Pamela alipofika chini, alisikia harufu ya kifungua kinywa kilichowekwa mezani. Kisha, akamtazama Rodney, aliyekuwa kando ya meza ya chakula, akionekana kama alitaka kumfurahisha. Lakini, dokezo la dhihaka lilimkumba.
😂😂😂 yaani Rodney hata Sarah mwenyewe akigeuzia uso wake pembeni anamcheka kwa uzuzu wake😂😂😂Rodney siyo mjinga ni mpumbavu maana mjinga anajifunza na kuwa mwerevu 😂😂😂
Sara anajuwa kuwa ktk Hao viumbe Nan mrahc ndio Maana akajpachka kwake ila Pamela cjui kama ataumia kias hko Maana walshasemaga na Lisa atakapoinuka lazma atarud atajutia 2 kwa kumpa 😂😂😂😂
Mm n linet mbeyu nahamu sana ya kuona hadi watoto walisa na binti wa pamela danyala hadi waowane na mtoto wa lisa yaani lucar na binti wa pamela danyala kama walivyozungumza na lisa
Tulianza na shetani mkuu Lina kuharibu uhusiano wa Lisa na Ethan,Kisha Lisa akamtongoza Alvin, Alvin akaringa wueeeh but sasa ivi amezama penzini na Lisa 😅😅😅
Mhm,huyu Lisa anaharakisha mambo anaweza kukwama sijui ni kwa nini asiwaarifu wadau maana Sarah ana wadau wengi sana 😂😂 naona wamo njiani,sijui atajirusha toka huko ghorofa ngoja tuone
Yaani Sarah wew siku yako ipo 😡😡 Rodney atahushituki mtadabwa tu siku yenu ipo maskini Pamela anatia huruma sana😢😢❤❤ Ancle na jomba shukrani sanaa🎉🎉🙏🙏🥰🥰
😂😂😂😂😂😂😂😂 mhmm,jamani ukiwa na huzuni sana tahadhali usifanye jambo jipya ktk maisha yako,ona pamela na sigara sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Rodney kachafua hali ya hewa humu
Pamela ndoa ni mpango wa Mungu na inakupasa kumlinda mme wako ili dhambi ya shetani Sarah isimmeze hivyo wanandoa tuwalinde waume zetu kama BWANA olivyotuagiza❤❤Kwa wanandoa wote
Kulinda Mme tena 😂😂😂😂😂😂khaaa kazi yakurindana iko je hiyo bola pamela ajitulize na Mwanae Daniella inavyo onekana Rodney haja acha kumpenda sarah na ndo maana haeleweki mushenzi mkubwa😂😂😂😂😂
Bila shaka ujumbe aliopata pamela umetoka kwa Eliza Robinson😮
Jamani yule binti wa kutoa like mdogo mdogo naingia kuwapa like zenu 😂😂
Maskin pamela namuonea huruma 😢😢 lile jini Sarah lile linakera kama nn tunaomuonea huruma pamela tujuane hapo kwa like
Muache akome alikuwa anaringa sasa acha Kimkute jambo😂😂😂😂😂
@@MunirahGideon 😀😀😀
😂😂😂😂😂
Acha limkute jambo maringo yalizidi 😂pole yake
😊
@@MunirahGideon
Hahahaaa Chester napenda anavyojieka na majibu yake🤣🤣🤣
Leo nimejaribu pia....likes zangu please...Anko Jay Mungu akulinde na akuzidishie baraka zake
MAKOFI KWETU TAFADHARI 👏👏WA VIPORO WEZANGU SARAH MCHAFUZI WA MAMBO HUYU PAMERA NDOA TUNAYOO HATUNA👌👌
😊😊😊
Ndoa hatuna team pamela tunataka taraka tu😂😂😂😂😂😂😂
Jaman wanafamilia wa ankoy jey naombeni laiki ata tano tuu kwamaana ayija wayi tokey kuwayi ivi wa 80 ebu acheni ubahili nipenini ayo mauwa🎉🎉🎉🎉🥰🥰🥰
🎉🎉🎉🎉
🥰🥰🥰
😂😂😂 yaani Rodney hata Sarah mwenyewe akigeuzia uso wake pembeni anamcheka kwa uzuzu wake😂😂😂Rodney siyo mjinga ni mpumbavu maana mjinga anajifunza na kuwa mwerevu 😂😂😂
Sarah n achukue uamuz kw Rodney anakera hyu bwanamdgo shangwe😢😢
Sara anajuwa kuwa ktk Hao viumbe Nan mrahc ndio Maana akajpachka kwake ila Pamela cjui kama ataumia kias hko Maana walshasemaga na Lisa atakapoinuka lazma atarud atajutia 2 kwa kumpa 😂😂😂😂
Hahahaha hahahaha
Ila wajo 🙌 ukimaliza kisa cha pamela tuletee kisa cha chesta,hans,shani tukimalizana na hawa tumalizie na sherry na methew
😂😂😂😂😂😂naona umechefukwaa haswaaa unataka storia za watu wote😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umemusahau samu halison😂😂
Mashaalah
Kwa kweli me naona tunazidi kupoteza mda tu ikiwa washirika wote unawafahamu🤣🤣ni bora tumalize kwa Shan na methew maan Hawa wanakua wanandoa😂
@@user-ch2jy9ig5b 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wangapi wanamchukia Sarah na Rodney nione mikono juu na like🙋🙋 Sarah, Sarah wewe natamani ushikwe unapendwa kuharibi ndoa za watu mjinga wewe sara
Yani nawachukia bs tuu
Nawachukia sana tuu
Yaani mtu anayechukizaa sana ni Rodney maana anajua kila kitu kuhusu saraa afu tena bado karudi kuwa karibu na Sarah huyo ni chizii
✌
✌️✌️✌️✌️
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya (Eldoret),much love.
Nyieeeee wa kwanza hapa wa viporo njoeniii sema kiporo cha leo karibu kingechacha😂😂😂😂c kungoja huku oya njoeni na like zangu
😊😊😊
Ankojay pamoja sana kazi nzuri tùnakupenda sana broo mauwa ❤❤❤❤
Ahsante sana Anko kwa muendelezo wetu huu mzuri wa bint Lisa, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love❤.
Ahsante anko jay shukrani tunakupenda zaidi hatimae umeachia mzigo surprise 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤wow hatimae bi masanja mwenyewe
Duuh simulizi hii inamaumivu mengi kuliko furaha 😭😭😭 inaliza sana duu anko tuonee uluma tunaogopa jamani
An rodney hajui hata vya kusingizia jaman😂😂😂 ety kwenye kampun jamniiiii
Unanibamba unavo sema nani mzuri km wewe 😊
Asante anko jay kwa huu mwendeleze hii simulizi ya bint lisa
Rodney anamtibua Pamela acye na Moyo kama Lisa atauponza 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Pamela zamu yake sasa maskin pole 😢
Mimi natamani Lisa apate mimba nyingine mapacha tena ili waishi na Alviny
Malaika wa shetani amefika tena yaani sara ni shetani namchukia umbwa huyu😢😢😢😢☹☹💔💔💔💔
Halafu muongo anaongea kama malaika jamani mtu ajiumixe kisa rodn amuelewwe yani nyau sana
Hajahusika na kelvin wakati alitoa madawa yakumharibu Sherry akili hee ni mwongo Sarah ,mh,tayari manyakanga wamewasili ngoja tuone muziki wake
waoooo jman nlikuw naisubili kwel had kununa loooh Asante ankojay
Rodney saii familia haitomusamee wacha tusikie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mm ata naomba uyo Sara amulaghai hyo akili pia yy ju haambiliki Rodney shangwe😅😅
@@mucjunior2036hakika yeye ni mwendawazimu kiukweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwanaume akikosa akili yeye ni umbwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Natamani huyo Rodney na sara wafe mambo yaishe yote maana sikwa kunitia pressure huku😂😂
Pole sana pamela ,jini Sara kaja ingilia penzi lako tena
Nipo hapa wapi like zangu Ankojay
Kuwa mjinga nikurudia kosa ...sema Rodney ni mjinga sana😅
Mm n linet mbeyu nahamu sana ya kuona hadi watoto walisa na binti wa pamela danyala hadi waowane na mtoto wa lisa yaani lucar na binti wa pamela danyala kama walivyozungumza na lisa
jaman wa kwanza Leo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰 wa vporo
Hii simulizi ni ya kipekee na kupa upendo wako Ankoo❤❤❤.
Mungo akujaalie anolko hey hii simulizi Nanna inaongoza ytubu
Maskini Pamela wetu tunakuombea vita hii ushinde kama lisa
Nimewahi Leo
Asante anko jey wetu kipezi ❤❤❤❤❤🎧🎧🎧🪑🪑
❤❤❤
Marhaba anko Jay simulizi na ❤❤❤❤❤
Hallooooo chukua 🎉🎉🎉🎉🎉
Leo nimekuwa wa 75 haya nipeni pia like zangu wacha nikae nisikilize Rodney na pamela wake ❤Ambao wanakerwa na sarah tujuane kwa likes🎉🎉🎉
Kumekucha kazi iendelee
Good story be blessed anko Jay wetu kipenzi ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Jeshi la mtu Moja kelele😂😂😂 salaha mbwa ww
Masikini Pamela nakuone uruma❤❤❤❤
Wakwanza leo naombeni mauwa kwa boss kazi
Kwako kuna sauti au ni kwangu tu
🤣🌾🌾🌾🥀🥀🥀🎋🎋🎋🌹🌹🌹
Pamela amevuta sigara akakohoa na ushuzi juuu 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Yan Rodney ni Zumba koko jaman khaa Pamela pole San kipenz kuwa na roh ya uvumilivu yatapita tu😢😢
Mh jamani uyu Sara namchukia Asante sana anko wetu kwa muendelezo wa simulizi yetu pendwa ❤❤🎉🎉
Maskini sasa Pamela hiki ni kiwigi au kibakuli😂😂😭we anko j acha madhambi😅
😂😂😂😂 ilibaki kodgo nisemee😂😂😂
Niueee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jaman 😅😅😅
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Pamela Amelowa Amelowa Amenyeshewa na mvua 😂😂😂 mshauri wa lisa leo kakutana na kitu kizito jmn acheni kusalitiwa kusikie tu kwa mwenzio😢
Weeeeeh m naenjoy niacheni tu maana huwa anajifanya na kiherehere sana cha kuingilia mahusiano ya Lisa na Alvin😂😂😂😂🤸🤸🤸
Shida rodney alikuwa anasema ukweli,,but sahi sijui atanziya wapi kuanza kusema uongo,,kazi nzuri ankoj tunakupenda.
Leo tumeekewa pamela aya anko nextyme tuekee rodney domokubwaa😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂lol
@@Nailah736 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Jaman anko hasomi coment naomben msaada wenu mwambieni atuweekee rodney n chest
@@nismaali2982 hahahaha 🤣🤣🤣 kwanini
Huyu lodney Kuna anacho kutafuta kwa Pamela maana mwenyewe kupendwa kwa magumashi
Rodney anacho kutafuta atakipak. Sikulee babu yak alimpiga viboko sema nini saiv atapirwa Adi kufa shenzi zak🤣🤣🤣🤣🤣
Rodney hana akili kabisa nilidhani kawa mwerevu kidogo ila ninamchukia sana😢😢
Anko j wew muongo kakohoa adi kajamba khaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Rodney mshenz atakomaa. Ngoja akome nyau huyu afu familia isiyikamili ni nin mbona si wrngine tunaishi😂 tu kwenye hzo familia nusunusu
Maana hasikiiiii huyu nyau
Ni kweli kabisa,kuishi familia na mzazi mmoja ni kawaida sana,hata Mungu tunamshuhudia kila mara akichukua mzazi mmojawapo
❤❤❤@@avelinabaluhya2804
Sarah ni shetani wa kike ila mda wake utafika tu na atamfwata Kelvin 😢😢 mshenzi sana
Jamani hvi kunamtu anakumbuka tulianzia vip hii movie😂😂🎉🎉🎉
Tulianza na shetani mkuu Lina kuharibu uhusiano wa Lisa na Ethan,Kisha Lisa akamtongoza Alvin, Alvin akaringa wueeeh but sasa ivi amezama penzini na Lisa 😅😅😅
Nakumbuka tena sana tuu mpk lisa akamlisha alivin sambusa za paka😂😂 na ye akamlazimishana yeye ale chakula cha paka 😄🤣🤣wametoka mbali sana hawa
Ikafikia kipindi masawe jonas na mkewe kwenda gerezani🎉🎉🎉🎉
Alvilisa wametoka mbali sana❤❤
Tulianza na wale paka wa Alvin ivi man wale paka walifia wap😮
Ilianza Lisa akizabuliwa kibao n mama yake lina 😅
Jamn me ndio naingia huyo nawapea like nyote nyie 😂😂 mdogo mdogo tu nikiteremka chini
Mhm,huyu Lisa anaharakisha mambo anaweza kukwama sijui ni kwa nini asiwaarifu wadau maana Sarah ana wadau wengi sana 😂😂 naona wamo njiani,sijui atajirusha toka huko ghorofa ngoja tuone
Yani uyumwandishi anachosha visa vilevilee kila siku kiukweli iilisa itapoteza uzuri na utamuwotee nimechoka a😂😂😅
Mm naomba hii simulizi ya binti lisa ishiishe ifike hadi 1000
Pia mimi naona hivyo ishe juu imeanza kuboa juu ikiisha matatizo ya lisaa twaingia kwa Pamela tuu toka huku matatizo yatarudi kwa lisaa
@@everlynemusimbiamwayi2322hujamuelewa mwenzako anataka is iishe ww unataka iishe 😂😂😂
Nzur
😂😂😂😂 et amekohoa ad kajamba duuh ila anko jay wew kiboko
Ila pamela mzuli Masha Allah ❤❤ila pole kama nmimi siwezi kumsame rodnei mana nimwanaume mjinga nampuzi 😢
Kuwa na mwanaume kama rodney ni bora kubaki kuwa single aise mana nistress tupu ka jinga li rodney linakera😡
Umeona dia ni heri tubaki single ❤
lak zenu nimewahi
Waooo, Asante Anko J, Mungu akubariki
Waoooo❤❤❤❤
@@user-fv5se6iu9r 🙏🙏🙏
Yaani Sarah wew siku yako ipo 😡😡 Rodney atahushituki mtadabwa tu siku yenu ipo maskini Pamela anatia huruma sana😢😢❤❤ Ancle na jomba shukrani sanaa🎉🎉🙏🙏🥰🥰
Muna keshag humu ndani dakika 11 tayari watu 109
Yani n'a mimi nita leta ki godoro umu ndani 2:04
Huyu Sarah anakisirani sana mbona anaharibu mahusiano ya watu aki anaboo sana, yaan yuko radhi ajiumize lakini aharibu huyu demu ni kenge sana😏😏😏
Kiroboto hasa
Mbona Pamela kashonea wiving Sasa wakati Anko j anatusimulia eti anaunywele og😊😊
Anko jay ana masifa uyu😅😅
😂😂😂 nipite zangu
😂😂😂nakwambia hiki ni kibakuli Cha Binti wa rais huko Kenya😂🤣🙌
Asante sana Anck Jay kwa muhendelezo ♥️♥️🔥 🔥🎉🎉
Ndio naingia🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂 mhmm,jamani ukiwa na huzuni sana tahadhali usifanye jambo jipya ktk maisha yako,ona pamela na sigara sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Rodney kachafua hali ya hewa humu
Acha aonje joto la mausiano maaana alichonga xana kwa lissa
Jamani huyu sara si afe tu ana nieka roho juu juu
Leo nimejaribu jamani naombeni like❤❤❤❤🎉🎉
Kusema kweli hii picha haifai kwama binti wetu wakifahali 😅
😂😂😂😂😂
Nakuunga mkono..imekaa ya hadhi ya vhini mno..angalia wigi lake😂😂😂😂😂na hyo make-up sasa uwiii. Bora ile ya Lisa na Alvin...zilivutia...
Asanti sana ankojay natumai uko salama simulizi mzuri hio sana Binti Lisa kwa ivo natumai tutapata sehemu ya 63 Kwa ham kubwa ❤❤❤❤
Rodney unalikoroga kwa Pamela utalinywa mwenyew unamjua vzr sana Pamela alivyokua mgumu kusamehe utamtafuta sana Pamela na mtt wako
MashaALLALH shukran sanaa kaka Jay,
Rodney ameingia kichwa kichwa Kwa Sarah 😢😢 dawa yako ipo jikoni shetani mkubwa wewe mwanamke mnafiki katili Pamela itabidi uwe jasiri kama Lisa
Jaameni Leo nimelauka naomba like kwa mahaba ndindindi kwa Alivlissa 🎉
Asante sana Anko jay Leo nimefurahi sana kwa Pamela na Lise Elvin Chester much ❤❤❤
Ila anko jey hiliwigi la Pamela ninaniflahish san😅😅
Nmewah 😂😂😂..Ila Pamela n mrembo ❤❤❤
Aaaah huyu Rodney ndo umbwaaah mshenzii ananikeraa
❤❤❤❤🎉🎉🎉...love it
Kimemukuta Pamela alikua mujeuri sana Pamela kwa Rodney mashabiki nione like zenu😅😅pelela kiburi ishe❤
Hajui thaman ya mume huyo Wacha ajifunze tatizo moyo wa rudne
Rodney ni mbweha mwehu kabisa daah!!
Yani hilisimulizi hainahaja yaruninga Yani unaona bila kutazama
Pamela njo uyuuu ila ankojay umeniacha tabaniiii😂😂😂😂
Yani sisi watu vigeugeu leo pamela mzuri na tulikuwa tukimtusi kuwa anajeuri yani Rodney sio mwanaume wa kuamini kabisa
Sie ndo mashabiki wa anko jay na akili zetu tunazjua wenyewe 😂😂😂😂😊😊
@@UmayyaNkya-ze3ri kwa kweli 🤣🤣🤣😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂pamera kanyanpa kisa sigara? Loooh Acha uyaonje mapenzi. Hiani amalize mawazo mpe tu
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niuwe
Pamela ndoa ni mpango wa Mungu na inakupasa kumlinda mme wako ili dhambi ya shetani Sarah isimmeze hivyo wanandoa tuwalinde waume zetu kama BWANA olivyotuagiza❤❤Kwa wanandoa wote
Ndugu yataka moyo xana
Kulinda Mme tena 😂😂😂😂😂😂khaaa kazi yakurindana iko je hiyo bola pamela ajitulize na Mwanae Daniella inavyo onekana Rodney haja acha kumpenda sarah na ndo maana haeleweki mushenzi mkubwa😂😂😂😂😂
Jomba wajo hoyeee!!!!
Pamela pamela pole lakni sara hanachake asikutishe kirukanjia huyo pambanatu atahvo familia ya shangwe inawewetu hanarorote naafe kifo kbaya ubwa huyu
Mi natamani anae mpigia simu awe mama Lisa kabla rahisi hajamchukua Pamela afanikiwe kutoroka yeye na mtoto Rodney akome kwakweli
kusema.kwel jomba wajo unapenda San kuona Rodney akiteseka jmn mpe bc nayeye aishi kwa fulaha kama. Arvin
Asante sana Ankojay Daima Katika Sala zangu Mungu akubariki SANA
RODNEY PIA NI MJINGA WA MWISHO YEYE NA.SARAH 😂😂😂😂😂😂😂pumbavu zao
Jama Leo nime wah
Nipeni mauwa yangu
Pamela pole sana 😢😢😢😢wapitia wakati mgumu sanaa
Asante ankojay mungu akujalie ❤