament..
Wako bungeni kwa ajili ya masilahi yao bahati mbya hatukuwachagua ndiyo maana wako kwa upigaji makofi isiyo na mshiko kabisa mnapoteza tu muda na kupokea kitita
Wabunge wa ccm kwa hoja hiyo ya mpina wanavyo changia kwa machachali rakni maswala yanayo wagusa wananchi na kuhusu upatianaji wa katiba mpya wako kimya nyie wabunge maccm Mungu anawaona mnamuhukumu mtu anae sema ukweli wengne wengi 2025 amtorudi tena shenz zenu
Haya mabunge ya ccm bwana yaani utasema kama vile hawakwenda shule yaani wana muuona mpina kama nijambazi na mchonganishi, ukionana kuna kunakelele nyingi kutoka ccm ujue kunajambo lina nuka hapo
Mpina kawatupa mbari sana 🎉🎉🎉 Mwamba
Mavi au wabunge, these are narcissists, who don’t know their jobs, ni kutombana tu, kuhongwa na kula hela zetu. Mutaadhibiwa mkifa washenzi nyinyi wenye akili za nzi!
Hutuwezi kukataa uzuri wa Bashe. Lakini wengi mnatumia hisia zaidi kuliko kutafuta facts. Wabunge wetu jukumu lenu liwe kumtetea mwananchi zaidi kuliko serikali. Kuweni na uhakika kama kweli Mpina alifanya hilo jambo kwa mslahi binafsi na sio maslahi ya umma.
Bunge la Tanzania ni la mafisadi watupu. Haliko hapo kwa kuwawakilisha wananchi. Liko hapo kwa kuwanufaisha wabunge na mawaziri wezi
Mpina mmeshaanza kumpa jina kubwa kwa wananchi wa jimbo lake!
Hatukatai Hata kam kapotosha ndio kazi ya bunge kuweka sawa jambo alilo potosha inatusaidia na sisi kuelewa vizuri , sasa adhabu tena kosa lipi hapo
Waziri bashe mzushi hatumtaki cc wananchi mpina ni mbuge wetu na mtetezi wa wanyonge wabunge wengi wazushi wanatetea uwozo
Mpina hata kwenye jimbo lake hakuna anaye mtaka
sisi wananchi tupo na mpina 🇹🇿
Msitaje haraka laana kwa sababu nchi hii imejaaa laana kila kona dhuluma kudhalauliana kama mungu angelaani basi hakuna mtu angepona tushinyosheane sana vidole ambaye hajatenda dhambi awe wa kwanza kumpiga mwenzake
Mpina ni shujaa wa wanyonge
Ss na mpina tuko mstar mmoja tunakpenda mh mpina
Kigezo cha kuchaguliwa mbuge kirekebishwe kujua kusoma na kuandika pekee hakutoshi kuwa mwakilishi unaona kabisa tofauti ya mbunge msomi na darasa la saba .
Huku bungeni wote ni wanafki, mnamnafkia Rais samia, na hapo mnajaribu kufunga wabunge wengine midomo ili wasiseme ukweli uliopo.
Tuna wabunge wa hovyo sana, hoja ya MSINGI ya mpina inahitaji majibu Siyo huu mjadala mnaotuletea. Mnaacha MAJUKUMU yenu ya MSINGI kuisimamia Serikali na kuwawakilisha wananchi mnabaki kukiwakilisha chama na familia zenu. Upumbavu kabisaaaaa.
Msema kweli asulubiwa, ufisadi umelindwa uendelee kuwepo
Wewe msukuma ni Moja wapi wa wanufaika na biashara ya sukari
Bunge ili jamani Mungu Awasaidie.
Anacho kifannya Bashe kuhusiana na maendeleo ya kilimo, wakulima, na wananchi ni tija na msaada mkubwa kwa maendeleo ya wananchi na Taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Azabu kubwa anastahiki (Mpina) ili iwe fundisho kwa utomvu mkubwa wa adabu kwa spika na Bunge la Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Upo vizuri
Huna unachokijua, fanya utafiti wa mambo kwanza kabla hujaongea hayo unayoongea
BUNGE GANI HILI ? PAMBANENI NA MAFISADI KINA BASHE' HAKUNA LOLOTE HAPO KWANZA HAMPATI KURA ACHENI KELELE
Ndivyo alivyoanguka Job Ndugai. Hakuna sababu za msingi zaidi ya ushabiki na kujipendekeza kwa aliye juu
Na ninyi wabunge mmetudharau sisi wananchi oneni Kenya mpina usife moyo kutetea kutetea watnzania hao wanaomtetea Bashe wote ni wezi
Heko mpina,
Wote waliokuhukumu mwakani awatarudi bungeni, wapo bungeni Kwa maslahi binafsi.
Mm mpaka nime mlilia mpina
Mnalalamika spika katukanwa mtu anatetea wanyonge kwaio wananchi tuteseke sukari tuliuziwa erfu kumi nyie wabunge mkaona sawa tu ila spika mnamtetea nyie watu wa hovyo kbs
Bunge la Tanzania wakiwa busy na kazi daaah Mungu atusaidie sana.
Mpina uliwahi kuwa waziria awamu ya tano ukaboronga Leo acha wakuvuruge we siyo mtu kama uliwahi kupeleka rula kantini ya bunge wakakuacha ukalindwa,naunga mkono usulubiwe ww hufai
Baraza la maadili halijamtendea haki wanaki wanahusika na aliyoyasema mpina
Inatakiwa katiba mpya ili bunge liwe na tija
mh mpinga uko sawa piga kaz
Jamani ya kwamba kama usiposifia ww sio CCM kuweni na huruma MH mpina usirudi nyuma pambana mungu yupo pamoja na ww
Nilijua mapema Mpina hawezi kupewa ushindi kwani tangu mwanzoni Spika alionyesha Nia mbaya ya kumumiza. Mpina yuko sahihi hata mkijitetea ukweli na mkimwazibu.
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina...
Wote hakuna atakayerudi hapo
furahieni majanga ya wenzenu, tusubiri nyie msiokosea, yaani malaika wasaka tonge, waoga, wanafki muendelee kula nchi. Kuku kwa mrija. Hongereni.
kama yesu alipigwa na kusulubiwa na ndugu zake hatuwezi kushangaa ya Mpina
Mnatishana au mnajenga nchi mnatuchanganya sanaa
Mpina juu
Mimi Nataka kujuwa Alichokisema Mpima juu sukari ni kweli au sio kweli
si kweli maana walimpa mda alete vidhibitisho/ushaidi ukawa ni wa uongo
@@Ellyosborn-fo2zkwewe unaona Mpina ana toa ujinga au ukweli na Kwa niaba ya watu,,,,,,shinda niiii.......
MUNGU ana kawaida ya kusubiri watu wanaoumia kumlilia ili afanye jambo.
Na inachukua muda mrefu wanyonge kupata fahamu sahihi kuwa MUNGU anasubiri tu sauti ya vilio vyao kwa pamoja ndipo mtu mmoja utumwa kuja akiwa na fimbo mkononi.
Hapo ndipo bahari hugawanyika pakavu pakaonekana na wanyonge huvuka.
Hy tuliyategemea ktk bunge hili la wala nchi
Msukuma kwa elimu gani wewe ndio sehemu inayokustahili kuchangia huna unachokijua tunampenda mpina
Musukuma hauko sawa una bifu tu mungu anakuona
Bifu lao ni toka enzi la Magufuli
Vipi kuhusu kesi ya Bashe ndo mmeipotezea ? Mpina ana point, hawa kuna kitu wanaitetea.
Hawa wabunge unaweza kuwatukana kwa hasira ukapata matatizo tu!...
Yaani ni wa hovyo mno!
Sanaaa
Lissu alikimbia lema jonh heche, wengi tu walishindwa, mpina Njoo nje
Mpina amekosea kutoa Yale aliyowasilisha kwa spika, lakini je mjadala uendelee kuhusu Hilo la Bashe Kama kweli alifata taratibu
Yaani hii nchi ya ajabu sana, TBC hyo caption yenu imeiwekaje
Mbunge unapewa nafasi ya kuchangia, badala yake unaishia kusuta. Kumsema, na kumsimanga, sio sawa
Acheni ukuma angejibiwa hoja sake mpina hana kosa ata kidogo tulia unamuonea mpina
Wananchi Tuko pmj na Mh Mpina...
Wabunge wengi ni wanafiki sana
Shida yenu ma fisi em huwa hamtaki kuelezwa ukweli
Mtatoka wote hapo bungeni wengine wataingia ... kama ndugai alitoka itakuwa nyie
Ila nadhani mnajua uvumilivu unamwisho kule kenya mmeona vizuri kilichotokea cheo ni dhamana
Oooh kwani hapa ni wapi 😂
Mbaki na jengo lenu Mpina ndo mkweli kazi kulindana
Ise kweli bunge letu inaheshima, inaongea lugha yenye kutoa heshima. Tukiangalia bunge la jirani ni hovyo. Lugha mchanganyiko. Maneno yanarushwa hovyo. Hi ni bunge mfano katika bara nzima la Africa na pengine duniani kote.
Nimesikiliza hoja za wabunge wote lakn nimegundua baadhi ya wabunge wanachangia kwa mihemuko na chuki lakn kuna baadhi ya wabunge wamechangia kwa hekima na busara
Wanaona sisi ni mazuzu, ila one day yes
Sukari bei gani? Au mnamionea mpina
Yaan mmh sisemi lkn Mh Mpina piga kazi
Mbumbu ndiyo wanasubirigi kwenye vijembe
Sifuatilii bunge tenaaa na nitakua mtu wa masumbwi movie na miziki tu sitaki tena mimi kama ndio wabunge wako hivi aseee.
Leo wachangiaji wengi ndo mjue tuna bunge la aina gani
kuna chakujifunza nanii
Bunge la ovyo sana hili msema ukweli huunguzwa
Wewe ndiye mtu wa hovyo sana usiyefikiria unayepelekwapelekwa tu kama bwege
Mafisadi mbona hamyashambuliiiii!?!?!?!?
Hili ni bunge?
Nyie wabunge waking sana mko hp kwa ajiri ya wtz au mko kwa masilai yenu
Haya maneno yatunzwe muda utaamua
Yani wabunge wa hiki chama ni ovyo kweli😢😢😢😢😢😢
Kwani wachangiaji hao ni watanzania au?
Yaani kama wametoka nje ya nchi hwawana uchungu hata kidogo
ila Gwajima huongea kwa utulivu na hutoa point za msingi kabisa
BASHE U VIZURI MIMI BINFSI NIPO PAMOJA NAWE
Wapumbavuninyi mnampaathabu mpina kwakutobowasiri sasa tutawaona 2025mpina utaingia bungeni kwakishindo haonimapakatuu
Acheni nyie wabunge kumshambulia Mpina, kiasi hicho. SiSi wananchi tunampenda Mpina kwa kutuwakilisha bungeni
Nyie ndo wanafiki kwa kumkandamiza Mpina, kula zetu mwakani2025 hamtazipata tena , acheni ujinga nyie wabunge
Mpina wala usijali, sisi wananchi tunakuelewa, na pia elewa kuwa hapo unapikwa, dhahabu haiwezi kuwa dhahabu bila kuingia kwenye tanuru ya moto
Hivyo jitahidi kuwa chura.
Musukuma oyeeee, DP World oyeeee, mjinga sana huyo, atuambie alihongwa ngapi kupiga dene hao DP
Wabunge mnafurahia nakumsulubu mpina lakini mjue bila j p m msingekuwepo mjengoni hasa wewe spika tunakusubiri 2025