RELI NA MATUKIO, NDANI YA VIWANDA VYA TRENI, VICHWA NA MABEHEWA YA SGR, KOREA KUSINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 55

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 Před rokem +7

    Hongera mama piga kazi hakikisha miradi yote inaisha wanao piga kelele waache mwisho wa siku na wao
    Wata kukubali

  • @user-kx5oc7nt5p
    @user-kx5oc7nt5p Před rokem +15

    Kazi nzur vivah John pombe magufuli 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @TwalibuAlbaamiryShoka
      @TwalibuAlbaamiryShoka Před rokem

      Mwambie pombe huko alipo ajee aendeleze sgr, pongezi ziendee kwa mama samia suluhu hasani kwa kuthubutu kutekeleza mradi uliopo

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Před rokem

      ​@@TwalibuAlbaamiryShokakwa kuuza bandari

    • @user-kx5oc7nt5p
      @user-kx5oc7nt5p Před rokem +5

      Magufuli tunamkumbuka kama mtu aliedhubutu,, hakukuwa na mtu ccm wa kufanya haya. Hata mama samia anaendeleza maono ya mtangulizi wake. Ha2po kumbeza samia suruhu hassan laa! Toka magu afariki hata mfumo wa uendelezaji miradi umebadirika sasa tunategemea mikopo siyo ilivyokuwa kwa John pombe magufuli alikuwa akifanya miradi mikubwa bila kuandafia wazungu.. Ukweli magu mungu alitupa gift. Vivah Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @chumamasunga8855
    @chumamasunga8855 Před rokem +4

    Tujipongeze kama Taifa congrats

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Před rokem +5

    RIP mzee baba Magufuli 😢😢😢😢

  • @amanrashid7061
    @amanrashid7061 Před rokem

    Sema wamefanya kaz nzuri wa Tz tuache kuponda hadi vitu vya maana big up for this💯💯

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati

    Hongereni sana TRC - Mmefanya vyema kwenda South Korea kuona maendeleo ya vitu vyetu. Kongore sana kwenu wote mnayofanya huko kwa niaba yetu wote. Mambo mazuri huchukua muda.

    • @mussamussa8181
      @mussamussa8181 Před rokem

      Matumizi mabaya ya pesa weye wawapongeza..haya labda ni sahh,maono yangu yakawa sio sawa..ila pind maguful anatengeneza ndege canada atukuona alie enda

  • @mkude
    @mkude Před rokem +3

    Kazi nzuri sanaaa hongera Mama Samia hongereni TRC

  • @jamesnteleva7073
    @jamesnteleva7073 Před rokem +2

    Dah! Always nikiona hivi, hujikuta namkumbuka Mwamba JPM 💪🏾 I wish angekuwepo ajionee matokeo ya juhudi zake. Bravo JPM.👏🏾👏🏾👏🏾 R.I.P. JPM.🤝

  • @pascojm6816
    @pascojm6816 Před 9 měsíci

    Kazi nzuri

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 Před 11 měsíci

    Kazi nzuli Sanaa kwa rais wetu Magufuli mwanzilishi wa kazi nzulisanaaa but muundo wa vichwa ivyo ndo mmezingua Yani Shoo ya uso wa mbele

  • @explorewithbertin
    @explorewithbertin Před rokem +3

    Mnaona miji yao...ona side walks, no bodaboda...superorganized....Sisi uwa tunafeli wap

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 Před rokem +3

      Wizi......ujinga.....na mambo ya Ku shukuru mungu kila SAA .....na uvivu!!!!!

    • @explorewithbertin
      @explorewithbertin Před rokem +1

      @@zawadix9574 sijui kwa nini hawajifunzi hawa watu na knowledge kuzileta nyumbani.....sisi Tz hatuna jiji ambalo lina organised city centre...hata Dar inabidi wachague eneo moja liwe superorganized...no electricity cables, no boda, no mama ntilie na kuwe na sehemu za kupumzika...tena kwa dar..ile posta yote wangeifanya hivyo...

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Před rokem

    Iko vizuri

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 Před 8 měsíci

    Good job government of tanzania

  • @user-ck2mc6nw8m
    @user-ck2mc6nw8m Před rokem +1

    Jpm viva

  • @Bmstar-pz4qt
    @Bmstar-pz4qt Před rokem +1

    Lakini bado tunaitaji kama nchi kuwa na mikakati, just imagine up now ndo tunapeleka wataalamu wetu kujifunza juu ya treni za umeme( kukagua ni vitu vidogo sana kwa utaalamu walionao) kwel kwel tupo serious kama taifa huku tunajua kabisa hii project ni ya mda mrefu na inatughalimu trillion za Tz ...Mimi binafsi nilitegemea kama nchi tumejipanga kuwa na wataalamu wa treni za umeme atleast more than 3yrs ago ambao ni wazoefu na wanaujuz wa Hali ya juu, juu ya project kama hii...hapo ndo tungeenda kusema tumepeleka wataalamu kufanya ukaguzi sio kujifunza!! 🙏🙏🙏

    • @mohammedal7864
      @mohammedal7864 Před 11 měsíci

      Japo hata kidogo mjue kumshukur mama yetu

  • @jrumesele9843
    @jrumesele9843 Před 8 měsíci

    Hapa kuna mkanganyiko kuna watu hawaelewi hv vichwa vipo aina mbili vile mchongoko ni set zitakuwa na behewa 8 kwajili ya abiria hv vichwa vyakawaida nikwajili ya tren za mizigo

  • @yusuphmpenja3288
    @yusuphmpenja3288 Před rokem

    Mama siamini macho yangu kazi iendelee

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem

    Magufuli alikuwa na uthubutu usio wa kawaida Tanzania!

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Před 6 měsíci

    Mie nataka nipande yale mabehewa ya ghorofa lini na yenyewe yatatembezwa?

  • @abubakarharuna6712
    @abubakarharuna6712 Před rokem

    👍

  • @stevengeorgetibenda1647

    Hiki kichwa kilichochongoka mbele tunaweza sema anagalau cha kisasa kwa kiasi fulani ila hiki cha kwanza ni kichwa cha kizamani kama vile vya kenya

  • @ShafiiStar
    @ShafiiStar Před 3 měsíci

    Iyoo TREN inanza lini Kaz yake na iloo xio TREN kama za nchi za njee

    • @Nedjadist
      @Nedjadist Před měsícem

      Siyo kabisa, hii ni ya bei ndogo, kama vile lami zetu ni standard 3

  • @Maconcepty
    @Maconcepty Před rokem

    Kukagua tu tupo vzur
    KUTENGENEZA XAXA....

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před rokem

    Mmekosea ni bora tenda hii mngewapa wachina na kilakitu kingekuwa sawa, sasa mnawapa wakolea alafu mnamashaka nao sasa ndo nini

  • @youngb8672
    @youngb8672 Před rokem

    Magufuli oyeeee

  • @ibrahimmasanja7277
    @ibrahimmasanja7277 Před rokem

    Acheni utumwa wakifikra pakeni rangi yabendera yetu Acheni ujinga huo.

    • @omarhussein-po6wg
      @omarhussein-po6wg Před 9 měsíci

      Nilitaka kusema Kama wewe nikasema ngoja Kwanza nisome comments nimekukuta wewe uzarendo wa dhati ukweli hata mm nilitamani Sana kuona rangi ya bendera yetu

    • @HABARYTv-vd7lq
      @HABARYTv-vd7lq Před 8 měsíci

      Acheni ujinga nyie kwani rang ya bendera ndio uzalendo acheni wazim

  • @godfreyraphaely637
    @godfreyraphaely637 Před rokem

    Mmejiridhisha vitu msivyovijua?💥...hujui kugawanya wala kujumlisha utawezaje kuhakiki jibu la hesabu?

    • @mohammedal7864
      @mohammedal7864 Před 11 měsíci

      Nyie kama hamridhiki nendeni kwenu ugiriki tuachieni nchi yetu jamani

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před rokem

    Mbona zipo Kaa panzi au misioni vizuri 😂😂😂

  • @sportsnyahanga5504
    @sportsnyahanga5504 Před 11 měsíci

    Kwani bado ni unatifiti

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 Před rokem

    MLI sema mwezi July ma behewa yana ingia dar na tuta onna majaribu sasa ni mwezi August .......mbona MNA uwongo sana!!!!!!! Lini tuta ona treni !

    • @hashimshaban4675
      @hashimshaban4675 Před rokem

      Walete sasa hv kwenye uchaguzi wataongea nini?we subiri uchaguzi ukikaribia utaona miradi itavyokuwa inazinduliwa

    • @user-ov9xs9ho4p
      @user-ov9xs9ho4p Před rokem

      Hii ndio bongo😅😅😅

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 11 měsíci

    Pongezi kwa seeikali ya tz

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před rokem

    Hivyo vichwa vyenu visivyochongoka hatuvitak, viacheni huko huko.. huku mvilete vilivyochongoka tu ndo tunavyovitaka

    • @ernestkilaryo1015
      @ernestkilaryo1015 Před rokem

      Hivyo vingine nikwajili ya mizigo boss, treni yenye vichwa vilivyochongoka inakuwa na vichwa viwili mbele na nyuma na nikwajili ya abiria pekeake, yale yasiyochongoka yatabeba mizigo

    • @machumujuma6399
      @machumujuma6399 Před 11 měsíci

      Vichwa mchongoko ni vya masafa mafupi haziezi kutembea kwa muda mrefu, hizo za flat ndo za mwendo mrefu Dar to Mwanza

  • @mainaimma1114
    @mainaimma1114 Před rokem

    mbona mmepeleka wazee wengi sion vijana😢

    • @kingxule6562
      @kingxule6562 Před rokem

      wanatumalizia hela tu
      hizo zote ni pesa za watanzania2 wanazitumia vibaya 😢

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před rokem

    More delays!

  • @SATZ-news
    @SATZ-news Před rokem

    Acheni mbembwe leteni train zianze kazi mmekuwa waongo waongo sana!!!!

  • @IconIcon-yz5vm
    @IconIcon-yz5vm Před rokem

    Tuna taka speed test 😂😂😂

  • @yusuphmpenja3288
    @yusuphmpenja3288 Před 10 měsíci

    Bc tupeni nafasi na sisi watumiaji tuje kukagua tujiridhishe sote.