TULIKUTANA MTANDAONI | ALIINGIA IJUMAA TUKAFUNGA NDOA JUMAMOSI | BIASHARA YA CHAKULA MAREKANI
Vložit
- čas přidán 13. 12. 2023
- Tajiri’s Kitchen ametueleza safari ya maisha yake ya mahusiano mpaka kufika kuishi Marekani na Safari yake ya kua mpishi mzuri na kuweza kujiajiri na nini kilisababisha kua na CZcams channel ya mapishi.
Mtandao ulivyomkutanisha na mume wake. Maisha ya Saudi Arabia na maisha ya Marekani
Subscribe to her CZcams channel ili kujifunza mengi kuhusu mapishi @tajiriskitchenswahiliflavo1723
Thanks you @tajiriskitchenswahiliflavo1723 for allowing this to be online
www.oda.international
Nampenda sana Halima Tajir,she, s a very humble Lady since back here in Mombasa Kenya. May Almighty countinue to bless her abudantly.
Nami nakupenda pia❤
Maa shaa ALLAH ❤ nmefurah kukuona tajiri's kitchen umenifundisha mambo mengi saaana ya upishi na ukitamka ile "Okay" imekuwa km yangu 😂😂😂❤❤❤❤
Umejitoa kwa maisha mazuri eti unataka kuendaa Marekani 😂😂
This is God's favour Tajiri
CONGRATULATIONS FOR BOTH OF " U " THE 2" I LOVE IT❤"
Super woman 💪nawapenda ❤️
Una bahati nzuri, Mungu ni mwema.
Sanaaaa
Mashallah da alima nimekupenda nimefurahii ukatichi tama unawapa moyo watu kweli
Safi
Hakatishi tamaa, anatia moyo🙏🙏
Mashallah mwanamke hodari katulia yupo makini allah amuhifadhi amueke amin
Ameen kwa sote yarabi 🥰
Kabla hata nisikize interview nime like kwanza sbbu namkubali kwa mapishi yake so najuwa kila kitu kitakuwa swari kama mapishi yake ❤❤❤❤❤❤
❤️❤️🔥
Yaani nimekuja baada ya kuona hiyo title tu hapo cause I'm her number one fun Tajiri's kitchen napenda sana vyakula vyake
Asante sana dear 🥰
Woow ❤️🔥
Bora mngebaki Saudi arabia😊
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723Masha Allah nafurah napenda unavo tufundisha ❤❤pia nampenda sana huyo dada anavipind vizuri Allah awabariki
Hongera sana Halima. Tajiri's Kitchen. Nita ku follow. Story yako imenitia moyo sana kuhusu dating sites na maisha kwa ujumla. Hongera Sana Shena kwa kutuletea hii elimu. Mungu aniwezeshe safari yangu. Ninaamini iko siku nami nitaleta story.
Asante sana dear.
Tajiri kitchen ❤❤❤
Moja kati ya history tamu sana na ya kusisimua❤❤❤❤😊😊😊congrats kwake
mashaAllah huyo dada anatokea inch gani na mkoa gan nimependa maongezi yake lafudhi yake
A/alaykum nimempenda anaongea vizuri sana kwa kituo mashallah storry nzuri
😂😂😂Shukran sana
Tajiri's kitchen nakupendaga sana, leo nimefurahi kusikia stori ya maisha yako 😊
Nami nakupenda zaidi 🥰
MashaAllaah tabaraAllaah huyu mdada leo namuona wa Alhmdulillaah huwa mtu anamskia tu kwenye upishi wake
Allaah amuhifadhi kwa Neema zake ❤
Ameen rabin alamin. Shukran sana kwa support 🥰
Tajili habari mie nataka kazi
Hongera sana Shena kwa kumualika mama yangu mdogo kwa kweli amejieleza vizuri na tumemfahamu na tunamtakia kila la kheri Halima Tajiri's Kitchen
Wow najifunza kupika vitu vingi sana kupitia huyu dada❤❤❤❤
Asante sana kwa support
6:57 @@tajiriskitchenswahiliflavo1723
interview nzur sana maombi ni kitu chakuweka mbele sana unapoliendea jambo lolote ili kama ni kheri uipate na kama shari ikuepuke
Kweli kabisa. Ni vyema kueka maombi mbele.
Halima 🎉🎉🎉🎉🎉My gal....wow Hongera twin ...Tajiri kitchen hoyeeeeee ❤️❤️❤️❤️❤️. Hard work and God's favor,🙌🙌🙌Go gal
Thank you so much hun ❤
Mashallah Tabaraka Rahman
Asante Sana dada mdogo mdogo Tutaelewana2 😍
Nimempenda Tajiri
Shukran sana. Nami nakupenda zaidi 🥰
I feel huyu Tajiri amekua mkweli sana hongeera zake dada ubarikiwwwe sana
Good luck to you SheIn
Huwa napenda sana huyu pia
Mashaallah
Kweli nafsi zenu zilikubaliana ❤
Na nalike kabla hata ya kuskiliza coz naamini interview itakua nzuri sanaa na ya kujifunza
Kabisa
❤️🔥
Hongeran sana 🎉🎉🎉
Safi sana Tajiri, mimi ni jirani yako naishi South Bend, Indiana. Nitakuja kula chakula chako.
Unistue bro😇😔😁
@nyoni nawe huko huku?
Tajiris kitchen umepotea sana vyakula vipi
Narudi very soon. Asante sana
Wow Tajiriskitchen wow na Mimi najifunza sana kupitia page yako😊😊
Nimependa mavazi❤❤❤
Watu wanapenda kupangia watu maisha mara vaa hivi mara kaa hiv mh
Mungu akipanga kitu, kila kitu hua chepesi
Kabisa tena
Woow , wote walikuwa wamekata tamaa na kuamua kufunga kurasa zao ,MUNGU ni MWAMINIFU SANA KWA WAMCHAO
Aaamiin
❤tajiri kitchen
Tutafutane tafadhari
@@ibnhassan9980 karibu kiongozi
Yes, mrembo 🥰
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 nakupenda tu nakufatilia sana katika channel yako napenda mapocho pocho 😊😊
Subhana Llah wau wau wau au nyau nyau na yaa yaaa.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤ nice
Many many thanks
Wee huyu dada nlijulia kwake kupika maandazi matamu na laini loh nampenda jamani Mungu ambariki
Ameen. Shukran sana na pongezi 🥰
Tajiri kitchen nakupenda sana
Nami nakupenda zaidi dear
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Mimi nimechoka sana kweli siyo kwa nusi hii maana miaka 6 sasa napata wataka kuona tu 😢😢😢
😂😂😂, pole
😂😂😂
@@rerisamba kweli nikipata hata haeleweki Sur maisha dahh
Usikate tamaa
SUPER GREAT👌 I LIKE YR LOVE STORY ITS AMAZING N HE IS THE GREAT PERSON TO BE A HUSBAND👍"
Thank you so much. Yes, he is ❤
Sijui nilikuwa wapi kujua online dating
Ukute ningekua ulaya muda😂
Tinadate na wapuuzi tu ambao ht hawa value upendo tunaowapa
😂😂😂😂 nacheka tu
Story mzur mashaallah naomba Allah na mm anikutanishe na mwenza wang
Allahumma Aamiin atujaalie kwa sote
Ameen rabin alamin
Jaman et n ndoa
Hapo kwenye editing video 😂 maana ndo nayapitia, story yake ninzuri imenifanya niendelee kupambana, ubarikiwe shena ❤️
😂😂😂Asante sana. Yeah, usikate tamaa
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 Asante 🙏 ubarikiwe
Mbona mshahara hamsemi.
Namba yasim ya kwako naomba
🤲🤲🤲🤲🤲👍🥰
Kweli kabisa nafahamu kwa vyakula vyake
Shukran sana kwa support 🥰
Kwa sasa 🇸🇦 sio lazima kuva Abaya sheria imesha pitishwa
Imeondolewa lini?kwa tangazo lipi?
Hiv unslipiaje hii mitandao madam na je unaweza kuchati kwa kiswahili ?
Yani huyu ni mimi kweli mume wangu hatujawai onana amefika tarehe 11 na 12 harusi hadi raha na mzungu wangu
MAFANIKIO YOTE HAYO YAETOKANA PALE ULIPOMUWEKA MUNGU MBELE ULIPOMUOMBA KABLA YA KUOLEWA AKUPE MUME MWEMA ENDELEA KUMUOMBA MUNGU KWA KILA JAMBO LAKO UTAFANIKIWA
Mombasa/coast people
Jamani wanawake tujiamini tujishuulishe Mimi nafurahi wanawake wenzetu wanavyotu approach
Dada Shena Vaa Hijab basi jaman.
Hijab it's a command from Allah NOT a Choice!
Be proud of Islam ask Allah to make it easy for you.
Tn na alivyo mzur mashaallah angependez sn sn yn Allah atuongoz ss wadd wa kislma tujistir maan kuna umauti muda wwt na saa yyt
Acha ushamba kajistiri kavaa sawa na mazingira anayoishi.
@@souvenirweber7169mshamba ni wewe unarukia mambo ya watu usioyaelewa.
Yaan watu hawataki kuuonesha uislam wao mtihani wallah
She’s muslin and that’s her choice stop it
Mashallah Mashallah Mashallah tabarakah allah,
TabarakaAllah
Dugu yangu nikijalibu kujiunga imel inakataa
Jina kamili na Kenya anaishi wapi dada tajiris kitchen
Halima Omar Tajiri. Natokea Msa kenya, but naishi USA
😂😂😂😂et naomba usizae jamani
😂😂😂Na basi na alizaa huo usiku haki, hata hakucheza 🙈
Huyu dada anaongea kisw kizuri ukiambiwa ni mkenya hutoamini
Huyu anataoka mumbasa jinsi anavyo zungumza yaani
😂😂😂 Jamani kwani Wakenya hatuongei kiswahili safi 🙈 Anyway mm nimechanganya pia.
Hata mimi nimeliona hilo
utadhani ni MZANZIBARI
😅
Halima mie namfatilia napenda vyakula vyake.
Shukran sana
MUNGU NI MWEMA KWAKO ULIPATA MTU SAHIHI KWA NEEMA YA MUNGU.
Habari shena nataka kujiunga na darasa najiungaje
Niandikie WhatsApp +4367764790884
Niuge na mm 😂daa haĺlima
Jaman nataman kupata mme kupitia nyie please
Tuwasiliane dierct
Upo kwenye mtandao gani?
Inautwa diplomatic quarters but saudi has really changed am here n I don't wear Abaya buibui wala sgela mtandio
Hapana, sikuishi Diplomatic quarter, but i used to go for a visit sometimes. I lived at Alargan Compound, which was only for Americans.
Halima mimi mpishi mzuri nipe kazɛ
Natamani kama ingewezekana
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723ngoja niku follow
Tunapenda pia kujua amunufaika na nini kwa kazi anazofanya eg kujenga nyumba nyumbani au huko marekani
😳
😂😂😂watu wanavituko@@OfficialDatingAssistance
@jokhsaid8666 😂😂😂 Sasa ulitaka niongee mafanikio yangu adharani kisha nipate husda? Hivyo ni vitu vya kawaida tu havisumbui kuvipata kama wewe ni muangaikaji.
😂😂😂😂
@@OfficialDatingAssistance😂😂😂ila watu
By theway Saudi Arabia life inakuaga cheap halafu nyinyi mlikua mnaenda na bus
😂😂😂 Ulisikia bus ukadhani niya Abiria sio? Pole was a private bus. Yani bus ya nyumbani kubeba wamama kwenda shopping na watoto kwenda schools. Coz that's time ilikua wanawake hawa drive, alafu twataka kwenda places na tuko wengi.
Nitafute niko na habali za sara
Please niandikie WhatsApp +4367764790884
😂😂😂😂😂😂😂😂atali
Jamani wau wau wau mumeitowa wapi au asili ya wapi? N so so so tunajua munaishi ukafirini musibadilishwe asili yenu zungumzeni lugha ya nyumbani fanya ufanyavyo wewe ni mbongo tu.
😂😂😂 ni mkenya sio mbongo ni sawa mbona kiswahili chake. Tena kipo vizuri sana hamdulilah
Tupen Namba zasim nataka Mzungu na mm nasijui kudhet
Shena naomba Namba yako tuongee
Shena nisaidie naomba nipate Mzungu nasijui kuthet
😅