Star Wetu: Cyprian Musiba amwaga machozi katikati ya Interview

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Cyprian Musiba Mwanaharakati Huru ambae amejitolea kuisemea Serikali ameelezea maeneo aliyosaidia kupitia kampuni yake na ameweka wazi msimamo wake kuhusu kugombea Ubunge.

Komentáře • 24

  • @joelegbert4343
    @joelegbert4343 Před 4 lety +4

    Musiba unafanya kazi nzuri sana kwa sababu unagusa jamii au maisha ya watu, watoto unawasaidia madawati, visima vya maji, nyumba za walimu nk. Utafika mbali sababu ndio Mungu anataka au anaonekana maeneo hayo, hautabaki kama ulivyo!!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 7 měsíci

    Ubarikiwe Msi b a🎉

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před 4 měsíci

    🙏🙏🙏🙏❤️

  • @adamwoiso2180
    @adamwoiso2180 Před 2 lety +4

    Kumbe ndio sababu kwenye serikali iliyipita ya mwendazake mlikuwa mnasaport watu wenye mawazo tofauti na nyie wauliwe na kupotezwa ili mbaki nyie sasa kimeumana

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 2 lety

    UBALIKIWE SANA KAKA DAAA

  • @user-gp3sr4hn1y
    @user-gp3sr4hn1y Před 4 měsíci

    Msiba Kiko wapi Sasa

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 2 lety

    MUNGU AKUSIMAMIE BROTHER. NA AKUANGAZIE KWA MOYO HUO

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 2 lety

    Hii clip ni nzuri sana aisee Musiba umejitolea sana sasa inakuwaje hao viongozi wanakuwa hawawezi kusaidia hizo shule? Inakuwaje hao viongozi wa serikali na wabunge hawafanyi mema walikotoka? Kwa nini haya makabila hawalearn kutoka kwa wachaga? Wachaga wanajitolea sana na pia makanisa na waumini wao wanajitolea sana. Naomba mazuri tucopy na sisi kujitolea zaidi.

  • @petermachambile3149
    @petermachambile3149 Před 2 lety

    Musiba nakukubali siku zote,ulijitoa sana kum-support jpm,mm nashangaa sana,baadhi ya watu wanaokushambulia wewe wanamuunga mkono jpm sasa tuwaiteje?,wewe ni mtu safi sana kwa ustawi wa nchi yetu,hata km unachokifanya kinalenga maslah binafs lakn angalau mm naona kinatutia matumain kuwa unaweza kuwa kiongoz wa watu km jpm

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f Před 5 měsíci

    Umeshalipa fidia ya membe?

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 7 měsíci

    Ninakuheshimu sa n a Msiba

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 2 lety

    Lilisha feli vibaya sana maskini wa mungu! Mtumishi gani anastaafu akiwa na miaka kumi na tano? Miaka kumi na tano ni mtoto bado hata la saba hazamaliza, Lione! Haya yoote ni baada ya Mungu wake kufariki!

  • @yusuphbura950
    @yusuphbura950 Před 2 lety +1

    Hakuwa mwanaharakati alikuwa anatumika kutetea uendawazimu

  • @valentinemtei3588
    @valentinemtei3588 Před 2 lety

    Kalamuyetu, uandishi ni upelelezi, Askofu akifanya aliijituma na akasifiwa vya kutosha, siku akikengeuka ule ukengeufu hufunika yoote aliofanya, usilazimishe watu wapende wasichotaka. Inawezekana ukapenda wimbo, chakula fulani, na ukasifia, wengine wakakuona eidha mwehu , ndo maana hata leo ukienda baa utakuta watu wanakunywa vinywaji tofauti tofauti,

  • @omaryrashid4675
    @omaryrashid4675 Před 2 lety

    Huyu ni culterlist hamna mtu hapo mpenda sifa

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 2 lety

    Fisadi, mla rushwa na mwizi akinyongwa hadharani then nani atakuwa wa kwanza kunyongwa? Tutakuwa na viongozi gani? Ebu tusiende huko kabisa...

  • @kahwarwosile7831
    @kahwarwosile7831 Před 2 lety

    Unadanganya eti kumusemea raisi wewe ni nani kwanza

  • @kahwarwosile7831
    @kahwarwosile7831 Před 2 lety

    Wewe ni mjinga kabisa tena wewe utaendelea kupata tabu sana unajinasifu tu eti mwanaharakati huru ,ulijipendekeza ili akupe kacheo

    • @danieljoseph1610
      @danieljoseph1610 Před 2 lety

      Fala sana huyu jamaa! Analia amejenga kijijini lakini wazazi wake hawapo, Kwa nini hakuwajengea bado wakiwa hai? Lijinga sana!

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před 2 lety

    Yaani ujinga uliokukaa kwa kufanya lolote ili umjengee mama yako ulienda kufeli kabisa .. kutengeneza uadui na watu wote ili tu wewe upate ..ni loooose