AHMED ALLY ALIPUKA BAADA YA USHINDI | AMTETEA KIPA {ABEL} "HATA TUNGECHEZA 4 | AYOUB & MANULA WAPO..
Vložit
- čas přidán 20. 05. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - Sport
White and not black speach
Very clear. Congratulation Kiongozi Ahmed Ally.
Hongera Viongozi, Wachezaji, Mashabiki Hongera semaji la cafu . Simba nguvu mojaaaaaa ❤❤❤
Semaji la CAF,,anafurahisha sana ahmedy ally
Nampenda sana semaji wetu Ahmed Ally jamani,sijui hata nisemeje🥰🥰🥰naipenda Simba yangu pia
Pamojasanaaaa. Nguvu 1
Semaji la Dunia hiloo❤❤❤🎉❤
Jaman unachekesha jaman semaj wetu❤❤❤
Hongera sana semaji la caf hakuna msemaji kama wewe Tanzania❤❤❤❤❤
Mashine ya kuongea pokea maua yako 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🦁♥️
SIMBA SPORT CLUB❤❤❤❤ WAKALI WA TANZANIA TOP 5 IN AFRICA
Safi sana semaji uko vizuri sana Ahsante sana inshaallah kheri
Semaji la caf hilo 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Semaji la Tanzania likiunguruma
Tanzania 🇹🇿 ipi?
Uijui Tanzania weweeeeee ili ndosemaji wengine waropokaji tuuuu ❤❤ simba nguvu moja
😂haswa Ahemed Ali ni semaji kuu
Anajua sana huyu jamaa team tu ndo inamwangusha
❤nakupenda semaji
Huyu hamna mtu anaemweza ni dume
Chakumshaur baba angu mgunda kama akimkosa fread bora acheze na no 10 sio kumuweka jobe
😁😁🙏🙏 Na kweli!!!
4:43 eti penart siogoli kwani saidoo kafunga kwaurimi,watuacheeeeeeeeeeee🥰🥰🥰🥰🦔🦔🦔🦔🦔🦔
Matokeo bora sana kwa games za mwisho mwisho
Daaaah semaj upewe maua yao
Semaji la Caf
Semaji la tz 🇹🇿 mzima
Mungu mbariki chasambi awe kama msuva iwe faida ya simba pamoja na taifa
Wapeee manenooo
Mzea Umerudi Upyaaaa Sasa Wacha Tumalizie Simba Tumekuw Wanyonge Lakini Msimu Ujao Tutarudi Na Nguvu Zote
In Sha allah
Nikweli semaje
Mmesaidiwa na Refa mlikuwa mmeisha
Simba ikitulia wasemaji wengine wote watapotea
mdogo mdogo mtatuelewa hii ndiyo ssc
Kweli semaji letu ni dunia sisi tumekusanyika hapa Toronto kwa ajili ya kuitakia ushindi timu yetu ya damu.
Ubora wa mwamuzi umewasaidia simbilisi
simba tawi la yanga.
Na ni kwel azam moto wa club bingwa hauwez
Makoro bila wachezaji kuwa pungufu hawawezi kutoboa refa tuh kaamua kuwabeba msidhalilike...
😂😂😂😂 Lako iloooo ndotushashinda 4.kipitena unakitaka chura weeeeee.❤❤❤❤🦁🦁🦁
We km kweli
Ili jamaa limeumia sanaaaaa .ndio imesha shinda gol 4 Baki unaliaaa sawa ww mwantum
Nafasi ya ubingwa bado ipo wazi
Kila siku jamaaa anaongeza bahasha ya uongeaji.
Semaji
Saf. Semaji la caf
Semaj Ra tanzania
Halafu mkuna watu wanataka mafanikio kwa usanii huu
Pili anaongea kweli 😂😂😂
Huumu Tu huumu tu
Uchale.....😂😂😂😂😂😂😂
humu tu humu tu
Mm ninachompendea uyu jamaa asemi kwa pumzi kubwa san anatulia wala ana wasi wasi
Hahaa kaua
2:17 hatuchoki hatupoi kwani twajua lilivo swala la muda tu
Bluetooth connection 😂
Kivip
Huyu ndio msemaji bwana acha wale wapasha habarii❤❤❤❤ simba nguvu mojaaa😂😂😂😂
Habari ya mjini ni paredi la wananchi tuh namna gani litakaposimamisha africa haya mengine matatizo tuh...
Wewe ni mtu wa uswahilini
😂😂😂
Chasambi yule mchezaj mzuli san pale tumelamba dume san
Humu tuu ...humu tuu ali shaabani kamwe balaa tupuuu
Sasa huyo komwe anakujaje hapa wee utopoloooo churaa
@@mwambietv7614 humu tu ... Ali Kamwe ni balaa tupuuu
Ya kwenu yamewashinda eti mnasapoti Fei too
Eee ndo mfungaji mbor
@@NeemaChusi-nr5khnyie endeleeni TU kugombania nafasi ya pili haya mengine hayawahusu
Inakuuma chomoa
@@mwambietv7614 humu tuu 🤣
Mpo nafasi ya ngapi?
Ya nyokooo tupo
Daaaa boge la semaji 😂
Wezi nyinyi
Mmenunuwa Mechi Hiyo Wanonesha Hata Uchezaji Wao Na Kipa Mwenyewe TFF Lazima iangilie Mchizo Huwo Na Kupanga Matokeo Kwaajili Yakumtowa Azam...
Cherck kenge hii
Kanunue na ww sitabia yenu kununua kwa kina manula
Unaongea ujinga ukitaka tufungwe ili ufanyeje
Kajifunze kuandika
Yaan wewe ni kiboko yao na simba ingekuwa simba ingekuwa inafanya vzr wangekoma😂😂😂😂😂
Simba Leo imecheza upuuzi mtupu
Huyu shoga kwel Ahmed dah aibu kuwa msemaji wa simba dah
Mmebebwa na refa bhana, refa amemtoa yule mchezani wa Geita ili makoroboi FC mpate nafasj ya
Inauma eeh chomoa
Unaumia ukiwa wp
Kwani alitumwa kufanya makosa yaliyosababisha atolewe.
Big girllllllllllll semaj la simba upooo shoga unamimina ubuyu