Tundu lissu mungu akusadie ukayee miaka mingi sana uwasadia kutetea watanzania mm niko mbali lakini hiyo wakati ikifika nitakuja kwa kura nitakupea uwee rais yetu uko na maoni nzuri sana mtu akikusikilisa utatoboa maisha
Lissu ni mtume wa mu gu kwa taifa la tanganyika. Hajawahi kuwa muongo. Sio mnafiki. Na hana choyo na taaluma yake anaitoa buuure kabisa kwa raia. Namkulali sana . Anapngwa na wapumbavu wa ccm. Tanganyika.
Mwenyenzi mungu nimwema atufungue watangajyika huu ndio wakati wakuidai Tanganyika natumehuru nakatiba mpya nasisi tuchague rais WA Tanganyika hii ndio
Tunakuombea tundu lisu mungu akupe maisha malefu kiongozi wetu
Tundu lisu mungu akubaliki sana
Mungu akupe maisha marefu
Daah! Baba unatuchanua sna mungu akulinde
Uko pw sana lisu endelea kutuelimisha timiza kaziyako Mungu mweza wa yote atakulipa
Tundu Lisu wewe ni mwalimu hasa wa historia tusioijua sisi wananchi
Lisu ni zaidi ya Wahadhiri, unawafungua wengi na kuonyesha vichwa vyamaccm jilivyotota ujinga.
Mungu akusadie wewe lisso sababu naona leo utashinda
Inna Lillah Waina Lillah Rajiun
Ccm ni manyumbu ndio wametufikisha hapa tulipo sasa nchi maskini zaidi
Tundu lissu mungu akusadie ukayee miaka mingi sana uwasadia kutetea watanzania mm niko mbali lakini hiyo wakati ikifika nitakuja kwa kura nitakupea uwee rais yetu uko na maoni nzuri sana mtu akikusikilisa utatoboa maisha
6y1
Hi
H
Lissu ni mtume wa mu gu kwa taifa la tanganyika. Hajawahi kuwa muongo. Sio mnafiki. Na hana choyo na taaluma yake anaitoa buuure kabisa kwa raia. Namkulali sana . Anapngwa na wapumbavu wa ccm. Tanganyika.
Mwenyenzi mungu nimwema atufungue watangajyika huu ndio wakati wakuidai Tanganyika natumehuru nakatiba mpya nasisi tuchague rais WA Tanganyika hii ndio
Sio hivyo,Ni mtu mkweli na wa Historia..Mtume Sali aleik Wasalim ni HUYU TU WATUNA ZAIDI
Huna jipya tundulisu,
Mbona mengi tu.ulikuwa ukiyajua hayoo ! Pata Hisyoria hapo
Akili zako ni matakoni kwako tu, huwezi kujifunza.
Mungu akupe maisha marefu