Video není dostupné.
Omlouváme se.
Dodoma- Mzee wa miaka 102 afariki dunia leo tarehe 22/02/2020. UKIANZA KUFA USINISAHAU..
Vložit
- čas přidán 2. 03. 2020
- Wajue watu watatu ambao wako Jijini Dodoma ambao wamepewa nafasi ya kuingia mbinguni.
"UKIANZA KUFA UNIKUMBUKE," haya ni baadhi ya maneno yaliyotumika katika msiba huo.
KAMA UNAMUELEWA HUYU MCHUNGAJI GONGA LIKE HAPA CHINI.
Woooh
Kwelii baba
Unasema ukwali kabisa
Ndo mambo yalivyo
Poleni saana
Asante sana
Kuishi miaka 102 ni neema ya pekee Sana.
Ni kweli kaka lkn kama una Yesu ndo neema ya kweli.
Mana imeandikwa heri siku moja nyuani mwa Bwana kuliko miaka elfu nje ya Bwana.
Pia imeandikwa ktk isaya mtoto kwenu atakufa akiwa na miaka mia bali mwenye dhambi alie na miaka mia atalaaniwa.
Pia imeandikwa kufanikiwa kwa mpumbavu ni ili aangamizwe mwenyewe yani we say kuishi miaka mingi kw mwenye dhambi na akafa ktk hali ya dhambi ni ubatili tu maana ameichezea neema alopewa.
Tukaze mwendo tufikie umri mtimilifu tungali tunae Yesu. Barikiwa sana kaka,
By de way achia tenzi nyingine kaka.
Ooooh nmekufananisha na dinu zino
@@jacksonmkuye7739 Yap! ni picha yake.
@@DinuZeno ahaaaa ok sawa