Kutoka Guangzhou China AyoTV, millardayo.com inatuonesha soko maarufu la nguo ambalo huwakutanisha Waafrika kufanya mahemezi ya nguo na kupeleka Afrika ikiwemo Tanzania.
Kuna baaz ya watz wenye roho yakwann walikua wanalificha ili chimbo walikua awataki wabongo wengine walijue chimbo ili. Milad ayo umefichua chimbo. sasa kila mtz anajua kz kwetu kuchangamkia fulsa hii. Milad ayo uko ju.. Mungu akuweke 1000
One of ma dream is going to China for business purposes and this information given out by Millard ayo online media is very awesome to me....and this is da best information to be given out for da people not musicians and artists life #great information
Millard ayo kaka upovizur hiii nimeipenda japo kastor kamekuwepo kafupi Yan katiya watu wanaotafuta chansi ya kwenda inje naminipo Eemwenyezi MUNGU nakuomba unisaidie daimaaa
Jamal Mmoja : Itazame hii video vizuri kuna gari moja la silent ocean limeonyeshwa na ubavuni mwa gari Hilo kuna namba za cmu nafikiri nitakuwa nimekusaidia kidogo
Haijalishi kabisaaa mm nipo Oman lkn nilikuw sijui Arabic now nakiongea kam mzaliwa wa huku na pia nilipoenda Egypt huko Missri nilikuw najiuliz lugha gn naongea kumbe Arabic na English unaelewela tu
Miladi unafanya vizuri kwenye Tasnia ya habari, ushauri wangu ripota awe hata nakanembo kidogo cha kuiwakilisha Nchi itapendeza zaidi iwe rahisi kwanchi husika wajuwe kwaurahisi
Safi sana mirad ayo sio wengine wanatuwekea vichwa vya habari vya uongo eti, tu, some habari zao japo zipo tofauti na kichwa cha habari lengo watulie MBS zetu mm huwa sichoki kuzifwatilia, habari zako na lake na sabscraeb.
Safi sana hongera kwa kazi nzur. Wengine huku wamebaki kutangaza umbea tu hawana hata vya kuhamashisha
Millard upo juuuuuu!! Utabaki kileleni!!! Love u so much.... Nimependa saaaana... Big up Ayo TV
Wanao kubali #Ayotv
I wish one day kufika Eneo ili na nitafika 🙏🏿
@@t_eighteen8186 amina!
@@t_eighteen8186 Allah asimamie malengo yako Inshallah
Hizi ndio mambo watu wanahitaji. Sio masuala sijui ya akina hamisa, zari na uwoya. Mambo ya udaku
Kabisaaa sio udaku udaku
Danford Mwabena kabisaaa 👌🏼👌🏼
True
@@aishaomary4498 kabsa
Ivo yan bei jumla shngap
Kama umemuona mchina anamwambia huyo jamaa apunguze #Kitambi tia like zako
Sio kitambi nimavi yamejaa
Kuna baaz ya watz wenye roho yakwann walikua wanalificha ili chimbo walikua awataki wabongo wengine walijue chimbo ili. Milad ayo umefichua chimbo. sasa kila mtz anajua kz kwetu kuchangamkia fulsa hii. Milad ayo uko ju.. Mungu akuweke 1000
mbona so chimbo hilo hujasafiri wee
@@alisaid2410 😆😆
One of ma dream is going to China for business purposes and this information given out by Millard ayo online media is very awesome to me....and this is da best information to be given out for da people not musicians and artists life #great information
Kama unamkubali MILLARD AYO gonga like mtuwangu wanguvu damdam milele.
Millard utabak kuwa juu juu juu mawinguniii
Kilelen
KBS
Millard ayo kaka upovizur hiii nimeipenda japo kastor kamekuwepo kafupi Yan katiya watu wanaotafuta chansi ya kwenda inje naminipo Eemwenyezi MUNGU nakuomba unisaidie daimaaa
Now umeivaa dogo big up sanaaa Yani wenge loteee tupaaa kuleee
Kweli ukifanya kazi inayowanufaisha watu wewe hunufaika zaid, Allah akujaalie kheri na baraka tele kwenye kazi zako za kila siku.
Namuona namuona swahiba wngu Said 🔥🔥🔥alikuwa mpambanaj k.koo
Waulize silent ocean wanampango gani wa kufungua duka kama hilo Tanzania ili wawe wanauzia na nchi jirani?
Sura za wananchi wenyefuraha utazijua tu umeona mchina anacheka kwa tabasamu nzuri sanaa sasa njoo huku kwetu na upishane na mtu kariakoo dah
Hongera sana WiFi angu
Hahahahahaha
Hahaahaaa
😀😀😀🏃♀️🏃♀️
Huyo mchina anafraha kwakua ameona mteja njoo huku polini wapo wachina njaa wanahasira balaa
Mtangazaji upo vizuri mno,nadhani ulistahiki haswa kuitangaza tz nje,kaza kamba
Jamal Mmoja : Itazame hii video vizuri kuna gari moja la silent ocean limeonyeshwa na ubavuni mwa gari Hilo kuna namba za cmu nafikiri nitakuwa nimekusaidia kidogo
Asante sana brother Kwa kazi nzuri mnayo fanya Mungu azidi kuwapa maarifa Zaid na Mafanikio zaid
bigup sana millard, unatupa watanzania tunachohitaji. unaonesha utofauti
Hongereni Silent Ocean..
Dah Kama najiona hapo ndani ya miaka mi4 ijayo🙏
Brey Mbasa ifanye ndoto iwe kweli.. Mungu akusimamie broo.. one love
kwnn p1 tusiipunguze miaka hiyo!
@@Tiffany340 🙏 yote yanawezekana emee
Asikukatishe mtu tamaa myaka minne mingi ata mwaka kesho mwishoni InshaAllah
Sahau kuja china uku kwa cc wachache
Kweli mnatembea ayo tv big up kwenu
Safi sanaaa ayo tv
Miladi ayo nakukubali sana ayo ndio mambo yakutuonesha waafrika ili tujue mambo mengi ya umuhimu
asant sana kwa kutuhabarisha na kutujuza habar mbal mbali
Hii channel ni ya watu wenyeakili
Sanaaa
Nicee!
Go back minute 39 maze huyu mse anaingiza vidole kwa kunyi in front of camera 📸 😂 😂 😂 😂 nways we got habari tunayo #Ayotv 📺
one day yes in sha allah.
Mko vizuri brother. Big up.
Millard uko vizuri
Ooh,kumbe ni rahisi hivi! Mungu wangu nikumbuke hata nami siku moja niende kununua nguo na viatu,tamanio LA moyo wangu...
Hongera sana kazeni buti
Nomegunduwa kitu ikiwa ujuwi Luga aijalishi utaenda chaina
Haijalishi kabisaaa mm nipo Oman lkn nilikuw sijui Arabic now nakiongea kam mzaliwa wa huku na pia nilipoenda Egypt huko Missri nilikuw najiuliz lugha gn naongea kumbe Arabic na English unaelewela tu
Aisee mmenifungua macho sana me mwakan naanza kwenda china kumbe ni rahis hiv nljua kuna complication kibao
Ukiendaa nichukue n mm
jipange
Ur the bst silent ocean
Kaka millard uko vizuri sana
Hongereni saana
Safi sana brother
Vp teusa ches
Miladi unafanya vizuri kwenye Tasnia ya habari, ushauri wangu ripota awe hata nakanembo kidogo cha kuiwakilisha Nchi itapendeza zaidi iwe rahisi kwanchi husika wajuwe kwaurahisi
Nice..
Safi xana
Hii nzuri sana ina tia hamasa ya kwenda China bila uoga
dah nimependa hapa one day yes
Dah asey broo mnatembea sana
Namuomba mungu atujali tuzunguke na ss
Kaka nsaidie nikue kibiashara,, najitahidi lkn sapoti ndo sina ndg
Ahsante kwa kutuhabarisha
ln ss twaend kuwaona silent!
Jamn mim ninahitaji mzigo wa viatuj
Naomba nyimb za kresthta teacherh
Kwa nn wasiwe wanasafirisha wao na kuleta Tz, wajenge stores kubwa huku Tz halafu nchi nyungine za africa wawe wanakuja kuchukulia huku
Asante Sana vipi kuhusu malazi
Millard wewe ni mfano wa kuigwa upo vzr sanaaaa
Safi sana mirad ayo sio wengine wanatuwekea vichwa vya habari vya uongo eti, tu, some habari zao japo zipo tofauti na kichwa cha habari lengo watulie MBS zetu mm huwa sichoki kuzifwatilia, habari zako na lake na sabscraeb.
Daa wapo vizurii aisee
Siku moja nitafika huko China nikachukue Mali asahnte Millard ayo... Go go goooooooooo all over the world
Mchina anachezea kitambi cha silent
wivu tu..wivu tu!
unaona wewe😁😁😁
🤣🤣🤣
Hongera sana kwa hatua mwanangu Side unapambana sana kaka
Nimekubali
Haya mambo mazuri sana sio tararira fulani hivi fulani vile
Silent wametisha sana
💪💪💪
Safiii San ndugu china
Wao nimeipenda
DAAH I WISH ONE DAY
Good
Fresh
Mtangazajii uko vizur kak good good
Nakuona director mzeee wa Mbaziii
Yan kibongobongo Amna anaemfikia Ayo tv anatoa habari zauhakika na zenye ukweli
Jamani ee mungu naomba siku moja na mm nije kuagiza mzigo mkubwa uko chaina
Napajuwa nimemuona Mr,johkhuu
Sijuwi nifanye biashala ya nguo?🤦🏾♂️
njoo china upige pesa
Hizo nguo mnaweza kushona wenyewe tz.....
Nataka niagize nikiwa hapa hapa nyumbani mtaji wangu sio mkubwa🙆
Safi safi
Eti Gud Gud
Yes
Hawa jamaa akina Millard na kundi lake wako vizuri sana
Nihau mama 😂😂😂😂jaman mwez 1 Umeshajuw Kichina 😂😂
Blaza Millard ayo unatisha
Daah htarii
Mpo vizur silent ocean
Safi sana millad ayo, safi sana silent ocean mungu akijaalia nasi tutatembelea China
Salum Muhija rho
Salum Muhija stp
.5&@“
Salum Muhija zaf
Salum Muhija sho
Yeah b. Sfyiiopp
Haina haja saa hii tuende China twaweza fanya mambo ya nguo hapa hapa Tanzania.
Nnalilewa vizuri hili soko alhmdllh
Mchina anachezea kitambi
Upo makini
Kumbe umeiona na wewe alivogusa gusa kitambi, mchina🤣 nikataja hilo jina,naona simu fake😂
Karibun china kwetu jaman
Millard 🔥
Big up mr
Insshaa aallah nina mpango wa kwenda china kuchukua biashara huu ndo upendo wenu
Salma Habari
Nzuri
Naitwa Hans Kiula kutoka Trust Solution CO LTD
Wauzaji wabobezi wa mashamba na viwanja vilivyopimwa DaresSalaam, pwani Bagamoyo na dodoma
Millard wewe ni king wa habr
Hayo ndo mambo muhimu ya kutueleza
Duh China kwa mijengo ni shida
Milliard uende Bangkok na Japan pia
Daah ngoja niongeze bidii ipo siku namimi nitafika huko china.
Kaka naitaji kuja kuchukua mzigo mwingi wakutosha China ila sjui nifikeje uko na nani atanipokea na kunitembeza kwenye masoko ya nguo
@@geofreykupenda6557 ushawahi kwenda au ht fny na hao silent?
Janeth Simon fika ofisin kwetu pale Kariakoo GSM Tower Lumumba na Udoe Kwa maelezo zaidi. 0746813813
Janeth Simon hata mm natamani xan ila ntafikaje
@@geofreykupenda6557 wazo lako zuri lkn hawa wa kariako bana ni shedaaaa!
Habar jaman mbona silent hawapatikan kuwapigia cm
Sawa wee unanipa pin number ya kazi
Naomba nambazenu
Kaka namba unisadie uninganishe nahao jamaa mm nimtania nipo Sudan nataka kwenda china kununua muzigo lakini sijui pakuanzia
Kwa magorofa haya bado tuna shangaa kubadilika kwa hali ya hewa .
5:42 ule Mama mchina kamwambia baba naona umekua na kitambi ulikuja mwembamba. 😂😂😂
😂😂😂😂😁😂😂
nenda china tiari ushajua kichina
Ningependa kujua gharama ya hii shughuli yote
Tunataka Kama hivi sio kila siku mambo ya udaku