MIQUISSONE NA CHAMA WANAENDELEAJE?/MSIKIE SEMAJI AHMED ALLY AKIZUNGUMZA BAADA YA KUFIKA DODOMA
Vložit
- čas přidán 15. 05. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
▶
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Sport
Nitaipenda timu yangu ya SIMBA siku zote maishani Mwangu❤❤❤,kila la kheri timu yangu
Ww ndo shabiki wa ukweli ndugu cyo shabiki muhemko shabiki wa toke moja la ushindi2 nguvu moja 🦁💪
Alhamdulilah twashukur mmefika salama wapambanaji wetu Inshallah Mungu yupo pamoja sanaaa tutapata ushindi ❤❤❤❤
Muwekeni yule kipa mwingine tofauti na Ally salimu mbona yule kipa Anajiamini sana Ayubu kila siku wa nini?
Sawa Asante sana Kwa maoni yako kesho nitakaa mimi Haina shida ili tukae nafasi ya tano 🙏
@@PendoMatemba-ql1ngAyub sio rahis kuuza mechi maana kiswahili hakijuw
mm nataka mfungwe ulie tena unafikiri mnashinda leo ? kijora lazima alafu hao dodoma 2nawaongezea yale majin ya yanga ili wawafunge vizuri
@@user-iz3hs8jl5p Naona unatafuta bwana maisha yamekupiga mbwa wewe mimi mwanamke nyau wewe 🐸👈
🦁🦁🦁❤❤❤❤❤ Penda sana hiii team jamn popote tupo kwenye shida na raha
Naipenda simba mpaka Nadia, simba yanguuuu❤❤❤❤
Asante mungu umewafikisha wapambanaji Wetu salama na mrudi salama na ushindi juu I love simba nguvu moja ❤❤❤
simba haunitoi hataishuke daraja ntashuka nayo I love you simba
Asante Mungu kwajir ya Simba
Mm shabik wasimba naipenda simba mjitume lakn
Alhamdulillah Rabillah Allah miinnah 🤲
Mnyama kazini kesho tukasapiti Tim yetu♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Naipenda Simba Hadi kufa
Simba timu ya moyo wangu naipenda kwa kila hari😘😘
Simba ndio Tim yangu❤❤❤❤❤❤❤❤
Nguvumoja ❤❤
My team naipenda sn
❤❤ Timu yangu ya simba Kila laher Timu yangu
Simba timu yangu naipenda saana❤❤❤❤
Point 3 muhimu keshoooo
Kila la kheri Simba katika mchezo wenu wa kesho
Semaji kama semaji 🎉🎉
Naiombea simba ushindi kesho
Binafs naipenda simba mno yaan siwez maliz siku bila kusikiliza habari za mnyama
Simba nguvu moja
Inshallah❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤ Acha iniuw nimeipend mwenyew bila kushauriw na mtu yoyote ule
Kwakwel simba yetu tunaipenda
Naikubali Tim yangu ya simba
Kila lahere timu Yangu Simba NGUVU MOJA
Waambie wachezaji wawe wanajituma sana na makosa madogo madogo kama ya CHE MALONE wayaache#SIMBA nguvu moja
Duniani kuna timu mbili tu LIVERPOOL FC na SIMBA SPORTS CLUB,acheni kutuumiza roho jamani#SIMBA nguvu moja
My🦁🦁🦁🦁
❤❤❤
❤❤❤❤❤
Natumain Simba yangu ushindii lazima
Ongera kwa kufika salama dodoma nawaomba wachezaji wakambane
SIMBA NGUVU MOJA
#NguvuMoja
Simba timu kubwa changa moto ni kawaida kwa timu yoyote utopolo walilala miaka minne bila ushindi kwa wakae kimya tusichekane
Kila laheri mnyama ushindi lazima kesho boli itatembea
Tunaomba ungozi wetu pamoja na bos wetu wakae watengeneze tim ya msim ujao yenye ushindan mkubwa
hata iweje Simba ndo timu yangu nitaisapot
Hatutaki hata utupe habar za timu
🤍🤍🤍🤍🤍🦁🦁❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏
mechi ni saa moja siyo saa 10
Fanyeni usajili wa maana tuache porojo porojo
Simba team kubwa sana viongoz wabovu tunaishia robo robo kwel ad leo tunapambania nafasi ya pili hamuoni tunashuka kiwango kwa ajili ya uongoz mbovu?
ha ha ha haaaa; kumbe mnajua usajili mbovu unaakili sana
Kibu mbna achezi
Kipa ni mmoja tu hao wengine wana kazi gani kwani? Acheni kukariri bhasi?
Wanatuzidi magoli mangapi Azam Sisi wana runyasi?
Inachez saa ngap
10 jioni
Azamu ana point ngapi?nauliza jmn
Nisaa ngp mchezo?
10jioni
Kama kwel vile
Kibu nae amepona
Nunueni mechi nynyi
Hivi Azam wanatuzidi magoli mangapi?
Unataka kila mwaka ubebe ubingwa ww tu wengne hawautaki?
Mbona hamna mashabiki wa kuwapokea simba Dodoma uwanja wa ndege? Au wanaenda msibani?
Fanya yako
Chama vp kesho atakuwepo kwenye mchezo
Asa unamuliza nan
MBONA KAKONDA SANA 😂😂😂
We nenepa
Sasa hilo nitatizo lako,kama sio macho yako kuona itakuwa ni akiri,kama upo dar wahi mhimbili halaka kama upo mbeya wahi rufaa haraka kacheki utakuwa na matatizo,ila tukupe pole,sisi hatumwoni kama unavyoona wewe 🧏
Atakonda vp yeye yuko nafasi ya 7ktk krabu bora ya ligi ya mabingwa,unafananisha na wewe nafasi ya 12🧏
KWANI LUIS NA CHAMA WAO HAWAKUWEPO MWANZONI MWA LIGI,MNAWAPAMBA WAKATI HUO,HUO HAMNA KITUU,YAMEBAKI MAJINAA TUU
chama hataki kuchezea tena simba mbona msemaji wenu anawadanganya?
SIMBA DUME
Wapendwa itakua saa ngapi leo
Mungu awahulumie nafasi ya pili