#PART2
Vložit
- čas přidán 22. 05. 2024
- #PART2: ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA - MIMI NINA MKE na NI MZURI - UNAFANYA DHARAU?'' - MAKONDA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Engineer nimekupenda unajiamini na hoja zako safi
Mkuu Umejibu huyo dada vibaya, dada mwenyewe Mrembo na anajielewa sana.pole dada na hongera sana kwa kazi nzuri
My opinion is that we as strong females we have to avoid crush to males na hiyo ndio suluhisho peke yake maana yeye alikuwa akiulizwa alikuwa anacheke cheka kwa nini hii ndio CRUSH 💯 NA NDIO MAANA ALISEMA HIVYO MSITAFUTE CHA KUSEMA WACHA MH AFANYE KAZI MPENI USHIRIKIANO. ACHENI WIVU.
Hakuna mkamilifu,anafanya mengi mazuri ya kusaidia wengi.Hiyo weakness moja isiwe sababu ya kucrash mema yake mengi .Asiye na udhaifu hata kidogo na awe wa kwanza kumpiga mawe!
Kabisa
SAHIHI kabisa.Mungu amlinde usiku na mchana Mh: MAKONDA
Huyu ndo mwanamke super wangu wa mwaka 2024 very strong very talented very smart very important very education big brain mwanmke wa nguvu so biuty fully achana na wapaka poda dada nimekupenda bure by the way makonda nae ni binaadam
Uko vizuri saaaana Dada Mungu akujalie uende juu zaidi Waziri wetu Mtarajiwa❤❤
Makonda yupo vizuri.kilichomponza.kuingiza maswala ya uzuri mm Nina mke.siyo.haiba ya uongozi.
Ingenia yuko safi, mzee wangu Makonda amejaribu kumugombeza lakini kajikwamuwa. Huyu dada anastahili na yuko makini.
Huyu dada ni msomi kweli na ana punch si kidogo, ametoboa maswali kwa kujiamini mno, na uzuri toka awali aligundua pesa isingetosha, hongera dada muhandisi.
Shida wabongo tumekalili sanaa wanaona kila viongoz wa mladi ni wapigajiii,, sio kwer huyu dada yuko vizuri ana confidence haogopi sijui mkuu wa mkoa!! Anajiamini
Jamaaani tujitahidi kuheshim fani za watu, Dada jipe moyo haya ni maisha tu hongera unajitahidi.
Huyo dada hajazalilushwa ila kashindwa kujieleza Kwa sababu ya wizi wanao ufanya wanasababisha wananchi huku chini tuna pata shida Kwa ujinga Wa hao wajinga walio pata nafasi wanaitumia vibaya kutesea wananchi
@@wamburasungura6812ukipewa siku kusimamia ujenzi uttaelewa kuwaa umekosea kutyp
Qddq wewe embu jitambue basi 17:38
Huyu Mwana Dada Engineer anafaa kabisa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri, mtulivu kweli kwenye kujibu maswali, hana panic, yuko calm. Safi sana
Makonda usiwe mkali sana utaharibu
Pia kuongea sana nako ni tatizo
@@GeofreyKalo-ot3we Bila ukali bongo hii inakula kwako!!! Sishangai wanaotaka uzembe uendelee maana asilimia kubwa hawajielewi!!!
Professional and competent engineer, congrats sister!
Makonda umemdhalilisha huyo dada sio poa
Huyo dada pia ni mwananchi anayefanya kazi kwa jasho na kodi yake ndiyo imekuweka wewe mkuu wa mkoa hapo so you need to talk to her with respect. No human being should be embarrassed like this, this guy is not a leader, what lesson are you giving to the younger generation?
Yaani nmeumia na kumhurumia sana huyu dada
Mdogo wangu Grace hongera sana kwa ujasili na kuwa competent kwenye field yako
Amekuwa jasiri kujibu utumbo. Imeundwa kamati ya uvhunguzi utasikia majibu nyiebmko mbali na mradi. Hii shule inawaramba wote.
Dada hongera umejiitaid sana maana maswali ya Mh makonda ni moto sana
Makonda nimekuelewa kabisa unapokuwa mkali tiyari una taarifa mbele yake
Huyu ni magufuli kabisa yani anakuuliza swali mbalo tiyari ana majibu yake
Pole dada umejibu vizuri sana, pia umejitahidi kuwa mpole na mwenye busara
Sometimes viongozi tumieni busara mtu anjibu vizuri una intaract as if hukutaka hayo majibu...tuheshim kaz za watu
Majibu yapi hapo yaniumwache mtu ajiandae kudanganya. Chapa wafujaji wote
Sababu ya Interaction haikuwa ufujaji bali maringo.
Mm nimetazama hii clip, sioni maringo kuhusu huyu Engineer.
Hakika
Yes tena anamuongelea maneno yakukaraisha ila injinia kasimama vzr yuko vzr anamjibu kila kona
Makonda anavuka mipaka mda mwingine
Uongozi ni kazi hivi angekujibu na mimi nina mwanaume handsome ingekuwaje sasa nadhani hata mkuu amejutia tumsamehe bure sisi wanawake maana wanawake wote ni wazuri kwa namna ya uumbaji wa.Mungu
dada huyu ni zaidi ya mkuu wa mkoa
Huyu dada ametulia YUKO VIZURI makonda amejaribu kumbabaisha LAKINI YUKO VIZURI
Naamini kabisa hata makonda alimkubari huyu Eng dada,Makonda unafanya kazi nzuri na safi sana.
Engenier ndio amekuja kuokoa wenzake
Huyu dada safi sana.Mungu amjaalie
Yani ninamuona makonda kama Rais wa Arusha, yani najihisi kama nipo kwenye nchi iitwayo Arusha ambapo Rais wake anakagua maendeleo ya wananchi wake !! Yani ukuu wa mkoa ni kazi ndogo sana kwako unastahili kuihudumia nchi nzima kwa mamlaka kamili isiyo na kizuizi. Ninamuomba Mungu siku moja nimshuhudie Amiri Jeshi mkuu anayeitwa Paul Christian Makonda !! Viva Baba viva
Huyu engineer ndiyo chanzo cha kuliwa hela za shule,makonda piga kazi
Nchi unapaswa kuwa na viongozi wa namna hii Safi sana mhe makonda
UKISIKIA “MWANAMKE NA NUSU” (Harmonize” NI HUYU INJINIA. KEEP IT UP MAMA UNAWEZA!
Halafu kuwa na cheo haina maana mtu una akili nyingi kuliko wengine.
🎉
Dada ni moto sana popote ana kaa huyu hajakubali kutingishika hata alipotingishwa dadeki nimeipenda sana hii Japo mwamba nae fresh anapambania wananchi Japo sikuona kama dada Kuna alichozingua kias Cha kumwambia maneno Yale ya mchumba sijui na nn
Makonda, unakubalika. Chapa kazi, baadhi ya watumishi wa serikali wamekuwa siyo waaminifu.
Dada huyu very intelligent kabisa
ukiwa mtaalam, unatakiwa kutoa majibu manyoofu, sasa watendaji wengi wana majibu ya siasa, Dada anaulizwa, mil 400 za ziada zinatoka wapi? sikiliza jibu lake,...blaaa blaaa nyingi, hapo ndipo Mh. Makonda anapokerwa, maana anahitaji jibu nyoofu, mfano alitakiwa kusema...tutafanya funds raising event kupata mil 400, ...Jambo lingine la msingi, wao kama wataalam + kamati ya Ujenzi walitakiwa kukaa kikao, kuandaa muhutasari wenye hoja za kusema mapema kwamba makadirio yaliyofanyika na TAMISEMI hayana uhalisia, so mradi hautaweza kukamilika kwa wakati wala kwa ubora ambao umetarajiwa sababu ya mfumuko qa bei, so way forward wapatiwe ongezeko la pesa ama maelekezo ambayo yatawaongoza kutekeleza mradi kwa budget iliyopo ambayo ni pungufu. ! (Tupeni kazi, tuchape kazi !!)
Hujamwelewa huyo dada kajitahidi sana kujibu
Sure hajaelewa
Binafsi mkuu wa shuke na engineer waamejtahd sana gharama zao zipo secified kuna mrad mtu anakutajia ghrama had maini yana cheza mwl mkuu anasema gharama ambazo taasisi za serikali zinadhibitsha kwannza mkuu wa shule kajjtahid kuongonza waliomzd elimu
@@GeofreyKalo-ot3wehamna Kitu Huyo Dada kilaza
Umeongea vizuri nyongeza ni kwamba ukishaona umepewa kazi ambayo mwisho wake unaweza kupokea lawama unapaswa uiandikie tamisemi barua ya aina ya mapungufu kwenye budget yao waliyotoa ,huku ukibainisha changamoto ya kimanzingira .mfano gharama ya ujenzi dar ni tofauti na shinyanga , mwanza,Arusha ,moshi.kutokana na mazingira ya kijiografia.sasa wataamu wetu .awaendi zaidi .
Huyu mama anaongea vizuri sana jamani anajua kufafanua Mambo
Makonda Yuko vizuri saana,naomba tu awe mvumilivu asikate hoja ya mtu hasa watumishi katikati ,anawatoa kwenye hoja wanaingia woga.Injinia Dada naomba apandishwe cheo huyo nimempenda.
Mhe. Makonda kuhoji kwako kumesaidia kupatikana kwa ukweli juu ya changamoto ya wataalamu waliopo Wizarani kufanya makadirio ya kiwango cha chini ukilinganisha na gharama halisi za ujenzi wa Mradi. Matokeo yake miradi inashindwa kukamilika na kuonekana wasimamizi wamekula fedha. Hongera sana wanaokubeza wameangalia upande mmoja tu.
Makonda hongera sana kwa ufuatiliaji huu,watu wanafanya kazi kwa mazoea wanafikiria ulaji na siyo kazi
Kwenye mahojiano hayo umeuona ulaji??
@@amaninyekele5002 acha kutetea uovu😯
Dada yupo smart 🙌🏽 kajibu kwa facts, Ameku outsmart mkuu wa mkoa dah🙄
Hongera, Hongera sana Mh, Makonda Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mungu akupe maisha marefu. Kazi iendeleee.
Itabidi tupige kura kwa Baba Mungu muumbaji, maana wajinga ama waliopachikwa pakacha la upumbavu nao ni wengi. Kura yenyewe iwe hivi " Wanaosema Mungu ampe Makonda maisha marefu na Wanaosema Mungu ampe Makonda chango la tumbo Afe tusimuone kelele zake za kinafiki kama Mwenda zake, tumuachie mwamuzi.
Jamani sijapenda kabisa maneno ya Makonda huyo dada yupo kikazi hizo kashfa za nini huyu dada nae anamumewe mzuri tu unadhalilisha siyo powa
Siyo lazima uyapende
Mwalimu umepambana hongera huyu jamaa ni moto
Aisee kwanza nimecheka...huyu jamaa ni mwanaume..ana maswali nondo
Huyu dada naamini alilia sana jamn pole ndo maisha tujitahidi kufanya kazi jamn
HAWA WANAOSHANGILIA NASHINDWA KUELEWA VICHWA VYAO VINAFKIRI NN NAVINAUWEZO WAKUSMAMIA NN kiukweli nmeumia sana dada usifunjike MOYO Mungu yupa1 naww.
Makonda maswal mengne unamuonea huyo mtaalam kama hela haitoshi yy afanye nn
Quotation ilishafanyika
Makonda Mda mwingine anapotea
Dada hongera kupambana na hiki chuma sio kazi rahisi. Bright with brain. Mm ningeshazimia
Makonda una makosa saaaanaa wewe. Hongera Dads Engineer
Makosa gani ?
Ana makosa yap au kosa kuuliza kukamilika mradi
Mnatetea ujinga Acha watu watumbuliwe😂
Raisi wetu mama Samia tunaomba utupe sisi wananchi wa mkoa wa pwani utupe makonda awe mkuu wetu wetu wa pwani angalao Kwa muda wa mwaka mmoja tu ili tusonge mbele namkubali sana ni mtendaji mzuri sana na ni mfuatiliaji Kijiji Hadi Kijiji atatupa maendeleo sana. Tunakuomba mama Samia.
😅dada kampa mrejesho huo muuliza maswali,kampigapiga na vingereza vya kikazi muuliza maswali hoi umbea wote kwisha.ndio maana anakuuliza kwa hasira mwenyewe hajielewi😂😂😂 safi sana dada eng.
M 1 amesema hawadaiwi mwingine 80 millions 😢😢
Injinia hongera huko vizuri sanaaaaaa unafaa kapandishwa cheo hongera hongera
Mh naona maneno yako yamekua makali kidogo! Mchmba tena jamani! Hapo anaongea kwa kujikaza! Wewe ni mtu mkubwa lazima mtu awe na kiwewe na ndipo anapoharibu! Msamehe bure huyu Eng wetu!😢😢😢
Daaaaajh najuta kuagalia hii leo Brother Makonda this isBig Noo, muombe msamahaa huyu dada kama unampenda Mungu
Makonda yuko sahihi na mama Engineer yuko sahihi
Eti ana mke mzuri ,Mungu tusamehe hatujui tutendalo.dharau iyo
Yaaani mambo ya mke wake sijui yanahusikaje hapo daaaah
Makonda the big brain 🎉
Dada wawatu kajibiwa vby maskini sjui vipi ee mungu naomba mwanangu awe natabia nzuri zakumpendeza mungu na jamii asiwe namajivuno kam mwafulani
Engineer yupo vizur tu mbona
Ukiona watu wengi wanatetea ujinga jua hao ni wanufaika sijaona mtu akiwaonea huruma wananchi.
Mimi huyu mpuuzi hajanijibu hivi
tunaitaji kiongozi kama makonda, tumeajili wote kwanzia raisi mpka mwenyekiti, ahsante mama kwa zawadi hii ya makonda
Ata Kama huyo dada anakosa haukupaswa kumjibu hivo unaroho mbaya sana ww jamaa
Yaani,hii style mmh,ila nampongeza huyu Injinia kwa ujasiri na KUSIMAMA kwenye professional yake.
😂😂 hapa Makonda ameomba poo….. mdada ako safi sana kitaalamu. Amesoma na amenyooka.
Makonda Ni Wa Hovyo Wewe Unalazimisha Tuhuma Zisizo Na Maana Ili kuwaingiza Kwenye Makosa Watumishi
mbona makonda yuko vizuri sana wewe unachuki tu
Mbona mke wako siyo mzuri tunamjua
Mwambie huyo labda sisi wengine sio wanawake ila ni mifano ya wanawake
Pole Dada izo ni changamoto tu za kazi
Da!we acha hakuna kazi rahisi kwakweli
ingeneer yupo vizur dada mashaallah
Makonda acha kumkolomea huyu dada msikilize kwanza huyo dada
Yaaaani ata hamsikilizi anamkatisha kila saa
Ni mkuu wa mkoa moja tu Mh. Makonda anae ongea na wananchi waka sana kujuwa na kutoa ufumbuzi wa shida zao bila kuingilia Sheria (maamuzi ya mahakama) fanya kazi Mh. Achana na wababaishaji hao na wakandamizaji tu. Etaga milimo wa ng'wa Mami.
Mheshimiwa piga kazi,usiwasikilize hawa wasojua lolote zaidi ya kupinga haki za wananchi zisitimizwe upo sahihi kuhoji swali lolote maana huo ni wajibu wako ndani ya mkoa kwa masilahi ya Watanzania@kazi iendelee👍
pigakazi poul makonda. china wa lieka sheria kali watumiwash wa serikali wamepiga hatua huku kwetu tunataka kulea maovu
Mh. uko sawa kabisa: sio mambo ya kuangalia sula ya mtu. Swali ulikuwepo.!! sikuwepo sasa unajibu nn.
Nimegundua kwanini Makonda yuko anawauliza maswali hivyo, huwenda tarifa alizonazo na namba wanazozitoa hazifanani.
Big up Engineer
Engeneer mama uko vizuri unajisimamia
Daaah!! Nimemhurumia huyu dada jamani 😢
Mwalimu Uko vizuri sana una sitahili sana hongera sana
Vzur dada , hapoo n kaz kaz ,makondo anafanya kaz ajari n kwaidaa tuu usjar
Hongera sana mdogo wangu Grace, keep it up with calmness
Boc anafanya kazi nzri sana. Ila hapa kama binaadam na nikijana alikengeuka. Maybe totoz lilimkomfuse. Si unaona anamashauzi ya kibinti lazima udenda ukutoke.❤😂
Madam Mhandisi has nailed it. Very composed
Sasa kweli atakama nini usikilize mtu kwanza ulivyo mwongelesha uyo mwanadada so poa usiongeleshe mtu kwa matharau hivyo mh
Makonda anatabia ya kudhalilisha watu sana
HAKUNA MTU MUOVU ATAMKUBALI MAKONDA ABADAN 😂 UKIONA MTU ANAMPONDA MAKONDA JUA NDO WALE WALE TU WAPIGAJI😂
@@KhmsNsr na we nawe hujui tunachoongeleahapa! Tumesema makonda anafanya Kazi vizuri Ila kwa swala lahyudada tu kachemka hauwezi ujambabaisha mtu hivo na kauli mbovu kama hujaelewa bs
HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA ABADAN ATATAFUTA CHAKA TU.
Hapana makonda mm ni shabiki yako mda mwingne nawish uwe rais WA nchi hii lkn busara zako ni kdogo
Engner mama SSH teua uyo binti yuko Vizuri mpe nafasi akusaidie kazi siyo kilaza msomi mzuri
Maana kama budget ipo hivyo na kabla ya mradi walikieleza kwamba mzigo hautoshi mpaka wakazama kwenye force account lakini bado akachengwa akiwa kama mhandisi halikua na maulizo nikulianzisha mje mkikuta limesimama kama hivyo mchanganue na mpaka hapo mtaelewa kulazimisha upigaji na eneo lenyewe ni uwanda wa rift Valley lazima nguzo ziwepo kama hivyo tena imara so on this broo nasimama na mhandisi yupo sahihi maana kiforce ili hela yenu itoshe likishukia watoto mtamtafuta na kesi ya kuuwa so bi dada nipo nyuma yako tujipongeze wakike kwa wakiume tunaosimamia misimamo ya haki na uhalisia
Majibu ya kitaalamu kabisa Hongera dada
Makonda 💯sijawahi penda siasa sas hiv kama unanifungua hiv
Makonda upo vizuri ila haya mengine nahisi ungepunguza huyo dada hajafanya zarau hata kidogo sijui tu kwanini unamsema mama wa watu mengine nakubaliana na wewe
Huyu Dada anastahili nafasi kubwa, yupo vizuri sana.
Sema Ngoma imeenda droo,nipe nkupe in short sijajua imeishaje kwa kwel
Mwl.kufanya kazi mbili.inasumbua
Mweshimiwa Mkoa
KUMBE ULISIKIA KAMA MM 😂😂😂😂😂
😂😂 injinia kishazoea ma SI UNITS kuanza kuhangaika na " mheshimiwa mkuu wa mkoa" maneno mengi sana kwa injinia😂😂
Nimecheka jmn
😂😂😂😂
huyu jamaa ni genius
Makonda nakufatiligia Nakupenda ila kwa kumkejeli huyu dada sijapenda sio vizuri unakoelekea kwa kuwajeli watumishi wa kazi tutakuchukia ghafla
Tena san tutamchukia 😢
@@sophsoph4740 umeon my
HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA WOOTE WAPIGAJI SERIKALINI LAZIMA WAMCHUKIE MAKONDA
Kabisa nimpuuz huwez.mzalilisha hivyo
@@KhmsNsr sio kwamba simpend makonda nampenda sana tena sana mpk mb zangu zinaisha kumuangalia yeye na jerry slaa tatizo linakuja unatakiwa kutumia kauli nzuri hyo kauli me binafsi sijapenda nimeumia kwani angemfokea kawaida tungelalamika kauli hyo y huyo dada alivyomwambia siyo vizuri tusijisahau sana ndo mn hata yy badae Alijua amekosea kusema vile huo ndo ukweli inauma sana unavyodhalishwa mbele za watu
Kaka piga kazi Makondo oyeeeerr🎉
Kwa kweli hata kama ni kutafuta kura si kwa mfumo huuu
Kabisa
makonda hunaakili achakudhalilisha wanawake kama unamke mzuli wakwako nyumbani kwako
Kweli
Yani kama ndo hivi mwizi utapungua kwa 70%
Yeye mwenyewe mwizi na mama yake kwani report za CAG wakipewa wanazifungia makabatini hakuna mtu anaechukuliwa hatua yote mijizi inafanya usanii tu hapo