Video není dostupné.
Omlouváme se.

Dodoma- Mzee wa miaka 102 afariki dunia leo tarehe 22/02/2020. UKIANZA KUFA USINISAHAU..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 03. 2020
  • Wajue watu watatu ambao wako Jijini Dodoma ambao wamepewa nafasi ya kuingia mbinguni.
    "UKIANZA KUFA UNIKUMBUKE," haya ni baadhi ya maneno yaliyotumika katika msiba huo.

Komentáře • 12

  • @dodomaworkingmachines2635

    KAMA UNAMUELEWA HUYU MCHUNGAJI GONGA LIKE HAPA CHINI.

  • @togetherchristiansmedia3437

    Woooh

  • @monicalazaro983
    @monicalazaro983 Před 4 lety +2

    Kwelii baba

  • @sharlelwanga6349
    @sharlelwanga6349 Před 4 lety +4

    Unasema ukwali kabisa

  • @bahindukaruth729
    @bahindukaruth729 Před 4 lety +2

    Poleni saana

  • @howbeautifullnatureis474
    @howbeautifullnatureis474 Před 4 lety +1

    Kuishi miaka 102 ni neema ya pekee Sana.

    • @jacksonmkuye7739
      @jacksonmkuye7739 Před 4 lety

      Ni kweli kaka lkn kama una Yesu ndo neema ya kweli.
      Mana imeandikwa heri siku moja nyuani mwa Bwana kuliko miaka elfu nje ya Bwana.
      Pia imeandikwa ktk isaya mtoto kwenu atakufa akiwa na miaka mia bali mwenye dhambi alie na miaka mia atalaaniwa.
      Pia imeandikwa kufanikiwa kwa mpumbavu ni ili aangamizwe mwenyewe yani we say kuishi miaka mingi kw mwenye dhambi na akafa ktk hali ya dhambi ni ubatili tu maana ameichezea neema alopewa.
      Tukaze mwendo tufikie umri mtimilifu tungali tunae Yesu. Barikiwa sana kaka,
      By de way achia tenzi nyingine kaka.

    • @jacksonmkuye7739
      @jacksonmkuye7739 Před 4 lety

      Ooooh nmekufananisha na dinu zino

    • @DinuZeno
      @DinuZeno  Před 4 lety

      @@jacksonmkuye7739 Yap! ni picha yake.

    • @jacksonmkuye7739
      @jacksonmkuye7739 Před 4 lety

      @@DinuZeno ahaaaa ok sawa