ILIBIDI NITUMIE NGUVU KUMUONDOA ASMAAH NYUMBANI, SIKU AMABAYO MAMA RUBY ANARUDI KUTOKA SOUTH AFRICA
Vložit
- čas přidán 15. 01. 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Daah babalevo una akili kubwa sana cjui bora ungekuwa na ajira serikalini angalau ukawa unasaidia kupeleka mawazo yetu cc Wananchi kule juu kabsa maana tunapenda mawazo na maamuzi yako hasa😊😊😊
ndio maana vijana mnaambiwa oeni...ingekua baba levo na mama ruby ni wanandoa huo mchepuko ungekua ni siri lakin kwakua hakuna ndoa wote ni mademu zake tu tunasema unachokipanda ndicho utakacho vuna OVER.
Baba Levo unakili nyingi wanawake ni manyoka unaogopa asikukomowe😂😂
NASIMAMA NA BABA love ❤❤❤❤
Huyo mama Ruby mwangalie sana sio mwema kwako
Baba levo nakukubali sana yaani napenda sana maisha yake
Mzee wa Mizagamuo..
#BabaLevo njoo BURUNDI 🇧🇮
Tukupe watoto wazuri. Uzagamue
Thumb up to you... Baba Levo ananafsi ya tofautii.. ikikukuta hii kitu utaelewa tyuu..😂😂
Nakuelewa baba Levo
Hata hivyo ndugu una moyo wa kijasiri sana. Si wote wanaweza kuishi hivyo. Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia.
Ukisema unapona !! Jamaa limemuumiza sana hili kichwan .kaamuwa kusema apone ..ila n jasir .
Baba Levo wew umefanya makosa kumrudisha mama Ruby sio mwanamke poa kwako inavoonekana ungebaki na Hasma kabisaaa
Wewe mchawi
Baba levo yupo sahihi kbds ila mama luby ana hakili tena ningekuwa mm nisinge mpokea tena ningebaki na hasma
Nasimama na wew nduguu😂😂
Baba levo upo sahihi
Kabisa baba😅
Baba levooo basiii tuu
Hivi hii nini?
😂😂😂mwijaku alitwambia hivi karibuni tukaona chizi leo haya hapa mwamba anayamwaga
Chawa anaejielewa😅
Baba Levo aliumia nahisi alipanga tu kulipiza kisasi alivyoomba msamaha
Kwa hiyo Asma katumika kama kiraka ?! Mwenye nyumba karudi yeye katolewa nje😢😢😢
Maswala ya familia yanahukumiwa na media
🤔🤔
Ati mzangamuo 😂😂😯😯
Ukitaka kumuelewa Baba levo nyampua 😂 sikiliza intavyu nzima achana na ivi vipande vipande vya mtandaon.....
baba levo u,menyooka
Yani mama Ruby pole wee na umejirudisha na mtot ukamzalia 😂😂😂 POLE kwa herufi kubwa😅😅
Alijualabda atapendwa 😢lakn 😂
Kiki ya Manara na Demu wake Zaylissa imepotezwa kabisa na hii skendo ya mizagamuo ya Baba Levo"
Tatizo ni kwamba unaskiza habari hapa pekeake😂😂😂hata diamond haezi zima story ya manara kabisa
Na hapo kweli mkisha zagamuana basi tena, mnasameheana, tena na mimba juu ndio maana kidemu kina kiburi,
Mama ruby mwenyewe na mtoto kazaa mashaallah mnasema pua ya babalevo kumbee anagombaniwa😂😂😂😂
😅😮😅
Yeye wakati yupo sa uzi alikuwa anaishi nanani huko mpaka anarudi baba levo u memuaminije
Hata mimi hapo nimeshangazwa
ila hili jamaa bhana nilikweliii sana .....🤣🤣🤣🤣🤣
Duuu
😂😂😂Ili lisikie kwa mwenzio
Kabisa mi naish na mwanaume kimaslahi kwakweli awe nao hata 20 kama maslahi ypo fresh ila maslahi hamna ata mmoja siez vumilia
Ulikosea kumruhusu kurud
Mama Ruby alikua hakufai tena bora endelee na dem asma
Ajikaze tuuuu mana aliyataka mwenyewe maman ruby yani Nampa pole kwa sababu America nakuza mungine mtoto
Ukiwa mkweli uwezi konda kwenye hii dunia
Duuuh
Kolo ni kolo tu Sasa huyo asmah ndiyo mwanamke sahihi tupo huku bondeni watu wabaya Sema mzee WA kazi kapime kidogo huyo kakuletea magonjwa mbafu wewe
Je asmaa, dada yake diamond???
yule ni Esma sio Asma
Daaah aiseee hizi Redioni za sikuhizi aiseee hata kama mambo yamebadilika but sio kwa kiasi hichi yani content ya Redio inakuwa ishu ya familia ya mtu jamani kweli mtu mwenyewe Baba levo hii ni hatari sana kwani ule mpango wa serikali mtangazaji lazma awe na elimu angalau ya Certificate in journalism ulishia wapi ungefanya kazi angalau tungepata nafuu kidogo ya ujinga kama huu
Uko sahihi ndugu yangu hasa hii radio inaujinga mwingi sana
Serkali haiwezi kupangia radio binafs labda ushuru pekee ila sio watu wakufanya nao kazi.
Hyo iko kibiashara zaidi
Kwahyo ndugu acha wivu maana sisi tunaenjoy na tunajifunza kitu piaa
Duh! Mnafurahia baba Lrvi anavyomzagamua mkewe
Mbona ni sawa tu tatizo nini sioni tatizo
Baba level amesha graduate mwaka jana amesoma certificate
Astaghafrullah
Acha bc 😂😂😂
Ukisema unapona !! Jamaa limemuumiza sana hili kichwan .kaamuwa kusema apone ..ila n jasir .
Dah! Kumbe yanatukuta wengi