Pausetv
Pausetv
  • 77
  • 46 425
KISUKARI,KANSA NA FIGO SIO TATIZO TENA WAGONJWA KUPATIWA CELL MPYA KUPITIA DAWA ZA ASILI/REVOOBIT
Kampuni ya Revoobit iliyopo Mwanza ambayo inapambana na magonjwa yasiyoambukiza kupitia Mkurugenzi wakr wa Utafiti na Maendeleo Profesa Mwenda wameanza kutoa matibabu kwa watu wenye matatizo ya Figo,Kisukari na Kansa na kupata matokeo ya kushangaza kwa wagonjwa waliotumia dawa zao za asili
zhlédnutí: 100

Video

MBIO ZA CLIMATE CHANGE MARATHON 2024 KUTUMIKA KUIHAMASISHA JAMII KUTUMIA NISHATI SAFI/ZAMU YA TANGA
zhlédnutí 34Před 14 dny
Mbio za Marathoni ya Mabadiliko ya Tabianchi Tanzania 2024 zinafanyika kwa mwaka wa pili mfululizo ambapo mwaka jana mbio hizi zilifanyika mkoani Iringa na Mwaka huu zinafanyika mkoani Tanga zikiwa na lengo la kuihamasisha jamii kutunza mazingira.
WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM MWANZA NA SAFARI YAO YA KUIPIGANIA ELIMU
zhlédnutí 67Před 21 dnem
Credit:Haki Elimu @ortamisemi Katika milima ya jiji inayolizunguka jiji la Mwanza na mandhari ya kuvutia jijini Mwanza, watoto wenye ulemavu wanakabiliwa na safari ngumu ya kufika shuleni kwaajili ya kupata elimu.
MWANZA WAFANIKIWA KUIMARISHA USALAMA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU
zhlédnutí 328Před měsícem
@gwajimagwajima5035dr @wizaramnn_tanzania @ortamisemi Serikali ya mkoa wa Mwanza imefanikiwa kuimarisha usalama kwa watoto wenye ualbino pamoja na watoto wenye mahitaji maalumu kwa kuimarisha ulinzi katika vituo wanavyoishi
HIVI NDIVYO MASHIRIKA YA WATOTO MWANZA YANAVYOTATUA CHANGAMOTO ZA WATOTO/RAS ATOA NENO LA MALEZI
zhlédnutí 64Před měsícem
@drgwajimaonlinetv6166 @tecdentz @MtotoKwanza @wizaramnn_tanzania @kitengochamalalamikowizara910 yanayotekeleza afua za watoto mkoani Mwanza yamekutana kwa lengo la kujadili utekelezaji wa mashirika hayo katika kutatua changamoto za watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.
MAUAJI NA UTEKAJWI WA WATOTO WANACHAMA WA THRDC KANDA YA ZIWA WATOA TAMKO/WATOA MAPENDEKEZO
zhlédnutí 79Před měsícem
@WATETEZITV @wizaramnn_tanzania @drgwajimaonlinetv6166 @tecdentz Wanachama 55 wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu THRDC wameitaka Serikali kuchukua hatua kwa wale wote wanaofanya vitendo vya Utekaji na Mauaji ya Watoto kwa kuwataka viongozi kuanzia ngazi zote kuwajibika ili kuwalinda watoto na watu wote na matukio haya.
MWANZA WAPONGEZWA UTEKELEZAJI WA PROGRAM YA MMMAM/WATENDAJI WAOMBWA KUTATUA CHANGAMOTO ZILIZOPO
zhlédnutí 59Před měsícem
@tecdentz @drgwajimaonlinetv6166 @tamisemagalhaes3844@or-tamisemim_zanzibar@ortamisemi *Meneja mradi Christopher Peter kutoka TECDEN amewataka watekelezaji wa program ya MMMAM wazingatie malengo muhimu matano ambayo yanaubeba mpango huu wa MMMAM *katibu tawala msaidizi wa mkoa wa Mwanza Daniel Machunda amewataka wazazi na walezi kuwa makini katika malezi yao kwa kuwa ujio wa teknolojia umechang...
CAMERA ILIYOJIFICHA: KUTANA NA BODA BODA MWENYE MAPENZI NA WATOTO
zhlédnutí 113Před měsícem
@drgwajimaonlinetv6166 @wizaramnn_tanzania @ortamisemi Boda Boda huyu anahakikisha watoto wanavuka barabara kwa usalama,ulinzi wa mtoto ni wajamii nzima pia
VIJANA WATAKIWA KUJIAJIRI KUPITIA SARAFU MTANDAO/MKURUGENZI WA MEME BANK ATOA SIRI YA KUFANIKIWA
zhlédnutí 213Před měsícem
@wizarayahabariutamadunisan339 @VijanaOnlineTV Vijana mkoani Mwanza wametakiwa kutumia fursa ya mfumo wa fedha wa kidigitali kwaajili ya kujiajiri na kujiingizia kipato binafsi na cha taifa kwa ujumla.
WANAFUNZI WAJENGEWA UWEZO WA NAMNA YA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI/ TDI KUTOA ELIMU
zhlédnutí 57Před měsícem
@togetther development initiative@drgwajimaonlinetv6166 @ortamisemi @jumata_tanzania Shirika la Together Development Initiative limeanza utekelezaji wa mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabia Nchi kwa kuwajengea uwezo baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Nyamiluma iliyopo wilayani Magu mkoani Mwanza
MKURUGENZI MKUU WA TCRA: WAZALISHA MAUDHUI HAKIKISHENI MNAWALINDA WATOTO NA JAMII KWA UJUMLA
zhlédnutí 34Před 3 měsíci
@tcra_tanzania @wizarayahabariutamadunisan339 @watotowetutv751 @watoto MKURUGENZI MKUU WA TCRA DR JABIRI BAKARI AMEWATAKA WAANDISHI WA HABARI NA WATOA HUDUMA KUZINGATIA MAADILI ,KANUNI NA SHERIA ZA KUTOA HUDUMA KWANI INAMCHANGO MKUBWA WA KUIJENGA JAMII NA KUILETEA MAENDELEO LAKINI INAWEZA KULETA MADHARA MAKUBWA HASA KWA WATOTO
KAMISHINA JENERALI:HII NDIO MIPANGO YA JESHI LA MAGEREZA UPANDE WA KILIMO NA SUALA LA WEREDI
zhlédnutí 113Před 3 měsíci
@jeshilamagereza @kilimopesa27 @kilimobiasharakinalipa8062 @kilimotv1730 Jeshi la Magereza nchini limesema katika msimu ujao wa kilimo limejipanga kuzalisha mazao ya muhimu kwa asilimia isiopungua 100 ya mahitaji ya jeshi la magereza na ziada itakayopatikana itapelekwa kwenye vyuo na sekondari za serikali.
MWANZA NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA WATOTO/KAMPENI MBALIMBALI ZATUMIKA
zhlédnutí 89Před 3 měsíci
@DDDDani1@rafikidunia2144 @wizarayaafyatanzania458 @bugandohospitaltv9470 “Kwa mwaka 2009 watoto 50 waligundulika na saratani na Ufanisi wa kuwatibu ulikuwa chini ya asilimia 20 zaidi ya watoto 35 walikuwa wakifariki lakini kufikia mwaka 2023 watoto 300 waligundulika kuwa na saratani na ufafanisi wa matibabu umefikia zaidi ya asilimia 50 kwa hiyo kuna maendeleo mazuri”.
UZAZI WA MPANGO HAUNA UHUSIANO NA MTOTO KUZALIWA AKIWA NA KASORO/VIJANA KUPEWA ELIMU YA UZAZI
zhlédnutí 161Před 4 měsíci
Zaidi ya asilimia 95 ya vifo vya uzazi vinavyotokea katika nchi zinazoendelea viinasababishwa na ukosefu wa taarifa ya afya ya uzazi na ukosefu wa huduma bora wakati wa kujifungua hususani kwa vijana huku taarifa zikisema vijana wengi nchini wanakutwa na magonjwa ya afya na akili na mwili pale wanapopatwa na magonjwa ya zinaa,mimba za utotoni pamoja na mimba zisizotarajiwa.
CHANZO CHA WATOTO KUSHINDWA KUJISIMAMIA CHATAJWA/WADAU WAPENDEKEZA ELIMU YA STADI ZA MAISHA
zhlédnutí 46Před 4 měsíci
@ortamisemi @HakiElimutz Wadau wa watoto wamependekeza watoto na vijana wapatiwe elimu ya Stadi za Maisha ambayo itawasaidia katika kuamua mambo mbalimbali.
ASILIMIA 80 YA WATOTO MWANZA HUFANYWISHWA KAZI ZA NYUMBANI/DC ASEMA DADA WA KAZI NI MLEZI NAMBA 1
zhlédnutí 97Před 4 měsíci
ASILIMIA 80 YA WATOTO MWANZA HUFANYWISHWA KAZI ZA NYUMBANI/DC ASEMA DADA WA KAZI NI MLEZI NAMBA 1
ASILIMIA KUBWA YA WATOTO WA MTAANI WALIOPO MWANZA WANATOKA GEITA/DC NYAMAGANA KUJA NA MKAKATI
zhlédnutí 79Před 4 měsíci
ASILIMIA KUBWA YA WATOTO WA MTAANI WALIOPO MWANZA WANATOKA GEITA/DC NYAMAGANA KUJA NA MKAKATI
SIMULIZI: MGANGA WA TIBA ASILI "NILIAMBUKIZWA UGONJWA WAKATI NAMUAGUA MTEJA WANGU"
zhlédnutí 88Před 4 měsíci
SIMULIZI: MGANGA WA TIBA ASILI "NILIAMBUKIZWA UGONJWA WAKATI NAMUAGUA MTEJA WANGU"
HIZI NDIO SABABU ZA KWANINI MTOTO ANAYENYONYA MAZIWA YA MAMA MWENYE VVU HAPATI MAAMBUKIZI
zhlédnutí 190Před 5 měsíci
HIZI NDIO SABABU ZA KWANINI MTOTO ANAYENYONYA MAZIWA YA MAMA MWENYE VVU HAPATI MAAMBUKIZI
SEKTA ZINAZOHUDUMIA WATOTO ZATAKIWA KUUNGANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATOTO
zhlédnutí 54Před 5 měsíci
SEKTA ZINAZOHUDUMIA WATOTO ZATAKIWA KUUNGANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATOTO
VIONGOZI WA DINI NA WATIBA ASILI WAPEWA JUKUMU LA KUTOA ELIMU YA VVU NA UKIMWI/ WENYWE WAKUBALI
zhlédnutí 89Před 5 měsíci
VIONGOZI WA DINI NA WATIBA ASILI WAPEWA JUKUMU LA KUTOA ELIMU YA VVU NA UKIMWI/ WENYWE WAKUBALI
MAKUNDI YALIYOPO HATARINI KUPATWA NA VVU KUPATIWA ELIMU/MRADI WA DWWT KUSAIDIA WILAYA TATU ZA MWANZA
zhlédnutí 60Před 5 měsíci
MAKUNDI YALIYOPO HATARINI KUPATWA NA VVU KUPATIWA ELIMU/MRADI WA DWWT KUSAIDIA WILAYA TATU ZA MWANZA
SAUTI YA WANAWAKE UKEREWE NA WADADA WATOA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA WANAFUNZI WA MIPANGO MWANZA
zhlédnutí 69Před 6 měsíci
SAUTI YA WANAWAKE UKEREWE NA WADADA WATOA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA WANAFUNZI WA MIPANGO MWANZA
TECEC YAWAHIMIZA WAZAZI KUWEKEZA KWA WATOTO WA UMRI WA MWAKA 0-8/ UMRI HUO HUAMUA MTOTO AWE NANI
zhlédnutí 125Před 6 měsíci
TECEC YAWAHIMIZA WAZAZI KUWEKEZA KWA WATOTO WA UMRI WA MWAKA 0-8/ UMRI HUO HUAMUA MTOTO AWE NANI
UMUHIMU WA UCHANGAMSHI NA UJIFUNZAJI KUPITIA ZANA KWA WATOTO/WAZAZI WAPEWA ELIMU UTENGENEZAJI ZANA
zhlédnutí 95Před 6 měsíci
UMUHIMU WA UCHANGAMSHI NA UJIFUNZAJI KUPITIA ZANA KWA WATOTO/WAZAZI WAPEWA ELIMU UTENGENEZAJI ZANA
UZINDUZI WA PJT-MMMAM SENGEREMA: PAMOJA NA KUONGOZA KWA KUZAA KILA MTOTO APATE MAHITAJI YAKE MUHIMU
zhlédnutí 68Před 6 měsíci
UZINDUZI WA PJT-MMMAM SENGEREMA: PAMOJA NA KUONGOZA KWA KUZAA KILA MTOTO APATE MAHITAJI YAKE MUHIMU
UZINDUZI PJT-MMMAM BUCHOSA WATUMISHI WAJAWA NA MATUMAINI MAKUBWA YA KUWASAIDIA WATOTO NA WAZAZI
zhlédnutí 34Před 6 měsíci
UZINDUZI PJT-MMMAM BUCHOSA WATUMISHI WAJAWA NA MATUMAINI MAKUBWA YA KUWASAIDIA WATOTO NA WAZAZI
SIMULIZI: UZINDUZI WA PJT-MMMAM HALMASHAURI YA MAGU/DC AZITAKA IDARA HUSIKA ZITEKELEZE KWA VITENDO
zhlédnutí 103Před 6 měsíci
SIMULIZI: UZINDUZI WA PJT-MMMAM HALMASHAURI YA MAGU/DC AZITAKA IDARA HUSIKA ZITEKELEZE KWA VITENDO
MAKALA: MAKTABA YA WATOTO YA HOSPITALI YA SEKOU TOURE YAWAVUTIA WATOTO NA WAZAZI WANAOPATA MATIBABU
zhlédnutí 254Před 6 měsíci
MAKALA: MAKTABA YA WATOTO YA HOSPITALI YA SEKOU TOURE YAWAVUTIA WATOTO NA WAZAZI WANAOPATA MATIBABU
SABABU ZA KUTOWAPELEKA WATOTO KLINIKI ZATAJWA/UMBALI WA VITUO VYA AFYA,UKOSEFU WA ELIMU TATIZO
zhlédnutí 150Před 7 měsíci
SABABU ZA KUTOWAPELEKA WATOTO KLINIKI ZATAJWA/UMBALI WA VITUO VYA AFYA,UKOSEFU WA ELIMU TATIZO

Komentáře

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 Před 5 dny

    mhnnn

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w Před 29 dny

    BADILISHENI HUDUMA ZENU HAO WAGONJWA WANAPOKWENDA KUCHUKUA DAWA WACHANGANYWE NA WAGONJWA WENGINE WANAPO INGIA KWA DAKTARI AENDE KAMA MGONJWA MWINGINE KUWATENGA KWENYE JENGO WANAONA WATAJULIKANA,

  • @benarcson-rc5iq
    @benarcson-rc5iq Před měsícem

    Nakula maokoto mdg mdg tu na meme bank,,, 😊😊🏊🏊

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww Před 2 měsíci

    Umekaa.muda.mrefu.kwa.ajli.ya.imani

  • @ElizabethNdalahwa
    @ElizabethNdalahwa Před 2 měsíci

    Waache kuona aibu waenda kwa tr msigwa wapone

  • @user-gp3sr4hn1y
    @user-gp3sr4hn1y Před 4 měsíci

    Msiba Kiko wapi Sasa

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před 5 měsíci

    🙏🙏🙏🙏❤️

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f Před 5 měsíci

    Umeshalipa fidia ya membe?

  • @AminaMfinanga-nu6jl
    @AminaMfinanga-nu6jl Před 5 měsíci

    Hongera sana

  • @user-kk7rv2nj3s
    @user-kk7rv2nj3s Před 6 měsíci

    Safi sana rafiki yangu Nyanjige Nkwabi, Hongeraaa Sana.Kibondo 2002 ❤❤❤

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 8 měsíci

    Ninakuheshimu sa n a Msiba

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 8 měsíci

    Ubarikiwe Msi b a🎉

  • @user-ih5zj1kf7t
    @user-ih5zj1kf7t Před 10 měsíci

    Sebastian nakuona ukishusha nondo utafika mbali mtaalam

  • @user-ih5zj1kf7t
    @user-ih5zj1kf7t Před 10 měsíci

    Imekaa vzuri

  • @gracejoel354
    @gracejoel354 Před 10 měsíci

    Mungu hakupe maisha marefu

  • @zulfahussein6356
    @zulfahussein6356 Před 10 měsíci

    Hii ni nzuri sana Mungu awabariki

  • @happinessgozbert-kn5mn

    Naomba namba yako ili tuzungumze

  • @dianarichard1506
    @dianarichard1506 Před rokem

    Mudogoang umependeza sanaaaa saivi

  • @pascalheri3009
    @pascalheri3009 Před rokem

    Nakuombea mungu azidi kukupa maisha marefu na yabaraka ,,,dadangu 🙏🙏🙏 nakupenda sana from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @bahatigeorge6155
    @bahatigeorge6155 Před rokem

    Mambo mrembo mungu ni mwem san ahakika atakupa nguvu

  • @mwakilamwaki7308
    @mwakilamwaki7308 Před rokem

    Jamani naombeni namba ya uyo dada

  • @mwakilamwaki7308
    @mwakilamwaki7308 Před rokem

    Naombeni namba za uyu dada Jami we mwandishi nipe namba ya uyo dada

  • @robertmgogosi8448
    @robertmgogosi8448 Před 2 lety

    Mungu akubaliki dada..

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 Před 2 lety

    Ila je, ali date huyo huyo au huko shuleni pia ali date wengine , waandaaji wa suala kufanya mapenzi sio wengi wan alijua , wangapi walikua hatarini au wame sha patwa na maambukizi?

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 2 lety

    Asante mwandishi,kumtafuta na kumtia moyo,

  • @patriciasimon8039
    @patriciasimon8039 Před 2 lety

    Mauaji mwanza

  • @chikusaid52
    @chikusaid52 Před 2 lety

    Nimekupenda Sana mdogo wangu, mungu akujalie upate na watoto

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Před 2 lety

    Yani wanaume kuwakataa yy tu

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Před 2 lety

    Alivo mrembooo Sasa

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před 2 lety

    Kuna watu wana maambukizi ya ukimwi lakini hawajaamua kuanza kutumia dawa lakini wanaenda hospitali kuangalia afya zao kila mara

  • @annethsongwe6063
    @annethsongwe6063 Před 2 lety

    Mzuri mwenyewe😘😘

  • @kuluthummmetisha4630
    @kuluthummmetisha4630 Před 2 lety

    czcams.com/video/-U1wytdW8xY/video.html

  • @winniefrida3218
    @winniefrida3218 Před 2 lety

    Dr Tony mambo upooo?

  • @valentinemtei3588
    @valentinemtei3588 Před 2 lety

    Kalamuyetu, uandishi ni upelelezi, Askofu akifanya aliijituma na akasifiwa vya kutosha, siku akikengeuka ule ukengeufu hufunika yoote aliofanya, usilazimishe watu wapende wasichotaka. Inawezekana ukapenda wimbo, chakula fulani, na ukasifia, wengine wakakuona eidha mwehu , ndo maana hata leo ukienda baa utakuta watu wanakunywa vinywaji tofauti tofauti,

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 2 lety

    UBALIKIWE SANA KAKA DAAA

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 2 lety

    MUNGU AKUSIMAMIE BROTHER. NA AKUANGAZIE KWA MOYO HUO

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před 2 lety

    Yaani ujinga uliokukaa kwa kufanya lolote ili umjengee mama yako ulienda kufeli kabisa .. kutengeneza uadui na watu wote ili tu wewe upate ..ni loooose

  • @omaryrashid4675
    @omaryrashid4675 Před 2 lety

    Huyu ni culterlist hamna mtu hapo mpenda sifa

  • @petermachambile3149
    @petermachambile3149 Před 2 lety

    Musiba nakukubali siku zote,ulijitoa sana kum-support jpm,mm nashangaa sana,baadhi ya watu wanaokushambulia wewe wanamuunga mkono jpm sasa tuwaiteje?,wewe ni mtu safi sana kwa ustawi wa nchi yetu,hata km unachokifanya kinalenga maslah binafs lakn angalau mm naona kinatutia matumain kuwa unaweza kuwa kiongoz wa watu km jpm

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 2 lety

    Lilisha feli vibaya sana maskini wa mungu! Mtumishi gani anastaafu akiwa na miaka kumi na tano? Miaka kumi na tano ni mtoto bado hata la saba hazamaliza, Lione! Haya yoote ni baada ya Mungu wake kufariki!

  • @kahwarwosile7831
    @kahwarwosile7831 Před 2 lety

    Unadanganya eti kumusemea raisi wewe ni nani kwanza

  • @kahwarwosile7831
    @kahwarwosile7831 Před 2 lety

    Wewe ni mjinga kabisa tena wewe utaendelea kupata tabu sana unajinasifu tu eti mwanaharakati huru ,ulijipendekeza ili akupe kacheo

    • @danieljoseph1610
      @danieljoseph1610 Před 2 lety

      Fala sana huyu jamaa! Analia amejenga kijijini lakini wazazi wake hawapo, Kwa nini hakuwajengea bado wakiwa hai? Lijinga sana!

  • @adamwoiso2180
    @adamwoiso2180 Před 2 lety

    Kumbe ndio sababu kwenye serikali iliyipita ya mwendazake mlikuwa mnasaport watu wenye mawazo tofauti na nyie wauliwe na kupotezwa ili mbaki nyie sasa kimeumana

  • @yusuphbura950
    @yusuphbura950 Před 2 lety

    Hakuwa mwanaharakati alikuwa anatumika kutetea uendawazimu

  • @kuluthummmetisha4630
    @kuluthummmetisha4630 Před 2 lety

    czcams.com/video/tnoay1AgYbI/video.html

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 2 lety

    Fisadi, mla rushwa na mwizi akinyongwa hadharani then nani atakuwa wa kwanza kunyongwa? Tutakuwa na viongozi gani? Ebu tusiende huko kabisa...

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 2 lety

    Hii clip ni nzuri sana aisee Musiba umejitolea sana sasa inakuwaje hao viongozi wanakuwa hawawezi kusaidia hizo shule? Inakuwaje hao viongozi wa serikali na wabunge hawafanyi mema walikotoka? Kwa nini haya makabila hawalearn kutoka kwa wachaga? Wachaga wanajitolea sana na pia makanisa na waumini wao wanajitolea sana. Naomba mazuri tucopy na sisi kujitolea zaidi.

  • @evasempita1144
    @evasempita1144 Před 2 lety

    Mungu.awabaliki.sana.

  • @jafarijumanne805
    @jafarijumanne805 Před 2 lety

    Mungu ndio tegemeo

  • @nicksonnikodemas4352
    @nicksonnikodemas4352 Před 2 lety

    sana kaka jose