Video není dostupné.
Omlouváme se.

AIC Chang'ombe Choir (CVC) - NARUDI KUKUSHUKURU (Official Live Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 04. 2024
  • #NARUDI KUKUSHUKURU , ni wimbo wa Sita katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
    Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
    Tunaamini wimbo huu utaenda kubadilisha maisha yako, MUNGU ametuvusha na mambo mengi tunapaswa kurudisha sifa kwake.
    MUNGU AKUBARIKI.
    LYRICS
    NARUDI
    (Narudi) kukushukuru
    BWANA wangu
    mwokozi wangu
    pokea sifa za moyo wangu,
    (Narudi) kukushukuru
    Mtakatifu, Elishadah mioyo yetu inakupa sifa,
    (Narudi) kukushukuru
    Na ahimidiwe mwamba wangu,
    Bwana ndiye aliye hai
    Amenitendea mambo makuu
    yasiyo hesabika
    Bwana ndiye ngome yangu na wokovu wangu
    (Ndiyo maana ninarudi kumshukuru)
    Naye huwaongoza wakamilifu wa mioyo,
    (Iyelee eeh..Iiiihyelelee)
    Nitakwenda mbele za BWANA,
    Kwa moyo wa shukurani
    Matendo mengi mema amefanya
    lazima nimshukuru,
    Narudi kumshukuru
    Amefanya kwa wingi siwezi kueleza
    BWANA ndiye wokovu wangu, Na ngome ya wokovu wangu
    Ametenda Zaidi siwezi kueleza,
    BWANA ndiye wokovu wangu
    Na ngome ya wokovu wangu..
    Bwana ndiye ngome yangu na wokovu wangu
    (Ndiyo maana ninarudi kumshukuru)
    Naye huwaongoza wakamilifu wa mioyo
    (Iyelee eeh..Iiiihyelelee)
    BWANA unapendezwa na wenye moyo wa shukurani
    Shukurani (Shukurani),
    Leo ndiyo maana nimerudi
    kuja kukushukuru
    Kushukuru (Kushukuru),
    Pokea BABA shukrani zangu ,
    Asante eeh (Asante)
    Nimerudi kwako..kuja kukushukuru,
    Asante eeh (Asante) Asante
    Special Thanks
    AICT CHANG'OMBE CHURCH
    Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
    CREDITS.
    Song writer - Jeremia Madaha
    AICT Chang'ombe Church
    AIC Chang'ombe Choir (CVC)
    MUSIC DEPARTMENT
    Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
    Elisha Gurlaty (AUX 1)
    Elia Mahuna (AUX 3)
    Onesmo Peter (AUX 2)
    Emmanuel Yusuph (BASS)
    Jeremia Madaha (LEAD GUITAR)
    Mayala Bubele (TRUMPET)
    Charles Stenson (TROMBONE)
    Meshack Wilson (TROMBONE)
    Eliya Makaya (ALTO SAX)
    Raphael Luhende (ALTO SAX)
    Samson Mathew (DRUMS)
    Video production - CVC Media
    Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
    Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
    Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro

Komentáře • 173

  • @NikolasJoseph-fz8cr
    @NikolasJoseph-fz8cr Před 21 dnem +5

    Dada Bahati Meshaki Wanaompendaaa waweke likes hapa

  • @okaozzy
    @okaozzy Před 3 měsíci +15

    Naomba likes za kutosha kwa CVC 🇹🇿🇹🇿

  • @onexgozbert2554
    @onexgozbert2554 Před 3 měsíci +12

    Tunaorudia rudia kipande cha legend bahatiii gonga like

    • @beatricesamwel8161
      @beatricesamwel8161 Před 3 měsíci +2

      Warudi kwa zamani na masoro warudi walewale 3 hii hapana hainongi kabisa

    • @onexgozbert2554
      @onexgozbert2554 Před 3 měsíci

      Wapoo sema nyimbo Zao bado hazjatoka

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 Před 3 měsíci

      ​@@beatricesamwel8161khaa hizo ndio hila zenyewe sasa

    • @DanfordJohan-zd1cg
      @DanfordJohan-zd1cg Před 3 měsíci +1

      Hainogi hata ile wangekuwa wanafanya kupokeza utatu wao ndio inanoga ila hii yakupokezana na wengne teena vitoto hapana legend anatakiwa kuimba na malegend wenziee

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 Před 3 měsíci

      @@DanfordJohan-zd1cg hakunaga u legend kwenye kazi za MUNGU ndugu yangu lazima kile kizazi Cha zamani kitengeneze watu wapya ...kilichoharibu mi ninaona ni wimbo mmoja kuimbishwa na watu 4 halafu wimbo ni mzuri lakini mfupi sababu ma solo list wamekua wengi halafu akishaimbisha anaondoka stejini Kuna vitu vinapoteza ladha ya wimbo kuangalia

  • @Godfreyvanessa
    @Godfreyvanessa Před 3 měsíci +8

    Huyu mkaka ameimba vzr Asante 🙏🏻🙌😁

  • @rosemwiti6295
    @rosemwiti6295 Před 3 měsíci +5

    Woooow... Mama is back... Wenzake wako wapi❤❤❤wa kitaaambo kweli. Baraka tele toka Kenya🇰🇪🇰🇪

  • @janemoraa9997
    @janemoraa9997 Před 3 měsíci +4

    Hongera CVC kwa wimbo huu ni vyema kumshukuru Mungu kwa makuu anayotutendea.
    Maoni yangu in kuwa Masoloists wameimba vizuri Ila wanne ni Wengi kwa wimbo mmoja.iAt most watatu.
    Pili,ni vizuri mnavyowapa vijana nafasi ya kukuza vipaji.
    Mungu awaimarishe na awalinde katika huduma yenu.

  • @ChristopherSibilike-h2y
    @ChristopherSibilike-h2y Před 3 dny +1

    Mama is back..Huwa ananibariki sana pamoja na wale wenzake wawili...baraka teletele Mom❤❤❤

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819
    @mwlhalimoja.ekingunza1819 Před 3 měsíci +5

    Tuwe kama huyu ALIYETAKASWA na akarudi.
    15 Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu;
    Luka 17:15
    16 akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
    Luka 17:16
    17 Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale kenda wa wapi?
    Luka 17:17
    18 Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu?
    Luka 17:18
    TURUDI KWAKE BWANA WETU YESU MTENDA MIUJIZA. Nimejisikia Amani sana kwa huu wimbo Bwana azidi kuwa nanyi Sasa na hata kale na kale(milele)

  • @peteryohana891
    @peteryohana891 Před 3 měsíci +5

    🔥🔥🔥Mungu azidi kuwainua jamani,from Korongwe fpct.🎉

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz Před 3 měsíci +4

    Bwana ndiye ngome ya uzima wetu ❤. Tuna Kila sababu ya kumshukuru Mungu Kwa matendo yake makuu.

  • @user-zk6mx6de3q
    @user-zk6mx6de3q Před 19 hodinami

    Kaka uyo mweny suti nyeuc anaimba vzr hongera sana

  • @agnethapaul5084
    @agnethapaul5084 Před 2 měsíci +4

    Wale wa mama wa tatu ,sasa kaonekana mmoja,BAHAT MESHACK ,bado yule Nafsi yangu na songa songa

  • @JohnVicent-c6m
    @JohnVicent-c6m Před 2 dny

    Bahati huwa nabarikiwa sana na sauti yakooo, ubarikiwe saaana mama.

  • @emmanuelkipkemboi2902
    @emmanuelkipkemboi2902 Před 3 měsíci +6

    Hii choir hunibariki sana I have always turned on the notification so that when they release a song I get notified. Sijui nitafanya nini nifike huko hata siku moja before the last minute of my breath.Am in kenya but please know that your songs from way back imenitia moyo sana.

  • @victoriajulius7495
    @victoriajulius7495 Před 3 měsíci +4

    nawapenda wale wamama watatu hasa yule mweupe

  • @jeremiahmunyoki1686
    @jeremiahmunyoki1686 Před 3 měsíci +4

    Hongereni ndugu zangu.Bahati Hongera.

  • @magrethantonylyimo7696
    @magrethantonylyimo7696 Před 2 měsíci +2

    Asante Bwana Yesu, Kwa Wema na fadhili zako, Hakika ninakuona ukiwa upande wangu, kila siku inapoitwa leo, Nakuja Mbele zako kwa moyo wa shukrani, pokea sifa na heshima zote, Nakuomba umtendee dada na kaka yule ambaye anangoja kwa saburi, AMINA

  • @EuniceSilas-dj3rd
    @EuniceSilas-dj3rd Před 3 měsíci +3

    Mungu aendelee kuwaongoza mtafanya vizur zaid ya hapa

  • @user-ls6ch1fj9u
    @user-ls6ch1fj9u Před 3 měsíci +3

    Nilikuwa na hamu ya kumuona Bahat hongera sans Dada umesoro vizur Mungu aendlee kukutumia vyema

  • @malimibunangomalimi1110
    @malimibunangomalimi1110 Před 3 měsíci +4

    Wimbo mzuri sana

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Před 2 měsíci +4

    Huyo dada aliyefuata kusolo namkubali sana ❤❤❤anaimb vzr sana

  • @paulseneda
    @paulseneda Před 3 měsíci +4

    Wimbo wangu pendwa❤😔
    Nitakwenda mbele za Bwana.
    Pokea Baba shukrani zangu.
    ❤❤❤❤

  • @JanethSamweli-xq9iq
    @JanethSamweli-xq9iq Před 23 dny +1

    Utatu wangu jamani umerud🥰🙋 sasaiv narud tena kutazama🤣🤣

  • @tomkyalo1107
    @tomkyalo1107 Před 3 měsíci +26

    Nice song, wenye walikuwa wanagojea wale kinamama watatu kujeni muone😅

  • @beatriceeyembe6838
    @beatriceeyembe6838 Před 3 měsíci +3

    Mama ana sauti Tamu balaaaaaaaa❤❤❤❤❤

  • @boazphillip4019
    @boazphillip4019 Před 13 dny

    Amina watumishi wa Mungu

  • @RichWis
    @RichWis Před 2 měsíci +2

    Tuna subiria video baraka za Bwana mbarikiwe watumishi wa MUNGU

  • @EstherCharles-ci1nc
    @EstherCharles-ci1nc Před 3 měsíci +4

    Huyu solo namba tatu ninasoda yake wallah asee mtt anajua mpaka basi

  • @olivesmutunga340
    @olivesmutunga340 Před 3 měsíci +2

    Hongera sana, gurlat boy, (Elisha) nakuona kiongozi

  • @winniezephania8715
    @winniezephania8715 Před 3 měsíci +2

    Sarah samaga najivunia wewe🎉🎉wimbo unabaliki

  • @anamechakari6096
    @anamechakari6096 Před 3 měsíci +3

    Ashukuriwe Mungu daima. The video may not be the best but the song itself, uplifts the heart!

  • @AmaniChalale
    @AmaniChalale Před 3 měsíci +2

    Mungu awabariki sana aic chang'ombe kwaya.kazi njema sana

  • @allystambuly5377
    @allystambuly5377 Před 3 měsíci +2

    Wale masolo watatu wangeimba tu mmeshuka kiwango sana

  • @rahabkabuta4778
    @rahabkabuta4778 Před 3 měsíci +2

    Waooooh ❤❤❤❤ Hongereni sana sifa na Utukufu kwa Mungu,kila siku na kila nyakati tusichoke kumshukuru Mungu.Mungu aendelee kuwainua kwa Utukufu wa jina lake,Hakika mnatubariki Sana kwa nyimbo nzuri.

  • @andrewmatheka9749
    @andrewmatheka9749 Před 3 měsíci +2

    kazi safi AIC Changombe...MOB LOVE

  • @musagervas947
    @musagervas947 Před 3 měsíci +3

    Well done from Japane❤❤❤

  • @evakatani636
    @evakatani636 Před 3 měsíci +2

    Ametenda makuu yasiyo hesabika , hallelujah Glory to God 🙏

  • @aggeeshyakamugabe4910
    @aggeeshyakamugabe4910 Před 2 měsíci +2

    What a nice song! Stay blessed, your songs edify me whenever I listen to them❤️🙌

  • @MeshackKija
    @MeshackKija Před 18 dny

    Amen amen amen watumishi wa MUNGU nawapenda Sana mama angu Lydia ,bahati,Dianna inatakiwa one day msollo wote hakika itapendezea

  • @user-gx9bz8hj8g
    @user-gx9bz8hj8g Před 2 měsíci +3

    Nawapenda mno jamani mungu awainue zaidi

  • @micahmutinda3755
    @micahmutinda3755 Před 2 měsíci +2

    Lazima tumshukuru, kwa moyo wa shukurani...
    A good song.

  • @andersonmaundu9452
    @andersonmaundu9452 Před 3 měsíci +2

    Amen nimebariwa na huu wimbo

  • @fabricendayikorere8832
    @fabricendayikorere8832 Před 3 měsíci +2

    Murakoze cane! Listening from Burundi,my home.

  • @user-it3qb5uj8z
    @user-it3qb5uj8z Před 3 měsíci +2

    Unibariki bwana.

  • @Brightonychristopher
    @Brightonychristopher Před 3 měsíci +1

    Nilikuwa nanshauku ya kuona time ya watu watatu timu ya Bahat Mungunazid kuwatumi umeimba vzr sana

  • @Loltome
    @Loltome Před 3 měsíci +2

    Asante, Asante Asante ... Mwenyenzi, Mungu wangu.

  • @jantsjefta8381
    @jantsjefta8381 Před 3 měsíci +2

    Hongera kaz nzr

  • @furahababy6453
    @furahababy6453 Před 2 měsíci +2

    Nimebarikiwa sana na wimbo huu mzidi kusonga mbele zaidi

  • @viviannekesa5129
    @viviannekesa5129 Před 3 měsíci +3

    Very nice to see mama again.

  • @sund2553
    @sund2553 Před 2 měsíci +2

    This time mmeamua kutuonesha ingizo jipya upande wa ma solo 🔥

  • @AllystablusMaduhu
    @AllystablusMaduhu Před 22 dny

    Hakika Mungu yu pamoja nanyi Watumishi wa Bwana.Mungu aendelee kuwainua

  • @Manoni693
    @Manoni693 Před 3 měsíci +2

    Mungu awatumie sana na awaongoze katika huduma yenu....

  • @MeshackKija
    @MeshackKija Před 3 měsíci +1

    So kwamba alifumba macho wewe ulihisi anaogopa labda ni anaimba kutoka rohoni upako umejaaa sanaa

  • @DynamicAudioSystems
    @DynamicAudioSystems Před 3 měsíci +2

    such a blessing. With the super soloist back

  • @angelinembete7017
    @angelinembete7017 Před 3 měsíci +1

    Glory to God kurundi nimuhimu tuseme Asante God bless you brother and sister love you from kenya

  • @JaydenKemboi-w3w
    @JaydenKemboi-w3w Před 28 dny +1

    Nice song🙏

  • @raphaelyustin3636
    @raphaelyustin3636 Před měsícem

    Huu wimbo umenibariki sana kuliko nyimbo zote kwenye toleo hili nadhan ni kwa sababu ya sauti hii niliyoijua toka utotoni

  • @echymbozi1927
    @echymbozi1927 Před 3 měsíci +1

    Wimbo mzuri ila mtu wa taa ovyo kabisa

  • @SamuelErnest
    @SamuelErnest Před 3 měsíci +2

    Narudi kukushuku Mungu wa Mbinguni 🔥🔥🔥♥️🙏😀🙏🙏

  • @juliuswisalah9183
    @juliuswisalah9183 Před 3 měsíci +1

    Asante Mungu. 🎉🎉🎉 kazi nzuri,leaders mbarikiwe.❤❤

  • @oswaldlemba7369
    @oswaldlemba7369 Před 3 měsíci +2

    very nice song

  • @geoffreyambasi9601
    @geoffreyambasi9601 Před 3 měsíci +1

    This is just awesome I even lack words may this team be blessed, continue singing for the lord and winning hearts for Him.

  • @sam_wa_nduthi254
    @sam_wa_nduthi254 Před 3 měsíci +1

    Always here from +254 the grace is sufficient on these great ministers of the word.

  • @MikeWilliam-nf3lk
    @MikeWilliam-nf3lk Před 3 měsíci +3

    ❤❤

  • @justinetuntufye3544
    @justinetuntufye3544 Před 3 měsíci +1

    My mama katika ubora wake ,Bahati

  • @ibrahimmakoga4358
    @ibrahimmakoga4358 Před 3 měsíci +2

    Be blessed more

  • @user-cb6ph1eb1b
    @user-cb6ph1eb1b Před 3 měsíci +1

    Hamjawahi kuniangusha kongore kwenu

  • @josephombima7551
    @josephombima7551 Před 3 měsíci +2

    Ametenda makuu yasiyo hesabika❤

  • @beatriceeyembe6838
    @beatriceeyembe6838 Před 9 dny

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ImaniMbeye
    @ImaniMbeye Před 3 měsíci +3

  • @justinog3105
    @justinog3105 Před 3 měsíci +3

    ❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @Vikey-official
    @Vikey-official Před 3 měsíci +1

    Thank you Lord, for all you have done to us, we say thank you, nice song, mbarikiwe sana

  • @isayamelamiofficial6468
    @isayamelamiofficial6468 Před 3 měsíci +1

    Kila mwanzo una ugumu wake,,, hapa ma leaders wetu wamezoea studio back Play thus way tunaona hawapo katik ule ubora TULIO zoea sikuzote kwenye black play God bless you @Bahati_ new_biggining

  • @zadockmunala8778
    @zadockmunala8778 Před 29 dny

    Moyo wa shukrani ndio mungu anapenda

  • @EvalineghatiDavid
    @EvalineghatiDavid Před měsícem

    Amen huyo dada wa kitambo akiimba nabarikiwa bado wawili

  • @mayalajbubele9696
    @mayalajbubele9696 Před 3 měsíci +2

    Narudi kukushukuru

  • @jumahalfani6789
    @jumahalfani6789 Před 3 měsíci +1

    Hallelujah...Nimebarikiwa

  • @victorelias518
    @victorelias518 Před 3 měsíci +2

    Bora nimeona mma mmja bdo yule nnaemtaka mm jmniii wa nafsi yang🤣

  • @georgebrian803
    @georgebrian803 Před 3 měsíci +1

    Tumsifu Yesu Kristo. Hallelujah

  • @simbawayuda1627
    @simbawayuda1627 Před 2 měsíci +1

    Mungu wainue zaidiii

  • @hezekiasayi8518
    @hezekiasayi8518 Před 3 měsíci +2

    Glory to God🙌🙌

  • @rufusmnyoki9574
    @rufusmnyoki9574 Před 3 měsíci +1

    Very nice song

  • @user-ch4xc1sp4o
    @user-ch4xc1sp4o Před 2 měsíci +1

    Nice song

  • @HappyBackpacker-fx8ss
    @HappyBackpacker-fx8ss Před 2 měsíci +1

    Nice

  • @dariusshukuru8490
    @dariusshukuru8490 Před 3 měsíci +1

    Merci pour ces belle mélodies qui est dedans

  • @user-xb2mq5mz7t
    @user-xb2mq5mz7t Před 26 dny

    Very very hii do ngusa

  • @samuelndawa
    @samuelndawa Před 3 měsíci +1

    Barakaaaa

  • @user-gx4jf8gi9h
    @user-gx4jf8gi9h Před 3 měsíci +1

    Amen

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Před 3 měsíci +1

    Utukufu kwa yesu

  • @mnyazi-ok4fz
    @mnyazi-ok4fz Před 2 měsíci +1

    Amazing

  • @veroclement-xv7kx
    @veroclement-xv7kx Před 3 měsíci

    pia niongezee hapo shangaziaangu bahati,hajatoa ushilikiano kabisa na watu walioko mbeleyake,watu wana mpa ushirikiano yeye hatoi,anajiimbia mwenyewe tu,kafumba macho sana,hatupi ishirikiano kabisa

    • @daudicheyo8536
      @daudicheyo8536 Před 3 měsíci

      Nampenda huyu Mama Huwa anaimba vizuri, sema labda ameona aibu tyu

  • @mhigiisack5667
    @mhigiisack5667 Před 21 dnem

    Dogo uko sawa

  • @TabithaMutinda-vd1dp
    @TabithaMutinda-vd1dp Před 3 měsíci +1

    Mungu tu

  • @veronicanyamsusa4974
    @veronicanyamsusa4974 Před 3 měsíci

    Kwa kweli mmeimba Wana wa Mungu

  • @Yoshuakikasiga
    @Yoshuakikasiga Před 3 měsíci +2

    🙌🙌🙌🙏

  • @cosrevynewchord2022
    @cosrevynewchord2022 Před 3 měsíci

    Haya ngoja tusubiri ili turudi kushukuru

  • @user-ht8np4yh5t
    @user-ht8np4yh5t Před 3 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤ sjui nsem nn ila tyu mung awabrikiiiii

  • @user-fz4gg1qn6f
    @user-fz4gg1qn6f Před 3 měsíci +1

    Amen 🙏

  • @josephruhusa-wh4ko
    @josephruhusa-wh4ko Před měsícem

    GOD BLEES YOU

  • @daudmajama9428
    @daudmajama9428 Před 2 měsíci

    Munguaendelee kuwapigania