Swadaqta sheikh umegonga ndipo yani kuna watu wakilala wakiamka stori zao kila kitu bid'a but cha ajabu hawasemi simu ni bidaa wala magari coz mtume hakutumia simu wala gari Ee mcheni Allah twendako siko all the way from Mombasa 🇸🇸🇸🇸
Hakuna hata mtu mmoja katika watu wa sunnah anayesema hakuna qunuti au qunuti (kiujumla) ni bid'aa hii mafhuum potofu kabisa. Kinachosemwa nikuwa Qunuti huletwa wakati maalum (kuomba dhidi ya sharri au kheri ya jambo maalum). Kuleta qunuti katika swala ya alfajiri bila sababu maalum hiyo bila shaka ni BID'AA kwakuwa haina dalili sahihi na swarih
Yani mzima halafu huna la maana la kufundisha wa islamu ila kunuti kwani kunuti ina somwa duwa au Wana tukana kama hawtukani shida nini kwani mtume swalallah
BAARAKA LLAHU FIIK YAA SHEIKH. tatizo wapingao Qunuut ni wapya ktk dini kilakitu. Na mawazo yao pia ni ya kupandikizwa hayana mbolea ya asili. Mfano hapa shkh ashasema Qunuut ni popote pale na mfano katika. Lakini wapingao wanasema eti tatizo ni kuleta swalamojatu. Sasa ushaambiwa ppt wapi hamjaelewa ? . Au kwenye swala ya alfajiri si pahali sio.
Hakuna anaesema kunuti haipo, wala anaekataa kunuti kua sehemu yoyote, ila kuifanya kunuti ni sehemu ya swala ya alfajiri iyo ndio kesi ya uzushi. Tuanzie hapo msilete mjadala usiokuapo famasiala nini na dini nyie
Bado hapa hatujafahamu, tunataka hii dua kusomwa asubuhi pekee, na usipoisoma utoe sijdat mbili kabla ya salam hii imekuaje. Dua c unaweza kuisoma muda wwte ndani ya swala na nje ya swala.. tufahamisheni vzr. Kisha muukemee ushoga mukimaliza darsa museme kidgo kupinga ubaradhuli
Ni kweli Mtume alileta kunuti wakati wa dharura/shida. Kipindi hiki cha karibu na siku za mwisho mbona shida ni kila siku iwe ya mtu mmoja mmoja, nchi binafsi na hata dunia kwa ujumla wake. Mfano vita, udhalimu wanaofanyiwa waislamu wenzetu wa Palestina na baya zaidi ni hili la LGBTQ. Hamuoni kuwa kunuti ni muhimu kuliko wakati wote wa zama zenu?
Asalam alykum Ukımsıkılıza Shekh MuSSELEM ALLY anapoisheheresha AYA hii ya MARIAM kuhuusu AKUNUT Shekh asema hapo haina maana y ıle ınayosomwa Ktk SWALA YA AAsBuh n unuenyekevu tu kwa Allah SW Cıo kunut ile ğnayosemwa Asbuh ...
Wapo Watu Kazi Zao Nikama Inzi Kutua Kwenye Vidonda Nauchafu. Katu Hawawi Kama Nyuki Kutoa Asaĺi Kwaajili Yafaida Kwawatu. Nakutua Kwenye Maiwa Na Miti Mizuri. Tusiwe Kama Kilkitu Nzweeeeeeeeee.
Taitizo siyokunuti tatizo niuletaji wakunuti kuiletatu kwenye swala moja tu linawezakuja suala kwanini kunuti inasomwa Alfajir tu nakwanini isisomwe kwaswala zote Adhuhur,laasir,magharib,na Ishai ?
Kwa kweli sikuwa najuwa kwamba watu wanachukia kunuti kiasi hiki, mpaka wanafikia kutukana mashekh, kwa kweli hizi sasa si ihtilafu bali ni ushabiki,Allah atuoneshe njia kwa uwezo wake
Kama Kila kitu kina faa basi tuengezeni swala tufanye 6 badali ya swala 5 hili ndilo jambo lakheri.tumfuate mtume alilotuamrisha .sio kubadilisha kunut mtume kaswali kwenye witri au kukitokea jambo mbona inmekuwa inaswalia asubihi mbona Muna vituko
Nikweli ira kiukweli nasi tulioamini tumezidi, yani kwa sasa adui ya mwislamu kwa mwislamu nimwislam nihatali sanaa. Wakati kunawatu wanakufa bila dini uko, maushoga yanakuwa ivi kweli Mashekh amuoni. Mimi jamani nina ndugu yangu alikuwa mtihani Sana kwaulevi sanaaaaaa tumeangaika mnoooo mnoooo. Akakutana na hawa jamaa wa tabligh wanajua wenyewe walicho mwambia atujaamini akaacha pombe kabisaaa akawa vizurii kabisa akaowa mambo yakawa yanakwenda safiii naakajiuga na awotabligh. Wakaja nduguzetu kutoka tanga wakamuandamaa bwana bidaaa iyooo bidaaa iyooo uwezi amini jamaa amerudi kwenye pombe malambili yakee adi analala kirabuni. Kwaiyo kifupi walinganiaji tuangalie namazingira nawakati tuliopoo
Acha upuuzi wako.Saivi waislamu tunatakiwa kuunga na kupinga ushoga.Mambo ikhtilaf tuyawache na kuwe na adabu ya ikhtilaf. Usishangae mwanao akaja kuwa shoga usipofanya juhudi kuwa pamoja
Abu yunus Mohamed mola akusamehe kwa kuwatus wana choun c katik jambo jema km huna la kucoment ulikuw ukae kimy imeniuma sana ALLAH akusamehe maana Hujui kama hujui na hata ukijajua utakuw kushachelewa pole sana
Nend kasome almajmuu ya imamu Annawawiy kama utakuwa hujamfahamu imamu Annawawiy basi tafuta darasa ukasome maan imamu annawawiy dalili azijuw kukiko soot tuliopo dunian hiv ss
Sheikh unakukumbukumbu nzur za wanazuon wa kisunnah walivyo kusomesha ila unautashi kwenye utekelezaji. Hii Kunuti ya Alfajiri ni ipi ama n sawa sawa na ile aliyoifanya Mtume mwez mzm. Hii kunuti inayosomwa Alfajir ndio kunut ya kuomba kuondoshewa matatizo na majanga? Wachanganya kati ya maziwa na tuwi
Swadaqta sheikh umegonga ndipo yani kuna watu wakilala wakiamka stori zao kila kitu bid'a but cha ajabu hawasemi simu ni bidaa wala magari coz mtume hakutumia simu wala gari Ee mcheni Allah twendako siko all the way from Mombasa 🇸🇸🇸🇸
Samahani kwanza inabidi ujue maana ya bid'ah
@@fahadalismailiy I know very well the meaning of bid a kwa ilmu yangu nliyojaaliwa na Allah (s w)
Hakuna hata mtu mmoja katika watu wa sunnah anayesema hakuna qunuti au qunuti (kiujumla) ni bid'aa hii mafhuum potofu kabisa. Kinachosemwa nikuwa Qunuti huletwa wakati maalum (kuomba dhidi ya sharri au kheri ya jambo maalum). Kuleta qunuti katika swala ya alfajiri bila sababu maalum hiyo bila shaka ni BID'AA kwakuwa haina dalili sahihi na swarih
Kwanyakati Zetu Kuomba Kheri Nakuomba Kuepushwa Nashari Nazaidi Kwasababu Matatizo Nimengi Nashari Nichache. Mimi Hizi Tungekunuti Kwenye Swala Zote. Sembuse Sikwa Swalat Lfajir Pekeeyake.
Yani mzima halafu huna la maana la kufundisha wa islamu ila kunuti kwani kunuti ina somwa duwa au Wana tukana kama hawtukani shida nini kwani mtume swalallah
Kunuti SI bidaa shekh khamis ni kweli maneno Yako ila haikuambiwa isomwe kila swala ya afajir hicho kitendo ni uzushi.wala sio kunuti .
Allah. Akujalie mwisho mwema elimu na ufafanuzi nimzuri mazingatio ni muhimu
Kasome tena qunut ya alfajiri ni sunna usipinge sunna
Swadakta kaka nahakuna kitu kibaya kama bidaa inayonana naukweli hilo nijambo bayasana
@@saidyussuf2291 kwaiyo mtume Muhammad alisuniya kunuti iletwe kwa swalamojatu??? Naomba jibu
Mashaallah kuna yule muuza pweza na wenzake utaona comment zao wanapinga
😂😂 muuza pweza?
Allah akuongoze
@niffonline Tz 😀 kibaraka wa muuza pweza
Sawa bana Allah ndo KAPANGA sisi tuuze pweza so tunashukuru ila Allah awaongoze inshallah
@@niffonlinetz7214 Aanze na nyinyi kuwaongoza kwanza mnaopinga kila kitu kisa hakiko kwenye quran na hadithi
BAARAKA LLAHU FIIK YAA SHEIKH. tatizo wapingao Qunuut ni wapya ktk dini kilakitu. Na mawazo yao pia ni ya kupandikizwa hayana mbolea ya asili. Mfano hapa shkh ashasema Qunuut ni popote pale na mfano katika. Lakini wapingao wanasema eti tatizo ni kuleta swalamojatu. Sasa ushaambiwa ppt wapi hamjaelewa ? . Au kwenye swala ya alfajiri si pahali sio.
Hakuna anaesema kunuti haipo, wala anaekataa kunuti kua sehemu yoyote, ila kuifanya kunuti ni sehemu ya swala ya alfajiri iyo ndio kesi ya uzushi. Tuanzie hapo msilete mjadala usiokuapo famasiala nini na dini nyie
Bado hapa hatujafahamu, tunataka hii dua kusomwa asubuhi pekee, na usipoisoma utoe sijdat mbili kabla ya salam hii imekuaje. Dua c unaweza kuisoma muda wwte ndani ya swala na nje ya swala.. tufahamisheni vzr.
Kisha muukemee ushoga mukimaliza darsa museme kidgo kupinga ubaradhuli
Ni kweli Mtume alileta kunuti wakati wa dharura/shida. Kipindi hiki cha karibu na siku za mwisho mbona shida ni kila siku iwe ya mtu mmoja mmoja, nchi binafsi na hata dunia kwa ujumla wake. Mfano vita, udhalimu wanaofanyiwa waislamu wenzetu wa Palestina na baya zaidi ni hili la LGBTQ. Hamuoni kuwa kunuti ni muhimu kuliko wakati wote wa zama zenu?
Basi saij ndio kuna vitimbi vingi na majanga mengi yafaa kuleta kunuti kwa wingi.
Kumbe shekh kunuti mtume aliisoma wakati wazarura maalum,mbona Kuna mazonge mnatuzonga.
Mtume Hakuacha kunuti mpaka kufa ukitaka ushahidi nitumie no nikutumie whatsapp
Asalam alykum
Ukımsıkılıza Shekh MuSSELEM ALLY
anapoisheheresha AYA hii ya MARIAM kuhuusu AKUNUT
Shekh asema hapo haina maana y ıle ınayosomwa Ktk SWALA YA AAsBuh
n unuenyekevu tu kwa Allah SW
Cıo kunut ile ğnayosemwa Asbuh ...
Wapo Watu Kazi Zao Nikama Inzi Kutua Kwenye Vidonda Nauchafu. Katu Hawawi Kama Nyuki Kutoa Asaĺi Kwaajili Yafaida Kwawatu. Nakutua Kwenye Maiwa Na Miti Mizuri. Tusiwe Kama Kilkitu Nzweeeeeeeeee.
Taitizo siyokunuti tatizo niuletaji wakunuti kuiletatu kwenye swala moja tu linawezakuja suala kwanini kunuti inasomwa Alfajir tu nakwanini isisomwe kwaswala zote Adhuhur,laasir,magharib,na Ishai ?
Sasa hilo ni tatizo!?Jaman tuache ushabiki tusomeni
Katoe maoni na mawazo yako kwenye mipira ukooo , dini dalili
Kwanza soma sheikh
Uyo mwalimu wako alitoa dalili ya hadithi kuhusu iyo qunut? Ama story tuu
Je walikuweko kwenye swalaa.
Kwa kweli sikuwa najuwa kwamba watu wanachukia kunuti kiasi hiki, mpaka wanafikia kutukana mashekh, kwa kweli hizi sasa si ihtilafu bali ni ushabiki,Allah atuoneshe njia kwa uwezo wake
ALHAMDULILLAH WASTAGHFIRUALLAH LAALIYU L AADHIM(KILA LENYE KHEIR NI VIZURI KUFANYWA KTK MISINGI ILIO BORA , INSHAA ALLA KHEIR
Kama Kila kitu kina faa basi tuengezeni swala tufanye 6 badali ya swala 5 hili ndilo jambo lakheri.tumfuate mtume alilotuamrisha .sio kubadilisha kunut mtume kaswali kwenye witri au kukitokea jambo mbona inmekuwa inaswalia asubihi mbona Muna vituko
Kila siku haya haya kila kukicha wenyewe kwa wenyewe.. BADILIKENI MASHEIKH MNACHOSHA.
YA MSINGI YAPO MENGI ILA MPO KIMYAAA KAMA UGALI WA JANA.
Nikweli ira kiukweli nasi tulioamini tumezidi, yani kwa sasa adui ya mwislamu kwa mwislamu nimwislam nihatali sanaa. Wakati kunawatu wanakufa bila dini uko, maushoga yanakuwa ivi kweli Mashekh amuoni. Mimi jamani nina ndugu yangu alikuwa mtihani Sana kwaulevi sanaaaaaa tumeangaika mnoooo mnoooo. Akakutana na hawa jamaa wa tabligh wanajua wenyewe walicho mwambia atujaamini akaacha pombe kabisaaa akawa vizurii kabisa akaowa mambo yakawa yanakwenda safiii naakajiuga na awotabligh. Wakaja nduguzetu kutoka tanga wakamuandamaa bwana bidaaa iyooo bidaaa iyooo uwezi amini jamaa amerudi kwenye pombe malambili yakee adi analala kirabuni. Kwaiyo kifupi walinganiaji tuangalie namazingira nawakati tuliopoo
Acha upuuzi wako.Saivi waislamu tunatakiwa kuunga na kupinga ushoga.Mambo ikhtilaf tuyawache na kuwe na adabu ya ikhtilaf.
Usishangae mwanao akaja kuwa shoga usipofanya juhudi kuwa pamoja
Mpuuzi ww acha maneno machafu iyo darsa ya kawaida kuna ubaya gani
Kila wakati ndio wazingumzie ao makhanithi mbona nyinyi hamuwafukuzi mitaani kwenu uko na wamejaa tele mitaaani adi wanakera
Abu yunus Mohamed mola akusamehe kwa kuwatus wana choun c katik jambo jema km huna la kucoment ulikuw ukae kimy imeniuma sana ALLAH akusamehe maana Hujui kama hujui na hata ukijajua utakuw kushachelewa pole sana
Utauunga peke yko uo ubaradhuli unachosema hukijui
Jazaka Allah Khair Sheikh.
Sawa sawa mfalme najash hajafafanua hapo
Jee kunuti mtumi hajawahi leta katika umriI wake wote ikiwa ameleta hata Kwa swala ya sunna ina maana haivunji swala tuacheni لكم دينكم ولي دين
Hujuwi
Jee hii kunuti katika zile ahkaamu 5 za kiisilamu inaingia kunuti katika hukumu ya ngapi???
Sisi tunahitaji dalili wapi ilipothibiti kunuti kwenye swala ya alfajir
Nend kasome almajmuu ya imamu Annawawiy kama utakuwa hujamfahamu imamu Annawawiy basi tafuta darasa ukasome maan imamu annawawiy dalili azijuw kukiko soot tuliopo dunian hiv ss
@@arifali3942 we nae jibu lako kama mlokole sema Hadith no fulani Iko ktk mlango fulani sio nenda kasome , ukitaka kusaidia umma fanya hivyo
Barak Allah feeq
Sio kama wanapinga qunut ya Kila asubuhi? Au sijafaham!
Ya asubuhi
Sheikh unakukumbukumbu nzur za wanazuon wa kisunnah walivyo kusomesha ila unautashi kwenye utekelezaji.
Hii Kunuti ya Alfajiri ni ipi ama n sawa sawa na ile aliyoifanya Mtume mwez mzm.
Hii kunuti inayosomwa Alfajir ndio kunut ya kuomba kuondoshewa matatizo na majanga?
Wachanganya kati ya maziwa na tuwi