MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA KUHUSU WABUNGE WA VITI MAALUM, JAMAA ANATAKA AWARUDISHE WA MGONGO WA NYUMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 167

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před měsícem +14

    Huu uchungaji wa akina msigwa naukataa kwa jina la yesu

  • @magembekisabo9632
    @magembekisabo9632 Před měsícem +12

    Njaa na Heshima havikai nyumba moja. Heshimu dokta aliyekupa huduma ya kwanza kabla ya dokta mzuri kufika

  • @MichaeSwai
    @MichaeSwai Před měsícem +12

    Mbwaa ww unabwatula una lolote njaa itakuwa ww ww ndiyo ulikuwa wa kwanza kuoponda ccm Leo inaifangilia

  • @salama1113
    @salama1113 Před měsícem +14

    Huna lolote unataka ubunge tuu😂😂😂

    • @Omarjumanne-zm9zh
      @Omarjumanne-zm9zh Před měsícem

      Ccm wanajizalilisha kumpokea mtu ambaye huko nyuma alitutukana makada ni wengi anatuzibia nafasi hafai

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      ​@@Omarjumanne-zm9zh Kuliko CHADEMA na Lowasa. Kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu. Acha Msigwa afanye kazi.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      ​@@Omarjumanne-zm9zh Kuliko CHADEMA na Lowasa. Kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu. Acha Msigwa afanye kazi.

  • @shaban6644
    @shaban6644 Před měsícem +4

    Hongera Msigwa.
    Myonge mnyongeni Lakini Haki Yake mpeni.
    Mama Samia Lazima apewe Maua Yake

    • @allyflavour8005
      @allyflavour8005 Před 26 dny

      Ukisema hivyo...nikwamba hapa kweri..ametetea...umasikini...jee ametetea warimu wanao fundisha watoto wetu....je ametetea wakulima ...amesema kikakati..ya kujenga swala la madarasa...Rais asha fanya...bado ajira za watu mtaani..huku...kunashida kubwa..ajira zinazidi...kuwa ngumu

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 Před měsícem +5

    Msigwa Mungu anakuona na UNAFIKI, njaaaaaaaaaaa😢 inakusumbua. Historia itakuhukumu.

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 Před měsícem +12

    Japo mm siipendi Chadema lakini kama ni njaa na uchawa uliokupeleka CCM basi ww ndio huna dira wala hujielewi. Sikudhani kama ww ni mpuuzi kiasi hicho

    • @kalengashoppingcenter1108
      @kalengashoppingcenter1108 Před měsícem

      Ndivyo walivyo wanasiasa😢😢 hanampango hiloooooooo Big chawa kakosa uongozi kwenye chama chake kaja kwetu😂😂😂😂😂😂😂

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před měsícem

      Je! Kesho akirudi chadema utamwitaje.

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 Před měsícem

      @@martinisadru9899 Malaya wa siasa

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Před měsícem +7

    Ila wanasiasa sio wakuwaani hawa wanajuana tufanye mambo yetu

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před měsícem +2

    Mungu anakuona anafanana yuda sikarioti

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 Před měsícem +2

    😂😂😂NJAAAAAAA JAMAN 😭😭 Kwel wapiga kura wanaumizwa sana

  • @user-vy5ei1xl4p
    @user-vy5ei1xl4p Před měsícem +8

    Nauliza Tena huyu ni mchungaji????

  • @user-zv6yv2cv1d
    @user-zv6yv2cv1d Před měsícem +9

    Vipi kuhusu bandari, imeuzwa au haijauzwa.?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem +1

      Sio bandari tu Serengeti nayo inaenda na huyu boya ndie aliyesema Wamasai sio wazawa .

    • @omarymkamba3045
      @omarymkamba3045 Před měsícem

      Hakuna kilichouzwa ni mpumbavu tu attaining kuwa bandsri imeuzwa

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd Před měsícem

      Kauziwa baba yako ?

  • @DouglasMkude
    @DouglasMkude Před měsícem +6

    Mtumbwi wa wachawi uingiliwa na kibwengo

  • @nangatukatalks
    @nangatukatalks Před měsícem

    njaa mbaya sana subihanallah

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 Před měsícem +3

    Msigwa unakula bila kunawa umeenda kwenye kizazi cha panya baba mwizi mama mwizi mtoto mwizi so ccm wameongezeka wezi

  • @robertlary6007
    @robertlary6007 Před měsícem +1

    Well said Comrade Pastor Peter Msigwa. Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
    #NasimamanaSamia

  • @user-jn9gc8ru6v
    @user-jn9gc8ru6v Před měsícem +3

    Hela ya mama Abdul inafanyakazi

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 Před měsícem

    Njaa mbaya sana!

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu Před měsícem +3

    Alafu hata aibu halioniiiii"

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter Před měsícem

    Mchungaji ktk Siasa.
    Hii nchi bwana 😄🙌

  • @lucasalbertomseti1578
    @lucasalbertomseti1578 Před měsícem +2

    Kutumia jina la Nkurunziza sio sahihi kumbuka huyo alikuwa ni kiongozi wa taifa huru kuendelea kumtumia ni kutuingiza kwenye mgogoro wa kidplomasia

  • @jeitangogo-rf8uf
    @jeitangogo-rf8uf Před měsícem

    Mmmmmmh cheusi mungu anakuona

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před měsícem

    Mama samia mungu akubarik san hakika kuna miras mikubwa san kaitekeleza vzr san ikiwemo bwawa la nyerere na sgr

  • @SalminAbeid-p7k
    @SalminAbeid-p7k Před měsícem

    Njaa Hz.....

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu Před měsícem +7

    Njaaa hiyoooo"

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před měsícem

    Hayo mariziano yapo wapi msigwa mbona umetukosea wewe ni chizi uliekosa msada payuka sana mungu anakuona

  • @RwidhiaRichard
    @RwidhiaRichard Před měsícem

    Njaa mbaya sana

  • @barakalameck7342
    @barakalameck7342 Před měsícem +1

    Je,kama angeshinda uwenyekiti wa kanda chadema angehama au kahama baada ya kushidwa niswali tu nauliza anaejia amjibie😂

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi Před měsícem

    Msigwa mwogope mungu

  • @isayakanyaga1657
    @isayakanyaga1657 Před měsícem

    Binadamu wanabadilikaa sanaa aiseee 😢😢 hiii ndo Siasa

  • @hemedilikunguala6485
    @hemedilikunguala6485 Před měsícem

    Njaa hiyoooo

  • @JaphetPauli
    @JaphetPauli Před měsícem

    😮 ziro

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Před měsícem +1

    Ni hatari kutoka mch Hadi mganga wa kienyeji

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu5810 Před měsícem +2

    yaan Bora ungekaa kimya

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před měsícem

    Mama samia mungu akubarik san

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před měsícem

    Umepewa sh ngapi na Mimi nije mbona huzangumzii bandali tena

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před měsícem

    Huyu pepo toka

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 Před měsícem

    Duuu!

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem

    Mwehuuuuuu hilooooo

  • @johnassey8544
    @johnassey8544 Před měsícem +2

    Njaaa zitakuuwa Kuma ww

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 Před měsícem +1

    Wakuchomwa moto mchungaji feki dini na siasa wapi na wapi mchingaji nashindwa kujichunga mwenyewe

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před měsícem

    Njaa ni mbaya saana

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před měsícem

    Mimi sio chadema. Lakini huyo hafai ni kigeu geu mama samia mlea majizi na mafisadi ndio hatufai kabisa

  • @user-qn8pb9er6c
    @user-qn8pb9er6c Před měsícem

    Huna nuru Tena mrudie Bwana Yesu nae atakuokoa kabla siku mbaya haijakujia

  • @manmill2444
    @manmill2444 Před měsícem

    Toa nena Mchungaji

  • @piusnagawantu8475
    @piusnagawantu8475 Před měsícem +3

    We Tanzanians are laughed at a lot because our neibhours know that our education is poor and the politics of the majority is one of hunger and pure hypocrisy just like Mr. Msigwa.

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 Před měsícem

    Yan hat havutii pumbavuuu zake

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Njaa mbaya

  • @patsonnzogoro-sh7yb
    @patsonnzogoro-sh7yb Před měsícem

    Ushaaa kuwa chawa msgw

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu Před měsícem

    Hebu mpeni hata ukuu wa wilaya aache kelele zake hizo, anadhalilisha uchungaji. Atulie kama Gwajima alivyotulia baada ya kuwa mbunge.

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Před 27 dny

    We ni mchumba tuu

  • @patsonnzogoro-sh7yb
    @patsonnzogoro-sh7yb Před měsícem

    Wacha nifanye mambo yangu

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma Před měsícem

    Mbona wewe hujapatana na Sugu?😅😅

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Před měsícem

    Ila siasa😂😂

  • @SomweMateso
    @SomweMateso Před měsícem

    Njaa inatakiwa ipingwe jamen

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před měsícem

    Duuh

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c Před měsícem +1

    Ingekua njaa angehama wakati wa John ana njaa anasemea ukweli

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      John hakuwa anatoa ulaji hovyo kama sasa ,yule alikuwa ukimletea za kuleta anakutimua

    • @AyoubAbdullrahmanAmir
      @AyoubAbdullrahmanAmir Před měsícem

      ​@@leokamil6284😂😂😂😂😂😂🎉

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      @@AyoubAbdullrahmanAmir True jamaa alikuwa hatabiriki na afugi ujinga. Hizi zama za kula urefu wa kamba yako aisee.

  • @geofreymartin639
    @geofreymartin639 Před měsícem

    Huyu jamaa taarabu sana

  • @user-lf7gr4sd6h
    @user-lf7gr4sd6h Před měsícem

    Hakika Kama kuna watu wawasitahili kuigwa na wewe umo kwani baada ya hapa utasema ccm tena haifai unachanganya sana huna msimamo

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d Před měsícem

    Huyu ni mchuganji wa ukweli ama jina lake tu jamani hizi njaa zitatua

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 Před měsícem

    Nawabaliza wana maovu ya babazao

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 Před měsícem

    Shikamoo njaa

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před měsícem

    DD2 hamna kituuuu

  • @charlestesha4202
    @charlestesha4202 Před měsícem

    Naheshimu njaa kuliko vitu vyote duniani naiogopa njaaa kuliko vitu vyote njaa inauakuliko vita huyu nipasta sijakataa ila njaaa baba mbona chedema hawana shida ila njaaa

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem

    Hatudanganyiki ngo uzuri ukkiondoka chadema unaenda peke yako sema yote ila mama samia siyo mjinga kama wewe ana akiri timamu tena zinamtisha mtu kama wewe akuweke wapi sasa utasubiri sana mbona ulipokuwa chadema hukusema ?

  • @thomasmollel9465
    @thomasmollel9465 Před měsícem +1

    Bro unapotosha tu hakuna lolote ni wale wale akina petro

  • @rajabuchausa3173
    @rajabuchausa3173 Před měsícem

    Kabla jogoo hajawiika utanikana mara 3

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před měsícem

    Huna lolote msigwa acha ushenzi mbona huongelee bandari na misitu kukabiziwa warabu shenzi sana

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 Před měsícem

    Ee mjungaji wa ajabu Sana taira kwelikweli

  • @ambakisyembughi1862
    @ambakisyembughi1862 Před 8 dny

    Njaa zako

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před měsícem

    Daaaa simwamini mtu😂😂😂 kwenye hera

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Před měsícem

    Hilisenge kama wesenge wenginetu

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Před měsícem

    Baada ya kukosa uongozi ndio umeona hayo

  • @frenktarimo4703
    @frenktarimo4703 Před měsícem

    Njaa itakuwa umeona sadaka haitoshi ukaamua kuwa mlafi

  • @mchinathegreat9619
    @mchinathegreat9619 Před měsícem +2

    Kigeu geu😂 njaaaa mbaya jaman naye huyu et nae mchungaji

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před měsícem

      Mavi yako njaa ndio inakusababisha ule

    • @mchinathegreat9619
      @mchinathegreat9619 Před měsícem

      @@Mumewangu umefauka ww umeshatatuliwa Malinda ww

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Njaa na tamaaaa

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před měsícem

    Ungeshinda uwenyekiti ungeenda na hizi hoja moyoni

  • @datusonlinetv6099
    @datusonlinetv6099 Před měsícem

    We ni mavi mnafk njaa tup

  • @joashandhoga4019
    @joashandhoga4019 Před měsícem

    If you cannot defeat them join them ok

  • @deusmichael2290
    @deusmichael2290 Před měsícem

    Dah! Siasa za bongo bwana!!!!..

  • @user-ol7pp5dw8j
    @user-ol7pp5dw8j Před měsícem

    Msigwa kawa chawa

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před měsícem

    Angeshinda uchaguzi wa CHADEMA nyanda za juu kusini asingeyasema hayo,
    Angekuwa anaitukana CCM na mama 🤣 lkn kukosa cheo katika CHADEMA ndo kumemtia akili 😂 Wadanganyika titadanga oops titadanganika mpaka lini 🤔 Si Hasa = Siasa ,🤣 Polly Ticks= Polly Ticks 😂😂😂😂

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m Před měsícem

    Msigwa oyeee oyeeeee

  • @MungayaLaitayok-mr1gs
    @MungayaLaitayok-mr1gs Před měsícem +3

    Kwani hayo unayo ongea sasa ulisha ongea upande mwingine wewe sema tumbo limenisidi

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp Před měsícem +1

    Mbona Auongei Yakwako Cdm Imekujaa Mdomoni Siushatoka Sasa Cdm Yann Nakama kweli Unaamini Chama Chako Nibola Wambie Tume Hulu Nakatiba Mpya Kwanini Wanaogopa Km kwl wao Wanaiweza Cdm

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 Před měsícem

    huyu ndo mchungaji muongo kuwahi kutokea

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c Před měsícem

    Msigwa uko sawa nakuamini

  • @reysonbihali6776
    @reysonbihali6776 Před měsícem

    Kwa iyoo CCM nao wanampa kabisa nafasi ya kuzungumza wakati hana cha kuongea zaid ya kukisema chama chake cha nyuma!!!

  • @AliciaKyai
    @AliciaKyai Před měsícem

    Kwani chadema ni lazima uitaje fanya maccm yako

  • @user-uy2ze2jn3u
    @user-uy2ze2jn3u Před měsícem

    Uchawa ajira siku hizi

  • @victorfungo
    @victorfungo Před měsícem

    mchungaji msigwa mwanaume kamili hupimwa kwa msimamo wake kutoka day one, wewe msimamo wako ni upi?

  • @ellymartin9343
    @ellymartin9343 Před měsícem +1

    Huyu Shida yake ni kwamba Ameacha kuongea sera kbs kila siku anaongelea Mbowe tu Aibu kweli.
    Chadema haitasimama kamwe kwa vile yeye amehama, Mbowe atatuvusha tu. Huyu anaonyesha uchanga Mkubwa wa kisiasa, wivu,uroho, njaa, kukosa shukrani na uhovyo. Kinyaa kbs.

  • @yudachelango6824
    @yudachelango6824 Před měsícem

    Lisha kuwa TAHIRA

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před měsícem

    Shetani bwana amekun'gan'gani inabidi uombewe

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 Před měsícem +1

    Kumsikiliza mnafiki huyu nikuwa miongoni mwa wajinga alipokuwa chadema aliisema ccm vibaya sanaaa

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před měsícem

    Kama msigwa ametoka CHADEMA mimi ni nani nisitoke CHAMA FLAN HIVI CHA WALIM??hawataki kutupunguzia hizi 2% ni kichomi😢

  • @ZakariaMnzava-q1v
    @ZakariaMnzava-q1v Před měsícem

    Mbwa ni mbwa tu

  • @user-up8nh4tj7e
    @user-up8nh4tj7e Před měsícem

    Hivi nyie mnaosema msigwa ni njaa kwani nkurunziza hatoki madarakani kwajili ya mini?

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 Před měsícem

    Hivi una mke? Kweli watu wafupi na akili zao ni fupi. Njaa itakuwa Msigwa.

  • @GiftFred-iq6qx
    @GiftFred-iq6qx Před měsícem

    Izo ndo siasa