UMUHIMU WA KUWEKEZA KWENYE UFALME WA MUNGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Katika kila kitu ambacho Mungu anakubariki kwacho ni muhimu sana kuwekeza kwenye Ufalme Wake, maana kwa kufanya hivyo Ufalme wa Mungu unakuwa na kazi ya kukilinda kisipotee wala kuharibiwa na muovu. Chochote ambacho kina ulinzi wa Mungu adui hawezi kupata nafasi ya kukiharibu. Lakini pia huwezi ukatoa kwa ajili ya Ufalme wa Mungu na Mungu akakuacha, ndio maana kwenye Malaki 3 anaelezea vizuri namna ambavyo huwa anafanya kwa mtu ambaye ameamua kumtolea, anasema tumjaribu halafu tuone kama hatafanya. Jifunze sana kuwekeza kwa Mungu na hakika utaona baraka Zake kwa ukubwa kwenye maisha yako, na hii huenda hadi kwenye uzao wako..baraka hizi huenda kizazi hadi kizazi.
    #PastorSunbella#Kuwekeza#UfalmeWaMungu

Komentáře • 19