Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 08. 2024
  • Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya
    Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mtoto Akizaliwa Anatakiwa Kufanyiwa Mambo Haya / Happy Birthday Hakuna / Sheikh Hashimu Rusaganya
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Baraza La Waislam U.S.A
    Instagram @Baraza La Waislam U.S.A
    CZcams @Baraza La Waislam U.S.A
    TikTok Baraza La Waislam U.S.A
  • Zábava

Komentáře • 99

  • @jumaazainabu-vn1wc
    @jumaazainabu-vn1wc Před rokem +15

    Shehe Mimi kijana wako Nina kuelewa tena unanijenga kimaadil mungu akupe maisha malefu na mwisho mwema

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Před rokem +14

    Jazzaka Allah kheri, Tabaraka Allah kheri, Darsa muhimu sana kwa wakati tulionao. Namuomba mungu akukinge na kila la Shari .Tuendelee kunufaika Amina inshaallah.

  • @MishMohaa-eh8pi
    @MishMohaa-eh8pi Před rokem +7

    Allah akujaze kila kheri amiin.

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 Před rokem +5

    Mashaallah Sheikh! Allah akujaze khery kwa darsa zuri, kweli kina mama tunachupa mipaka sana, allah atuepushe yaarab, atujaalie tufuate maamrisho yake

  • @khadijaomar6708
    @khadijaomar6708 Před rokem +3

    Jazakallah sheikh Allah akupe umri uzidi kutuelmisha inshallah🙏

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 Před rokem +4

    Allah akujaze kila lakheri , akuzidishie umri. Kweli Kabisa umma unaanza kubadilika kwa Kasi kubwa Sana Kufuata tabia za kitwaghuti.

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci +2

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @MustaphaamirWazir-co8xq
    @MustaphaamirWazir-co8xq Před rokem +3

    Allah akulipe kher nauliza je inafaa kufanya hakika baada ya siku saba

  • @abdallahally2241
    @abdallahally2241 Před měsícem

    Jazakallahu shekhe,Allah akupe mwisho mwema

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Před rokem +2

    Jazaak llah khair zidisha kutupa ukumbusho umma umefikia pabaya waislam mawaidha tuyashike

  • @user-qy1pv6tb6j
    @user-qy1pv6tb6j Před měsícem

    Ahsa allah akulipe mema inshaalaah

  • @mwajumamunezero4055
    @mwajumamunezero4055 Před rokem +2

    Asante umetufumbuwa maana basidai zinatupeleka papaya

  • @maftahramadhani2382
    @maftahramadhani2382 Před rokem

    Alhamdulillah shukran Maalim rusaganya

  • @nyirabazigasifa
    @nyirabazigasifa Před 2 měsíci

    🎉🎉🎉🎉 Asante 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😢😢 zzz

  • @AnchaAlide
    @AnchaAlide Před měsícem

    Mungu akusaidie sana nakukubali

  • @mayasakagendo669
    @mayasakagendo669 Před 6 měsíci

    Allah akujaze Kila la kheri

  • @Ledjo-kk1kk
    @Ledjo-kk1kk Před 4 měsíci

    Djazakallah khairan

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 Před rokem

    Inshaallah uishi myaka mingi ili tuendelee kukufaidi kwa darasa nzuri

  • @mingwenyomingwenyo
    @mingwenyomingwenyo Před rokem +2

    Mashallah!!!!

  • @frankhaule
    @frankhaule Před rokem +2

    Allhamdu lillah

  • @umarusiraji1796
    @umarusiraji1796 Před rokem +2

    SubhaLLAH

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 Před rokem

    Wew baba wanikumbusha shekh gorogosi

  • @yasminmarka-mz4qc
    @yasminmarka-mz4qc Před rokem +2

    Urongo mtupu
    Wapi Mtume S. A. W Ali adhania watotowake

  • @zfc2186
    @zfc2186 Před 10 měsíci

    MashaAllah

  • @HusseinIddy-eh7hd
    @HusseinIddy-eh7hd Před rokem

    Wee kauka na mm 😃😃

  • @user-fo2vo8io1v
    @user-fo2vo8io1v Před 9 měsíci

    Mashaallah

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 11 měsíci

    Kwel mohamad ni jina zur

  • @hosnabintmariam3287
    @hosnabintmariam3287 Před rokem +1

    Naaam
    Sakhikh sheikh

    • @gilliansiara3324
      @gilliansiara3324 Před rokem

      Nimekuelewa sana sana yapo tunayofanya hajalishi wewe ni kundi gani ukweli kwa jamii ni huo tubadilike

    • @janethibrahim6917
      @janethibrahim6917 Před rokem

      Mungu akufanyie wepes

  • @Leila-ee9lo
    @Leila-ee9lo Před 28 dny

    Je kama mtoto hakuadhiniwa siku amezaliwa inaswii kuadhiniwa siku ya 6.....

  • @sharifrajab1166
    @sharifrajab1166 Před rokem

    Jazakallahu khayr.

    • @ghaniyehaji
      @ghaniyehaji Před rokem

      Mashaallah asnt kw kituzingua

    • @ghaniyehaji
      @ghaniyehaji Před rokem

      Naomb kukuuliz mm nna watoto wa2 wa kike na kiume wakike nimemwita narmin wa kiume nimemwita Naiymaar nimeambiw maanayk mwenye nguvu wakike nimeambiw maana yk maua lkn naomb ufafanuz wa jina hili mn naambiw

    • @ghaniyehaji
      @ghaniyehaji Před rokem

      Katkat lina moto naaomb unifafanulie km halifai nimbadilishe

  • @user-pw9lf6yt9b
    @user-pw9lf6yt9b Před 4 měsíci

    Amin

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @AliRahma-tw7cz
    @AliRahma-tw7cz Před rokem

    Nmeakiza Hadi mwisho ela mm nliota utupu wa mume wangu ambae xx nmarehemu na sikuina aibu nipe jawabu na mm hapa

  • @yasmeeenmusajuma6531
    @yasmeeenmusajuma6531 Před rokem +1

    Kama hunauwezo

  • @user-wg1eo9je7r
    @user-wg1eo9je7r Před rokem

    Sheeh samaan nilazima kuyafanya yote

  • @user-my6rp3iq7u
    @user-my6rp3iq7u Před 9 měsíci

    Ok

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane4680 Před rokem +1

    Kwa mfano muislam yuko nchii ambaye akuna uislam, inafaa kwagiza nyumbani kwawo vitengenezwe vyote?
    Yani kqma ulaya kupata mbuzi ni vigumu sana kwaiyo inakuwaje? Naomba mesada wako sheh.

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 11 měsíci

    Ata mama mdogo alikuwa anaogopa tende

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 11 měsíci

    Nywele unapeleka kwa sonara zinapimwa za gramu yake mtoto akisema kiasi ndo kile kiasi cha pesa unapeleka msikitini

  • @kingmansa523
    @kingmansa523 Před měsícem

    Subuhanallah bado nimekuwa sijaelekuwa kuwa na wewe unamambo ya uzushi katka dini kabisa hebu tueleze kwa daili kabisa hiyo adhana inatolewa mtoto kwenye maskiyo imesumuliwa na mtume wetu kweli?

  • @taqiyyuhashim4069
    @taqiyyuhashim4069 Před rokem

    Jazzakum Allah
    Allah akupeumri mrefu wenye manufaa ktk Dunia Yako na akhera
    Je, ikiwa nimejaliwa kupata kondoo inafaa nimchinjia mwanaume ? Na anatakiwa kondoo wa aina Gani?

  • @user-qy1pv6tb6j
    @user-qy1pv6tb6j Před měsícem

    Je Kama hajafanyiwa alipokuwa mchanga, akiwa mkubwa haifai tena kufanyiwa?

  • @MaijaRashid
    @MaijaRashid Před 4 měsíci

    Sheikh nina swali....kisha izo nywele nazitupa ama nazizika?

  • @ArafaSuleiman-v4d
    @ArafaSuleiman-v4d Před 13 dny

    Arafa kutoka znZ je nikamsomea maulid mtt n haram

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 11 měsíci

    Akika si ni siku ya arobain akitoka ndo uwa wanachinja mbuzi

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 Před 4 měsíci

    Na arobaini ile inamaana gn?

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Před 10 měsíci

    Baada nywele zinaenda ifaziwa wapi?

  • @bekakasambala7108
    @bekakasambala7108 Před rokem

    Sheikh nauliza ..vip ukimpa mtoto jina la kurithi...imma la Babu yake au shangazi ,mjomba, bibi na n.k ..hiyo inaswihi katika dini yetu ya kiislamu?

  • @siti3197
    @siti3197 Před rokem +1

    Shekh mm ninaswal hikiwa. Mtoto wako ni mdogo n Haun uwezo wa kumfanyia hakika. N yule MTT hlikakua n miaka 9 n hpo unauwezo wakuchinj watk kumfanyia hakika SS yawezekana kweli

    • @ashunmohd9182
      @ashunmohd9182 Před 7 měsíci +1

      Ndio inawezekana.. Hata mtu ukiwa na miaka 30 kama hujafanya hakika unatakiwa ufanye

  • @hemedyusuf8835
    @hemedyusuf8835 Před 11 měsíci

    Sheikh nywele Sasa zifanywe vp nizi tupe ama nizike

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Ustadh nauliza ikiwa mtu hanauwez hat wa mbuz m1 anatakiw kufany nin!!!!!

  • @rxjoy4493
    @rxjoy4493 Před rokem

    czcams.com/video/FAJunBxUYpY/video.html kwanini unaishi duniani

  • @asyahaji9268
    @asyahaji9268 Před rokem

    Shekh hata mama aliyejifungua ana nifac anaweza kumuadhinia mtoto wake?

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 Před 4 měsíci

    Waambie Wakikuelewa Wakuelewe Wasipokuelewa A Hana Nao Lakini U Kweli Uwape Shukraan Shekh

  • @NiceNaftali-re7pd
    @NiceNaftali-re7pd Před rokem

    Sasa hilo sitambiko

    • @abuumrisho204
      @abuumrisho204 Před 8 měsíci +1

      Ndio ni Tambiko la kisheria la sheria yetu ya kiislam, Tambiko la Allah. Na ww kama una matambiko yako ya Kimzimu mzimu nenda kafanye. Sisi ni Laailahailallah ndio njia yetu and we are proud for that

    • @fauzishabani2622
      @fauzishabani2622 Před 4 měsíci +1

      hiyo ndiyo mila ya Ibrahim

    • @LeilaWilfred-zc7gn
      @LeilaWilfred-zc7gn Před 3 měsíci

      Usifuate uzae mashoga na wasagajii

  • @dktabdurahim3896
    @dktabdurahim3896 Před rokem +1

    nakuunga mkono

    • @jamilamuhammedtanzanian8129
      @jamilamuhammedtanzanian8129 Před rokem

      Mafano aujamfanyia ivo akiwa mdogo unaweza mfanyia tena akuwa na miaka 7

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 Před rokem

      ​@@jamilamuhammedtanzanian8129 mwisho wa kumfanyia mtoto hakika n pindi anapoingia katika balehe ndio mwisho lakin kabla hajaingia balehe yawekana

  • @TatuJulius-ls9ex
    @TatuJulius-ls9ex Před rokem

    Mbowanasema.hadisiku40

    • @danielotto4197
      @danielotto4197 Před rokem

      zikipita hizo siku 7 unatakiwa kufanyaje shiekh?

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!!

  • @user-vr8ns5xg7y
    @user-vr8ns5xg7y Před 9 měsíci

    Jeee kwa wal ambao hakumfanyia mtoto wao kwa wkt muwafak na mtoto huo ameshafikia umri mkubwa anawez kumfanyia mtot huy sadak hio au anafanyajeee!!!! 13:48