DIAMOND afunguka kuhusu shutuma za WCB kudidimiza wasanii 'Hela zinapoanza kuingia unataka kukimbia'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 07. 2022
  • Disclaimer: No copyright infringement intended
    All rights and credits reserved to Deutsche Welle/ DW Kiswahili
    Email to info@snstz.com for removal
  • Zábava

Komentáře • 525

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Před 2 lety +48

    Mi Dai hata awanyonye hao wasanii macho bado nitaendelea kumpenda tuuuuuu🥰😍🥰

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před 2 lety +101

    Mfano mzuri ni zuchu aliyeingia juzi hivi kuna msanii gani mdogo Hadi sasa amefanya tamasha kama lile la Iam Zuchu? Nani Yuko tayari kuweka fedha zake nyingi hivyo kumtoa mtu? Kwa kweli Kaka hongera sana keep it up. Kwa macho Tu wasanii wako ndio wanafanya vizuri.

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw Před 2 lety +61

    *Akili nyingi sana Diamond platnumz ndomana nakukubali* 🔥🔥🔥

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 Před 2 lety +87

    People hate diamond for no reason Yani for no reason.. diamond is a legend this is why God is blessing him more than other musician's!

    • @realitycheck9463
      @realitycheck9463 Před 2 lety +1

      I don't hate him personally he is the artist Africa but their contract for their artist are terrible the amount of money they invest on an artist and charge you double the amount facts are with harmonize when it comes to Wcb rayvanny was just protecting himself because he was tied to two record labels like meek mill's it was difficult but I love the fact that diamond was honest about so artist need to know what they are signing

    • @rajabupwimu9468
      @rajabupwimu9468 Před 2 lety +1

      Ndo hivyo walishasema mti wenye matunda mawe lazima

    • @Stavanger-cr3ee
      @Stavanger-cr3ee Před 2 lety +2

      Diamond is not only a legend..... He's a very very HARDWORKING young man

    • @Nuel_Storm
      @Nuel_Storm Před 2 lety

      @@Stavanger-cr3ee Stop the lies, he's the opposite of what you say, he's no good.

    • @Nuel_Storm
      @Nuel_Storm Před 2 lety

      @@realitycheck9463 Stop the lies, diamond is bad don't be fooled

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 2 lety +45

    Akili mtu wangu Diamond🇹🇿🔥🔥🔥

  • @mawazomdemu5169
    @mawazomdemu5169 Před 2 lety +41

    Fact bro ,na hii tunaiona Kwa harmo ameweza kijisimamia baadabya kipata akili mjini na yeye kawasaini engine ili afanye biashara nae

  • @sanchostylist...9719
    @sanchostylist...9719 Před 2 lety +67

    Shida Watu wa kuelewa ni wachache...🙌💯.

  • @vinniechymall9801
    @vinniechymall9801 Před 2 lety +46

    Diamond ana akili 🔥🔥🔥

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před 2 lety +132

    Let’s give daimond respect before he died he did a lot to represent our country 🇹🇿 big respect 💎

  • @ogmndevu1319
    @ogmndevu1319 Před 2 lety +17

    This is simbaaaaaaaa! I respect u more ! From this interview it show how maturity u r

  • @SAM_163
    @SAM_163 Před 2 lety +16

    SIMBA SIMBA SIMBA.....U LEAD BRO....WAONESHE NJIA KK .MUSIC IS BUISSNESS 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 Před 2 lety +70

    Uyo ndo mwanangu platnumz😂😂.. "tunapata ela wote af unataka ukimbie"

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před 2 lety +29

    DIAMOND YUKO SAHIHI KWSSB KABLA MSANII AJAWA FIRE 🔥 DIAMOND ANAIMVEST PESA NYINGI SANA

  • @barakakephasi4741
    @barakakephasi4741 Před 2 lety +35

    Embu njoo kwanza apa😂😂😂wcb for life Diamond alimfundisha Harmo paka kuimba na nakumbuka alipokuja wcb meneja walikuwa hawamtaki Diamond kamfundisha kuimba na kila kitu wcb for life

  • @emeraudemusato1127
    @emeraudemusato1127 Před 2 lety +51

    I like Diamond platnumz's songs and furthur more his business minded brain

  • @patricknambaka5496
    @patricknambaka5496 Před 2 lety +24

    Tuliokuwa tuna mchukia diamond tukijua amemdhulumu hamonize tujuane hapa?

  • @wasadikigang599
    @wasadikigang599 Před 2 lety +54

    What goes around must come back around watu waki invest lazima wakate chao and that what it is ila tu usisahau wafadhilaka wapundaka binaadam wengine ndo walivyo piga kazi mwamba 🎤🎶💪🇹🇿💯

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 Před 2 lety +59

    Hakili Nyingi Sana Hiyo Ndo Maana Harisi Ya Mikataba

  • @itNeza
    @itNeza Před 2 lety +34

    Akili Kubwa Sana Kaka. ❤️

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Před 2 lety +121

    Mm sio Shabiki wa Diamond lakini kwahili namsaport ni Ukweli hata ss tuko njee kwa contract company yachkua pesa nyingi kupitia kwetu lakini tuli sign" wenyewe, ikiwa Unsoma utaelewa so Diamond yuko Right,Ww umpatikana Ziro" to Hiro" watarajia Ukitoka uwachwe na pesa kidogo nawakati wenda tengeza pesa kama sio hio Wasafi" hungejulikana Kuna Record Lebol zengine zajulikana na Wasanii hawaendi mbali! So it means jamaa yuwawekeza pesa nyingi sababu ya Msanii mpaka amtoe Ajulikane na watu sio kitu Rahisii, nilazma arudishe isabu zake ndo akuachilie Uende.

    • @mirajiramadhani2128
      @mirajiramadhani2128 Před 2 lety +9

      True story

    • @khamisimustapha458
      @khamisimustapha458 Před 2 lety +8

      Kweli kabisa maana unatolewa ukitoka unaaza matusi ujui umetoka wap watu wamekugakamia afuuwondoke t

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Před 2 lety +1

      Umesema mpo nje, unaweza sema ni kitu gani mwafanya na hiyo company??

    • @nuruantony5248
      @nuruantony5248 Před 2 lety +1

      Kweli mie pia kama wewe

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 Před 2 lety +14

    True alichosema diamond anatumia ela nyingi sana kwa msanii 1 halafu ela zikianza kuingia anajisahau km watu wameweka elaa pumbavu zao hongera simba

  • @Umande83
    @Umande83 Před 2 lety +36

    Muziki biashara. Return on investment, shares, branding, liability,... Weka kipaji chako tukupe exposure uwe mkubwa kisha usepe bila kufikiria izo hisa, faida kwenye uwekezaji na vurugu zingine? Leo ndio nimeelewa kipi kilimkata Raj.🐯 nae pia kapita mchakato huo ndio maana ilichukua muda kutangaza.

  • @jacklinejotta6365
    @jacklinejotta6365 Před 2 lety +23

    Mm naona diamond yupo sahh haiwezka mtu akiwa anashida ana kuwa mpole akianza kupata pesa kwa kuwekezewa pesa zinamuuma baada ya kukatwa hisa zake bro pmbna sana wewe ni nguzo yao watakukumbuka tu mziki ni biashara kama biashara zingne Mungu akuweke Diamond.🇹🇿tunakupnda simba

    • @fidyboytz7199
      @fidyboytz7199 Před 2 lety

      Anayo sema yapo tafuta maskini Mpe mwenyewe kazi at ya kufagia afu atokee kimaisha afu uone utakacho ambulia kutoka kwake

  • @jumakasim8784
    @jumakasim8784 Před 2 lety +42

    Ukitaka kujua kuwa kwamba hatakama iyo ni mikataba ya unyonyaj atangaze kuwa anataka kusajili wasanii waje ku sain mkataba aisee hiyo foleni haipimiki jamaa kaongea fact kwenye njoo tupo wote lakn kwenye neema unataka ukimbie si bora nikalime mahindi true kabisa

  • @jayfourtv115
    @jayfourtv115 Před 2 lety +26

    Anayesema wcb ni lebol nyonyaji naye achukue wasanii awakuze wawe juu kimapato na maendeleo kama ni kazi rahisi ila anayemchukia mondi atakufa mmoja baada ya mwengine

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 Před 2 lety +44

    That’s true this is business nihakiyawo ndomana yamukataba He’s so smart💕

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Před 2 lety +30

    You're so smart D💎,,🔥🔥🔥🔥🔥

    • @achawanunetv1167
      @achawanunetv1167 Před 2 lety

      CHAWA 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 Před 2 lety +1

      @@achawanunetv1167
      Hater.

    • @messaabbas739
      @messaabbas739 Před 2 lety

      @@unclepwechnov1381 ,, I do love your comment dude 😃😃😃😃😃😃😃😃,,,you made my day ❣️

    • @messaabbas739
      @messaabbas739 Před 2 lety +1

      @@achawanunetv1167 am not a CHAWA,,,,as you think 😃😃 but am just fun of him,,ikiwa ww mtanzania auko proud kwa msanii wako,,WE DO! 😃😃😃😃😃

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 Před 2 lety +1

      @@messaabbas739
      It's called 'calling spade a spade'.
      One love bro.

  • @binhussain3445
    @binhussain3445 Před 2 lety +16

    Yes nikweli Sudi alikuwa anaharaka

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 Před 2 lety +27

    Diamond unafanya mambo kiusomi sijui umeishia langapi ila mngu kakuzawAdia hakili kabisa mambo yako ni sahihi endelea hivoooo

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 2 lety +1

      Icho kichwa ni form four tu

    • @tunsumemwakinyuke661
      @tunsumemwakinyuke661 Před 2 lety +1

      Angefika chuo je

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 2 lety

      @@tunsumemwakinyuke661 Ndio maana tunaambiwa elimu ya shule inatuandaaa kuwa watumwa tu

  • @slywish4098
    @slywish4098 Před 2 lety +32

    Simba bana Ety unataka kwenda wapi ebu njoo kwanza hapa 👊😂😂😂

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule Před 2 lety +26

    Well done,watu hawaoni investments inayofanyika wanakimbilia kuropoka tu,Wakina majani hao

  • @jaysbalkajay4598
    @jaysbalkajay4598 Před 2 lety +40

    Respect for Platinum

  • @mcdugange4551
    @mcdugange4551 Před 2 lety +13

    Iyo ndo biashala akuna anae penda asala

  • @uwezopacifique5710
    @uwezopacifique5710 Před 2 lety +10

    Muiteni kwenye chilll na sky please

  • @meshmuesh9204
    @meshmuesh9204 Před 2 lety +34

    Shinda watu wengi hawaelewi na wale wanaelewa wanatumia hili swala kumpiga Diamond.

  • @beatrice3671
    @beatrice3671 Před 2 lety +11

    Nimefurahi sana leo umewapa ukweli majungu camp

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g Před 2 lety +13

    Kitu kingine Diamond kufanya biashara na kisaidia ni vitu viwili tofauti sana.
    Mimi kinachoniuma ni hawa watu wanapoondoka kukukosea heshima basi, hilo ndo linaniuma

    • @ruttajames6873
      @ruttajames6873 Před 2 lety

      👏👏

    • @hassan0256
      @hassan0256 Před 2 lety

      jiulize Kwa ukubwa wake anakosa biashara nyingine za kuwekeza hela zake ? Ukigundua anazo nyingi Ndio utaiona Picha ya msaada Kutoka kwake... Ndio Maana anasema si nibora angeenda kulima mahindi

    • @user-pg1xe1qs2g
      @user-pg1xe1qs2g Před 2 lety

      @@hassan0256 Kaka sitaki kukukosea heshima na ili nisikukosee heshima ni vema nikasema nimeona maoni yako ila hayana akili kabisa

    • @hassan0256
      @hassan0256 Před 2 lety

      @@user-pg1xe1qs2g Matajiri wapo wengi Hapa Nchini washauri nawao wafanye Hio biashara ...

  • @Music-13478
    @Music-13478 Před 2 lety +10

    One love ❤️ My Swahili nations!! ✌

  • @yussaomar9214
    @yussaomar9214 Před 2 lety +8

    Diamond platnumz is right, absolutely right.Therefore this guy is Leged in music industry.Big up bro. Watching from Mombasa Coast Kenya.

    • @zainabumsuya5557
      @zainabumsuya5557 Před 2 lety +1

      Kumbe Mombasa mwajua kizungu mimi nlijua mwaongea kiswahili tyu one love from tz🇹🇿

  • @baranyikwamohammedamorosso5080

    Nimependa iyo! Eti unaenda wapi ebu njoo kwanza apa

  • @wishjrtz
    @wishjrtz Před 2 lety +18

    Sure bro diamond aliamua kuwa open jamaa katuangusha bila kukusudia😂😂😂

    • @mbomo4321
      @mbomo4321 Před 2 lety +2

      🤣🤣 ametuvunjia heshima ya mda bwanaa

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani4222 Před 2 lety +17

    Kwer kabisa uyo mtangazaji alikuwa hayupo tayar kumsikiliza daimond anasemaje bal yeye alikuwa anaharaka yakufunga kipindi

  • @davitoluiz7328
    @davitoluiz7328 Před 2 lety +35

    Marehemu Ruge alipokua anafanya hivi watu hawakusema ni biashara alionekana mnyonyaji, leo hii majibu tunayapata R.I.P Ruge

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Před 2 lety +4

      Yes hata yy aliitwa mnyonyaji nahuyuhuyu mond! wanasahau hii ni biashara

    • @rabsontryphon9254
      @rabsontryphon9254 Před 2 lety +3

      Yule alikua anakuchukua haweki pesa anakupa Air time tu

    • @aronatv47
      @aronatv47 Před 2 lety

      @@rabsontryphon9254 Unasshau Matamasha na Hiyo Airtime iliwapa wengi Jina na Faida Pia ni Technic tu.Huyo Mond mwenyewe alipata hiyo Airtime kutoka huko huko.

    • @kidigatrends01tv7
      @kidigatrends01tv7 Před 2 lety

      Tofauti ya Ruge Ni kwamba ukitofautiana nae anatoa order nyimbo zako isipigwe kwenye Radio yoyote

  • @gichimujef8806
    @gichimujef8806 Před 2 lety +12

    Apo ni ukweli Mondi

  • @mbomo4321
    @mbomo4321 Před 2 lety +30

    Ray bado yupo WCB Wana chemistry nzuri kwa hamuoni kwenye bio ya Wasafiwcb IT wameweka orodha mpya nayeye yumo?

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Před 2 lety

      Yupo kimikataba au kivip mana neno yupo WCB unalielewa lakin?

    • @mbomo4321
      @mbomo4321 Před 2 lety

      @@MtuSafi Babu bado hajatoka hawezi kuwambali na WCB ndohivo kimkataba na sio mbaya kaka maana inamtengezea mazingila mazuri

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Před 2 lety +1

      @@mbomo4321 haya bana

  • @tnftz1461
    @tnftz1461 Před 2 lety

    Keep it up sky hao views sio kitu kidogo broo tuko live na wew ujue⚡️🤞❤️

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Před 2 lety +11

    Kwasasa Mondi yuko Tayari kuongea chochote

  • @emmanueljonas84
    @emmanueljonas84 Před 2 lety +100

    Kiukweli mondi kasema ukweli,msanii kaja hajulikani popote tena kama hamo alikataliwa na kina master J,..watu wanawekeza kwenye kipaji chako,faida ikianza kuingia unaona wivu,badala ushukuru kwa plaform uliyojengewa na hicho ulichopata.Wakati unanjaa huoni kama mikataba ni mibovu ukishashiba ndio unasema ni mibovu.
    Ushakuwa keki ya moto mjini kila mtu anakutaka ,unaona kila mahali ukienda utakubalika ndio unajidai gsksnjdkjd jdjsks .

  • @fathiafathia6324
    @fathiafathia6324 Před 2 lety +29

    simba well said kabisa jamaa anaakili sana

    • @achawanunetv1167
      @achawanunetv1167 Před 2 lety +1

      🤣🤣🤣 CHAWA

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 Před 2 lety

      @@achawanunetv1167
      The truth must be told, no any other label in East Africa that invest on artists like WCB.
      Lebo nyingine ziko kama picha tu lakini wasanii wao wanadoda.
      Diamond deserves credits big time.

    • @fathiafathia6647
      @fathiafathia6647 Před 2 lety

      @@achawanunetv1167 kunguni haswa

  • @kinega1029
    @kinega1029 Před 2 lety +50

    Mmejiona mlivyo wajinga wasanii wa Tanzania wewe unafikiri wale kina Jay-Z, 2pac. Big n.k wamekuwa wakubwa kwa vipaji tu na pesa zimeekezwa kwa hiyo lazima mtaji urudi na faida ndio biashara inavyofanywa yani niwekeze kwako pesa kwa miaka mitano halafu nipate mtaji tu nisipate faida wapi umewahi Kuona darasa mmepewa na mjanja wa Tanzania

    • @JoshuaMwamasika
      @JoshuaMwamasika Před 2 lety +3

      Saana.. mfano mwingine Birdman sizani kama hata watu wanajua nyimbo zake lakin anahela sana percent za lil wyne, drake na nick minaj japo walikua chini ya lil wyne (YMCMB)

  • @mosexdavid9126
    @mosexdavid9126 Před 2 lety +1

    Mwanangu diamond yupo sawa sawa namuelewa kinyama

  • @babuunavaz9843
    @babuunavaz9843 Před 2 lety +12

    Simba #WCB

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 2 lety +3

    People 4get,Simba is not only an artist ,he is a businessman!.Hawezi kuwatoa hawa wasanii kwa kutumia mamilion yake,label yake,umaarufu wake,alafu wakishatoka watake kugawana nae pasu! That cant happen in any business module.Na wakumbuke wanakua wamesaini mikataba.Ingekua hawalipi mafao yao,thats another thing..Simba,wasikusumbue kichwa,wapo wasanii wakali wanaotaka tu kuwa under ur wings..waache waende tu..ila nao waseme ukweli why they decide to move on[not a bad thing tho].Simba ataendelea kuwa Simba na wcb,itaendela kukua tu..

  • @bensonmurage2958
    @bensonmurage2958 Před 2 lety

    Chibu amefanikiwa ila wengi wanaona gere,, big up platnamz, , ur hardwork imekufikisha apo

  • @AbuBakar-fu9ov
    @AbuBakar-fu9ov Před 2 lety +1

    I wish SNS ifanikishe ktk hili kuzungumza ji mwamba hili la Africa 🌍

  • @rasulramadhan8517
    @rasulramadhan8517 Před 2 lety +3

    Huyu mwamb Mungu ambariki xanaa

  • @enouschangana
    @enouschangana Před 2 lety +11

    Wanaosema kuwa anakandamiza wasanii huwa wanakosea sana
    Wangechukua mfano kwa zuchu kaingia kwenye game soon lakini ukiona jinsi alivyo trend basi utaona kuwa mond yuko sahihi

    • @fidyboytz7199
      @fidyboytz7199 Před 2 lety

      Umehona afu mtu anasema mondi kwanin ajengi zanati

    • @enouschangana
      @enouschangana Před 2 lety

      Tatizo Watanzia wangi wana chuki sana inakwaje msanii ana sign mkataba na amekuja mikono mitupu ila anapotaka kutoka analipa million800
      Maana yake ni kwamba lebel yake huwa wasanii wanapata mafanikio makubwa sana mpaka mtu anaweza kulipa kiasi hicho means that anakuwa ana pesa nying

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 2 lety

      @@fidyboytz7199 huyo jamaa kanichefua sana..lol..serikali kazi yake nini??hiyo zahanati akiijenga kwa mfano,huo ushuru watakao mlima..kisa cha kujitia presha??

  • @iambrownbway4118
    @iambrownbway4118 Před 2 lety +4

    Like me please simbaa umetisha kinoma hapa
    Nakukaribisha kuitazama nyimbo yangu mpya inatwa katoto karibu enjoy good music

  • @edsonjeremiah5905
    @edsonjeremiah5905 Před 2 lety +3

    Diamond is business man. respect to you.wasanii wengi ni shule ndio inawahusu.read laws of contract kabla ya lawama .

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 2 lety

      Ndo shida yao..hawasomi mikataba kabla ya kutia kidole gumba au kumlipa mwanasheria na kuwafafanulia hiyo mikataba!Wakiona katengeneza mamilion wanadhani they are entitled to the profits ..

  • @andreadaniel8276
    @andreadaniel8276 Před 2 lety +8

    KWELI SIMBA WEWE NIMSEMA KWELI

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 Před 2 lety +8

    Ila nikweli jamani

  • @sarahrashidabdallah3109
    @sarahrashidabdallah3109 Před 2 lety +2

    Wasio elewa ndio wataona wcf niwanyonyaji ila sahii tuu mtu upo uarabuu ukitaka kutoka nyumba moja kwenda nyingine lzm pesa irudishe so contrct ni contract tuu mie naona wasf wapo sahii lzm wkt mkat Yao ili pia nawe uweze kujimake ww km ww bisness is bisness tu kuweni waelewa, simple tu why ukibebewa mzingo lzm ulipe ht kama nikumununulia mtu maji so people need respect kila biashara ya mtu, na contract pia inasheria zake 🥰🙏

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před rokem

    WCB big Time ....salute kwako Baba lawoooo

  • @rukaiyaramadhani4879
    @rukaiyaramadhani4879 Před 2 lety +6

    DAIMOND akili kubwa ndio maana ya mkataba .ata wafanyakazi za ndani ukuArabuni kama uwezi kazi unarudishwa maktaba na kulipwa boss pesa zake

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 Před 2 lety +19

    Wangepateje hizo milioni mia sita au milioni mia nane kama sio WCB?

    • @salehkhamis3000
      @salehkhamis3000 Před 2 lety +1

      Acha upuuzi wewe hawawezi kulipa cash wanakopa ndio warudishe

    • @nasryhassan4666
      @nasryhassan4666 Před 2 lety +4

      Apo saaa... Tz education ndo tatiso...dah

    • @achawanunetv1167
      @achawanunetv1167 Před 2 lety

      CHAWA 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salmyhussein6255
      @salmyhussein6255 Před 2 lety +5

      @@salehkhamis3000 kwanini haukopeshwi wewe? Wanakopeshwa wao

    • @samwelkeremu4111
      @samwelkeremu4111 Před 2 lety +5

      @@salehkhamis3000 Hv unajua hela wanazoingiza kupitia mitandao ya kijamii ww wcb imeshawabrand ss ni wakubwa mfano rayvvany tetema imeingiza zaid ya milion mia mbili acha show na kiki we vp aisee

  • @amriramadhani2529
    @amriramadhani2529 Před 2 lety +11

    Ukweli mtupu sky

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před 2 lety +8

    Shida ya watanzania weng bado hawaelew nini maana ya uwekezaji

  • @abdulmalikali9063
    @abdulmalikali9063 Před 2 lety +20

    Mimi si shabiki wa diamond Ila ameongea ukweli kabisa

  • @bullychandy6509
    @bullychandy6509 Před 2 lety

    Sky 🙌🙌 good work

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft Před 2 lety +11

    sasa hapo boss kasema kaka sky eti akuna msani mwenye pesa mnchini kuliko wasani wa WCB chakushangaza sasa watu wake wana hamo ana pesa na boss kasema kutoka yeye ni wasani wake hawa wasani niwa nani?kama siyo hamo na Rehiv?

    • @svt3
      @svt3 Před 2 lety +2

      Msanii wa chini ya lebel gani tz ana pesa kama mbosso,zuchu, Lavalava ukiangalia mauzo zao kwenye music platforms utaona wasanii chini ya wasafi ndio wanaongoza

  • @siwamukhtar3013
    @siwamukhtar3013 Před 2 lety +7

    Congratulations Lyon❤

  • @onlygame5110
    @onlygame5110 Před 2 lety +11

    Sns lini mtakuwa na simba hapo studio kwenu ili tufahamu mengi

    • @achawanunetv1167
      @achawanunetv1167 Před 2 lety +1

      Acha ujinga ukisikia wewe utafaidi nini ?

    • @agogomgagagigigogo2672
      @agogomgagagigigogo2672 Před 2 lety

      @@achawanunetv1167 Hiloo linateseka ,tuko naww popote pale,hutoi hoja unalialia tu ,hiloooo aibu 🤣🤣

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 2 lety +1

    mkataba sio wa kikoloni kwani si wanapewa wanasoma wanajilizisha mwacheni mondi kafanya mbaka leo mziki wa bongo ufike ulipofika mondi we pambana mzee wangu mungu yu pamoja na wewe

  • @williamkhaemba2782
    @williamkhaemba2782 Před 2 lety +10

    Siku zote utachukiwa ukisema ukweli ata umsaidie mtu vipi matope utapakwa tu

  • @nancyangelnsekela6957
    @nancyangelnsekela6957 Před 2 lety +5

    Diamond forever

  • @livinusrenatus
    @livinusrenatus Před 2 lety +5

    Universal tena!?

  • @mamajaphety1624
    @mamajaphety1624 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂nimechekaa sana "eti hebu njoo kwanza"

  • @japhetjairos7693
    @japhetjairos7693 Před 2 lety +7

    Kwel kabisa

  • @mirrahofficialtz4643
    @mirrahofficialtz4643 Před 2 lety +39

    For sure jamaa ana akili sana And anafanya vitu sahihii kabisa

  • @mr.romancer9160
    @mr.romancer9160 Před 2 lety +1

    Diamond ni mtu mwengineee🔥🔥🔥🔥🙌

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Před 2 lety +2

    Safi sana broo

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio4857 Před 2 lety +17

    Unaenda wapi na Hela za watu hebu rud kwanza😂

  • @WABAPRO
    @WABAPRO Před 2 lety

    Namuelewa vizuri kabisa Big.

  • @nassibmohamed8283
    @nassibmohamed8283 Před rokem

    Br sky Fanya uandae interview na diamond tupate ufafanuzi mzuri

  • @jumanneissakwakala1881
    @jumanneissakwakala1881 Před 2 lety +2

    Mwanadam Ametawaliwa na Tamaa. Harmo, kapata mafanikio kupitia wcb, Rayvanny wcb, mboso wcb, Zuchu wcb, na wengne wengi. Nitazd kumshangaa Anaetoa shu2ma mbaya wasanii waliopo! Na waliojitoa WCB. Maana ndo mlezi wa wasanii wengi tza. Wcb for life.💪

  • @frankmsigwa153
    @frankmsigwa153 Před 2 lety +4

    Watanzania tunajua ukweli sema tunajitoa ufahamuili tutrend hata hao wakubwa wanajua kwamba ukimsema Mond lazma uzungumzwe??

  • @nelsonmsela7192
    @nelsonmsela7192 Před 2 lety

    Daimondi Yuko sawa kabisa na Mungu ampariki 🙏🙏

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 Před 2 lety +3

    Halaf anatokea producer mkongwe anawalalamikia wasafi😂

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Před 2 lety +9

    Unakimbia wap! hebu njoo kwanza hahahahah simba hahaha

  • @fatumambaga2352
    @fatumambaga2352 Před 2 lety

    Inshallah Mungu azid kukuweka Diamond huna choyo

  • @babuunavaz9843
    @babuunavaz9843 Před 2 lety +6

    Dakika ya kwanza tuu #SNS

  • @Mwl_Swalo
    @Mwl_Swalo Před 2 lety

    Nakubali

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 Před 2 lety +2

    Uyo ndo SIMBA kutoka Kenya bwana

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 Před 2 lety +1

    Genius 🛫

  • @radhinajames2978
    @radhinajames2978 Před 2 lety

    Mungu akulinde xana chibu

  • @dominickasheli1210
    @dominickasheli1210 Před 2 lety

    Mtutafutie nae please naimani mtafanikuwa #sns it's powerful

  • @wingsben4610
    @wingsben4610 Před 2 lety

    Ebu njoo kwanza hapa😂😂😂
    Unaenda wap🤗

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 2 lety +1

    Diamond🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️

  • @collinndabi5543
    @collinndabi5543 Před 2 lety +2

    Mkataba sio msaada sky

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 2 lety +1

    Sns mtafute Diamond kwenye Chill na sky kaka @Skywalker.