MKE WA TUNDU LISSU AWALIZA WATU, AELEZEA YALIYOMKUTA KWA MIAKA MITATU YA KUUGUZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2020
  • #ChademaMedia #Chadema

Komentáře • 100

  • @shukranisekaga9609
    @shukranisekaga9609 Před 3 lety +6

    Mwanamke jasiri sana ww, nakupenda sana first lady! Unaosha!

  • @musarichard2934
    @musarichard2934 Před 3 lety +16

    Wapo wanaombeza Lissu,but if not today..it's tomorrow!..he must be the greatest leader!

  • @atiliogisanganga3964
    @atiliogisanganga3964 Před 3 lety +2

    Mama wa kazi uko vizuri wewe ni mke mwema Mungu akupe moyo huohuo wa hekima sisi hatuwaachi .tunakwenda na lisu tutamaliza na lisu

  • @nuhuhatibu1617
    @nuhuhatibu1617 Před 3 lety +10

    Yaani huyu mama kaongea kwa hisia sana na anaumia sana pole sana mama kwani hakuna mwanadam yeyote yule ambaye anaweza maumivu haya ila tumuachie MUNGU ndio ambaye atahukumu eee MWENZI MUNGU NAOMBA MWISHO MWEMA NISIJE NIKAWA MIONGONI MWA WATU WABAYA🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙏🏻

    • @user-do5by8jl6g
      @user-do5by8jl6g Před 6 měsíci

      Mungu mi mwamifu hakika hamtagarikishwa mungu atawalinfa

  • @santosclassic9935
    @santosclassic9935 Před 3 lety +12

    Unatetea wanyonge saf kabisa

  • @jacobmayalla5698
    @jacobmayalla5698 Před 3 lety +9

    Pole Malkia wa Tanzania,Umepambana Sana,hakika unafaa kuwa Malkia na ninaamini,Utamshauri vizuri Mfalme!!!!?

  • @hassansamo6823
    @hassansamo6823 Před 3 lety +3

    Tunaomba mola lissu afanikiwe insha allah

  • @rebecashumbi3450
    @rebecashumbi3450 Před rokem +1

    Jina la Yesu lilimuokoa mmeo nawashauri mpokeeni Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu tulimuombea mweshimiwa poleni Yesu yuko kazini tuliomba kuokoka ni vizuri mpeni YESU maisha yeni mama pole poleni sana

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 3 lety +5

    Mamma yetu wa Tz aliye tuuguzia kipenzi chetu Mhe Tundu Lisu Mungu akupe baraka zaid kwa mahaba makubwa zaid juu ya Rais wetu Mhe Tundu Lisu ❤❤❤❤❤

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 Před 3 lety +2

    Hongera sana my wifi love u.

  • @santosclassic9935
    @santosclassic9935 Před 3 lety +11

    Rais wetu lissu 🙏 umeshapita

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 Před 3 lety

      Dua za kuku

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 Před 3 lety

      Katwiga Yona kwan ww nani.. paka uone ina shindikan... mbn mlimuombea afe lkn ni mzima wa afya... nyie wajinga tu tutawaonyesha

  • @murugaisaya6681
    @murugaisaya6681 Před 3 lety +2

    It's painful hongera sana mama we shujaaa

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Před měsícem

    Duu mungu yupo msjaribu ni sehemu ya binadamu waliofanya haya mungu anawaona

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 Před 26 dny

    Poleni sana

  • @simonmdulla8051
    @simonmdulla8051 Před rokem +1

    Mungu.akutie.nguvu.mama.endelea.kua.hivyo.

  • @jonathanmundeda9714
    @jonathanmundeda9714 Před rokem +1

    Pole sana na familia yako mama

  • @simonfundi3609
    @simonfundi3609 Před 3 lety +6

    Asante sana First Lady wetu

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 Před 3 lety

      Mnajua mlichokoza boss wenu. Mnataka Italia kwa kufanya ujanja ujanja muonewe huruma na mambo yote mlipanga wenyewe. Mnadanganya bongo lala siyo werevu. Mnajuliakana mipango yenu. Tamaa bin Tamaa

    • @simonfundi3609
      @simonfundi3609 Před 3 lety

      Dorah Y huruma za Mungu zinatutosha hatuitaji izo za maccm

  • @sebastiankessy1015
    @sebastiankessy1015 Před 3 lety +3

    Dah pole Kwa Yaliyo kukuta

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 Před 3 lety +4

    She a real strong 💪 woman💃👩, Much blessing to you mom.

  • @amanijoel3924
    @amanijoel3924 Před 3 lety +5

    It wasn’t easy.... it’s not easy ..... we still have long way to go but there is a hope . Through the cloudy ⛅️ I can see an open window ... penye nia pana NJIA ....watching & following you from the 🇺🇸 But Tanzania 🇹🇿 is my home

  • @osodowilberforce
    @osodowilberforce Před 2 měsíci

    Madam Lissu,we love you.Pole sana.

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 Před 3 lety +4

    Mara pah'Antipasu ikulu ....yaan kuna watu sijui wataenda kuishi nchi ipi maan mzik wake hapatosh ...

    • @izackhongoli4017
      @izackhongoli4017 Před 3 lety

      apo ukubali ukatae akipta lisu nakuingia ikulu vita inaanza amini nakwambia

    • @joramkimario2666
      @joramkimario2666 Před 3 lety

      We endelea kuota na otakaaposhwa ukiamka ukafungue milango ya ikulu

  • @faustinendama2304
    @faustinendama2304 Před 3 lety

    Pole sana

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli1432 Před rokem

    Mama usiwashukuru watu,mshukuru Mungu aliemshindia na kumuepusha na kifo

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 3 lety

    Aliyempiga risasi ipo siku. Mungu ni mwema na muadilifu, hasahau, hali, hanywi, anampururia. Ipo siku yake

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 Před 3 lety +1

    Wapinzani hasa chadema na Act kama mtawachekea hii Tume ya ccm watawatesa sana lakini ngumi jiwe ndo itaondoa huu upumbavu ya mungu mtu

  • @shebymnazi3530
    @shebymnazi3530 Před 3 lety

    Mwenyezi Mungu atalipa kwa yote aliyofanyiwa kiumbe chake tundu lisu tunaamini ivyo

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 Před 3 lety +2

    Inasikitisha

  • @clemencekaogo8826
    @clemencekaogo8826 Před 3 lety

    Inauma sana Kwa binadamu kumfanya mwenzako kama mnyama wa polini mungu atawalipa Kwa yote

  • @octavianadolph4577
    @octavianadolph4577 Před 3 lety

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv Před 8 měsíci

    Lakini amesema ubavu wangu , kwani nisawa kweli nani hapo ndie ubavu wa mwenzake kati ya lisu na mkewe?

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 Před 3 lety +1

    Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya -
    Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___
    1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea.
    2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani.
    Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ?
    Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani?
    3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ?
    4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ?
    Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi?
    5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .?
    kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi.
    Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao?
    Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu.
    6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi?
    7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini?
    8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ?
    9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu?
    10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ?
    Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi.
    11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.?
    Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani?
    KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO.
    BWANA YESU ASIFIWE !
    CCM OYEEE !!

  • @margarethpolepole7438

    Mkulya sura mbaya shapeless

  • @drtobias_
    @drtobias_ Před 3 lety

    Chadema Tunaomba SERA JAMANI

    • @mcjogopah8513
      @mcjogopah8513 Před 3 lety

      Kwani Lazima, uje huku ambako hakuna Sera? Au wewe ndie wale wasiojulikana?

    • @drtobias_
      @drtobias_ Před 3 lety

      @@mcjogopah8513 ndugu yangu tusigombane ,sijasema hivyo kwa Nia mbaya,Hii Ni hamu tu ya kumwona Lissu akiwa IKULU

    • @zacijoe3772
      @zacijoe3772 Před 3 lety

      Mbona Lisu kamwaga sera au umekuwa kipofu

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 3 lety

    Mmmmh, nao wanalia hawana wa kulilia

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Před 6 měsíci

    Safisana

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 Před měsícem

    Mnafiki kama mumeo hats ubalozi was nyumba kumi hapati

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem

    RIP LISSU

  • @mussamapesa5632
    @mussamapesa5632 Před 3 lety +3

    Tutamuomba magufuli ampe kazi mumeo ili na ww upate utulivu maana unaonekana mumeo anakutesa sana

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 Před 3 lety +1

    Wewe ni kamanda, wewe ni malkia wa nguvu

  • @deodatusideostusi627
    @deodatusideostusi627 Před 3 lety

    Baba I

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Před měsícem

    WEWE MBONA UNAUSO KAMA UNA PULIZA MOTO ALIPIGWA RISASI KWA SABABU YA KUTAKA KUTU SHAWI TUOWANE WANA UME KWA WANAUME NA WANAWAKE 2 KAMA NA WEWE NI MOJA WAO BASI MTAKAASANA BASI TAFUTE KAZI NYINGINE ZA KUFANYA AO NJOONI HUKU MIRERENI TUCHIMBE MADINI BLOCK C ASANTE SANA FATA USHAURI WANGU

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +2

    Magufuli anatuletea upumbavu was kitoto lazima aondoke. Kwa kutuletea vitendo vya kihuni akili zake taahira kutumia shooting act no good

    • @yusufuvea5311
      @yusufuvea5311 Před 3 lety

      Utaondoka ww na mamazako Magufuli ndiye wa Tz maumbwa nyie

    • @katwigayona8041
      @katwigayona8041 Před 3 lety +1

      Eti aondoke ,,wewe ni kagonjwa ka akili

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 Před 3 lety

      yusufu vea ndy umemaliza hapo.... mjinga mkubwa ww kwani yy nani paka asiondoke huyo magufuli yan amefanya nn toka aingike au kuongeza DENI LA TAIFA KAPA WATT HATUZA ZAA TUNATAKIWA KULIPA

    • @yusufuvea5311
      @yusufuvea5311 Před 3 lety

      @@jevinjacob5439 kwani ww tangu uzaliwe umefanya nn mpaka ulipo unakua kama shoga bhana,, kwani we ni kipofu huoni si aliyoyafanya

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 Před 3 lety

      yusufu vea mashoga wanatambuana aise... mm sijaona kila kitu huwa kina fanywa hvy hvy na marais wote toka uhuru na hata wakoloni walifanya

  • @jamhurramadhan3707
    @jamhurramadhan3707 Před 3 lety

    Hiyo nihadis yk tukiruhusu kila moja aimuliye majaribu aliyo pitia sijuw na atakuwa rais mana kila moja atakua na matatizo makubwa zaid

  • @yusufuvea5311
    @yusufuvea5311 Před 3 lety

    Sera hamna kila siku risasi risasi,,, mmekwisha nyie

  • @denismakono197
    @denismakono197 Před 3 lety +2

    Kwan tunaomba history ya maisha yako umekufa au mwanga Sera unishawish lakin najua rais anajulikana in magufuli upo mama

    • @mohdhassan8763
      @mohdhassan8763 Před 3 lety +1

      wovu wakumwa jiji kazienu mbropa nganda

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 Před 3 lety

      Ww acha kuongea kama mtu unae kosa hoja... kwan hujui nani ndy msema sera saiv wa chama...😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tatizo watu wa sisim sio smart kbs mnafanya mambo kwa mazoea

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před 3 lety +4

    Sera sera tunataka......... sio kuomba huruma........

    • @hijakisoro5376
      @hijakisoro5376 Před 3 lety +1

      Sera na hamani broo kua care

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 3 lety

      kweli

    • @johnsonmarick45
      @johnsonmarick45 Před 3 lety +1

      Wewe utampa huruma, au sifa

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 Před 3 lety

      Yan watu wa sisim bhn.. 😂😂😂😂 nyie mizik ndy sera sera..😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mm ww hata siku chekei nakutukan ww ni mjinga na utoke kweny ujinga... au umetuma... sasa kwa taarifa yako hakuna mtu anaongea sera saiv tofauti na MGOMBEA URAIS BASI NA SIO MTU MWNGN FALA WW

  • @subiraabeid588
    @subiraabeid588 Před 3 lety

    Pole sana mama lakini lisu kula yangu simpi

    • @bakariamour6024
      @bakariamour6024 Před 3 lety

      Kwa iyo hutaki kujua habari za risasi daa we kweli ni fisiam

    • @bensonzabroni1809
      @bensonzabroni1809 Před 3 lety

      Tunaweza kushinda but kama hatutaeleza lengo la kugombea tutashindwa tunahitaji sera sasa

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před 2 měsíci

    Huwa nacheka sana nikiwaona waigizaji kama huyu mama! Ulijichelewesha sana kuolewa na chozi anayepinga kila kitu! Hiv mtawaambukiza na watoto ujinga kama huo mlionao poleni sana!

  • @hassannanji3564
    @hassannanji3564 Před 3 lety

    Leteni sera sio kila siku kuhubiria kupingwa risasi.hizi stori zinachosha.You think you are going to win election by using this agenda.it's nonsense.absurd.I believe JPM will emerge winner by 85 percent of votes before 10.00 am

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 3 lety +1

    Ubavu wa risas tunajua sasa mwagen sera story nying za nn

  • @jandpelectronics363
    @jandpelectronics363 Před 3 lety

    SIMLIJIFANYA MTAANDAMANA KUDAI HAKI ZENU KUTEULIWA WALIOFYEKWA NDIPO MUANZE KAMPENI !!!!MBONA HAMUANDAMANIIIIIII??????

    • @gizakazeno1688
      @gizakazeno1688 Před 3 lety

      Alijifanya mjanja anajua sheria kumuwekea mwamba pingamizi ya kugombea urais,,, sasa watu wakaona isiwe tabu wakamwaga mbga kabisaa fyekelea mbali wagombea ubnge na madiwani...anatafuta jina kupitia jina la mwamba jpm

  • @nebartmuyagala9545
    @nebartmuyagala9545 Před 3 lety +3

    Historia tulishaisikia tupe sera mama baada yakufikilia kuchukua hii inchi pamoja nakua nindoto ya mchana

  • @margarethpolepole7438

    Sura mbaya ya kikulya

  • @kibwanaMAlly
    @kibwanaMAlly Před 3 lety

    Inahusiana nanin sasa .

    • @jevinjacob5439
      @jevinjacob5439 Před 3 lety

      Kwan ww unatutakia nn... mbn wambea watu wa sisim, hofu yenu mnajua kuwa mnatetea uwovu... labla ni kwambie tu umasikin hauondoki kwa kujifangany sisi wenyw.... sisim imefanya nn kweny hii nchi toka 59 hakuna ambacho tuna jivunia ni kizur sio umeme, barabara, maji na biashara.. usiongee kwa ushabiki mjinga ww

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Před 3 lety

    What's WOMEN?? _Is way organising men

  • @mwanasaid6177
    @mwanasaid6177 Před 3 lety +1

    Sasa habari za risasi sisi za nini?

    • @abdulrahmansalim9773
      @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety

      Kama baba yako ingelikuwaje . Magufuli hafai akili zake taahira mpumbavu was kuileta mafundisho ya shooting act mjinga mwizi bustard

    • @mwanasaid6177
      @mwanasaid6177 Před 3 lety +1

      @@abdulrahmansalim9773 mpumbavu mwenyew mbwa wewe habari za magufuli zimekujaje hapa?kwanza unaanzaje kumtukana kiongozi wa nchi? Ww ipo siku mdomo utakuponza

    • @agustinopaulo3650
      @agustinopaulo3650 Před 3 lety +1

      Mweshimiwa lisu umesahau wapi nchi yetu ina rasmali nying sana ikiwemo madini y aina nying,hifadhi ya wanyam, maziwa, na megineo mengi vya kuingiza kipato serikali unashidwa nini kusema kila mtanzania aliyefikishwa umri wa miak18 anastahili kila mwish w mwezi apate fungu fulan y hela kweny hudum y benk ili kila mtanzania a enjoy matunda y nchi yake hii ni sehem moja wapo y kupunguza umaskin nchin kwa asilimia kubwa san

    • @hassansamo6823
      @hassansamo6823 Před 3 lety

      Jiulize senge ww

  • @adenadolph1951
    @adenadolph1951 Před 3 lety

    Magufuli rais asubuhi na mapema kabisa atatangazwa,NGARA CCM NGARA.....JPM 4 ALL 2020