Video není dostupné.
Omlouváme se.

Mungu anapendezwa na mtu anaemtumikia kwa ustadi na ubora; Yeremia 48 : 10a, Mathayo 25 : 14 - 30

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2024
  • Mambo matatu yatakayo tokea wakati wa kutoa hesabu kwa Mungu;
    1. Kunakupata thawabu au hasara. 1Wkorintho 3 : 9 - 15
    2. Kuheshimiwa au kudharauliwa. Daniel 12 ; 2 - 3
    3. Kukataliwa na Kupokonywa. Mathayo 7 : 23 - 24, Mathayo 25 :26
    KUSUDI LA HUDUMA
    1. kumzalia Mungu matunda.
    Yohana 15 : 1 - 8 ( 16 )
    2. Kuimarisha ushirika wetu na Mungu na sisis kwa sisi kama mwili wa Ktristo
    1Wakorintho 12 : 12 - 27, 2Samweli 11 : 1 - 4 Isaya 41 : 6 - 7
    3. Kutupa heshima na thawabu mbele za Mungu.
    Ufunuo 22 : 12, 2Timotheo 2 : 20 - 21, Yohana 12 : 26, 2Timotheo 4 : 5 - 8,
    Kuna taji ambayo Mungu meandaa kwa watu watakaofanya kazi kwa ubora na ustadi

Komentáře • 3

  • @jescakazungu5027
    @jescakazungu5027 Před měsícem

    AMEN

  • @Sindato-xy3xu
    @Sindato-xy3xu Před měsícem

    Amen sana mtumishi wa mungu akubariki

  • @user-ek2ok9ro6h
    @user-ek2ok9ro6h Před měsícem

    Mungu nisaidie nibadilike kwa neno lako ubarikiwe mama kwa mafundisho mema mungu akupe maisha marefu