NONDO (ACT) vs KAWAIDA (CCM) - KATIBA MPYA YAIBUA MJADALA MZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 12

  • @kelvinkangomba9590
    @kelvinkangomba9590 Před 13 dny +2

    Napenda mjadala ila baba levo mbona kana una-take side kwenye mjadala . Wewe haufai kuongoza mijadala yenye mirengo wa kisiasa. Wewe kazi yako ni kubalance mjadala wenye kuamua wachukue upande gani ni watazamaji. Ila nnachokiona kwako umeamua kuwa mtangazaji, na pia kuwa mshabiki.

  • @samsonyemmanuel5160
    @samsonyemmanuel5160 Před 11 dny

    Baba levo anafanya uchawa indrect

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 9 dny

    Hilo lichawa la fisi em linamshambulia nondo

  • @hashimumwinyi2239
    @hashimumwinyi2239 Před 13 dny +1

    Nondo za Kawaida

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 12 dny

      Hakuna siku Rais atakuwa hana mamlaka kwa Katiba yoyote. Hakuna Tume yoyote ambayo HAITAKUWA NA MTEUZI.

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga4951 Před 10 dny

    Sasa baba level unacheka nini unamtoa mtu mchezoni

  • @kondempya
    @kondempya Před 11 dny

    Mdahalo umekosa muongozaji

  • @iamstephenmusk
    @iamstephenmusk Před 11 dny

    Hamna kitu hapo, Wasafi wamepangwa, Mwenyekiti wa UVCCM mwenyewe amekaa kama Gogo tu, point zake Pumba tupu! Baba levo ndo amegeuka Mwenyekiti wa UVCCM, utopolo.

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Před 11 dny

    Yaani CCM utetezi wao mkuu ni vitu lakini wellbeing ya watu hawaioni. Miundombinu yenyewe mibovu

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 Před 10 dny

    Hapa hapana chama mtuache na ccm yetu

  • @salumsuleimankhalfan3414

    Hivi huu mjadala upo kati ya Nondo na Kawaida au Nondo na Watangazaji?

  • @godfreya6955
    @godfreya6955 Před 13 dny +1

    Huu ni Umbea; Why don't you post full interview instead kutuwekea vitu nusunusu. Hii show ilishapita more than four days ago so all day inabidi tuje tuangalie kila siku mmpepost kipande gani. Wth??