Inakuaje baba levo unamchukia mselaa asee tambua sote ni waja wa allah aipendezi kabis ukiangalia baba levo yuko kwenye mfongo wa ramadhan aiswii kabis hata mbele za mungu uko ni kumkosoa mungu juu ya peter sio poa asee? Shukuru mungu kam wewe umejaliwa mkamilifu mungu akusamehe kwa hlo
😂😂😂😂😂😂👍 Jamaa ananifurahisha sana anapomzungumzia Msechu, napenda mzaha wake na alivyo consistency kwny maongezi yake. Very funny and straight!!! Big up brother kwa kuvumiliana kwny matani na kutupatia burudani adhimu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 MIMI NAKUPENDA JU UKO KAMA COMEDY KABISA ZAIDI YA MZIKI HUKUCHUKIA UNAVYO MUINGILIA HARMONIZE NA HAMTOSHANI KWA UMRI NA LOLOTE ILA LOVE YOU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇨🇿
Hahahaha, nimecheka na wanangu🤣🤣🤣..Baba Levo ishi sana
Kusema I love u hawezi anaishia I laaa.mpuuzi kwl huyu jmaa
Baba levo nakupenda bure
🤣🤣🤣🤣utani wa Hawa jamaaaa naupendaga Sana, Kama kweli wanaugomvi kumbe n marafiki hatari
Amin baba revo una nichekesha
Inakuaje baba levo unamchukia mselaa asee tambua sote ni waja wa allah aipendezi kabis ukiangalia baba levo yuko kwenye mfongo wa ramadhan aiswii kabis hata mbele za mungu uko ni kumkosoa mungu juu ya peter sio poa asee? Shukuru mungu kam wewe umejaliwa mkamilifu mungu akusamehe kwa hlo
Ni utani tu jaman
Utani tu
Ni rafiki yake na hayo ni matani pia anavyo muongea ndio anambust aspoteee
Aiseee baba levo we ni comedy hatar 😂😂😂😂
I love Baba levo soo much
Baba levo umenichekesha hadi nimesahau deni la watu
Hahaaaaaa Leta hela yangu
Hahaaa
Hhhhhhh
Kwakweli anafurausha sana
@@remikimola9557k
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 baba levo wewe sio mtu mzuri nakupenda bure
😂😂😂😂😂😂👍 Jamaa ananifurahisha sana anapomzungumzia Msechu, napenda mzaha wake na alivyo consistency kwny maongezi yake.
Very funny and straight!!! Big up brother kwa kuvumiliana kwny matani na kutupatia burudani adhimu
Huwaga na enjoy kiswahil chetu cha kigoma yaan uko real na miss kigoma kiswahil cha ujiji
Kalibu
@babalevo vs Peter msechu nawakubali Sana
Daaah Msechu jaamaan baba levo daah
Baba levo afu una vituko sana, eti jitu lina presha afadhali wapige ngoma zake asifu bure na presha🤣🤣
Vip
Nakubali Sana fund Manyumbaaaa
Baba levo jamaniiii khaaa nimecheka hadi mbavu zinaniuma
Hahahahahaaa...yaan kwa jinsi ninavyopenda kucheka ningekua hapo sauti ingekauka ...jamn baba levo
B-Levo Ba, unakula nini???? Kitambi chako, ni kabambi!!!!
Nani amecheka kama mm kwenye hii interview daaah this is too much
Atari
Apo kweny mochwari
et nanii Shumiletaa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Baba Levo sio wale waliojazana kule Zanzibar ma ( Nyumbu) Baba Levo ndio chaguo la kitaani.
Baba levo noma sana anafulahisha Sana
Yaan nimecheka mpaka nimezima jaman
Baba Levo unanifurahisha jamani.yaani nimecheka mpaka nimesahau shida zangu zote. Hahahahahahaaaaaa
Daaaaaahhh aiseh nmechekaaaa sanaaaa
Baba levo jamen 😂😂😂😂taniua 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba Levo bana mm hoi kucheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
I love Baba levo 🇰🇪🇰🇪💪💪👋👋
Baba Levo maneno huwa unatoa wapi😄😄😄😄 yaaan ur the best comedian by nature 😄😄🙌🙌
😁 😁 😁
Huyu jamaa bhana noma vituko
Jamani jamani Babalevo,eti afanye kazi mortuary ,duuuuh
Hahahaha dah yaani nimecheka sana wewe Baba Levo wewe ni shidaa
Daaah...nachekaga sana
Baba levo saluti kk nakukubali sana kg
Jamani baba levoo khaaaa🤔
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 MIMI NAKUPENDA JU UKO KAMA COMEDY KABISA ZAIDI YA MZIKI HUKUCHUKIA UNAVYO MUINGILIA HARMONIZE NA HAMTOSHANI KWA UMRI NA LOLOTE ILA LOVE YOU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇨🇿
Baba levo n balaaaa
😁😁😁😁
Ba Levo huwa anaaa anam Host Peter msechu ili asipote kwenye game
Dah nyie (baba level na msechu) niwatani mnajuana 😀😀😀😀
Nice content...pita na kwangu basi
Nomaaa baba levo daaah
🤣🤣🤣🤣jaman kazi ya mochwali yan baba levo we ni shida
Napenda sanaa ugomv wao😅😅😅😅
High high
Zamu ya w2 wenye vipalaaaaaAaa
mh
Huyuuuu jamaaaaaaa duuuuu ishi saana
Hawa jamaaa msechu na baba levo. billnas na idiris wanautani wa ngumi atar
That is......umeua baba levo , ila utani wenu unafaa kuenziwa !
"Hahahaham baba levo unazingua unafanya mbavu za watu hoi unakuta mtyu yuko mwenyew nikucheka tyu kama chiz sio poa bana
Nampemdaga sana baba levo ahaaaaaaaaaaa
Huyu jamaa anachekesha
Jamani nimejikuta napenda kufuatilia Hawa watu.nikiwa nas tress zinaisha
Hawa jamaa wananifurahisha sana
Baba Levo nooooomaaaaaa unaongeza sn Siku za kuishi watu nanunua bandle Kwa ajili yako2 nakukubali sana
Oya kumbe tupo wengi
Hahahahahaha msechu na ndugu yake
Nakuku bali sana
😂😂😂😂Baba levo majibu unakuwanga nayo tayari
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 C kwa kumsagia uko kiutani dah. 😳
Eti shumileta
Baba levo unafanya Wa2 waendelee kukuangalia! Unafurahixha xana
Nachokubali baba levvo ni ukweli
Shumileta kwa kweli nimecheka
Yaaani Hawa jamaaa nawakubali
Daah hyu jmaa nyko😂😂
😁😁😁😁jaman mbavu zang
😂😂😂😂😂😂😂 et shulete daah😂
Hawa wengine hawawezi kubali😂😂
Dahaa atari sana😂😂
Duuu noma kwer
Washkaji ni watani Sana
Babalevo toshaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tukienda kwenye show watu hawaingii
Labda shumileta
Ay bhna
Baba levo jmn moto wako n mkali xana mitume inakuonaaaaaa jmn
Ingekuwa madem wangeuwana
HAHAHAHAHA DAH HAWA JAMAA
Hahahahaaa kazi za mochwali jamani
😆😆😆😆baba levo
Baba leva unatumia mjani nini ??
Huyu muha hatari jamani tuache masihara
Nimecheka mpaka nimelia
Yaani wewe baba levo😅😅😅😅😅😅😅😅
Shumileta kkk
😂😂❤️🇰🇪
❤️😂😂😂levo on top
Hahahahaa chiz weweeww
Babalevo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hahahahhaa bro salute
haahahanna daaaah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣duuh
Ni marafiki ao atarii
😂😂😂😂😂😂😂😂 duuuh
bingwa wa kuinterview baba levo
Kabisa 👌👌
Hahahahahaha
Baba Levo😂😂😂😂🙌🙌
🤣🤣🤣🤣 peter
Yaanj wewe jamaa,umenifanya nimemaliza bundle la tigo ambalo ni gumu kuisha la wiki kwa kutazama video zako. Unamtania sana Msechu mpaka pooh
too much crazy
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣