MELI YA MV MWONGOZO KUTOFANYA KAZI MIAKA SABA, WAITARA ATAKA MAELEZO YA KUTOSHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mwita Waitara amemtaka Katibu mkuu wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Kutoa maelezo ya kusimama kwa shughuli za Meli ya MV Mwongozo mkoani Kigoma na kutofanyiwa marekebisho kwa miaka saba sasa.

Komentáře • 27

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před 3 lety +3

    Mswahili hajui kabisa umuhimu wa muda , ni mtu asiyekuwa serious , mtu wa kucheka cheka na kukenua magego yake. Hivi vinaeleza pia kwa nini Tanzania 🇹🇿 iko masikini kuna watu wazembe sana

    • @zully756
      @zully756 Před 3 lety +1

      Ni mishahara wanapokea.

  • @drgerwinegosbert2547
    @drgerwinegosbert2547 Před 3 lety +1

    Hiyo meli inafanana na mv bukoba(meli pacha) na tatizo la uwiano majini ni ule ule na MV bukoba kama ilivyokuwa. Pia zilitengenezwa pamoja

  • @christopherkanyalakc8941

    Good if you w'll do it

  • @zully756
    @zully756 Před 3 lety

    Wabongo tumezoea mteremko na wizi na tunataka tupate bila ya kutoa jasho na pia anaepata kwa jasho lake tunamwona si mwenzetu.

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 Před 3 lety

    Yule jamaa kwan akufika kigoma miaka saba yote sijawai kusikia story hyo

  • @kamanda007
    @kamanda007 Před 3 lety

    Yaani nimechoka these people are not serious and they will never change, wapeni private sector kama Azam waendeshe watu wapate usafiri na wao faida

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 3 lety

    Salamghaikum

  • @losulalamayi4957
    @losulalamayi4957 Před 3 lety

    Hawa watu ndyo wanaifanya Tanzania irudi nyuma mtoe uyo ana faida kwa shirika

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Před 3 lety +1

    Meli mbovu hiyo nunueni nyingine hiyo imetuchosha

    • @snramadan9915
      @snramadan9915 Před 3 lety

      Brother ukisikia kigoma hatupewi kipao mbele ni Kama hvo sisi tumekosa hata meli moja mpya au nzima

  • @rayaalaisari4592
    @rayaalaisari4592 Před 3 lety

    Nikweli wakupe maalezo..... Wezi tu hawo...

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 Před 3 lety +1

    nunueni nyingine. kama watalamu wanasema aifai .dah nihatari sana kwa binadamu

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 Před 3 lety

    Wewe huna lolote toa fedha itengenezwe na ikianza kazi hao wajikometi wasiibe Hadi mtaji!

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Před 3 lety +1

    Kama ilikuwa inazarisha, imekifaje sasa?tanzania wasomi wetu wote wezi na ndio maana munemuuwa muskuma kiboko yenu kuma nyie!samahani kwa matusi munatukera sana.

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 Před 3 lety

      Serikali inabidi ikukamate, inakuwaje unatukana TCRA mshughulikieni huyu

    • @didimhutila8985
      @didimhutila8985 Před 3 lety

      @@itwaaky75 acha ujinga weweee!pumbavuuu wezi then then hamupendi kuambiwa ukweli, mxm.

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 Před 3 lety

      @@didimhutila8985 tatizo ni matusi yako inabidi TCRA ikushughulikie haraka sana

    • @didimhutila8985
      @didimhutila8985 Před 3 lety

      Hata wakinikamata!wasomi wetu tz ni watu wa ovyoo sana!

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Před 3 lety +2

    Ngosha tutamukumbuka tuu!

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před 3 lety +1

      Hata wakati wake ilikuwa haifanyi kazi na lilijulikana hilo na hamna chochote kilichofanyika.

    • @didimhutila8985
      @didimhutila8985 Před 3 lety

      Sawa!ila kipindi chake jiwe hii kitu ingemufikia mzee alikuwa Ananyosha.

    • @festokomba4694
      @festokomba4694 Před 3 lety

      Ok

    • @selemannaoda2027
      @selemannaoda2027 Před 3 lety

      Kpnd chake hakuliona hili?? Kama toka 2014 ni mbovu basi lawama kwake Jiwe.

    • @kungakunga9536
      @kungakunga9536 Před 3 lety

      Acha uzezeta kwani wakati wake alifanya kaz?

  • @mrgeorgeisdory5277
    @mrgeorgeisdory5277 Před 3 lety

    Waitara anatafuta Kiki...... Hana loloteee