Dini moja mungu moja kitabu kimoja mtume mmoja sote tunatafuta radhi za allah tunafeli wap waislamu kila mmoja apambane asije kuingia motoni tu bs huo upizan katk dini hauna tija
We nae unatuletea Mambo ya ajabu eti usalafi!!!!sisi tunajijua ni AHLU SUNNA WALJAMAA ALAA FAHAMI SALAFY SWALEEH sasa wewe unakata tu SALAFY nini sasa mnataka kufanya ni kitu kipya kwa ushabiki tu wengine nao watasema afirqatunnajia acheni ushabiki bwana
Waislam kila siku mnashambuliana wenyewe kwa wenyewe kila mwanazuoni anaona yy ni bora kuliko mwengine, lkn makufar wanajipanga na kupigwa maendeleo ya dini zao. Divides and rule approach.
Hata watoto wa ibilisi ni waislam mtagombana sana kwa sababu ya maswahaba na hii dini imesahau manabii kwa ujinga wenu na hadithi zenu hata pepo ya daraja la kwanza watakaa waharabu tuu hii dini kila mtu anajua
Anatoa ushahidi wa sisi kuombea maiti kisha anasema wanatunufaisha, mbona asitoe dalili ya wao kutunufaisha na sio sisi tunanufaisha wao kwa kuombea maqfira????
@@omarsakawa2070 hana elmu huyo ,bora ukasome usiskize tu ukaamini , Aqsamu tawhid ni kufafanua tawhid maaulama kuturahisishia tuelewe kwa urahisi .hio ni elmu ya maaulama wala sio vibaraka wa kupigia debe makaburi
@@jaedy6948 🤔😂😇🤣🤣🤣 UMESEMA MAULANAA NDIO WAMEIGAWA INAMAANA UNAJUA KUA NI BID,AA NA NI UZUSHI UMEZULIWA MBONA MUNAITUMIA BID,AA HII NA MUMEINYAMAZIA?? NA ZA WENZENU MUNASIPAKUA NA KUZIPINGA ??
@@jaedy6948 🤔😂😇🤣🤣🤣 UMESEMA MAULANAA NDIO WAMEIGAWA INAMAANA UNAJUA KUA NI BID,AA NA NI UZUSHI UMEZULIWA MBONA MUNAITUMIA BID,AA HII NA MUMEINYAMAZIA?? NA ZA WENZENU MUNASIPAKUA NA KUZIPINGA ??
@@zvpOnlineTv mcheni Allah hamna dalili yeyote Na bidaa ziko aina mbili Bidaa ya dini na ya dunia hamuezi zikoroga zote some na mumche Allah. Na haifai kusema hadith mbili tu kwani hizo si hadithi ya Rasool munabwagua na kuchaguwa dini ... hata hadithi mmojaa ikiwa ni sahih inatosha .. jahil
Wewe unasahau kuwa ukimuombea dua mwenzio mola akupa ulichomuombea mwenzio isitoshe hivi wewe na mtume swal-lallahu alayhi wasal-lam tufate nani? Mtume swal-lallahu alayhi wasal-lam atwambia tuzuru makaburi wewe wasema tusizuru.
@@shilingi-Ahmadi kati yangu na mtumi basi fuata mtumi, na sio kujidanganya unafuata mtumi ilhali unafuata sheitani. Mtumi hakusema maiti atakuombea bali ni sisi tunaombea. Pili, kuzuru makaburi ni kukumbuka maiti na kuombea walioko kule sio kutaka msaada kwao. Get the difference and know what the prophet pbuh taught you my brother, sio kujidanganya
huyu shekh kazama sana kiasi mawahabi hawawezi kabisa kumuelewa kama hauamini tazama wakija watatukana tu. hizi fanni mawahabi sasa ivi ndo wameanza kuzi soma. mwanzo walikuwa wanasema hizi fanni pia ni bidaa
Wewe mwehu kweli wewe mbona hutoi hata hadith moja ya kutetea hyo shirki yako ya maulid ambayo mtume amesema wanaume mkatike viuno wajinga wakubwa nyie
@@omarsakawa2070 saudia ni dola ya tawheed allaah aihifadhi hata hao masheikh zenu wanao lingania uzushi na kuacha kuwafundisha watu dini ya allaah wengi wamesoma saudia na walikua wakilipwa hata ww hapo leo ukienda kusoma chuo cha madina walikua walipwa pesa kila mwezi mbona walikua hawazikatai kila mwanafunz kutoka pembe zote za dunia anae soma jaamiga ya madina alipwa pesa
Tusome dini ndugu yangu hawa masheikh walituingiza cha kike huko nyuma na ndio maana sasa hv hawna amani maana kaz zao za hitima zimepungua yaan kwenye khitma wao ndio wajiona masheikh makubwa sasa hv vijana tumesoma twajua ipi dini na ipi dili
@@abuuluqmaana8444 Tunaiona hio dola ya tawheed ikileta concerts za waimbaji kutoka nchi za magharibi. Tunaiona hio dola ya tawheed ikizuia miadhini isiadhiniwe kwa sauti. Tunaiona hio dola ya tawheed ikisherehekea Halloween. Tunaiona hio dola ya tawheed ikiuza vitu vya Christmas. Tunaiona hio dola ya tawheed masheikh zenu wakifunga midomo yao kwa uchafu unaoletwa na Ibn Salman.
Dini moja mungu moja kitabu kimoja mtume mmoja sote tunatafuta radhi za allah tunafeli wap waislamu kila mmoja apambane asije kuingia motoni tu bs huo upizan katk dini hauna tija
سبحان الله سبحان الله سبحان الله أَسْتَغْفِرُ اللّٰه أَسْتَغْفِرُ اللّٰه أَسْتَغْفِرُ اللّٰه
الله يؤيدك يا ا بن استأذنا الراحل محمد بن شريف سعيد البيض
sawa sh ahsante allah akuhifadhii
Ewe Allah Muongoe huyu Kijana anaezungumza Hapa Mfahamishe Usalafi na muondoe
katika upotofu wa kuadhimisha Na Kuabudia Makaburi ya Watu wema
We nae unatuletea Mambo ya ajabu eti usalafi!!!!sisi tunajijua ni AHLU SUNNA WALJAMAA ALAA FAHAMI SALAFY SWALEEH sasa wewe unakata tu SALAFY nini sasa mnataka kufanya ni kitu kipya kwa ushabiki tu wengine nao watasema afirqatunnajia acheni ushabiki bwana
Na wewe ndio wale wale
An-dala kuita dula
Kwani Hujaelewa nn hapo
Ameen
Sija kufahamu hapo kaburi lipi limeabudiwa?
@@hashimsaid5546 upotofu huu na kuzuwa mambo mapya
Uko vizuri sheikhe allaah akulipe
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Waislam kila siku mnashambuliana wenyewe kwa wenyewe kila mwanazuoni anaona yy ni bora kuliko mwengine, lkn makufar wanajipanga na kupigwa maendeleo ya dini zao. Divides and rule approach.
Hata watoto wa ibilisi ni waislam mtagombana sana kwa sababu ya maswahaba na hii dini imesahau manabii kwa ujinga wenu na hadithi zenu hata pepo ya daraja la kwanza watakaa waharabu tuu hii dini kila mtu anajua
Hili pumbavu tu halina elimu linajua tu kuongea utumbo
Huyu mzungumzanji amekula mirungu, handas ndio zinazao zungumza sio yeye
Hhhhhhhh masufi bhana mijinga hatari
Ubora wa Uwahabi ni matusi
Watu wa shirki hao
Subhana Allah mungu alete nusra yake kama watu ni hawa Dunia imeisha..mijikhurafi hii haina malengo malengo yao ni kula tu.
Kasoma kwanza
Kabisa kweliii
Akuna Hadith yoyote ya wahabi sheuna Wacha uongo na fitna
Kula nini?basi wewe usile.
Acha kutukan watu jaahil kua mkweli humuelewi au chuki tu
Pumbavuuuuu
Sifa ya mawahabi ubora wao ni matusi na jeuri
Mawahabi yap ni matusi.
Anatoa ushahidi wa sisi kuombea maiti kisha anasema wanatunufaisha, mbona asitoe dalili ya wao kutunufaisha na sio sisi tunanufaisha wao kwa kuombea maqfira????
Do!! Hivi ktk uislam bado Kuna mijinga kama hii? mtihani kweli alafu mijitu imekaa imatulia Inasikiliza bwana!!!?
Uwe Nakinaya Katika Kuandika Inawezekana Hapo Kuna Baba Zako.
Mitihaniiiiiiiii
Hamna kitu hapa porojo
Mtu ako kaburi utajuwa vipi ako peponi au motoni???
Ni nini inakubaliwa au kutokubaliwa ziyarani???
Ulimwengu ci watu bidaa unanzisha ww ndio umo humo
Shekh wewe unazungumza mambo ambayo yanatakiwa azungumze mtu asiyesoma au mwendawazimu.
Nani asiyejuwa kama nichizi. Kila mtu ajuwa
Kwa iyo chizi c bnadam? Ww unaelewa lkn?
Kwahyo hazitoshi hizo 2
Wana kiburi hawa.. na kubwagua hadith za mtume
Hawana elmu ila kupotosha watu
Jee kuhusu aqsaamu tawhid,mbona hamulijibu hilo?
@@omarsakawa2070 hana elmu huyo ,bora ukasome usiskize tu ukaamini ,
Aqsamu tawhid ni kufafanua tawhid maaulama kuturahisishia tuelewe kwa urahisi .hio ni elmu ya maaulama wala sio vibaraka wa kupigia debe makaburi
@@jaedy6948 🤔😂😇🤣🤣🤣
UMESEMA MAULANAA NDIO WAMEIGAWA
INAMAANA UNAJUA KUA NI BID,AA NA NI UZUSHI UMEZULIWA
MBONA MUNAITUMIA BID,AA HII NA MUMEINYAMAZIA??
NA ZA WENZENU MUNASIPAKUA NA KUZIPINGA ??
@@jaedy6948 🤔😂😇🤣🤣🤣
UMESEMA MAULANAA NDIO WAMEIGAWA
INAMAANA UNAJUA KUA NI BID,AA NA NI UZUSHI UMEZULIWA
MBONA MUNAITUMIA BID,AA HII NA MUMEINYAMAZIA??
NA ZA WENZENU MUNASIPAKUA NA KUZIPINGA ??
Tauhid tatu wanajifananisha na wakristo baba mwana n roho mtakatifu
Wewe hurafi mtu wa bidah muogope Allah Kwa kuzungumza uwongo
Nyinyi watu wa bidah amuzuwi katika dini??
Kua na adabu
Pinga Kwa hoja
@@zvpOnlineTv Wazipate wapi watovu wa elimu hao wapingaji wa kila kitu hurafi ni wao
@@zvpOnlineTv mcheni Allah hamna dalili yeyote
Na bidaa ziko aina mbili
Bidaa ya dini na ya dunia hamuezi zikoroga zote some na mumche Allah.
Na haifai kusema hadith mbili tu kwani hizo si hadithi ya Rasool munabwagua na kuchaguwa dini ... hata hadithi mmojaa ikiwa ni sahih inatosha .. jahil
Sawa kabisa
Mungu atatusamehe kwa sababu yao kivipi? Kwani wanaweza kutuombea wakiwa makaburini???: Ilhali wao wenyewe hawawezi kujiombea
Wewe unasahau kuwa ukimuombea dua mwenzio mola akupa ulichomuombea mwenzio isitoshe hivi wewe na mtume swal-lallahu alayhi wasal-lam tufate nani?
Mtume swal-lallahu alayhi wasal-lam atwambia tuzuru makaburi wewe wasema tusizuru.
@@shilingi-Ahmadi kati yangu na mtumi basi fuata mtumi, na sio kujidanganya unafuata mtumi ilhali unafuata sheitani. Mtumi hakusema maiti atakuombea bali ni sisi tunaombea. Pili, kuzuru makaburi ni kukumbuka maiti na kuombea walioko kule sio kutaka msaada kwao. Get the difference and know what the prophet pbuh taught you my brother, sio kujidanganya
@@mohagurey2214
Rudi ukasome kijana
huyu shekh kazama sana kiasi mawahabi hawawezi kabisa kumuelewa kama hauamini tazama wakija watatukana tu. hizi fanni mawahabi sasa ivi ndo wameanza kuzi soma. mwanzo walikuwa wanasema hizi fanni pia ni bidaa
Kabisa habeeb hawasomi kbsaaaa ndo hufeli kwenye tafsir zao
kama huyo ndio sheikh wenu allah awaongoze
Wewe mwehu kweli wewe mbona hutoi hata hadith moja ya kutetea hyo shirki yako ya maulid ambayo mtume amesema wanaume mkatike viuno wajinga wakubwa nyie
Hapa ndo ninapo choka mana mnatukana masheikh kisa nini
Hapa ndo ninapo choka mana mnatukana masheikh kisa nini
Mashia wanawashibisha matumbo yenu nyie hamna lolote njaa t ndio zawasumbua nyie mwapenda sana vyakula vya free
Wewe utakubali kuwa saudia yawalipa kueneza fikra zenu?
@@omarsakawa2070 saudia ni dola ya tawheed allaah aihifadhi hata hao masheikh zenu wanao lingania uzushi na kuacha kuwafundisha watu dini ya allaah wengi wamesoma saudia na walikua wakilipwa hata ww hapo leo ukienda kusoma chuo cha madina walikua walipwa pesa kila mwezi mbona walikua hawazikatai kila mwanafunz kutoka pembe zote za dunia anae soma jaamiga ya madina alipwa pesa
Tusome dini ndugu yangu hawa masheikh walituingiza cha kike huko nyuma na ndio maana sasa hv hawna amani maana kaz zao za hitima zimepungua yaan kwenye khitma wao ndio wajiona masheikh makubwa sasa hv vijana tumesoma twajua ipi dini na ipi dili
@@omarsakawa2070 wewe waongea hujielewi
@@abuuluqmaana8444 Tunaiona hio dola ya tawheed ikileta concerts za waimbaji kutoka nchi za magharibi. Tunaiona hio dola ya tawheed ikizuia miadhini isiadhiniwe kwa sauti. Tunaiona hio dola ya tawheed ikisherehekea Halloween. Tunaiona hio dola ya tawheed ikiuza vitu vya Christmas. Tunaiona hio dola ya tawheed masheikh zenu wakifunga midomo yao kwa uchafu unaoletwa na Ibn Salman.
Shekh aya ipo acha kudanganya watu
Shekh wewe unazungumza mambo ambayo yanatakiwa azungumze mtu asiyesoma au mwendawazimu.