ALLY MAHABA - TUOANE {OFFICIAL VIDEO} to get tuowane.. SMS ..skiza 8546516 to 811
Vložit
- čas přidán 19. 06. 2019
- Artist: Ally Mahaba
Song: Tuoane
Studio: SM Records
Produced by: Shirko (Shirkomedia Entertainment)
Directed by: Guy G Films
Recording Label (ATL Music)
copyright 2019
Follow this link to add me on Instagram
ally_mahaba?utm...
Like my facebook page by clicking this link below
/ allymahabah - Hudba
Waiting
petrah Kemmy pekua
My favourite artist from Mombasa @Allymahaba msani mmoja hatari sana nakuheshimu asilimia mia bro...ila pia mie msani oyaa nina ngoma yngu inaitwa i miss you mum by Nikkyviddo hipo you tube muda naomba uchukue muda wko angalau kuicheki tafadhali kma nilivyo nami chuku muda kutazami hii ya kwko #supportgoodmusic
Asnte Sana kkng wacha ntazma CZcams niichek kkng
Shirko uwaga uwangushi kwenye hit's nakupa jina mnyamaaa
Ameuwa hii
Sawasawa
Imeweza🔥🔥🔥🔥💃💃💃
Asante zainab
Kiba naomba amchukuwe uyo jamaa daah nimemkubali sana tena sana tuy
Asante sana kw kunikubal
Hii Ally Mahaba umeuwa
Tsofa Mael's mwambie
Kabisaaa
Asante sana kkng mlezi shukran Sana juudi naziona mm
Hii Kazi safi sana, Pongezi kwako Ally Mahaba, naona Ukienda mbali zaidi... #Tuonane🔥🔥🔥🔥🔥
Blessed Chakazee nouma
Asante Sana bro chakazee kw sapot yako
Wewe ni shabiki wa mbosso damu, naona uandishi wako.
Hahaha lazma nifwate mifano ilo hai Mbosso nimfano bora
Kali
Asante sana
You are the next big thing bro..keep up
If you're from Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, South Sudan, Sudan, Comoros, Seychelles, Mauritius, Democratic Republic of Congo, Congo-Brazaville, Nigeria, Ivory Coast, Madagascar, Angola, Senegal, Ghana, Gambia, Somalia, Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Botswana, Guinea, Benin, Cameroon, Cape Verde, Togo, Burkina Faso, Gabon, Chad, Sierra Leone, Mauritania, Namibia, Lesotho, Zambia, Malawi, Mozambique, Zimbabwe, Egypt, Algeria, Niger, Central African Republic, Liberia, Mali, Tunisia, Libya, Morocco, Western Sahara, Eswatini, Rèunion, Equatorial Guinea, Sao Tome&Principe, and South Africa.
"Just know that you're African, we're one.
We're all from one family, no one should separate us.
An African cannot be a foreigner in Africa, Africa is our home, our motherland.
Say no to #AfricansKillingAfricans
Spread love to your fellow Africans."
Let's show some love to our African brother ALLY MAHABA
Much love from Dar es salaam, Tanzania.
Asante Sana yaan duh shukran Sana kw kunisapot carol
Hii Kali kaka imeweza zaid ya sana i say hongera sana bro
Mc tcher kenya yooo
@@peusmunanu9062 yeiyoo
Asante ssna kkng ticha kw sapot
Nice one hongera
Asante sana
Kazi safi shirko amoury guy g ally mahaba mumetuliza vichwa
asante
Asante sana
Ngoma poa saana. Mistari imetulia.
Nashkru ssna
Wapenz wamzik mzur ngoma ndio hii nimeachia nachowaomba mashabik zangu sapot yenu ndio itazid kunipa nguvu Zaid yakutengeneza vitu vizur daima.
ALLY MAHABA nakubali
Imeweza tu sana brow
Usjali kaka...
ila ww pia ongeza jitihada ili uweze kufika mbali kakangu Ali
Usichoke bro
Niko nawe bega kwa bega bro
ally mahaba boy👍 uko na uwezo mkubwa sana bro, hii song imeweza sana, upo juu sana
Shukran ssna
Mashallah hii nyimbo nimeielewa buanaaaaaaa👌
tena sana
Asnte kw kuielewa
2023-06-14 who is with me listening to this jam of this talented friend of my..gonga like twende pamoja huyu boy anajua bana tumpambanie kwa Grammy's juu category yetu isha updatiwa pale 2024 boy apate nomination inshaAllah
Noma sana mwendo kasi aiseee hii nyimbo imenifanya nisahau sina ujanja na sielewi hii kiboko hongera kaka pamoja na management ABOVE THE LAW na studio SHIRKOMEDIA we the best on town...
Asante ssna kkngu
Safisafi Sana mwanangu jembe lang kw sapot
+974 Tumeipata kama kawa TUOANE Ally Mahaba... uko juu kaka congratulations❤❤❤❤🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Kaka shirko kanzi nzuri sana Hoyooooooo💯💯💯💯💯💯💯
Asante Sana kw pongezi na hata kw mda wa kutusapot
Kali sana
Asante sana
Guy g wwe ni killer hapa umefkuza pepoo
asanteni
Asnte Sana kw sapot ndugu
Nice vidio message iko poa congrats Ally...
Asante Sana sapot
Iko 🔥🔥 nakubali
Asante sana
@@allymahabah karibu Sana na ufanye kazi Ivo Ivo toa vitu Kali Kali nataka ufikie @otile
Wow! Mr. Mahaba umetisha sana sana! Ngoma hii itafika mbali niamini. Hongera sana mwanangu👌
Asante ssna kw sapot
The king of rnb and mahaba is back with a banger.. Wapi like kama uko na mahaba.
Hahahhaa sawa sawa
kalii kaka 🔥🔥🔥🔥
Shukran sana
kali xna mahaba mwanzo mwisho
Asnte Sana Imran
Asante ssna bro
Fantastic kijana...big up..
Asante ssna
Moto kama kawa🎻🎻
Thnks Sana
@@allymahabah Karibu uko juu na utabaki kua juu miaka mia sauti ya nazi hiyo...
Kazi safi bro hii umetisha sana tena hakuna kipingamizi kabisa
Asante sana
Safii xana
Hongera
Asnte Sana kw kutazama.kaz yang
😍😍😍😍❤️❤️❤️❤️Good music dear🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante sana
yeiyooo
Yooooo inakuaje
mahaba kafanya kweli but hongera mkubwa @Guy G wewe ni baba yao kwa hii kazi
asante sana
Asante sana
jaffaryzo
Fire
Sanaaa
Hii imeweza zaid ya sana gonga like twende sawa
Asante sana bro
🔥🔥🔥🔥big up broo
Asante sana
Thats my ringtone unafanya poa Ally nakuelewa sana ngoma zako nakukubali nakuona level zingine..
Inshallah bro ameen
Duh yaan nimechelewa n dakika 27 n vyeny nilkua naisubiri😘😘
Hahahaha bdo ujachelewa
yeiyo Mhindi wa pwani ... buig ups sana kaka hujawai kuniangusha walai ... afu shirko na guy g wakali zaidi ... God bless u guys ... #TUOANE
Samir Yeiyo yeiyooo
#Tuoane Ndio Habari ya Mjini🔥🔥💪💪
Thnks Sana bro
great tune #tuoane #allymahaba 🎶❤️
Shukran sana
Tunahesabu sekunde...
shirkomedia ke ausio
final mix down hatari
Kalii sanaaaaaaa
Hatari hii produza 001
Dope sana, nimeipenda
Asante ssna tunda
Kama mfupa kwa kiboyooo
MARTIN MUITHYA mia
Hahahaha ndiooo shukran Sana kw sapot
Kali sna bro keep it up🎶🎵🎙🎼🎤
Kelvince Onginjo mia
jano ni mapungufu
Nyimbo kaali
Asnte Sana kakangu Martin
HIII YA MIAKA MIAAA....KENYA KWELI TWAYAJUA MALAVI DAVIII
Shukran Sana madebe
Baro baro was maganya umlachu uweeee thaaa 🔥🔥🔥🔥
Haahhhaw Waz wazi ibrahim
wapi like za Ally Mahaba boy.. ❤❤❤ Alafu huyu dem Ameweza wallahi Yani Ametulia kabisa Mzoefu wa haya mambo 💯💯💯💯
Shukran shukran sana
hp kaka Allah akuzidishie🙌🏻
mahaba tuko nyuma yako, utafika mbali usife moyo, mziki mzuri wajiuza
Asnte kw sapot maxeell
Mara nane kui vew imeuwaaaa
Asante sana
OMG!!!!!....Kali ile noma...Big up bro...
Thnks bro
Welcome...tupo pmoja...
Eko juu sanatu kimahabaten #ATL Music
Asante gkoleza
Hii ni sunami kimahaba Hapa washatulia Atl 🎶 to the world 🔥
JAFFARYZO ATL fire
Thnks
jaffaryzo
Waiting dude lije
Tsofa Mael's hahhahaha Nouma fire
kazi nzuri sana bro Mahaba kila la heri
Mashairi noma na producer amecheza kama yeye director kaua hongereni sana kazeni kamba supported by kherezo
Shukran Sana Abdul
kila wakati mwanangu waja na style mpya mpaka Mimi mwenyewe nimepagawa na kazi yako kaka hongera sana
kaka jay kenya yoooo
Nice song my bro keep it up 👏👏wapi likes za ali wakenya wenzangu
🔥🔥🔥
Wewe ni mkali asikwambie mtu....♥️♥️♥️♥️
Ali mahaba n.a. mambo ya jikoni daaaah.
Ngoma kaliiiii sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Apo naona mkeo hana taabu kabsaa 😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahha Aya ushasema
Nice song nasikilizia from +248🇸🇨big up
Heheh sweet swahili, anyway nakupenda bure
Thnks sana
Continue sharing
mi nguvu sina sina sinaaaaaaaa kama mfupa kwa kibogoyooooo
Ushasema carol
Waiting, Tupo Rada zaidi kusubiri mazuri
Blessed Chakazee mia
Duh kuanzia msanii.. audio producer..video director kazi imetendewa haki..Big up ATL MUSIC TEAM....💥💥💥🎻🎻🎻
Amoury amesema watu waoe mjomba hahahah
Hatariii
Safi Sana Amo
Asnte sana kiongoz
Kabisaaaaaa....yni wacha tuu naisikiliza maya yote na hata hamu ainiishii
Nice song mana nimekunja goti nimevua koti kisha uzingue hii mahaba amemmaliza lazima pete avae
Sawasawa hamad
shirko we ni mnoma sana..hongera Ally this soo romantic😋
Asante ssna
@@allymahabah 💥
@@allymahabah boom 💥💪
Big Up, Dada Nahda kakukubali mwamba uko vzr
kinukishe kimahaba... ❤❤❤
manasseh geoffrey ausio
Sawasawa manesseh
Oyaaa chukua zote kaka big Up sana
Asnte bro
Good song love it since 🇨🇮🇨🇮🇨🇮+225
Thanks alot
It's fire🔥🔥🔥
Ushasema ahmed
Safi sana Jomba shirko ukoo juu Daimaa, Ally Good job kaka
Assnte Sana abubakar kw sapot
I love the song
Asante ssna
New favourite song
Asnte
Aki this song is sooo Romantic🔥🔥big up bro👏Yn imenitia mahaba😁shirko kinanda kinatumaliza❤❤❤
Asante sana swafia kw sapot
Pamoja❤❤We have musicians n kenya but i swear if we get 10 like you..tuko mbali..yn mtu asikwambie uko juu🔥🔥
Ooyoo wapi likes za new hit 🎯 Tuoane to de 🌍 gonga likes zetu team ally mahaba
Poa poa mwana ama vp thnks Sana kw sapot
100%√🎻🎸🎻 Santhaaa saana Mahabbah boy..
Asante kw Sana
Man them G mu tag Diamond 💎 please ww msafi jikubali G 🇰🇪🥰👸🤴😉💥🙏👌🏾🚶🏾♂️🎈uko juu nikija pea hino ndo nyimbo naingiya nayo
Assnte Sana smile cole
Yeiyo waiting tuone utamm
Amoury yeiyoooo
Tayari Mombasa wametii, Kazi Kubwaaaaa💪💪
Asnte Sana my maneja kw kila hatua unifikishapo
Kazi kali sana nakutambua kijana uko juu ......mimina zaidi na zaidi hadi wanyooke
Asnte sana
Support yangu always Niko online umeweza wakwetu kaza ulipo tupo @Ali mahaba boy
Asante sana
Ally raha ya ngoma zako, kila ukisikiliza, basi unaipenda zaidi.
🔥🔥🔥Congratulations dear nice song
Asante ssna
Wlcm.. Saloot kwa shirko na Amoury beiby wazidi kukusaidia ufikie malengo yako InshaAllah
MashaAllah.. i luv it😍
Asante sana
Your song is the first swahili song i luv
team yeiyo....
ngoma kubwa bro....
from video production, audio production wewe mwenyewe big up bro
Asante ssna bro
ALLY MAHABA BaBa 😘😂🎻🇰🇪
Wow! This is biiiiig. Every time that Mahaba releases a song inakua nzuri kuliko ya before. Keep up the good work. Bravo to the producer too
Asante sana Asante kw sapot
atl to the world top sana mahaba bouy
Asante sana
MBOSSO AJIPANGE UPYA.........HUYU KIJANA NI MKALI SANA. WE ARE PROUD OF YOU BRO
Jamaa yupo na kiswahili kizuri, nahis alikulia Tz huyu, vyengnevyo asingekua hvyo.
Minaskizaga maneno waringishie Pete yoooo Isa 254
Asnte sana
Ngoma noma Ally naikubali
Francis asnate kkng
Loving your music #Biggest fan
Nice music
Asnte sana
Ally mahaba u never dissapoint
Ausio thnks sana
Ally mahaba boy!!!
Yoooo inakuaje
ujanja wa uswahilini ni kuwa mtundu wa utunzi wenye mashua mbrrrrrrrrrrrrrrrcha
Ausio
Kali sana boss....wedding thing
Kila nikiskiliza hii song nataka kkucommnt tuuu....aaaah🤝tuoane hukuhuku emmirates jamaniiii🤣🤣🤣
Safisafi mwana
Pongezi Ally Mahaba kwa kweli hii song imeweza
Asnte Sana Irene kw sapot
Nkukubl Sana
Asnte Sana
Unafny mzki mzr tunaenjoy