#PART2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2024
  • #PART2: ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA - MIMI NINA MKE na NI MZURI - UNAFANYA DHARAU?'' - MAKONDA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 524

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +32

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @upendosanga9205
    @upendosanga9205 Před měsícem +47

    Engineer nimekupenda unajiamini na hoja zako safi

  • @geoffreyanundatv9836
    @geoffreyanundatv9836 Před měsícem +28

    Mkuu Umejibu huyo dada vibaya, dada mwenyewe Mrembo na anajielewa sana.pole dada na hongera sana kwa kazi nzuri

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 Před 15 dny +1

      My opinion is that we as strong females we have to avoid crush to males na hiyo ndio suluhisho peke yake maana yeye alikuwa akiulizwa alikuwa anacheke cheka kwa nini hii ndio CRUSH 💯 NA NDIO MAANA ALISEMA HIVYO MSITAFUTE CHA KUSEMA WACHA MH AFANYE KAZI MPENI USHIRIKIANO. ACHENI WIVU.

  • @lulumatawalo7805
    @lulumatawalo7805 Před měsícem +13

    Hakuna mkamilifu,anafanya mengi mazuri ya kusaidia wengi.Hiyo weakness moja isiwe sababu ya kucrash mema yake mengi .Asiye na udhaifu hata kidogo na awe wa kwanza kumpiga mawe!

  • @maingwamaingwa9887
    @maingwamaingwa9887 Před 28 dny +6

    Huyu ndo mwanamke super wangu wa mwaka 2024 very strong very talented very smart very important very education big brain mwanmke wa nguvu so biuty fully achana na wapaka poda dada nimekupenda bure by the way makonda nae ni binaadam

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 Před měsícem +12

    Uko vizuri saaaana Dada Mungu akujalie uende juu zaidi Waziri wetu Mtarajiwa❤❤

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před měsícem +13

    Makonda yupo vizuri.kilichomponza.kuingiza maswala ya uzuri mm Nina mke.siyo.haiba ya uongozi.

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 Před měsícem +26

    Ingenia yuko safi, mzee wangu Makonda amejaribu kumugombeza lakini kajikwamuwa. Huyu dada anastahili na yuko makini.

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 Před měsícem +7

    Huyu dada ni msomi kweli na ana punch si kidogo, ametoboa maswali kwa kujiamini mno, na uzuri toka awali aligundua pesa isingetosha, hongera dada muhandisi.

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 Před 27 dny +8

    Shida wabongo tumekalili sanaa wanaona kila viongoz wa mladi ni wapigajiii,, sio kwer huyu dada yuko vizuri ana confidence haogopi sijui mkuu wa mkoa!! Anajiamini

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 Před měsícem +15

    Jamaaani tujitahidi kuheshim fani za watu, Dada jipe moyo haya ni maisha tu hongera unajitahidi.

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 Před 29 dny +4

      Huyo dada hajazalilushwa ila kashindwa kujieleza Kwa sababu ya wizi wanao ufanya wanasababisha wananchi huku chini tuna pata shida Kwa ujinga Wa hao wajinga walio pata nafasi wanaitumia vibaya kutesea wananchi

    • @flova7022
      @flova7022 Před 29 dny

      ​@@wamburasungura6812ukipewa siku kusimamia ujenzi uttaelewa kuwaa umekosea kutyp

    • @petromgaya1746
      @petromgaya1746 Před 28 dny

      Qddq wewe embu jitambue basi 17:38

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před měsícem +30

    Huyu Mwana Dada Engineer anafaa kabisa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri, mtulivu kweli kwenye kujibu maswali, hana panic, yuko calm. Safi sana

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před měsícem +2

      Makonda usiwe mkali sana utaharibu

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 Před 25 dny

      Pia kuongea sana nako ni tatizo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 25 dny

      @@GeofreyKalo-ot3we Bila ukali bongo hii inakula kwako!!! Sishangai wanaotaka uzembe uendelee maana asilimia kubwa hawajielewi!!!

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 Před měsícem +12

    Professional and competent engineer, congrats sister!

  • @user-ns2jx7qs7n
    @user-ns2jx7qs7n Před měsícem +12

    Makonda umemdhalilisha huyo dada sio poa

  • @steynjohnr5930
    @steynjohnr5930 Před 29 dny +8

    Huyo dada pia ni mwananchi anayefanya kazi kwa jasho na kodi yake ndiyo imekuweka wewe mkuu wa mkoa hapo so you need to talk to her with respect. No human being should be embarrassed like this, this guy is not a leader, what lesson are you giving to the younger generation?

  • @hoseasteven6241
    @hoseasteven6241 Před měsícem +21

    Mdogo wangu Grace hongera sana kwa ujasili na kuwa competent kwenye field yako

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Před 29 dny +2

      Amekuwa jasiri kujibu utumbo. Imeundwa kamati ya uvhunguzi utasikia majibu nyiebmko mbali na mradi. Hii shule inawaramba wote.

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL Před měsícem +7

    Dada hongera umejiitaid sana maana maswali ya Mh makonda ni moto sana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před měsícem +14

    Makonda nimekuelewa kabisa unapokuwa mkali tiyari una taarifa mbele yake

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc Před 28 dny +4

    Pole dada umejibu vizuri sana, pia umejitahidi kuwa mpole na mwenye busara

  • @jumahalfani6789
    @jumahalfani6789 Před měsícem +29

    Sometimes viongozi tumieni busara mtu anjibu vizuri una intaract as if hukutaka hayo majibu...tuheshim kaz za watu

    • @saidisheha5366
      @saidisheha5366 Před měsícem +2

      Majibu yapi hapo yaniumwache mtu ajiandae kudanganya. Chapa wafujaji wote

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem +3

      Sababu ya Interaction haikuwa ufujaji bali maringo.
      Mm nimetazama hii clip, sioni maringo kuhusu huyu Engineer.

    • @dezruh
      @dezruh Před měsícem

      Hakika

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 Před měsícem

      Yes tena anamuongelea maneno yakukaraisha ila injinia kasimama vzr yuko vzr anamjibu kila kona

    • @YusuphLyatenga
      @YusuphLyatenga Před 29 dny +1

      Makonda anavuka mipaka mda mwingine

  • @user-bm5zm8ls2d
    @user-bm5zm8ls2d Před 28 dny +5

    Uongozi ni kazi hivi angekujibu na mimi nina mwanaume handsome ingekuwaje sasa nadhani hata mkuu amejutia tumsamehe bure sisi wanawake maana wanawake wote ni wazuri kwa namna ya uumbaji wa.Mungu

  • @isikezuberi4292
    @isikezuberi4292 Před 29 dny +5

    dada huyu ni zaidi ya mkuu wa mkoa

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před měsícem +11

    Huyu dada ametulia YUKO VIZURI makonda amejaribu kumbabaisha LAKINI YUKO VIZURI

  • @user-xg2kq4ym8w
    @user-xg2kq4ym8w Před měsícem +4

    Naamini kabisa hata makonda alimkubari huyu Eng dada,Makonda unafanya kazi nzuri na safi sana.

  • @johnsway5253
    @johnsway5253 Před měsícem +9

    Engenier ndio amekuja kuokoa wenzake

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g Před měsícem +15

    Huyu dada safi sana.Mungu amjaalie

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před měsícem +3

    Yani ninamuona makonda kama Rais wa Arusha, yani najihisi kama nipo kwenye nchi iitwayo Arusha ambapo Rais wake anakagua maendeleo ya wananchi wake !! Yani ukuu wa mkoa ni kazi ndogo sana kwako unastahili kuihudumia nchi nzima kwa mamlaka kamili isiyo na kizuizi. Ninamuomba Mungu siku moja nimshuhudie Amiri Jeshi mkuu anayeitwa Paul Christian Makonda !! Viva Baba viva

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +6

    Huyu engineer ndiyo chanzo cha kuliwa hela za shule,makonda piga kazi

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 Před měsícem +9

    Nchi unapaswa kuwa na viongozi wa namna hii Safi sana mhe makonda

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 Před měsícem +3

    UKISIKIA “MWANAMKE NA NUSU” (Harmonize” NI HUYU INJINIA. KEEP IT UP MAMA UNAWEZA!

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 Před měsícem +10

    Halafu kuwa na cheo haina maana mtu una akili nyingi kuliko wengine.

  • @HenrickNyahi
    @HenrickNyahi Před 28 dny +2

    Dada ni moto sana popote ana kaa huyu hajakubali kutingishika hata alipotingishwa dadeki nimeipenda sana hii Japo mwamba nae fresh anapambania wananchi Japo sikuona kama dada Kuna alichozingua kias Cha kumwambia maneno Yale ya mchumba sijui na nn

  • @johnmbatta9872
    @johnmbatta9872 Před měsícem +7

    Makonda, unakubalika. Chapa kazi, baadhi ya watumishi wa serikali wamekuwa siyo waaminifu.

  • @user-gt5yd4no7c
    @user-gt5yd4no7c Před 28 dny +2

    Dada huyu very intelligent kabisa

  • @franciskassanga7999
    @franciskassanga7999 Před měsícem +13

    ukiwa mtaalam, unatakiwa kutoa majibu manyoofu, sasa watendaji wengi wana majibu ya siasa, Dada anaulizwa, mil 400 za ziada zinatoka wapi? sikiliza jibu lake,...blaaa blaaa nyingi, hapo ndipo Mh. Makonda anapokerwa, maana anahitaji jibu nyoofu, mfano alitakiwa kusema...tutafanya funds raising event kupata mil 400, ...Jambo lingine la msingi, wao kama wataalam + kamati ya Ujenzi walitakiwa kukaa kikao, kuandaa muhutasari wenye hoja za kusema mapema kwamba makadirio yaliyofanyika na TAMISEMI hayana uhalisia, so mradi hautaweza kukamilika kwa wakati wala kwa ubora ambao umetarajiwa sababu ya mfumuko qa bei, so way forward wapatiwe ongezeko la pesa ama maelekezo ambayo yatawaongoza kutekeleza mradi kwa budget iliyopo ambayo ni pungufu. ! (Tupeni kazi, tuchape kazi !!)

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před měsícem

      Hujamwelewa huyo dada kajitahidi sana kujibu

    • @paulpaschal4798
      @paulpaschal4798 Před měsícem

      Sure hajaelewa

    • @paulpaschal4798
      @paulpaschal4798 Před měsícem +1

      Binafsi mkuu wa shuke na engineer waamejtahd sana gharama zao zipo secified kuna mrad mtu anakutajia ghrama had maini yana cheza mwl mkuu anasema gharama ambazo taasisi za serikali zinadhibitsha kwannza mkuu wa shule kajjtahid kuongonza waliomzd elimu

    • @barikimollel7890
      @barikimollel7890 Před měsícem

      ​@@GeofreyKalo-ot3wehamna Kitu Huyo Dada kilaza

    • @stevenmrama3123
      @stevenmrama3123 Před měsícem

      Umeongea vizuri nyongeza ni kwamba ukishaona umepewa kazi ambayo mwisho wake unaweza kupokea lawama unapaswa uiandikie tamisemi barua ya aina ya mapungufu kwenye budget yao waliyotoa ,huku ukibainisha changamoto ya kimanzingira .mfano gharama ya ujenzi dar ni tofauti na shinyanga , mwanza,Arusha ,moshi.kutokana na mazingira ya kijiografia.sasa wataamu wetu .awaendi zaidi .

  • @isayakalinga6475
    @isayakalinga6475 Před 29 dny +2

    Huyu mama anaongea vizuri sana jamani anajua kufafanua Mambo

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo3837 Před měsícem +3

    Makonda Yuko vizuri saana,naomba tu awe mvumilivu asikate hoja ya mtu hasa watumishi katikati ,anawatoa kwenye hoja wanaingia woga.Injinia Dada naomba apandishwe cheo huyo nimempenda.

  • @jaywi5681
    @jaywi5681 Před 26 dny +1

    Mhe. Makonda kuhoji kwako kumesaidia kupatikana kwa ukweli juu ya changamoto ya wataalamu waliopo Wizarani kufanya makadirio ya kiwango cha chini ukilinganisha na gharama halisi za ujenzi wa Mradi. Matokeo yake miradi inashindwa kukamilika na kuonekana wasimamizi wamekula fedha. Hongera sana wanaokubeza wameangalia upande mmoja tu.

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 Před měsícem +8

    Makonda hongera sana kwa ufuatiliaji huu,watu wanafanya kazi kwa mazoea wanafikiria ulaji na siyo kazi

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel3400 Před 24 dny +1

    Dada yupo smart 🙌🏽 kajibu kwa facts, Ameku outsmart mkuu wa mkoa dah🙄

  • @user-kg3wo9tl9k
    @user-kg3wo9tl9k Před měsícem +4

    Hongera, Hongera sana Mh, Makonda Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mungu akupe maisha marefu. Kazi iendeleee.

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt Před 27 dny +1

      Itabidi tupige kura kwa Baba Mungu muumbaji, maana wajinga ama waliopachikwa pakacha la upumbavu nao ni wengi. Kura yenyewe iwe hivi " Wanaosema Mungu ampe Makonda maisha marefu na Wanaosema Mungu ampe Makonda chango la tumbo Afe tusimuone kelele zake za kinafiki kama Mwenda zake, tumuachie mwamuzi.

  • @saidakiwale9227
    @saidakiwale9227 Před 28 dny +3

    Jamani sijapenda kabisa maneno ya Makonda huyo dada yupo kikazi hizo kashfa za nini huyu dada nae anamumewe mzuri tu unadhalilisha siyo powa

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 Před měsícem +5

    Mwalimu umepambana hongera huyu jamaa ni moto

    • @HatibuHatibu-cd7hs
      @HatibuHatibu-cd7hs Před 27 dny

      Aisee kwanza nimecheka...huyu jamaa ni mwanaume..ana maswali nondo

  • @JennipherGabriel-rx6jc

    Huyu dada naamini alilia sana jamn pole ndo maisha tujitahidi kufanya kazi jamn

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct Před 28 dny +1

    HAWA WANAOSHANGILIA NASHINDWA KUELEWA VICHWA VYAO VINAFKIRI NN NAVINAUWEZO WAKUSMAMIA NN kiukweli nmeumia sana dada usifunjike MOYO Mungu yupa1 naww.

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před měsícem +16

    Makonda maswal mengne unamuonea huyo mtaalam kama hela haitoshi yy afanye nn

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 Před měsícem +8

    Dada hongera kupambana na hiki chuma sio kazi rahisi. Bright with brain. Mm ningeshazimia

  • @emmanuelmziray1073
    @emmanuelmziray1073 Před měsícem +18

    Makonda una makosa saaaanaa wewe. Hongera Dads Engineer

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi Před 11 dny

    Raisi wetu mama Samia tunaomba utupe sisi wananchi wa mkoa wa pwani utupe makonda awe mkuu wetu wetu wa pwani angalao Kwa muda wa mwaka mmoja tu ili tusonge mbele namkubali sana ni mtendaji mzuri sana na ni mfuatiliaji Kijiji Hadi Kijiji atatupa maendeleo sana. Tunakuomba mama Samia.

  • @lightwilliam4443
    @lightwilliam4443 Před 26 dny +1

    😅dada kampa mrejesho huo muuliza maswali,kampigapiga na vingereza vya kikazi muuliza maswali hoi umbea wote kwisha.ndio maana anakuuliza kwa hasira mwenyewe hajielewi😂😂😂 safi sana dada eng.

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Před měsícem +5

    M 1 amesema hawadaiwi mwingine 80 millions 😢😢

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 Před měsícem +3

    Injinia hongera huko vizuri sanaaaaaa unafaa kapandishwa cheo hongera hongera

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Před měsícem +3

    Mh naona maneno yako yamekua makali kidogo! Mchmba tena jamani! Hapo anaongea kwa kujikaza! Wewe ni mtu mkubwa lazima mtu awe na kiwewe na ndipo anapoharibu! Msamehe bure huyu Eng wetu!😢😢😢

  • @annemateo2999
    @annemateo2999 Před 16 dny

    Daaaaajh najuta kuagalia hii leo Brother Makonda this isBig Noo, muombe msamahaa huyu dada kama unampenda Mungu

  • @samlutubija1229
    @samlutubija1229 Před 29 dny +3

    Makonda yuko sahihi na mama Engineer yuko sahihi

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu Před měsícem +5

    Eti ana mke mzuri ,Mungu tusamehe hatujui tutendalo.dharau iyo

  • @user-gp2ue2ny6n
    @user-gp2ue2ny6n Před měsícem +3

    Makonda the big brain 🎉

  • @estherdalleiy1461
    @estherdalleiy1461 Před 29 dny +6

    Dada wawatu kajibiwa vby maskini sjui vipi ee mungu naomba mwanangu awe natabia nzuri zakumpendeza mungu na jamii asiwe namajivuno kam mwafulani

  • @AyshaMussa-xs2ut
    @AyshaMussa-xs2ut Před měsícem +8

    Engineer yupo vizur tu mbona

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před 29 dny +3

    Ukiona watu wengi wanatetea ujinga jua hao ni wanufaika sijaona mtu akiwaonea huruma wananchi.

  • @dorambaga2667
    @dorambaga2667 Před měsícem +4

    Mimi huyu mpuuzi hajanijibu hivi

  • @juliusabdul-cc9wn
    @juliusabdul-cc9wn Před 23 dny

    tunaitaji kiongozi kama makonda, tumeajili wote kwanzia raisi mpka mwenyekiti, ahsante mama kwa zawadi hii ya makonda

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Před 28 dny +2

    Ata Kama huyo dada anakosa haukupaswa kumjibu hivo unaroho mbaya sana ww jamaa

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 Před měsícem +3

    Yaani,hii style mmh,ila nampongeza huyu Injinia kwa ujasiri na KUSIMAMA kwenye professional yake.

  • @AK-rd5zr
    @AK-rd5zr Před měsícem +3

    😂😂 hapa Makonda ameomba poo….. mdada ako safi sana kitaalamu. Amesoma na amenyooka.

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 Před měsícem +5

    Makonda Ni Wa Hovyo Wewe Unalazimisha Tuhuma Zisizo Na Maana Ili kuwaingiza Kwenye Makosa Watumishi

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před měsícem +4

    Mbona mke wako siyo mzuri tunamjua

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc Před 28 dny

      Mwambie huyo labda sisi wengine sio wanawake ila ni mifano ya wanawake

  • @FatumaTupa
    @FatumaTupa Před 29 dny +3

    Pole Dada izo ni changamoto tu za kazi

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před měsícem +1

    ingeneer yupo vizur dada mashaallah

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 Před měsícem +7

    Makonda acha kumkolomea huyu dada msikilize kwanza huyo dada

  • @telesphorymajumbi
    @telesphorymajumbi Před 24 dny

    Ni mkuu wa mkoa moja tu Mh. Makonda anae ongea na wananchi waka sana kujuwa na kutoa ufumbuzi wa shida zao bila kuingilia Sheria (maamuzi ya mahakama) fanya kazi Mh. Achana na wababaishaji hao na wakandamizaji tu. Etaga milimo wa ng'wa Mami.

  • @WillyKasala255
    @WillyKasala255 Před 28 dny +1

    Mheshimiwa piga kazi,usiwasikilize hawa wasojua lolote zaidi ya kupinga haki za wananchi zisitimizwe upo sahihi kuhoji swali lolote maana huo ni wajibu wako ndani ya mkoa kwa masilahi ya Watanzania@kazi iendelee👍

  • @husseinc
    @husseinc Před 28 dny +2

    pigakazi poul makonda. china wa lieka sheria kali watumiwash wa serikali wamepiga hatua huku kwetu tunataka kulea maovu

  • @dannysix4475
    @dannysix4475 Před měsícem +2

    Mh. uko sawa kabisa: sio mambo ya kuangalia sula ya mtu. Swali ulikuwepo.!! sikuwepo sasa unajibu nn.

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Před měsícem +9

    Nimegundua kwanini Makonda yuko anawauliza maswali hivyo, huwenda tarifa alizonazo na namba wanazozitoa hazifanani.

  • @margaretjoseph6501
    @margaretjoseph6501 Před měsícem +5

    Big up Engineer

  • @MechtildaNshange-ye8zy
    @MechtildaNshange-ye8zy Před měsícem

    Engeneer mama uko vizuri unajisimamia

  • @rehemamapuga5789
    @rehemamapuga5789 Před 28 dny +1

    Daaah!! Nimemhurumia huyu dada jamani 😢

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k Před 28 dny +1

    Mwalimu Uko vizuri sana una sitahili sana hongera sana

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před měsícem +2

    Vzur dada , hapoo n kaz kaz ,makondo anafanya kaz ajari n kwaidaa tuu usjar

  • @Godlove-yh5pp
    @Godlove-yh5pp Před 29 dny

    Hongera sana mdogo wangu Grace, keep it up with calmness

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani3306 Před 29 dny +1

    Boc anafanya kazi nzri sana. Ila hapa kama binaadam na nikijana alikengeuka. Maybe totoz lilimkomfuse. Si unaona anamashauzi ya kibinti lazima udenda ukutoke.❤😂

  • @bensonmhone4822
    @bensonmhone4822 Před měsícem

    Madam Mhandisi has nailed it. Very composed

  • @user-de1wm3of2l
    @user-de1wm3of2l Před měsícem +6

    Sasa kweli atakama nini usikilize mtu kwanza ulivyo mwongelesha uyo mwanadada so poa usiongeleshe mtu kwa matharau hivyo mh

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před měsícem +2

      Makonda anatabia ya kudhalilisha watu sana

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr Před měsícem

      HAKUNA MTU MUOVU ATAMKUBALI MAKONDA ABADAN 😂 UKIONA MTU ANAMPONDA MAKONDA JUA NDO WALE WALE TU WAPIGAJI😂

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před měsícem

      @@KhmsNsr na we nawe hujui tunachoongeleahapa! Tumesema makonda anafanya Kazi vizuri Ila kwa swala lahyudada tu kachemka hauwezi ujambabaisha mtu hivo na kauli mbovu kama hujaelewa bs

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr Před měsícem

      HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA ABADAN ATATAFUTA CHAKA TU.

  • @nellynathan-hf2by
    @nellynathan-hf2by Před měsícem +4

    Hapana makonda mm ni shabiki yako mda mwingne nawish uwe rais WA nchi hii lkn busara zako ni kdogo

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před měsícem +2

    Engner mama SSH teua uyo binti yuko Vizuri mpe nafasi akusaidie kazi siyo kilaza msomi mzuri

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 Před měsícem +2

    Maana kama budget ipo hivyo na kabla ya mradi walikieleza kwamba mzigo hautoshi mpaka wakazama kwenye force account lakini bado akachengwa akiwa kama mhandisi halikua na maulizo nikulianzisha mje mkikuta limesimama kama hivyo mchanganue na mpaka hapo mtaelewa kulazimisha upigaji na eneo lenyewe ni uwanda wa rift Valley lazima nguzo ziwepo kama hivyo tena imara so on this broo nasimama na mhandisi yupo sahihi maana kiforce ili hela yenu itoshe likishukia watoto mtamtafuta na kesi ya kuuwa so bi dada nipo nyuma yako tujipongeze wakike kwa wakiume tunaosimamia misimamo ya haki na uhalisia

  • @leahngerageza
    @leahngerageza Před měsícem

    Majibu ya kitaalamu kabisa Hongera dada

  • @FransidismasiMaresi
    @FransidismasiMaresi Před 29 dny +1

    Makonda 💯sijawahi penda siasa sas hiv kama unanifungua hiv

  • @massoudalimussa2059
    @massoudalimussa2059 Před měsícem +5

    Makonda upo vizuri ila haya mengine nahisi ungepunguza huyo dada hajafanya zarau hata kidogo sijui tu kwanini unamsema mama wa watu mengine nakubaliana na wewe

  • @DennisDidas
    @DennisDidas Před měsícem +7

    Huyu Dada anastahili nafasi kubwa, yupo vizuri sana.

  • @user-hb9pv2pt8x
    @user-hb9pv2pt8x Před 26 dny +1

    Sema Ngoma imeenda droo,nipe nkupe in short sijajua imeishaje kwa kwel

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před měsícem +7

    Mwl.kufanya kazi mbili.inasumbua

  • @mussakayenze2276
    @mussakayenze2276 Před měsícem +9

    Mweshimiwa Mkoa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před měsícem +1

      KUMBE ULISIKIA KAMA MM 😂😂😂😂😂

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 Před měsícem

      😂😂 injinia kishazoea ma SI UNITS kuanza kuhangaika na " mheshimiwa mkuu wa mkoa" maneno mengi sana kwa injinia😂😂

    • @SophiaMfanga-sn2xv
      @SophiaMfanga-sn2xv Před měsícem +1

      Nimecheka jmn

    • @user-sx1xi4yb2z
      @user-sx1xi4yb2z Před 28 dny

      😂😂😂😂

  • @user-bq7rl1fi6t
    @user-bq7rl1fi6t Před 28 dny +1

    huyu jamaa ni genius

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 Před měsícem +7

    Makonda nakufatiligia Nakupenda ila kwa kumkejeli huyu dada sijapenda sio vizuri unakoelekea kwa kuwajeli watumishi wa kazi tutakuchukia ghafla

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 Před měsícem

      Tena san tutamchukia 😢

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 Před měsícem

      @@sophsoph4740 umeon my

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr Před měsícem +2

      HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA WOOTE WAPIGAJI SERIKALINI LAZIMA WAMCHUKIE MAKONDA

    • @marykasanga4012
      @marykasanga4012 Před měsícem

      Kabisa nimpuuz huwez.mzalilisha hivyo

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 Před 29 dny

      @@KhmsNsr sio kwamba simpend makonda nampenda sana tena sana mpk mb zangu zinaisha kumuangalia yeye na jerry slaa tatizo linakuja unatakiwa kutumia kauli nzuri hyo kauli me binafsi sijapenda nimeumia kwani angemfokea kawaida tungelalamika kauli hyo y huyo dada alivyomwambia siyo vizuri tusijisahau sana ndo mn hata yy badae Alijua amekosea kusema vile huo ndo ukweli inauma sana unavyodhalishwa mbele za watu

  • @loikimdemu-xu1ug
    @loikimdemu-xu1ug Před měsícem +14

    Kaka piga kazi Makondo oyeeeerr🎉

  • @lilianmichael8794
    @lilianmichael8794 Před 29 dny +2

    Kwa kweli hata kama ni kutafuta kura si kwa mfumo huuu

  • @user-uv1gk9og4n
    @user-uv1gk9og4n Před měsícem +3

    makonda hunaakili achakudhalilisha wanawake kama unamke mzuli wakwako nyumbani kwako

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Před měsícem +8

    Yani kama ndo hivi mwizi utapungua kwa 70%

    • @wajinajecha5029
      @wajinajecha5029 Před měsícem +1

      Yeye mwenyewe mwizi na mama yake kwani report za CAG wakipewa wanazifungia makabatini hakuna mtu anaechukuliwa hatua yote mijizi inafanya usanii tu hapo