"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2020
  • "HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
    RAIS Dkt John Magufuli, leo Juni 11, amezindua jengo la makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Dodoma..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 108

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Před 2 lety +14

    Speech zenye hamasa ya kuskiliza even today zinamake sense..RIP Mkuu wetu

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 Před 3 lety +9

    Daah 😥 Yani Kama bado siamin ila ndyo mipango ya Mungu 🙏

  • @myself4128
    @myself4128 Před 3 lety +7

    Aliyemuua Mzee wetu Mungu Atamahughulikia tu damu yake haitokwenda bure

  • @lukagulagekidehele5788
    @lukagulagekidehele5788 Před 3 lety +7

    Hongera mdogo wangu Athuman Diwani ulikuwa mtendaji mzuri msimamia haki ulipokuwa OCD Ifakara kabla hujaniacha ukaends Mbeya, Shinyanga, Mbeya tena, Mkurugenzi makosa ya jinai, katibu tawala TAKUKURU na leo juu juu juu zaidi

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před 4 lety +9

    Hii ni nchi yetu hivyo kila mtu ni mlinzi wa hii nchi yetu.....Mungu simama nasi

  • @heridadia9634
    @heridadia9634 Před 3 lety +4

    HOtuba zako ni mwangaza kwtu rip our hero

  • @margitmargitt5935
    @margitmargitt5935 Před 3 lety +3

    CONGRATULATIONS makufuri💪💪💪

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 Před 4 lety +7

    Namuona Keisha

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 4 lety +9

    Nimekuelewa mkuu kinachomata ni kuwa kichwani una kitu gani

  • @sniper93999
    @sniper93999 Před 3 lety +5

    J.P.M rest in peace 😭😭😭😭

    • @sniper93999
      @sniper93999 Před 3 lety +1

      Inaumaaaa😭😭😭😭😭😭

  • @beatricmmpantaleo3420
    @beatricmmpantaleo3420 Před 3 lety +3

    Mheshimiwa anaakili nyingi xn ambayo c ya shule tu bali ya kuzaliwa pia kwa sababu Mambo mengi anafanya kwa kutumia akili na sio nguvu......mungu akubariki daima

  • @piusmsekwa8502
    @piusmsekwa8502 Před 3 lety +2

    Much respect to him

  • @carteq
    @carteq Před 4 lety +2

    Support!!!!

  • @kuchukuchu4856
    @kuchukuchu4856 Před 4 lety +7

    Ongera sana Ris wetu wew ni muwazi sana kwakila kitu

  • @anthonyasahani5270
    @anthonyasahani5270 Před 4 lety +2

    Yes boss

  • @hamisikalulumbe6857
    @hamisikalulumbe6857 Před 4 lety +7

    Mbona kama Keisha kwa mbali

  • @chanangwatv3011
    @chanangwatv3011 Před 3 lety +2

    Mh. haangalii vyeti bali utendaji kazi, kila la kheri BABA

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 4 lety +1

    Safi sana.

  • @felistamaembe4895
    @felistamaembe4895 Před 3 lety +6

    Tafuta namna ya kumaliza majeraha ya uchaguzi kupunguza mgawanyiko wa Watanzania. Hata ukipita mitaani Tanzani hatuko pamoja na hii ni hatari sana kwa usalama wa Taifa letu.

  • @jamesasholiyo5012
    @jamesasholiyo5012 Před 3 lety +1

    Sawa Baba Mungu u pamoja na we

  • @kanukanute1514
    @kanukanute1514 Před 4 lety +6

    Tunakuunga mkono muheshimiwa ktk majukumu yako muheshimiwa diwani Hassumani

  • @mwanahamisimanglepa418
    @mwanahamisimanglepa418 Před 2 lety +1

    Dady i miss you

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 Před 3 lety +1

    Naipenda sana secta ya usalama wa Taifa. Muheshimiwa kama kuna uwezekano wa kupatiwa hiyo nafasi nami naiomba in shaa Allah.

  • @abuumfaki8445
    @abuumfaki8445 Před 3 lety

    Wazii iyoo

  • @user-kg3cr9gg1h
    @user-kg3cr9gg1h Před měsícem

    Uncleee

  • @chachamwita6535
    @chachamwita6535 Před 4 lety +2

    Apa kazi ipo

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile7921 Před 3 lety +1

    Sufuri

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před 3 lety

    Tunakupenda muheshimiwa..

  • @morandraymond8602
    @morandraymond8602 Před 4 lety +10

    Nimependa nataka tuchape kazi kama wachina umetisha ila zawadi peke kwako ni kuongezewa muda tu na sinyingine

  • @georgekimboka6218
    @georgekimboka6218 Před 4 lety

    Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana

  • @makusanyanungnungu1123

    Kazi inaendelea

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 Před 4 lety +1

    Je

  • @obugobaraka141
    @obugobaraka141 Před 4 lety

    Iko vzri but bashindwa kuelewa kwani ili uweze kusimamia kitengo nyeti ni kazima uwe umepitia jeshi .kwaio ajira yoyete ya usimamizi lazima uwe unepitia jeshi!?kwaio sisi ambao hatuna uwwzo Wa kufika huko na tumesoma anagalau hizo kazi hazituusu tutabaki wasafisha viatu huku chini ,kila MTU anaweza kusimamia kitengo chochote aijalishi wew ni haskari cha muhimu ni uhaminifu tu,au sio wote nchi ni yetu

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 Před 3 lety

    Mkuu wa mambo yale tuliofanyiwa Znz. .

  • @upendohalisi80
    @upendohalisi80 Před 4 lety +6

    Nami naomba ukuu usaidizi wa Tis jamani, mkuu unapitia comment, zetu vijana.

  • @rambomachimu4286
    @rambomachimu4286 Před 3 lety

    Ongera.mkuu.wausalama.chpakazi

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 Před 4 lety +3

    Safi raisi wetu

  • @ommimg2467
    @ommimg2467 Před 3 lety +3

    MH. NAKUOMBA NIPATIE NAFASI YA USALAMA WA TAIFA DAH NAIPENDA SANA NA NALIPENDA SANA TAIFA LANGU TZ

  • @MwalimuPeter
    @MwalimuPeter Před 3 měsíci

    Mmhhhhh

  • @tumamapishi2184
    @tumamapishi2184 Před 4 lety +5

    Nimependa mkuu wa tiss ana heshma kubwa duuu sijawahi kuona

  • @abdulkadirizuberi6432
    @abdulkadirizuberi6432 Před 4 lety +3

    Tundu lissu

  • @kayealey1097
    @kayealey1097 Před 4 lety +2

    0:13
    03:23
    0:33

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 Před 4 lety +10

    Sioni sababu ya kutobadili mfumo,presidential terms to be 20years instead of 10years now, ni rahisi sana kupata bora RAIS ktk miaka 100 Lkn ni vigumu sana kupata RAIS bora ktk miaka 100.

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 Před 4 lety +2

      Bora tu awe. Tumechoka kuona sura mpya bila maendeleo

    • @SampleKiller99
      @SampleKiller99 Před 4 lety

      It's not easy work! The issue of constitutional matters.

    • @mussamwamoto8231
      @mussamwamoto8231 Před 4 lety +1

      ni kama vile kubadilishana terms zisizo na maendeleo,sura mpya na kujaza majina tu,tunaitaji kiongozi bora na sio bora viongozi.constitution can be changed or amended, its possible.

    • @othmanalsherem7313
      @othmanalsherem7313 Před 4 lety +4

      Huyo Binadamu anaweza kufa muda wowote na akaja mtu mwingine asiyefaa akaitumia vibaya katiba, au ulitaka akifa rais huyu katiba irudishwe kama zaman?

    • @mussamwamoto8231
      @mussamwamoto8231 Před 4 lety +1

      PUTIN alikuwa waziri mwenye nguvu na mad wake ulipokwisha walikubadiliana kwa maslahi ya taifa awe rais mwenye madaraka ,na akapata urais na yupo hai,kifo hakiepukiki si kwa mzee wala kijana.

  • @scholafelix8739
    @scholafelix8739 Před 3 lety

    Magufuli anatupenda watanzania anaviongozi wazulisana ilatu ukibolonga hunachako sisi wanyonge tunampenda kwasababu msema kweli laisi tunakupenda sana by SCOLA 0756538430

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 4 lety +1

    N

  • @wilsonwafulachebokati4933

    Keisha wacha nyege

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 Před 4 lety +3

    Mhe Rais dhamira njema uliyo nayo dhidi ya Tanzania, Mungu atakusaidia uikamilishe. Mungu akulinde Mhe Raisi.

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Před 3 lety

    Unaweka jamaa zako ili akulinde tu ndio maana unawaweka kila pahala

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 Před rokem

    Binadamu ni vìumbe wa ajabu sana, huyo Kikwete kapata nini kumuuwa Magufuli?

  • @Visionmaker70
    @Visionmaker70 Před 3 lety +1

    Raisi mchapa kazi nampenda sana Na ukali wake pia kazi yake

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 Před 3 lety

    Msitafishe kama kasha kuwa mzee

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před rokem

    Nyota hii tutaitafuta wameipoteza majasusi ili wale Bata,eemungu tusaidie

  • @sharifunyengedi6322
    @sharifunyengedi6322 Před 4 lety +4

    Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukuliZaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili

  • @faridamikindo4524
    @faridamikindo4524 Před 3 lety

    Uyu anaetafsiri ujinga apo ni nani ??anaharibu maneno yanayo ongea rais. Msitafsiri msochokijua please 🙏🙏

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Před 3 lety +1

    Kama hizo ndo sifa za wana usalama kwamba kila mtu anaweza yaan mradi tu ajue mguu pande mguu sawa basi ndo maana uhuni umeongezeka kwenye vyombo vyetu.

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 Před 4 lety +1

    Yan apo tyu kashaangalia wa2 wote fasta ni hatareee

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 Před 3 lety

    JPM nitaendelea kukukubali tu hata ukistaafu. Dhamira yako njema kwa TZ na uadilifu katika utendaji kazi vitakufanya uheshimike zaidi hata ukistaafu utaacha historia ambayo haitakuwa rahisi kuja kuvunjwa na mtu yeyote. Shkamoo Mhe Dr JPM, Raisi wangu, Raisi wa Watanzania na Amirijeshi Mkuu wa majeshi yetu yote TZ.

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 Před 4 lety +1

    👍

  • @jumannemlacha7318
    @jumannemlacha7318 Před 3 lety +2

    Taifa letu tulijenge,twende mbele Tanzania.

  • @aroonmuchunguzi3442
    @aroonmuchunguzi3442 Před 4 lety

    Huyu jamaa wa usalama mbona hapigi salute

  • @valeriananziku3561
    @valeriananziku3561 Před 4 lety +7

    Wengine waletwe kwenye kilimo watu wavivu kulima

  • @daviesoscar1603
    @daviesoscar1603 Před rokem

    Hotuba inashawishi kusikiliza tena na tena

  • @goalpost6753
    @goalpost6753 Před 3 lety

    Police aende JW

  • @ibrahimrajabu8722
    @ibrahimrajabu8722 Před 4 lety +1

    Hahaha

  • @jamesmapenzi1319
    @jamesmapenzi1319 Před 3 lety

    Nani anatafsiri huu utopolo? Lugha haieleweki

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe Před 4 lety +1

    Unatakiwa utumie akili sana kumwelewa mh magufuli haswa anapo mtambulisha mkuu wa usalama Tz..it means at all GVT instutions or directory it is available to work with TIS without identify hm/her so you should be carefully

    • @ramadhanmatinya7053
      @ramadhanmatinya7053 Před 3 lety

      Hiyo system iko tangu zaman sana ndugu tena yeye kaharibu kdg kumtambulisha yaan ukirudi miaka 10 nyuma ilikuwa ngumu sana kumjua kwa sura mkuu wa usalama

  • @nuruelymollel707
    @nuruelymollel707 Před 4 lety +1

    Kumbe huyo ndio diwani,

  • @issaali5434
    @issaali5434 Před 3 lety

    Kuficha ni hapa Tanzania tu,nchi zilizo na democrasia na transparency, viongozi wa usalama wa nchi wote wanatambilka wazi kabisa

    • @ramadhanmatinya7053
      @ramadhanmatinya7053 Před 3 lety

      Kasema hao viongozi wa juu wa usalama huwa hawafichwi jaman khaaa

  • @abelsimon9994
    @abelsimon9994 Před 3 lety

    Sifa mmmmh haya jmn

  • @shaibukaskas9594
    @shaibukaskas9594 Před 4 lety +3

    Pongez nyingi kwko mh rais ww ni jembe....

  • @frankassey5971
    @frankassey5971 Před 4 lety

    mbona kikwete akikuwa hasimamishi watu ivo yaan kama imekuwa headmaster na mwanafunz sasa wababa na familia zao

    • @martinkipenya4592
      @martinkipenya4592 Před 4 lety +1

      Kila mtu na utawala wake

    • @rashidyshabanishewedy145
      @rashidyshabanishewedy145 Před 4 lety +1

      @@martinkipenya4592 Ni kweli kila zama na kitabu chake japo kuna misingi yake ktk hiyo kauli...
      Watu wa usalama ktk Nchi hii sio wa kuwatajataja mbele ya hadhala za watu.
      Hata ktk miiko ya kazi zao haziruhusiwi...

    • @saudatendega8250
      @saudatendega8250 Před 4 lety

      Hahahahaha nimecheka kwa sauti yani ndio hivyo rais tumempata

  • @beberurafiki3534
    @beberurafiki3534 Před 3 lety

    Ni bora hao unaowatambulisha wao ndio wangekuwa marais lakini c ww. kisa kukariri majina ya bara bara ndio ukafika hapo, tz bn!

  • @allexchriss5425
    @allexchriss5425 Před 4 lety +3

    Mkuu wa usalama wa taifa nimemuona naanza kupita mbali