Video není dostupné.
Omlouváme se.

THE STORY BOOK : Historia ya Mtume Mohammad S.A.W, Hadithi za mtume, Maisha na miujiza aliyofanya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2021
  • #mtumemohammad #thestorybook #islamicreligion
    THE STORY BOOK : Historia ya Mtume Mohammad S.A.W, Hadithi za mtume, Maisha na miujiza aliyofanya
    SUBSCRIBE NOW. THANKS

Komentáře • 108

  • @DulaMudi
    @DulaMudi Před 26 dny +1

    imwenye zii mungu tunakuwomba waisiramu wote uwong-oze katika mahaadiri myema amina

  • @bekakasambala7108
    @bekakasambala7108 Před 7 měsíci +1

    Hii sio sawa....hizo picha hazitakiwi.....

  • @user-pf7nd2jc7m
    @user-pf7nd2jc7m Před 11 měsíci +1

    Allah akupe ubunifu zaidi mwalimu ili uweze kutujuza hadithi mbalimbali insha'Allah ❤

  • @user-tp6ip6cu1v
    @user-tp6ip6cu1v Před 3 měsíci +1

  • @ibrahdullah2329
    @ibrahdullah2329 Před 2 lety +4

    Umekosea kuweka picha

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 Před rokem

    Makala nzuri sana isipokuwa kuweka hizo picha za mfano tu.

  • @bokasinvestment9219
    @bokasinvestment9219 Před 26 dny

    TUNATAKA hizo picha uzitoe unazozinasibisha na kipenz chetu Muhammad s.a.w

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 Před 2 lety +5

    Inawezekana huyu jamaa si Muislam.Ukisikiliza lafudhi zake na adabu yake utagundua si muislam

    • @bekakasambala7108
      @bekakasambala7108 Před 7 měsíci

      Kwan uislamu unahitaj rafudhi

    • @ibrahimgwasma235
      @ibrahimgwasma235 Před 6 měsíci

      Hapo nakataa Waislamu hatuna lafudhi binafsi isipokuwa kila mmoja na lafudhi yake kulingana na anapotoka

    • @nightine19
      @nightine19 Před 6 měsíci

      History inausiana nanini

  • @edwardchege2623
    @edwardchege2623 Před 3 měsíci

    Nabi alsi, Sam shamoun, Nabeel Qureshi utajua historia kamili alikua apiga Safari za wafanyi biashara, kuoa binti wa miaka tisa kuoa bibi ya zaid zainabu

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz Před 4 měsíci

    S❤A❤W

  • @ShaniSalum-ws6ip
    @ShaniSalum-ws6ip Před 3 měsíci

    Ujumbe mnzuri mashaallah,lakini hiyo picha humeitoa wapi na ni yanani

  • @omaryjalyabaggo1113
    @omaryjalyabaggo1113 Před 3 lety +3

    Umekosea kutuwekea picha yamtume wetu kumchora nikumkosea hishma

  • @hassannasibu678
    @hassannasibu678 Před měsícem

    Kwanini unaweka picha ya mtu mwingine na historia ni mtu mwingine unafeli jitathimin kwanza acha mzaa na dini

  • @user-ky1br7qq9e
    @user-ky1br7qq9e Před 2 měsíci

    Msenge ww

  • @asrtechmedia
    @asrtechmedia Před 2 lety +1

    Toa hyo picha ndugu

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 Před 2 měsíci

    Toa hizo picha mara moja

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Před 2 lety

    Tupeni aya nan aliemsilimisha Muhammad

  • @nahodamussa6794
    @nahodamussa6794 Před 2 lety +8

    Wewe elezea sio kuweka sura n kumfananisha n mtume Muhammad n makosa san
    Astahfiru Allah

  • @hosseinkileo6843
    @hosseinkileo6843 Před 2 lety

    Toa izo picha ndugu

  • @DulaMudi
    @DulaMudi Před 26 dny

    sawaisitoria rakini III mfano yapinca sivizuri umekosea

  • @iffahbahet1499
    @iffahbahet1499 Před 2 lety +2

    Shenzi hujui historia ya mtume s.w

    • @user-pf7nd2jc7m
      @user-pf7nd2jc7m Před 11 měsíci

      Huo niudhalilishaji ikiwa hujui kitu Bora tulia usikilize mana matusi hayafai.wote hao wanatafuta riziki mdogo wng.kwaiyo matusi sio njia y kuupata ukweli,Allah akupe uelewa n lugha chafu akuepushe nayo

  • @zubeirislam9068
    @zubeirislam9068 Před 2 lety

    Izo Aya unazikosea kuzisoma shekh wangu

  • @AW-vt9pw
    @AW-vt9pw Před 2 lety +1

    Waislamu hawaabudu mapicha toeni picha za uongo

  • @SarumHaridhamonaizikakoseasana

    Simulizi nzuli ipokua sisi
    Hatupendi picha ungeweka kitabu cha allaa ingetosha

  • @mohamedabdiyussuf3874
    @mohamedabdiyussuf3874 Před rokem +1

    Umefanya makosa makumbwa sana kueka picha ikiwezekana itoe hii video haraka

  • @AbdulyGwandi
    @AbdulyGwandi Před 28 dny

    Nani kakuruhusu kutoa hiyo historia?

  • @allysharifu9049
    @allysharifu9049 Před 2 lety +1

    Wewe huna adabu kumchora mtume futa ujinga wako huuu

  • @emmaculatewambua-ou9nu
    @emmaculatewambua-ou9nu Před 3 měsíci

    Hatutaki picha ni harumu kwetu

  • @dullahshaaban9050
    @dullahshaaban9050 Před 2 lety +3

    Unakoseha kuweka hiyo picha

  • @suleimandarusi1354
    @suleimandarusi1354 Před rokem

    alisoma vtabu vya kiisilamu na kuigiza ili kuwaelimisha waislamu wenzake msi mzonge na maswal mwenzemu

  • @salehekioza7222
    @salehekioza7222 Před rokem

    The story book

  • @dabomawe5770
    @dabomawe5770 Před 2 lety

    Toa hizo picha

  • @salehekioza7222
    @salehekioza7222 Před rokem

    The book

  • @bakarhamad6810
    @bakarhamad6810 Před 2 lety +1

    Huyu jmaa si muislam hyo anayoyaongea anaongea hku akiwa anasoma sehemu na pia malengo yke ni vitimbi viovu kwa uislam lkn hyo analolitafta lipo njiani linamfata

  • @TRUTHISM.
    @TRUTHISM. Před rokem +1

    Umesahau kusema alioa khadija akiwa na miaka 40 naye Muhammad akiwa na 25. Akaoa aisha akiwa na miaka 54 wakati aisha alikuwa miaka 6, na kufanya naye ngono akiwa miaka 9. Alikuwa mtoto hajapata hedhi, alikuwa akicheza na midoli. Pia alikuwa akipewa asilimia ishirini kwa Mia ya walichokipata vitani. Alikuwa na wake kumi na watatu kwa ujumla. Alifanya mapenzi na Maria kama hajamuoa akafumaniwa na bibiye. Alimchukua zaynab kutoka kwa zaiyd. Alikuwa mke wa zaiyd kabla ya kumtamani. Baada ya kuua Familia ya Sofia pamoja na mumewe Maria, alimuona masaa mawili badaye na kufanya naye ngono. Yani historia ya mtu me niulize mimi ninayeishi medina nitakueleza kwa kina. Alikuwa sio mtu me ila dikteta, wizi nwa mavabu, mnajisi, mbakaji.

    • @jolierazia2432
      @jolierazia2432 Před rokem

      Weye nilatulayi kabisa

    • @user-pz1ze2zh2t
      @user-pz1ze2zh2t Před rokem +1

      Haujui unacho sema Bora tu unyamaze

    • @TRUTHISM.
      @TRUTHISM. Před rokem +1

      @@user-pz1ze2zh2t Sema uongo mmoja ambao nimesema na nitaleta hadith ama quran verse to proove

    • @nasrasheikh1020
      @nasrasheikh1020 Před rokem

      Muongo mkubwa

    • @TRUTHISM.
      @TRUTHISM. Před rokem

      @@nasrasheikh1020 kama upi? If you can't point out one lie you are the lyer

  • @user-pf7nd2jc7m
    @user-pf7nd2jc7m Před 11 měsíci +1

    Jamani mtu akijitolea kutoa hadithi ya aina yoyote msimtukane ndugu.hawa wote wanatafuta riziki jamani n kama kosa niizo picha,nataka mniambie nani alimuona mtu yeyote yule tokea Adam paka Mohammad( S.W.A.)chungeni maneno yenu mn izo picha pia nimifano km wanavyotoa watu kwa mitume myengine.

  • @ranman4910
    @ranman4910 Před 2 lety +1

    Izo picha umeziweka ili iweje wapi ulipata picha yake koma koma ishia hapo na ukiendelea utajuta Mana utakachokipata utajuta popote ulipo, pia futa post hii haraka Zaid kabla ujapata kitu ambacho hutokisahau mpaka unakufa

  • @machanomachano626
    @machanomachano626 Před 2 lety +5

    Hiipicha uliipatawapi wakati mtume hakuonyeshwa sura

    • @SALMINSAID-fb9ub
      @SALMINSAID-fb9ub Před 4 měsíci

      Sidhani kama ni picha ya mtume hiyo itakua ameweka tu kunogesha story,

  • @asrtechmedia
    @asrtechmedia Před 2 lety +4

    Futa hii historia.... kisha uweke nyingine ambayo inafuata protocol...
    Hakuna mtume anayejulikana sura yake ya ukwel kabisa...

  • @sharaarabiy858
    @sharaarabiy858 Před 2 lety +1

    Futa historia yko iyo picha umeitoa wapi

  • @allyhassanabdallah4295
    @allyhassanabdallah4295 Před 10 měsíci

    Qur'an ndio history tosha kila kitu kishabainika history itabaki history tu namaanisha ndoyale binadamu wakwanza alikua sokwe au gorilla nasio Nabii Adam (AS) tusomeni dini yetu tuwache kuburuzwa asili ya history ni uongo....

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 2 lety

    Kusema kweli dunia hii ina baadhi watu makini sana lakini inahuzunisha sana pale wanapokua na vichwa ambavyo mtu anafaidika nao isipokua vinyozi

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem +1

    Kafiri mkubwa

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Před 2 lety

    Toa hilo picha lako

  • @user-ws9ch4uj1d
    @user-ws9ch4uj1d Před 6 měsíci

    Hakuna kitu unacho kijua,, acha kutudangan

  • @umarbakar1694
    @umarbakar1694 Před 2 lety

    Uwaachie wenyewe. Usipende kuzungumzia vitu visivyo vyako.

  • @nasranuur786
    @nasranuur786 Před 2 lety

    Alinyonyeshwa na nani

  • @ibrahimetale9999
    @ibrahimetale9999 Před rokem

    hii hadithi ni sahihi?

  • @Mbumbuko
    @Mbumbuko Před 2 lety

    Hujui Kiswahili

  • @mwahamedychilungu8981
    @mwahamedychilungu8981 Před 2 lety +1

    izo ni dini za kigeni kama dini zingine zilizo kuja dini zingine africa izo sio dini zetu izo ni dini za ki coroniezel tuu acheni kumtukana mwenzenu sisi ni watu weusi na tamaduni za kigeni wapi na wapi jamani tufumbue macho wa africa jamani

  • @AllyMKUMBA-gd2ti
    @AllyMKUMBA-gd2ti Před 4 měsíci

    Wewe ni muongo

  • @ramazaniebeni5742
    @ramazaniebeni5742 Před 2 lety +1

    Usicho kijuwa unauliza towa upagani wako hapo

  • @zubeirislam9068
    @zubeirislam9068 Před 2 lety

    History mbaya tfuta historia y sungur n fisi enzi izo kulkua hkn camera za picha Wala kuchkua shooting...

  • @salimuiddi5344
    @salimuiddi5344 Před 2 lety

    kaka unatakiwa kueleza bila kuweka picha

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 Před 2 lety +1

    Hiyo pichaa ondoka Ni makosa hujuw hata kuogea upo tuu

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 Před 6 měsíci

    SASA HIZO PICHA PICHA ZA NINI NDO NANI HUYO

  • @halmahashim2864
    @halmahashim2864 Před rokem

    Wewe kaka mbona unataja jina tukufu na huwezi kumswalia una mapenzi kweli na mtume Mohammed swalallahu alei wasalam

  • @Mbumbuko
    @Mbumbuko Před 2 lety

    Hiyo picture umeipata wapi

  • @hamenyimanasalum7289
    @hamenyimanasalum7289 Před 7 měsíci

    🚫🚫🚫🚫🚫

  • @idrissakatend5318
    @idrissakatend5318 Před 2 lety

    Vuta iyo pict

  • @sharifuteacher5025
    @sharifuteacher5025 Před 2 lety +1

    Hii picha umeipata wap wewe

  • @fatumauwimana1694
    @fatumauwimana1694 Před rokem

    Mukristo huo

  • @mohammedimshihiri4435
    @mohammedimshihiri4435 Před 2 lety +1

    Acha utoto toa hizo picha mtume hakuwa Na hyo sura dunia nzima haijui sura ya mtume wewe jogoo mmoja ndio utuharibie dini toa hzo picha broo

  • @hamissnjumba3034
    @hamissnjumba3034 Před 2 lety

    wewe pichaake umeipata wapi

  • @khamisk1273
    @khamisk1273 Před 2 lety

    Toa picha uloyaweka wewe utatuvuruga afu uje kujuta ujue

  • @muhammedsuleyman6501
    @muhammedsuleyman6501 Před 2 lety

    Mshenzi wewe picha yake umepata wapi acha kudhalilisha dini isio yako

  • @showfive4413
    @showfive4413 Před 2 lety

    We mpumbavu kwanza hujui kuongea af unaweka pic shenz kabisa

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 Před 2 lety +1

    Wewe kafiri c ungetoa historia yenu tu ya ukirosto umeona haitosh mpaka uingie ktk historia ya mtume wala huijui mbwa wewe hivo sivo wala huijui historia ya mtume kafiri uliye laaniwa kwanza mtume hana pch tena ukome kuonesha pch ukatoa mfano wa mtume ukome mbwa weee

    • @reemareemo2698
      @reemareemo2698 Před rokem

      Sasa kama hana picha mna amini je kama alikuwepo? 🙄

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      ​@@reemareemo2698toa unafki wako na wewe

  • @user-ky1br7qq9e
    @user-ky1br7qq9e Před 2 měsíci

    Murongo

  • @rosejordan5391
    @rosejordan5391 Před 2 lety

    😂😂😂😂😂😂😂😂 naona watu wanapanic sana Kwan yeye si anasoma hapo au katoa kichwani

    • @reemareemo2698
      @reemareemo2698 Před rokem

      😂😂😂😂😂😂

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      Tunspaniki kwakuwa anakosea kwanza hizo picha hapo ni za Nini?Kama Mambo hsyakuhusu na huyawezi acha

  • @abdulkarimmohamed5494
    @abdulkarimmohamed5494 Před 2 lety +1

    Sasa mwamtusi mwenzenu na yy amejaribu kumueleza mtume wke.lki ni mambo ya picha Kuna shida gani .kwani ndie mtume.ni historia yake . kuweni wapole .

    • @SMTBRAND
      @SMTBRAND Před 2 lety +2

      ni makosa ku igilizia sura ya matume Muhammad

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před rokem

      Wewe na huyo anaesimulia nyote hamjielewi

  • @aminasaid6555
    @aminasaid6555 Před rokem

    Wewe ni kafiri usie na adabu,kwanza twaharisha kinywa chako upate ufasaha wa kuongea,halafu toa hizo sanamu mnazotumia kufanyia inada sie kwetu hatuna,kisha jifunze uislamu ndio upate kumjua unaemuongelea hapo maana asiyekujua hakuthamini, halafu sio kila kitu lazima ukiongelee mengine yakupite maana huyawezi,hovyoo

  • @reemareemo2698
    @reemareemo2698 Před rokem

    Sasa kwanini mnasema afute picha sindoushahidi uo na kuamini kuwa alikuwepo au 🙄 kwaiyo nyie mkifa hamutaki kuacha picha wajuukuu wawatoto wenu wasiwaone? 🙄😂

  • @salumkassim7949
    @salumkassim7949 Před 2 lety +1

    Ukomeeeeeee