ALLY KAMWE: AMWAGA MCHELE WOTE "AZIZ KI ANATAKA KUCHEZA NA DUBE| YANGA IJAYO NI YA UBINGWA WA CAF".
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - Sport
Qbr saana bravo bravo
Mkuu nitalipa ada zangu lakini naomba kadi yangu niliyolipia ....Tupo pamoja na nina hamu ya kuchangia.
Wambie ukwwli hao waandishi wa habar
Hapana Tena hapana.tumeona mappato na matumizi jaribuni kuondoa baadhi ya vitu.huyo mchezaji Guenda akawa Sio vile na mwakani tukaagana nae.sawa mtani?
Ali kamwe upo vzr sn
Ally kamwe huyo mjinga aliye toa povu ni mjinga anaejifanya anaujua mpira kuliko waliouanzisha mpira Duniani naye ni Jemedari
Wewe unaumwa ukapimwe sio ally kamwe
Kaongee wew acha makasiriko ya kike…ally kamwe ni mtu na nusu..umeombwa usikilize au shobo zako
@@user-js3ro1dr2i😂😂😂 uandishi wa jamaa ... Alo m tag hapo ni bi kitarumbeta 😅😅 sio mwenyekiti wa wasemaji
Msemaji na Mwandishi mwenye weledi kuliko wote hakika unawapa Elimu
Leo wamwanzo mm
Nakukubal semaji la kimataifa unaongea fact ume2lia
Wewe una matatizo ya hali sio ally kamwe
M Niko malawi nawomba niwunge kwenye group ra wap ra yanga
Tuma namba yako ya WhatsApp
Mm nadhani ungemjibu mwandishi then kama afsa habari uje na mpango site tuone namna ya kuongeza mapato mafanikio ya yanga msije yatumia kutusimangia.
Mjumbe mmoja alitoa malalamiko kuko na watu wamechangia mfumo hauwasomi,wengine wamelipa kadi hamna hayo mbona mwarobaini hamtafti,mnatusimanga tu.
Wangepelka t timu B uko na wacheza ambao hawapt nafasi wakaonyeshe t
Ali kamwe anajua anachokiongea lla wewe unashida brother
Mnaaanza kulilis Ada sasa
Ally kamwe usitake kumpa presha mchezaji ikawa km ya skudu kuwa nitro
Mkoa kagera wilaya Bukoba tawiletu la yanga mlango umefungwa mdawote izoada tunalipiawapi??
Yule ana jina jipya mjini anaitwa shoga jipya
Kamwe leta vitu
Mm Niko tanga kadi naipataje