HII NDIO BID'A YA MAWAHABI NDANI YA DINI | HIZI NDIO HADITHI MBILI WANAZO ZITUMIA MAWAHABI.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2022
  • #ShariffSayyaidJaafarSwadiq #Zvponlinetv #Mombasa
  • Zábava

Komentáře • 81

  • @rashid3562
    @rashid3562 Před 6 měsíci

    Dini moja mungu moja kitabu kimoja mtume mmoja sote tunatafuta radhi za allah tunafeli wap waislamu kila mmoja apambane asije kuingia motoni tu bs huo upizan katk dini hauna tija

  • @yassirsuleiman7804
    @yassirsuleiman7804 Před rokem

    سبحان الله سبحان الله سبحان الله أَسْتَغْفِرُ اللّٰه أَسْتَغْفِرُ اللّٰه أَسْتَغْفِرُ اللّٰه

  • @mrsiridiisiridii5022
    @mrsiridiisiridii5022 Před rokem +1

    الله يؤيدك يا ا بن استأذنا الراحل محمد بن شريف سعيد البيض

  • @allykombo2992
    @allykombo2992 Před rokem

    sawa sh ahsante allah akuhifadhii

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Před rokem +3

    Ewe Allah Muongoe huyu Kijana anaezungumza Hapa Mfahamishe Usalafi na muondoe
    katika upotofu wa kuadhimisha Na Kuabudia Makaburi ya Watu wema

    • @hashimsaid5546
      @hashimsaid5546 Před rokem

      We nae unatuletea Mambo ya ajabu eti usalafi!!!!sisi tunajijua ni AHLU SUNNA WALJAMAA ALAA FAHAMI SALAFY SWALEEH sasa wewe unakata tu SALAFY nini sasa mnataka kufanya ni kitu kipya kwa ushabiki tu wengine nao watasema afirqatunnajia acheni ushabiki bwana

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Před rokem

      Na wewe ndio wale wale
      An-dala kuita dula
      Kwani Hujaelewa nn hapo

    • @jaedy6948
      @jaedy6948 Před rokem

      Ameen

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 Před rokem

      Sija kufahamu hapo kaburi lipi limeabudiwa?

    • @jaedy6948
      @jaedy6948 Před rokem

      @@hashimsaid5546 upotofu huu na kuzuwa mambo mapya

  • @mohamedimcheni2068
    @mohamedimcheni2068 Před rokem +3

    Uko vizuri sheikhe allaah akulipe

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  Před rokem +1

      Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 Před rokem

    Waislam kila siku mnashambuliana wenyewe kwa wenyewe kila mwanazuoni anaona yy ni bora kuliko mwengine, lkn makufar wanajipanga na kupigwa maendeleo ya dini zao. Divides and rule approach.

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Před rokem

    Hata watoto wa ibilisi ni waislam mtagombana sana kwa sababu ya maswahaba na hii dini imesahau manabii kwa ujinga wenu na hadithi zenu hata pepo ya daraja la kwanza watakaa waharabu tuu hii dini kila mtu anajua

  • @hashimsaid5546
    @hashimsaid5546 Před rokem +1

    Hili pumbavu tu halina elimu linajua tu kuongea utumbo

  • @FarahJey
    @FarahJey Před rokem

    Huyu mzungumzanji amekula mirungu, handas ndio zinazao zungumza sio yeye

  • @abuuluqmaantv
    @abuuluqmaantv Před rokem +1

    Hhhhhhhh masufi bhana mijinga hatari

  • @Qaseem10
    @Qaseem10 Před rokem +1

    Subhana Allah mungu alete nusra yake kama watu ni hawa Dunia imeisha..mijikhurafi hii haina malengo malengo yao ni kula tu.

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Před rokem +1

    Pumbavuuuuu

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před rokem

    Anatoa ushahidi wa sisi kuombea maiti kisha anasema wanatunufaisha, mbona asitoe dalili ya wao kutunufaisha na sio sisi tunanufaisha wao kwa kuombea maqfira????

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před rokem +2

    Do!! Hivi ktk uislam bado Kuna mijinga kama hii? mtihani kweli alafu mijitu imekaa imatulia Inasikiliza bwana!!!?

  • @jaedy6948
    @jaedy6948 Před rokem

    Hamna kitu hapa porojo

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před rokem

    Mtu ako kaburi utajuwa vipi ako peponi au motoni???

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před rokem

    Ni nini inakubaliwa au kutokubaliwa ziyarani???

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Před rokem

    Ulimwengu ci watu bidaa unanzisha ww ndio umo humo

  • @hamisimapoch884
    @hamisimapoch884 Před rokem

    Shekh wewe unazungumza mambo ambayo yanatakiwa azungumze mtu asiyesoma au mwendawazimu.

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před rokem

    Nani asiyejuwa kama nichizi. Kila mtu ajuwa

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 11 měsíci

      Kwa iyo chizi c bnadam? Ww unaelewa lkn?

  • @saidindulla7156
    @saidindulla7156 Před rokem +3

    Kwahyo hazitoshi hizo 2

    • @jaedy6948
      @jaedy6948 Před rokem +1

      Wana kiburi hawa.. na kubwagua hadith za mtume
      Hawana elmu ila kupotosha watu

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 Před rokem +1

      Jee kuhusu aqsaamu tawhid,mbona hamulijibu hilo?

    • @jaedy6948
      @jaedy6948 Před rokem +1

      @@omarsakawa2070 hana elmu huyo ,bora ukasome usiskize tu ukaamini ,
      Aqsamu tawhid ni kufafanua tawhid maaulama kuturahisishia tuelewe kwa urahisi .hio ni elmu ya maaulama wala sio vibaraka wa kupigia debe makaburi

    • @amudybae4939
      @amudybae4939 Před rokem +1

      @@jaedy6948 🤔😂😇🤣🤣🤣
      UMESEMA MAULANAA NDIO WAMEIGAWA
      INAMAANA UNAJUA KUA NI BID,AA NA NI UZUSHI UMEZULIWA
      MBONA MUNAITUMIA BID,AA HII NA MUMEINYAMAZIA??
      NA ZA WENZENU MUNASIPAKUA NA KUZIPINGA ??

    • @amudybae4939
      @amudybae4939 Před rokem +2

      @@jaedy6948 🤔😂😇🤣🤣🤣
      UMESEMA MAULANAA NDIO WAMEIGAWA
      INAMAANA UNAJUA KUA NI BID,AA NA NI UZUSHI UMEZULIWA
      MBONA MUNAITUMIA BID,AA HII NA MUMEINYAMAZIA??
      NA ZA WENZENU MUNASIPAKUA NA KUZIPINGA ??

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 Před rokem

    Tauhid tatu wanajifananisha na wakristo baba mwana n roho mtakatifu

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 Před rokem +2

    Wewe hurafi mtu wa bidah muogope Allah Kwa kuzungumza uwongo
    Nyinyi watu wa bidah amuzuwi katika dini??

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  Před rokem +1

      Kua na adabu

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  Před rokem +1

      Pinga Kwa hoja

    • @w4058
      @w4058 Před rokem

      @@zvpOnlineTv Wazipate wapi watovu wa elimu hao wapingaji wa kila kitu hurafi ni wao

    • @jaedy6948
      @jaedy6948 Před rokem

      @@zvpOnlineTv mcheni Allah hamna dalili yeyote
      Na bidaa ziko aina mbili
      Bidaa ya dini na ya dunia hamuezi zikoroga zote some na mumche Allah.
      Na haifai kusema hadith mbili tu kwani hizo si hadithi ya Rasool munabwagua na kuchaguwa dini ... hata hadithi mmojaa ikiwa ni sahih inatosha .. jahil

    • @jaedy6948
      @jaedy6948 Před rokem

      Sawa kabisa

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před rokem

    Mungu atatusamehe kwa sababu yao kivipi? Kwani wanaweza kutuombea wakiwa makaburini???: Ilhali wao wenyewe hawawezi kujiombea

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 11 měsíci

      Wewe unasahau kuwa ukimuombea dua mwenzio mola akupa ulichomuombea mwenzio isitoshe hivi wewe na mtume swal-lallahu alayhi wasal-lam tufate nani?
      Mtume swal-lallahu alayhi wasal-lam atwambia tuzuru makaburi wewe wasema tusizuru.

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před 11 měsíci

      @@shilingi-Ahmadi kati yangu na mtumi basi fuata mtumi, na sio kujidanganya unafuata mtumi ilhali unafuata sheitani. Mtumi hakusema maiti atakuombea bali ni sisi tunaombea. Pili, kuzuru makaburi ni kukumbuka maiti na kuombea walioko kule sio kutaka msaada kwao. Get the difference and know what the prophet pbuh taught you my brother, sio kujidanganya

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 8 měsíci

      ​@@mohagurey2214
      Rudi ukasome kijana

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 Před rokem +2

    huyu shekh kazama sana kiasi mawahabi hawawezi kabisa kumuelewa kama hauamini tazama wakija watatukana tu. hizi fanni mawahabi sasa ivi ndo wameanza kuzi soma. mwanzo walikuwa wanasema hizi fanni pia ni bidaa

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Před rokem

      Kabisa habeeb hawasomi kbsaaaa ndo hufeli kwenye tafsir zao

    • @JosMatty-bq9ii
      @JosMatty-bq9ii Před 5 měsíci

      kama huyo ndio sheikh wenu allah awaongoze

  • @abuuluqmaana8444
    @abuuluqmaana8444 Před rokem +2

    Wewe mwehu kweli wewe mbona hutoi hata hadith moja ya kutetea hyo shirki yako ya maulid ambayo mtume amesema wanaume mkatike viuno wajinga wakubwa nyie

  • @abuuluqmaana8444
    @abuuluqmaana8444 Před rokem +1

    Mashia wanawashibisha matumbo yenu nyie hamna lolote njaa t ndio zawasumbua nyie mwapenda sana vyakula vya free

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 Před rokem +1

      Wewe utakubali kuwa saudia yawalipa kueneza fikra zenu?

    • @abuuluqmaana8444
      @abuuluqmaana8444 Před rokem +1

      @@omarsakawa2070 saudia ni dola ya tawheed allaah aihifadhi hata hao masheikh zenu wanao lingania uzushi na kuacha kuwafundisha watu dini ya allaah wengi wamesoma saudia na walikua wakilipwa hata ww hapo leo ukienda kusoma chuo cha madina walikua walipwa pesa kila mwezi mbona walikua hawazikatai kila mwanafunz kutoka pembe zote za dunia anae soma jaamiga ya madina alipwa pesa

    • @abuuluqmaana8444
      @abuuluqmaana8444 Před rokem

      Tusome dini ndugu yangu hawa masheikh walituingiza cha kike huko nyuma na ndio maana sasa hv hawna amani maana kaz zao za hitima zimepungua yaan kwenye khitma wao ndio wajiona masheikh makubwa sasa hv vijana tumesoma twajua ipi dini na ipi dili

    • @jaedy6948
      @jaedy6948 Před rokem

      @@omarsakawa2070 wewe waongea hujielewi

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Před rokem +1

      @@abuuluqmaana8444 Tunaiona hio dola ya tawheed ikileta concerts za waimbaji kutoka nchi za magharibi. Tunaiona hio dola ya tawheed ikizuia miadhini isiadhiniwe kwa sauti. Tunaiona hio dola ya tawheed ikisherehekea Halloween. Tunaiona hio dola ya tawheed ikiuza vitu vya Christmas. Tunaiona hio dola ya tawheed masheikh zenu wakifunga midomo yao kwa uchafu unaoletwa na Ibn Salman.

  • @ramaadam3551
    @ramaadam3551 Před rokem

    Shekh aya ipo acha kudanganya watu

  • @hamisimapoch884
    @hamisimapoch884 Před rokem

    Shekh wewe unazungumza mambo ambayo yanatakiwa azungumze mtu asiyesoma au mwendawazimu.