Magufuli tunamkumbuka kama mtu aliedhubutu,, hakukuwa na mtu ccm wa kufanya haya. Hata mama samia anaendeleza maono ya mtangulizi wake. Ha2po kumbeza samia suruhu hassan laa! Toka magu afariki hata mfumo wa uendelezaji miradi umebadirika sasa tunategemea mikopo siyo ilivyokuwa kwa John pombe magufuli alikuwa akifanya miradi mikubwa bila kuandafia wazungu.. Ukweli magu mungu alitupa gift. Vivah Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongereni sana TRC - Mmefanya vyema kwenda South Korea kuona maendeleo ya vitu vyetu. Kongore sana kwenu wote mnayofanya huko kwa niaba yetu wote. Mambo mazuri huchukua muda.
Matumizi mabaya ya pesa weye wawapongeza..haya labda ni sahh,maono yangu yakawa sio sawa..ila pind maguful anatengeneza ndege canada atukuona alie enda
@@zawadix9574 sijui kwa nini hawajifunzi hawa watu na knowledge kuzileta nyumbani.....sisi Tz hatuna jiji ambalo lina organised city centre...hata Dar inabidi wachague eneo moja liwe superorganized...no electricity cables, no boda, no mama ntilie na kuwe na sehemu za kupumzika...tena kwa dar..ile posta yote wangeifanya hivyo...
Lakini bado tunaitaji kama nchi kuwa na mikakati, just imagine up now ndo tunapeleka wataalamu wetu kujifunza juu ya treni za umeme( kukagua ni vitu vidogo sana kwa utaalamu walionao) kwel kwel tupo serious kama taifa huku tunajua kabisa hii project ni ya mda mrefu na inatughalimu trillion za Tz ...Mimi binafsi nilitegemea kama nchi tumejipanga kuwa na wataalamu wa treni za umeme atleast more than 3yrs ago ambao ni wazoefu na wanaujuz wa Hali ya juu, juu ya project kama hii...hapo ndo tungeenda kusema tumepeleka wataalamu kufanya ukaguzi sio kujifunza!! 🙏🙏🙏
Hapa kuna mkanganyiko kuna watu hawaelewi hv vichwa vipo aina mbili vile mchongoko ni set zitakuwa na behewa 8 kwajili ya abiria hv vichwa vyakawaida nikwajili ya tren za mizigo
Nilitaka kusema Kama wewe nikasema ngoja Kwanza nisome comments nimekukuta wewe uzarendo wa dhati ukweli hata mm nilitamani Sana kuona rangi ya bendera yetu
Hivyo vingine nikwajili ya mizigo boss, treni yenye vichwa vilivyochongoka inakuwa na vichwa viwili mbele na nyuma na nikwajili ya abiria pekeake, yale yasiyochongoka yatabeba mizigo
Hongera mama piga kazi hakikisha miradi yote inaisha wanao piga kelele waache mwisho wa siku na wao
Wata kukubali
Kazi nzur vivah John pombe magufuli 🙏🙏🙏🙏🙏
Mwambie pombe huko alipo ajee aendeleze sgr, pongezi ziendee kwa mama samia suluhu hasani kwa kuthubutu kutekeleza mradi uliopo
@@TwalibuAlbaamiryShokakwa kuuza bandari
Magufuli tunamkumbuka kama mtu aliedhubutu,, hakukuwa na mtu ccm wa kufanya haya. Hata mama samia anaendeleza maono ya mtangulizi wake. Ha2po kumbeza samia suruhu hassan laa! Toka magu afariki hata mfumo wa uendelezaji miradi umebadirika sasa tunategemea mikopo siyo ilivyokuwa kwa John pombe magufuli alikuwa akifanya miradi mikubwa bila kuandafia wazungu.. Ukweli magu mungu alitupa gift. Vivah Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tujipongeze kama Taifa congrats
RIP mzee baba Magufuli 😢😢😢😢
Sema wamefanya kaz nzuri wa Tz tuache kuponda hadi vitu vya maana big up for this💯💯
Hongereni sana TRC - Mmefanya vyema kwenda South Korea kuona maendeleo ya vitu vyetu. Kongore sana kwenu wote mnayofanya huko kwa niaba yetu wote. Mambo mazuri huchukua muda.
Matumizi mabaya ya pesa weye wawapongeza..haya labda ni sahh,maono yangu yakawa sio sawa..ila pind maguful anatengeneza ndege canada atukuona alie enda
Kazi nzuri sanaaa hongera Mama Samia hongereni TRC
Dah! Always nikiona hivi, hujikuta namkumbuka Mwamba JPM 💪🏾 I wish angekuwepo ajionee matokeo ya juhudi zake. Bravo JPM.👏🏾👏🏾👏🏾 R.I.P. JPM.🤝
Kazi nzuri
Kazi nzuli Sanaa kwa rais wetu Magufuli mwanzilishi wa kazi nzulisanaaa but muundo wa vichwa ivyo ndo mmezingua Yani Shoo ya uso wa mbele
Mnaona miji yao...ona side walks, no bodaboda...superorganized....Sisi uwa tunafeli wap
Wizi......ujinga.....na mambo ya Ku shukuru mungu kila SAA .....na uvivu!!!!!
@@zawadix9574 sijui kwa nini hawajifunzi hawa watu na knowledge kuzileta nyumbani.....sisi Tz hatuna jiji ambalo lina organised city centre...hata Dar inabidi wachague eneo moja liwe superorganized...no electricity cables, no boda, no mama ntilie na kuwe na sehemu za kupumzika...tena kwa dar..ile posta yote wangeifanya hivyo...
Iko vizuri
Good job government of tanzania
Jpm viva
Lakini bado tunaitaji kama nchi kuwa na mikakati, just imagine up now ndo tunapeleka wataalamu wetu kujifunza juu ya treni za umeme( kukagua ni vitu vidogo sana kwa utaalamu walionao) kwel kwel tupo serious kama taifa huku tunajua kabisa hii project ni ya mda mrefu na inatughalimu trillion za Tz ...Mimi binafsi nilitegemea kama nchi tumejipanga kuwa na wataalamu wa treni za umeme atleast more than 3yrs ago ambao ni wazoefu na wanaujuz wa Hali ya juu, juu ya project kama hii...hapo ndo tungeenda kusema tumepeleka wataalamu kufanya ukaguzi sio kujifunza!! 🙏🙏🙏
Japo hata kidogo mjue kumshukur mama yetu
Hapa kuna mkanganyiko kuna watu hawaelewi hv vichwa vipo aina mbili vile mchongoko ni set zitakuwa na behewa 8 kwajili ya abiria hv vichwa vyakawaida nikwajili ya tren za mizigo
Mama siamini macho yangu kazi iendelee
Magufuli alikuwa na uthubutu usio wa kawaida Tanzania!
Mie nataka nipande yale mabehewa ya ghorofa lini na yenyewe yatatembezwa?
👍
Hiki kichwa kilichochongoka mbele tunaweza sema anagalau cha kisasa kwa kiasi fulani ila hiki cha kwanza ni kichwa cha kizamani kama vile vya kenya
Iyoo TREN inanza lini Kaz yake na iloo xio TREN kama za nchi za njee
Siyo kabisa, hii ni ya bei ndogo, kama vile lami zetu ni standard 3
Kukagua tu tupo vzur
KUTENGENEZA XAXA....
Mmekosea ni bora tenda hii mngewapa wachina na kilakitu kingekuwa sawa, sasa mnawapa wakolea alafu mnamashaka nao sasa ndo nini
wakorea wako vizuri
Magufuli oyeeee
Acheni utumwa wakifikra pakeni rangi yabendera yetu Acheni ujinga huo.
Nilitaka kusema Kama wewe nikasema ngoja Kwanza nisome comments nimekukuta wewe uzarendo wa dhati ukweli hata mm nilitamani Sana kuona rangi ya bendera yetu
Acheni ujinga nyie kwani rang ya bendera ndio uzalendo acheni wazim
Mmejiridhisha vitu msivyovijua?💥...hujui kugawanya wala kujumlisha utawezaje kuhakiki jibu la hesabu?
Nyie kama hamridhiki nendeni kwenu ugiriki tuachieni nchi yetu jamani
Mbona zipo Kaa panzi au misioni vizuri 😂😂😂
😂 😂 😂 😂
Kwani bado ni unatifiti
MLI sema mwezi July ma behewa yana ingia dar na tuta onna majaribu sasa ni mwezi August .......mbona MNA uwongo sana!!!!!!! Lini tuta ona treni !
Walete sasa hv kwenye uchaguzi wataongea nini?we subiri uchaguzi ukikaribia utaona miradi itavyokuwa inazinduliwa
Hii ndio bongo😅😅😅
Pongezi kwa seeikali ya tz
Hivyo vichwa vyenu visivyochongoka hatuvitak, viacheni huko huko.. huku mvilete vilivyochongoka tu ndo tunavyovitaka
Hivyo vingine nikwajili ya mizigo boss, treni yenye vichwa vilivyochongoka inakuwa na vichwa viwili mbele na nyuma na nikwajili ya abiria pekeake, yale yasiyochongoka yatabeba mizigo
Vichwa mchongoko ni vya masafa mafupi haziezi kutembea kwa muda mrefu, hizo za flat ndo za mwendo mrefu Dar to Mwanza
mbona mmepeleka wazee wengi sion vijana😢
wanatumalizia hela tu
hizo zote ni pesa za watanzania2 wanazitumia vibaya 😢
More delays!
Acheni mbembwe leteni train zianze kazi mmekuwa waongo waongo sana!!!!
Tuna taka speed test 😂😂😂
Bc tupeni nafasi na sisi watumiaji tuje kukagua tujiridhishe sote.