DIAMOND afunguka kuhusu shutuma za WCB kudidimiza wasanii 'Hela zinapoanza kuingia unataka kukimbia'
Vložit
- čas přidán 19. 07. 2022
- Disclaimer: No copyright infringement intended
All rights and credits reserved to Deutsche Welle/ DW Kiswahili
Email to info@snstz.com for removal - Zábava
Mi Dai hata awanyonye hao wasanii macho bado nitaendelea kumpenda tuuuuuu🥰😍🥰
😂😂
Tunapamabn nae mpka mwisho ata waondke wote
Hahaha
Mfano mzuri ni zuchu aliyeingia juzi hivi kuna msanii gani mdogo Hadi sasa amefanya tamasha kama lile la Iam Zuchu? Nani Yuko tayari kuweka fedha zake nyingi hivyo kumtoa mtu? Kwa kweli Kaka hongera sana keep it up. Kwa macho Tu wasanii wako ndio wanafanya vizuri.
Kweli kabisa
Sure
Fact
*Akili nyingi sana Diamond platnumz ndomana nakukubali* 🔥🔥🔥
People hate diamond for no reason Yani for no reason.. diamond is a legend this is why God is blessing him more than other musician's!
I don't hate him personally he is the artist Africa but their contract for their artist are terrible the amount of money they invest on an artist and charge you double the amount facts are with harmonize when it comes to Wcb rayvanny was just protecting himself because he was tied to two record labels like meek mill's it was difficult but I love the fact that diamond was honest about so artist need to know what they are signing
Ndo hivyo walishasema mti wenye matunda mawe lazima
Diamond is not only a legend..... He's a very very HARDWORKING young man
@@Stavanger-cr3ee Stop the lies, he's the opposite of what you say, he's no good.
@@realitycheck9463 Stop the lies, diamond is bad don't be fooled
Akili mtu wangu Diamond🇹🇿🔥🔥🔥
Fact bro ,na hii tunaiona Kwa harmo ameweza kijisimamia baadabya kipata akili mjini na yeye kawasaini engine ili afanye biashara nae
Shida Watu wa kuelewa ni wachache...🙌💯.
Diamond ana akili 🔥🔥🔥
Let’s give daimond respect before he died he did a lot to represent our country 🇹🇿 big respect 💎
Truth
bure
You need english classes mate
WANGAPI WALISHAWAH KUMSKIA NA HUYU JAMAA ANAJUA SANA👇
czcams.com/video/KgvKJ0gI_Js/video.html
@@bravinmay2562 it’s okey Bruv
This is simbaaaaaaaa! I respect u more ! From this interview it show how maturity u r
SIMBA SIMBA SIMBA.....U LEAD BRO....WAONESHE NJIA KK .MUSIC IS BUISSNESS 🔥🔥🔥🔥🔥
Uyo ndo mwanangu platnumz😂😂.. "tunapata ela wote af unataka ukimbie"
Njoo kwanza hapa wee🤣🤣🤣
@@NNn-mj2pb 😂😂😂kanifurahisha sana
🤣🤣🤣 et wee ebu njoo apa kwanza, unaenda wapi
🤣🤣😂🙏🔥
🤣🤣🤣✋
DIAMOND YUKO SAHIHI KWSSB KABLA MSANII AJAWA FIRE 🔥 DIAMOND ANAIMVEST PESA NYINGI SANA
Embu njoo kwanza apa😂😂😂wcb for life Diamond alimfundisha Harmo paka kuimba na nakumbuka alipokuja wcb meneja walikuwa hawamtaki Diamond kamfundisha kuimba na kila kitu wcb for life
I like Diamond platnumz's songs and furthur more his business minded brain
Tuliokuwa tuna mchukia diamond tukijua amemdhulumu hamonize tujuane hapa?
What goes around must come back around watu waki invest lazima wakate chao and that what it is ila tu usisahau wafadhilaka wapundaka binaadam wengine ndo walivyo piga kazi mwamba 🎤🎶💪🇹🇿💯
Hakili Nyingi Sana Hiyo Ndo Maana Harisi Ya Mikataba
Akili Kubwa Sana Kaka. ❤️
Mm sio Shabiki wa Diamond lakini kwahili namsaport ni Ukweli hata ss tuko njee kwa contract company yachkua pesa nyingi kupitia kwetu lakini tuli sign" wenyewe, ikiwa Unsoma utaelewa so Diamond yuko Right,Ww umpatikana Ziro" to Hiro" watarajia Ukitoka uwachwe na pesa kidogo nawakati wenda tengeza pesa kama sio hio Wasafi" hungejulikana Kuna Record Lebol zengine zajulikana na Wasanii hawaendi mbali! So it means jamaa yuwawekeza pesa nyingi sababu ya Msanii mpaka amtoe Ajulikane na watu sio kitu Rahisii, nilazma arudishe isabu zake ndo akuachilie Uende.
True story
Kweli kabisa maana unatolewa ukitoka unaaza matusi ujui umetoka wap watu wamekugakamia afuuwondoke t
Umesema mpo nje, unaweza sema ni kitu gani mwafanya na hiyo company??
Kweli mie pia kama wewe
True alichosema diamond anatumia ela nyingi sana kwa msanii 1 halafu ela zikianza kuingia anajisahau km watu wameweka elaa pumbavu zao hongera simba
Muziki biashara. Return on investment, shares, branding, liability,... Weka kipaji chako tukupe exposure uwe mkubwa kisha usepe bila kufikiria izo hisa, faida kwenye uwekezaji na vurugu zingine? Leo ndio nimeelewa kipi kilimkata Raj.🐯 nae pia kapita mchakato huo ndio maana ilichukua muda kutangaza.
Mm naona diamond yupo sahh haiwezka mtu akiwa anashida ana kuwa mpole akianza kupata pesa kwa kuwekezewa pesa zinamuuma baada ya kukatwa hisa zake bro pmbna sana wewe ni nguzo yao watakukumbuka tu mziki ni biashara kama biashara zingne Mungu akuweke Diamond.🇹🇿tunakupnda simba
Anayo sema yapo tafuta maskini Mpe mwenyewe kazi at ya kufagia afu atokee kimaisha afu uone utakacho ambulia kutoka kwake
Ukitaka kujua kuwa kwamba hatakama iyo ni mikataba ya unyonyaj atangaze kuwa anataka kusajili wasanii waje ku sain mkataba aisee hiyo foleni haipimiki jamaa kaongea fact kwenye njoo tupo wote lakn kwenye neema unataka ukimbie si bora nikalime mahindi true kabisa
✍✍
Kabisaa
Anayesema wcb ni lebol nyonyaji naye achukue wasanii awakuze wawe juu kimapato na maendeleo kama ni kazi rahisi ila anayemchukia mondi atakufa mmoja baada ya mwengine
Ni kweli na kama wasipokufa niite mbwa nipo apa nimekeaaa
That’s true this is business nihakiyawo ndomana yamukataba He’s so smart💕
You're so smart D💎,,🔥🔥🔥🔥🔥
CHAWA 🤣🤣🤣🤣🤣
@@achawanunetv1167
Hater.
@@unclepwechnov1381 ,, I do love your comment dude 😃😃😃😃😃😃😃😃,,,you made my day ❣️
@@achawanunetv1167 am not a CHAWA,,,,as you think 😃😃 but am just fun of him,,ikiwa ww mtanzania auko proud kwa msanii wako,,WE DO! 😃😃😃😃😃
@@messaabbas739
It's called 'calling spade a spade'.
One love bro.
Yes nikweli Sudi alikuwa anaharaka
Diamond unafanya mambo kiusomi sijui umeishia langapi ila mngu kakuzawAdia hakili kabisa mambo yako ni sahihi endelea hivoooo
Icho kichwa ni form four tu
Angefika chuo je
@@tunsumemwakinyuke661 Ndio maana tunaambiwa elimu ya shule inatuandaaa kuwa watumwa tu
Simba bana Ety unataka kwenda wapi ebu njoo kwanza hapa 👊😂😂😂
😂😂😂nilipeda apo
😂😂😂
😂😂😂😂
Jinga sana unataka kwenda wpi hebu njoo hapa tumalizane waonyeshe kuwa wwe hutaki ushuxi kusoma muhimu
Well done,watu hawaoni investments inayofanyika wanakimbilia kuropoka tu,Wakina majani hao
Respect for Platinum
Iyo ndo biashala akuna anae penda asala
Muiteni kwenye chilll na sky please
Shinda watu wengi hawaelewi na wale wanaelewa wanatumia hili swala kumpiga Diamond.
Nimefurahi sana leo umewapa ukweli majungu camp
Kitu kingine Diamond kufanya biashara na kisaidia ni vitu viwili tofauti sana.
Mimi kinachoniuma ni hawa watu wanapoondoka kukukosea heshima basi, hilo ndo linaniuma
👏👏
jiulize Kwa ukubwa wake anakosa biashara nyingine za kuwekeza hela zake ? Ukigundua anazo nyingi Ndio utaiona Picha ya msaada Kutoka kwake... Ndio Maana anasema si nibora angeenda kulima mahindi
@@hassan0256 Kaka sitaki kukukosea heshima na ili nisikukosee heshima ni vema nikasema nimeona maoni yako ila hayana akili kabisa
@@user-pg1xe1qs2g Matajiri wapo wengi Hapa Nchini washauri nawao wafanye Hio biashara ...
One love ❤️ My Swahili nations!! ✌
Diamond platnumz is right, absolutely right.Therefore this guy is Leged in music industry.Big up bro. Watching from Mombasa Coast Kenya.
Kumbe Mombasa mwajua kizungu mimi nlijua mwaongea kiswahili tyu one love from tz🇹🇿
Nimependa iyo! Eti unaenda wapi ebu njoo kwanza apa
Umeonaaaa lazima ulipe
nimechek saan😂😂
Sure bro diamond aliamua kuwa open jamaa katuangusha bila kukusudia😂😂😂
🤣🤣 ametuvunjia heshima ya mda bwanaa
Kwer kabisa uyo mtangazaji alikuwa hayupo tayar kumsikiliza daimond anasemaje bal yeye alikuwa anaharaka yakufunga kipindi
Marehemu Ruge alipokua anafanya hivi watu hawakusema ni biashara alionekana mnyonyaji, leo hii majibu tunayapata R.I.P Ruge
Yes hata yy aliitwa mnyonyaji nahuyuhuyu mond! wanasahau hii ni biashara
Yule alikua anakuchukua haweki pesa anakupa Air time tu
@@rabsontryphon9254 Unasshau Matamasha na Hiyo Airtime iliwapa wengi Jina na Faida Pia ni Technic tu.Huyo Mond mwenyewe alipata hiyo Airtime kutoka huko huko.
Tofauti ya Ruge Ni kwamba ukitofautiana nae anatoa order nyimbo zako isipigwe kwenye Radio yoyote
Apo ni ukweli Mondi
Ray bado yupo WCB Wana chemistry nzuri kwa hamuoni kwenye bio ya Wasafiwcb IT wameweka orodha mpya nayeye yumo?
Yupo kimikataba au kivip mana neno yupo WCB unalielewa lakin?
@@MtuSafi Babu bado hajatoka hawezi kuwambali na WCB ndohivo kimkataba na sio mbaya kaka maana inamtengezea mazingila mazuri
@@mbomo4321 haya bana
Keep it up sky hao views sio kitu kidogo broo tuko live na wew ujue⚡️🤞❤️
Kwasasa Mondi yuko Tayari kuongea chochote
Kiukweli mondi kasema ukweli,msanii kaja hajulikani popote tena kama hamo alikataliwa na kina master J,..watu wanawekeza kwenye kipaji chako,faida ikianza kuingia unaona wivu,badala ushukuru kwa plaform uliyojengewa na hicho ulichopata.Wakati unanjaa huoni kama mikataba ni mibovu ukishashiba ndio unasema ni mibovu.
Ushakuwa keki ya moto mjini kila mtu anakutaka ,unaona kila mahali ukienda utakubalika ndio unajidai gsksnjdkjd jdjsks .
Upo mkweli broo
Swadakta bro
So true niggah
Ndio ukweli ulio wazi
True broo 💯✍️
simba well said kabisa jamaa anaakili sana
🤣🤣🤣 CHAWA
@@achawanunetv1167
The truth must be told, no any other label in East Africa that invest on artists like WCB.
Lebo nyingine ziko kama picha tu lakini wasanii wao wanadoda.
Diamond deserves credits big time.
@@achawanunetv1167 kunguni haswa
Mmejiona mlivyo wajinga wasanii wa Tanzania wewe unafikiri wale kina Jay-Z, 2pac. Big n.k wamekuwa wakubwa kwa vipaji tu na pesa zimeekezwa kwa hiyo lazima mtaji urudi na faida ndio biashara inavyofanywa yani niwekeze kwako pesa kwa miaka mitano halafu nipate mtaji tu nisipate faida wapi umewahi Kuona darasa mmepewa na mjanja wa Tanzania
Saana.. mfano mwingine Birdman sizani kama hata watu wanajua nyimbo zake lakin anahela sana percent za lil wyne, drake na nick minaj japo walikua chini ya lil wyne (YMCMB)
Mwanangu diamond yupo sawa sawa namuelewa kinyama
Simba #WCB
People 4get,Simba is not only an artist ,he is a businessman!.Hawezi kuwatoa hawa wasanii kwa kutumia mamilion yake,label yake,umaarufu wake,alafu wakishatoka watake kugawana nae pasu! That cant happen in any business module.Na wakumbuke wanakua wamesaini mikataba.Ingekua hawalipi mafao yao,thats another thing..Simba,wasikusumbue kichwa,wapo wasanii wakali wanaotaka tu kuwa under ur wings..waache waende tu..ila nao waseme ukweli why they decide to move on[not a bad thing tho].Simba ataendelea kuwa Simba na wcb,itaendela kukua tu..
Chibu amefanikiwa ila wengi wanaona gere,, big up platnamz, , ur hardwork imekufikisha apo
I wish SNS ifanikishe ktk hili kuzungumza ji mwamba hili la Africa 🌍
Huyu mwamb Mungu ambariki xanaa
Wanaosema kuwa anakandamiza wasanii huwa wanakosea sana
Wangechukua mfano kwa zuchu kaingia kwenye game soon lakini ukiona jinsi alivyo trend basi utaona kuwa mond yuko sahihi
Umehona afu mtu anasema mondi kwanin ajengi zanati
Tatizo Watanzia wangi wana chuki sana inakwaje msanii ana sign mkataba na amekuja mikono mitupu ila anapotaka kutoka analipa million800
Maana yake ni kwamba lebel yake huwa wasanii wanapata mafanikio makubwa sana mpaka mtu anaweza kulipa kiasi hicho means that anakuwa ana pesa nying
@@fidyboytz7199 huyo jamaa kanichefua sana..lol..serikali kazi yake nini??hiyo zahanati akiijenga kwa mfano,huo ushuru watakao mlima..kisa cha kujitia presha??
Like me please simbaa umetisha kinoma hapa
Nakukaribisha kuitazama nyimbo yangu mpya inatwa katoto karibu enjoy good music
Diamond is business man. respect to you.wasanii wengi ni shule ndio inawahusu.read laws of contract kabla ya lawama .
Ndo shida yao..hawasomi mikataba kabla ya kutia kidole gumba au kumlipa mwanasheria na kuwafafanulia hiyo mikataba!Wakiona katengeneza mamilion wanadhani they are entitled to the profits ..
KWELI SIMBA WEWE NIMSEMA KWELI
Ila nikweli jamani
Wasio elewa ndio wataona wcf niwanyonyaji ila sahii tuu mtu upo uarabuu ukitaka kutoka nyumba moja kwenda nyingine lzm pesa irudishe so contrct ni contract tuu mie naona wasf wapo sahii lzm wkt mkat Yao ili pia nawe uweze kujimake ww km ww bisness is bisness tu kuweni waelewa, simple tu why ukibebewa mzingo lzm ulipe ht kama nikumununulia mtu maji so people need respect kila biashara ya mtu, na contract pia inasheria zake 🥰🙏
WCB big Time ....salute kwako Baba lawoooo
DAIMOND akili kubwa ndio maana ya mkataba .ata wafanyakazi za ndani ukuArabuni kama uwezi kazi unarudishwa maktaba na kulipwa boss pesa zake
Wangepateje hizo milioni mia sita au milioni mia nane kama sio WCB?
Acha upuuzi wewe hawawezi kulipa cash wanakopa ndio warudishe
Apo saaa... Tz education ndo tatiso...dah
CHAWA 🤣🤣🤣🤣🤣
@@salehkhamis3000 kwanini haukopeshwi wewe? Wanakopeshwa wao
@@salehkhamis3000 Hv unajua hela wanazoingiza kupitia mitandao ya kijamii ww wcb imeshawabrand ss ni wakubwa mfano rayvvany tetema imeingiza zaid ya milion mia mbili acha show na kiki we vp aisee
Ukweli mtupu sky
Chawa 🤣🤣🤣🤣🤣
Shida ya watanzania weng bado hawaelew nini maana ya uwekezaji
Mimi si shabiki wa diamond Ila ameongea ukweli kabisa
ujitambui
@@sponsor7882 wewe unajitambua au
P funk majani awekeze million 700 halafu msanii wake akitoboa amuache asepe
Sky 🙌🙌 good work
sasa hapo boss kasema kaka sky eti akuna msani mwenye pesa mnchini kuliko wasani wa WCB chakushangaza sasa watu wake wana hamo ana pesa na boss kasema kutoka yeye ni wasani wake hawa wasani niwa nani?kama siyo hamo na Rehiv?
Msanii wa chini ya lebel gani tz ana pesa kama mbosso,zuchu, Lavalava ukiangalia mauzo zao kwenye music platforms utaona wasanii chini ya wasafi ndio wanaongoza
Congratulations Lyon❤
Sns lini mtakuwa na simba hapo studio kwenu ili tufahamu mengi
Acha ujinga ukisikia wewe utafaidi nini ?
@@achawanunetv1167 Hiloo linateseka ,tuko naww popote pale,hutoi hoja unalialia tu ,hiloooo aibu 🤣🤣
mkataba sio wa kikoloni kwani si wanapewa wanasoma wanajilizisha mwacheni mondi kafanya mbaka leo mziki wa bongo ufike ulipofika mondi we pambana mzee wangu mungu yu pamoja na wewe
Siku zote utachukiwa ukisema ukweli ata umsaidie mtu vipi matope utapakwa tu
Diamond forever
Universal tena!?
😂😂😂😂😂nimechekaa sana "eti hebu njoo kwanza"
Kwel kabisa
For sure jamaa ana akili sana And anafanya vitu sahihii kabisa
mnyonyji
@@sponsor7882 alikunyonya na ww nn?
Alikunyonya mate ama?
Diamond ni mtu mwengineee🔥🔥🔥🔥🙌
Safi sana broo
Unaenda wapi na Hela za watu hebu rud kwanza😂
😂😂😂😂
Namuelewa vizuri kabisa Big.
Br sky Fanya uandae interview na diamond tupate ufafanuzi mzuri
Mwanadam Ametawaliwa na Tamaa. Harmo, kapata mafanikio kupitia wcb, Rayvanny wcb, mboso wcb, Zuchu wcb, na wengne wengi. Nitazd kumshangaa Anaetoa shu2ma mbaya wasanii waliopo! Na waliojitoa WCB. Maana ndo mlezi wa wasanii wengi tza. Wcb for life.💪
Watanzania tunajua ukweli sema tunajitoa ufahamuili tutrend hata hao wakubwa wanajua kwamba ukimsema Mond lazma uzungumzwe??
Daimondi Yuko sawa kabisa na Mungu ampariki 🙏🙏
Halaf anatokea producer mkongwe anawalalamikia wasafi😂
Unakimbia wap! hebu njoo kwanza hahahahah simba hahaha
🤣🤣🤣
@@augustuss4503 yaan
Inshallah Mungu azid kukuweka Diamond huna choyo
Dakika ya kwanza tuu #SNS
Nakubali
Uyo ndo SIMBA kutoka Kenya bwana
Genius 🛫
Mungu akulinde xana chibu
Mtutafutie nae please naimani mtafanikuwa #sns it's powerful
Ebu njoo kwanza hapa😂😂😂
Unaenda wap🤗
Diamond🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Mkataba sio msaada sky
Sns mtafute Diamond kwenye Chill na sky kaka @Skywalker.